#CHADEMA

  Рет қаралды 28,958

Yuhai media

Yuhai media

22 күн бұрын

#CHADEMA , MBOWE AVUKA MIPAKA ATOA KAURI CHAFU KWA RAIS SAMIA PAMOJA NA KINANA

Пікірлер: 80
@harshkirit6780
@harshkirit6780 16 күн бұрын
Peeeepozz pawa.. hapo sawa. Mheshimiwa mbowe karibu mwanza tutakuunga mkono. Mwamba wa Chadema yupo hapa
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 20 күн бұрын
Mbowe anawaza vizuri
@kyaro5945
@kyaro5945 20 күн бұрын
Hivi wew mpiga picha huyu mbowe katukana wapi? acheni uchawa.
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 16 күн бұрын
nawa penda sana chadema mungu fanya miujiza yako kipe mada laka chadema ccm wa na tuonea sana mungu pokea dua zetu
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 20 күн бұрын
Kweli kabisa kwa sababu hakuna kazi huku chini. Serikali imejenga mashule lakini watoto hawana walimu. Hapa mjini tunaambiwa tukachangie walimu ili waweze kuongenza vinginevyo watoto wanacheza tu bila kufundisha.
@LamsonMalenga
@LamsonMalenga 19 күн бұрын
Uyu ndo mwenyekiti bwanaa
@KharidyYusuph
@KharidyYusuph 20 күн бұрын
Mwenyekti
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 20 күн бұрын
Mbowe unayasema hayo ili uweze kupata dolla. Tafuta agenda ya kuwaunganisha wTz sio hayo unayotueleza.
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 20 күн бұрын
Hata Mungu mlimushinda kuunganika leo ndo unataka mbowe aunganishe wtzania??
@mashakakwembe7482
@mashakakwembe7482 20 күн бұрын
Wenye akili wanakuelewa sana kamanda endelea kutoa elimu ya uraia
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 18 күн бұрын
Sawa mheshimiwa Mbowe, tulitegemea viongozi watakua waadilfu kama mwalimu Julius K Nyerere, kumbe tumepata Curuta curuta !!
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 18 күн бұрын
Huo. Mpangomzuri lakini kamaunagawa nchi vipandevipande .......",
@saidimasudi6450
@saidimasudi6450 19 күн бұрын
Wakenya raia aslimia 90 hawana Aridh imechukuliwa na Wacha he na magavana
@JeremiaholendikaMakeseni
@JeremiaholendikaMakeseni 18 күн бұрын
Baba tupo pamoja sana
@sizorstartv6168
@sizorstartv6168 15 күн бұрын
vijana amkeni jamaniiii. Nchi na kizazi chake kijacho inaaangamiaaa
@yohanaantony5774
@yohanaantony5774 19 күн бұрын
Hata namna chadema mnavyoendsha chaguz zenu bado hakuna usawa hvyo toa kwnz kibanzi jichon mwako ndpo utoe Cha mwenzko umekuwa mwenyekiti wa chama mda mrf nawe watakiwa kuwapisha wenzko hyo ndio demokrasia
@saidimohamed4357
@saidimohamed4357 18 күн бұрын
Katiba mpya ndio kilakitu
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 20 күн бұрын
Maneno anayosema ni kweli inatakiwa mwenye akili ndio utaelewa hamnazo na mwandawazimu kuelewa kazi nchi yako especially Sisi wagonjwa wa kuelewa utindio wa akili hafanyi kazi lakini Mie naomba Kwa mungu tuwe maskini wa kutupwa kama Malawi, na Kongo kila sehemu ya manufaa kuuzwe tubaki Sisi kama Sisi nchi yetu lakini wananchi tusiwe na kitu ndio watu watajua nchi ikoje viongozi wako wapi?
@JackKanyigo
@JackKanyigo 18 күн бұрын
Uko sahihi kabisa
@StellaNjau-zd5kn
@StellaNjau-zd5kn 20 күн бұрын
Enyi watanzania mshukuru mungu unaenda shambani kulima unavuna unapata ugali waulizeni majirani zetu kongo somalia, burundi tunatakiwa tumshukuru mungu siku zote tusikubali kushawishiwa ujinga. Ukuona hivyo hata huyo kiongozi naye ni chawa ma mama. Tuweni makini sisi watu wa chini mungu atusaidie watanzania. Hata marekani walikuwa matajiri baada ya miongo sembuse sisi. Mtoto hakui haraka kama unavyodhani huuu ni ushawishi kwani siasa ni mchezo mchafu. Waandamane wao na familia zao kwanza baada ya mwezi nasisi tutaandamana tuwaone watoto wao, wake zao, ndugu zao. Baada ya hapo tutaandamana
@JackKanyigo
@JackKanyigo 18 күн бұрын
Huna akiri
@sizorstartv6168
@sizorstartv6168 15 күн бұрын
Hufikirii wewe
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 18 күн бұрын
Kweli kabisa mh Mbowe ndo maana viongozi wa kuteuliwa wananguvu kuliko waliochaguliwa na wananchi
@StellaNjau-zd5kn
@StellaNjau-zd5kn 20 күн бұрын
Hao ndio walimsapoti samia leo hawa ndio wanamsaliti tena wapendwa tuombe mungu atulinde watanzania hawa wote wanakutana jioni wanakula pamoja watanzania tusikubali kushawishiwa kumwaga damu waulizeni watoto wao wanasoma wapi kama wao pia sio hao hao?
@user-vd8hs6ue2n
@user-vd8hs6ue2n 20 күн бұрын
Hapo kuna kumwaga damu wap Acha uchochezi
@JackKanyigo
@JackKanyigo 18 күн бұрын
Natamani kujua elimu yako coz naona vision yako ni ndogo sana
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 19 күн бұрын
Ni kweli kabisa Mh, Mbowe serikali imekuwa dalali mkubwa sana wanazuya Makapuni kuja kununua mazao yetu
@user-sn3py9yz8j
@user-sn3py9yz8j 18 күн бұрын
Umeongea ukweli tunataka magavana
@user-tz8wq1dj7j
@user-tz8wq1dj7j 18 күн бұрын
Safi kabisa akili hiyo
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh 18 күн бұрын
Umeona mwaba mungu awape ulinzi aende navnyinyi polite tupo nyuma yenu tunawapendabsana msikate tamaa
@GoodluckMichael-hb1bv
@GoodluckMichael-hb1bv 20 күн бұрын
We mbona utoki kwenye uenyekiti
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi 20 күн бұрын
Mbona CCM,wakina Fulani tu ndo wao tu wanakula ,na hata wewe hujawi kukumbukwa.angalia familia ya Mzee Fulani wa CCM,yeye,mtoto,mama ndo wanaokula tu,Kwa nini hujawahi kuwaambia na wewe uwe waziri,mama Yako awe mbunge,
@sadicksingogo260
@sadicksingogo260 17 күн бұрын
Ingependeza sana,lakini katiba
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 18 күн бұрын
❤💪✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️👌👌✌️✌️✌️
@hamisidale2704
@hamisidale2704 20 күн бұрын
Anza na wewe lini cheo chako kitagombania na wengine DJ Mbowe"
@user-pp1cq