Namshukuru Allah kwa kuwa na mawazo yanayofanana na ya huyu 'Profesa' mama Maryam. Kutembea kote na uzoefu wote aliojizolea bado ana 'Uswahili' kutoka chini ya moyo wake.
@rayasaid373412 күн бұрын
MashaAllah bi Mariam unaielezea culture ya mwambao vizuri sana,yoote ni ya kweli,yamesahauliwa sasa ukiolewa zamani lazima bi harusi atolewe kujulishwa ,sasa hakuna tena mengi yamesahauliwa,Allah akupe afya na umri mrefu
@TheTarabist12 күн бұрын
Mashaallah. Tunazitamani hizo nyimbo tujikumbushe utoto wetu. Ni pamoja na kinyuli nyulika, alfola alfola, etc.
@fatmasayid889512 күн бұрын
Mashalwa M.mungu akubariki akupe umri wenye afya
@hamadrajab804213 күн бұрын
Mashallah, tabaarakallah
@a.85611 күн бұрын
Jazakallah khayran
@fatimasaid946913 күн бұрын
Alhamdulilah. Nice story nimejifunza mengi me natamani iendelee episode 2. Bi maryam ni hadhina kwa taifa letu na culture yetu. Na hii films ipo tayar dukani or online. 4rv uk 🇬🇧
@maryamabdullah916913 күн бұрын
Mashaaallah
@laylayahya2413 күн бұрын
Bismillah Masha Allah
@muhammedameir358213 күн бұрын
Subhanallah, Allah akubarik sana na family yako yote.
@user-bl6xy3cy9w9 күн бұрын
Shukran
@yanyikawaterwelltanzania960013 күн бұрын
MashAllah,
@KassimYakout13 күн бұрын
Nimazumgumzo mazuri nimependa ningependelea uwanzishe na nyimbo za watoto za zamani mbazo sasa Zina potea Kwa mfano kama vile Alfola bandari Salam Ukuti Ukuti na nyingi nyeginezo
@bahrynbahry113813 күн бұрын
Na Ana ana do
@bahrynbahry113813 күн бұрын
Na kinyuri kinyuri aliejuu na arushee😂
@mohammedrashid290613 күн бұрын
Ahsante
@salyali780713 күн бұрын
Wapi tutaiona film
@bindawood9786 күн бұрын
Mamaake Aida na Adila
@rumesibarka531213 күн бұрын
Bi Mariam mchango wako ni wa kizalendo utakumbukwa
@hassankhamis34412 күн бұрын
Nasra juma
@MassoudMaghwaly-jo8sh13 күн бұрын
Nice❤
@user-bl6xy3cy9w8 күн бұрын
O matamu
@TheTarabist12 күн бұрын
BiMariam umewacha kutupa uzoefu wako katika taarab.