#CHADEMA , MBOWE AVUKA MIPAKA ATOA KAURI CHAFU KWA RAIS SAMIA PAMOJA NA KINANA
Пікірлер: 80
@harshkirit678016 күн бұрын
Peeeepozz pawa.. hapo sawa. Mheshimiwa mbowe karibu mwanza tutakuunga mkono. Mwamba wa Chadema yupo hapa
@user-rc1dp6ux3k20 күн бұрын
Mbowe anawaza vizuri
@kyaro594520 күн бұрын
Hivi wew mpiga picha huyu mbowe katukana wapi? acheni uchawa.
@user-md7sd3hk6l16 күн бұрын
nawa penda sana chadema mungu fanya miujiza yako kipe mada laka chadema ccm wa na tuonea sana mungu pokea dua zetu
@christinenyagiro666220 күн бұрын
Kweli kabisa kwa sababu hakuna kazi huku chini. Serikali imejenga mashule lakini watoto hawana walimu. Hapa mjini tunaambiwa tukachangie walimu ili waweze kuongenza vinginevyo watoto wanacheza tu bila kufundisha.
@LamsonMalenga19 күн бұрын
Uyu ndo mwenyekiti bwanaa
@KharidyYusuph20 күн бұрын
Mwenyekti
@zengomikomangwa926420 күн бұрын
Mbowe unayasema hayo ili uweze kupata dolla. Tafuta agenda ya kuwaunganisha wTz sio hayo unayotueleza.
@nabimanyafesto501420 күн бұрын
Hata Mungu mlimushinda kuunganika leo ndo unataka mbowe aunganishe wtzania??
@mashakakwembe748220 күн бұрын
Wenye akili wanakuelewa sana kamanda endelea kutoa elimu ya uraia
@simonnaivasha639318 күн бұрын
Sawa mheshimiwa Mbowe, tulitegemea viongozi watakua waadilfu kama mwalimu Julius K Nyerere, kumbe tumepata Curuta curuta !!
@user-jl5un4wf3u18 күн бұрын
Huo. Mpangomzuri lakini kamaunagawa nchi vipandevipande .......",
@saidimasudi645019 күн бұрын
Wakenya raia aslimia 90 hawana Aridh imechukuliwa na Wacha he na magavana
@JeremiaholendikaMakeseni18 күн бұрын
Baba tupo pamoja sana
@sizorstartv616815 күн бұрын
vijana amkeni jamaniiii. Nchi na kizazi chake kijacho inaaangamiaaa
@yohanaantony577419 күн бұрын
Hata namna chadema mnavyoendsha chaguz zenu bado hakuna usawa hvyo toa kwnz kibanzi jichon mwako ndpo utoe Cha mwenzko umekuwa mwenyekiti wa chama mda mrf nawe watakiwa kuwapisha wenzko hyo ndio demokrasia
@saidimohamed435718 күн бұрын
Katiba mpya ndio kilakitu
@caashamacalini388720 күн бұрын
Maneno anayosema ni kweli inatakiwa mwenye akili ndio utaelewa hamnazo na mwandawazimu kuelewa kazi nchi yako especially Sisi wagonjwa wa kuelewa utindio wa akili hafanyi kazi lakini Mie naomba Kwa mungu tuwe maskini wa kutupwa kama Malawi, na Kongo kila sehemu ya manufaa kuuzwe tubaki Sisi kama Sisi nchi yetu lakini wananchi tusiwe na kitu ndio watu watajua nchi ikoje viongozi wako wapi?
@JackKanyigo18 күн бұрын
Uko sahihi kabisa
@StellaNjau-zd5kn20 күн бұрын
Enyi watanzania mshukuru mungu unaenda shambani kulima unavuna unapata ugali waulizeni majirani zetu kongo somalia, burundi tunatakiwa tumshukuru mungu siku zote tusikubali kushawishiwa ujinga. Ukuona hivyo hata huyo kiongozi naye ni chawa ma mama. Tuweni makini sisi watu wa chini mungu atusaidie watanzania. Hata marekani walikuwa matajiri baada ya miongo sembuse sisi. Mtoto hakui haraka kama unavyodhani huuu ni ushawishi kwani siasa ni mchezo mchafu. Waandamane wao na familia zao kwanza baada ya mwezi nasisi tutaandamana tuwaone watoto wao, wake zao, ndugu zao. Baada ya hapo tutaandamana
@JackKanyigo18 күн бұрын
Huna akiri
@sizorstartv616815 күн бұрын
Hufikirii wewe
@PaskaliCharles-pz8ds18 күн бұрын
Kweli kabisa mh Mbowe ndo maana viongozi wa kuteuliwa wananguvu kuliko waliochaguliwa na wananchi
@StellaNjau-zd5kn20 күн бұрын
Hao ndio walimsapoti samia leo hawa ndio wanamsaliti tena wapendwa tuombe mungu atulinde watanzania hawa wote wanakutana jioni wanakula pamoja watanzania tusikubali kushawishiwa kumwaga damu waulizeni watoto wao wanasoma wapi kama wao pia sio hao hao?
@user-vd8hs6ue2n20 күн бұрын
Hapo kuna kumwaga damu wap Acha uchochezi
@JackKanyigo18 күн бұрын
Natamani kujua elimu yako coz naona vision yako ni ndogo sana
@KamwandaNzowa-eo4ur19 күн бұрын
Ni kweli kabisa Mh, Mbowe serikali imekuwa dalali mkubwa sana wanazuya Makapuni kuja kununua mazao yetu
Mbona CCM,wakina Fulani tu ndo wao tu wanakula ,na hata wewe hujawi kukumbukwa.angalia familia ya Mzee Fulani wa CCM,yeye,mtoto,mama ndo wanaokula tu,Kwa nini hujawahi kuwaambia na wewe uwe waziri,mama Yako awe mbunge,
@sadicksingogo26017 күн бұрын
Ingependeza sana,lakini katiba
@abubakarimussa913118 күн бұрын
❤💪✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👌👌✌️✌️✌️
@hamisidale270420 күн бұрын
Anza na wewe lini cheo chako kitagombania na wengine DJ Mbowe"
@user-pp1cq9op5y20 күн бұрын
Sisi wenye chama ndiyo tumemchagua tumeona anatufaa
@LameckZakaria-qg9vv20 күн бұрын
Umpiga mshono
@machintangachibwena592220 күн бұрын
Mzeee wa Saccos
@kingmichael123419 күн бұрын
Kweli kabisa
@andrewkissava918420 күн бұрын
Naona machawa ya mm kilemba mnatepeta kwa jinsi anavyo wakanyaga kwa taarifa yenu mbowe hatoki uenyekiti mbowe mitano tena ya uenyekiti chadema wala chadema msilogwe mkawasikiliza manyang'au na machawa wa chama cha majambazi
@user-dj7mw5rx5h20 күн бұрын
Mh mmh huyu wakumuogopa kama ukoma maana huyu anataka kuchafua taifa
Magavana peleka boma ng'ombe huko ,,,waachie vijana wapambane utakuja kudondoka stejini umri imeenda huo
@annamnanka-qk1bx17 күн бұрын
Mbona wewe utakikuachia uwenyekiti ili wengine wachaguliwe acha porojo mabadiliko yaazie kwako kwanza
@user-ss6gy4yy8v19 күн бұрын
Kweli kabisa mwamba
@abbiecox118 күн бұрын
muhim watanzania fanyeni kazi huyu keshashiba siku nyingi anatafuta kick! wewe umepoteza muda unaacha kazi unalala njaa ukitegemea siasa utaumia!
@user-yx5lv4pn4v20 күн бұрын
Ukosawa
@user-bz5ti6op6z19 күн бұрын
Hapo kila mkoa utakua na uchumi wake
@albertvalentino13020 күн бұрын
Vyama viwili vya upinzani au vya siasa ---- chadema ni Chama cha upinzani,wakati ccm ni Chama tawala -- kosa hilo umekuwa ukilirudia Mara kwa Mara " rekebisha "
@josephbundala147520 күн бұрын
Mnataka shari? Toka kwanza wewe kwenye uenyekiti wa milele ndipo na ccm uwaambie watoke.
@StevenGendo-vx9jo20 күн бұрын
Unataka akammiliki mama ako?
@MageAwe-hl5zb19 күн бұрын
Vijana waajiriwe
@christinenyagiro666220 күн бұрын
Ningetamani vijana waweze kukusikilizz na kuondoa uchawa.
@LameckZakaria-qg9vv20 күн бұрын
Ata wewe jiulize mbona ataki kuachia kiti kama mstarabu
@phillipmasungwa736520 күн бұрын
SAFI SANA KAMANDA MBOWE TUPO PAMOJA.
@MichaelNgisirei20 күн бұрын
Tundu lissu hupo wapi?
@user-tb8zb4rv6h20 күн бұрын
Hunampango
@StevenGendo-vx9jo20 күн бұрын
Alishamla mama ako? Bas ni baba ako
@christinenyagiro666220 күн бұрын
Kwahiyo CCM hakuna wanacho fanya ila kujaza matumbo yao tu.
@youngsachafurniture548220 күн бұрын
Yes nn wanafanya
@Jal21020 күн бұрын
Hiyu muhuni tu
@hanujoseph880920 күн бұрын
Mhuni ww mwenyewe muone
@user-cu6ol4zb8e20 күн бұрын
huna jipya wa huni tuu nyinyi
@user-bx3ko9ft5t20 күн бұрын
Bora wahuni kuliko ccm
@godfreymkinga20 күн бұрын
Tena vihuni afu mboe una kasauti kazuri ukiigiza kama gashi
@LaurenceSanga-ft7ou20 күн бұрын
Naomba mungu aendelee kuwa mwenyekit mpaka 2o3o
@AllyMandunda-tj9jc20 күн бұрын
User muhuni ni wewe, na humuelew🎉i mbowe
@kassidpandu86620 күн бұрын
subiri serikali yako ya ukoo uje ufanye hivyo
@JackKanyigo18 күн бұрын
Ukiwa mjinga na elimu ya std 7 au form 4 f au d;.huwezi kumwelewa Mbowe
@hamudshabani780117 күн бұрын
Critical thinkers hawaropoki na kubwabwaja UKimsikiliza kwa fikra za ndani yupo sahihi
@caashamacalini388720 күн бұрын
Katiba kweli ibadilishwe kila Raisi aliyefanya makosa na kuhaki serikali washtakiwe wote ndio wanagombania katiba isibadilishwe kutokana maovu wanayofanya ni mengi mbaya dhuluma wanayajua hayo
@AlphaxardMRusweka-jr1wi20 күн бұрын
Wasiishie tu kushitakiwa,bali watahifishwe mali walizojilimbikizia bila kuzitolea jasho.
@StellaNjau-zd5kn20 күн бұрын
Walimsema marehemu wakamchukia leo hao ndio walimsapoti mama je leo wanataka nini? Tusikubali kushawishiwa kumwaga damu wao wanatuchochea alafu wao wanaenda angani wanatushangaaa tutakapo uwana. Hiii yote na uchu wa madaraka usikibali kushawishika wapendwa jifunzeni kwa walibya leo hawana hata pa kulala yote hayo ni uchu wa madaraka. Tujiangalie tuache kushawishiwa ujinga.
@exaverysimon106420 күн бұрын
HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIV HIV SAS KIKUWAP LEO😢😢😢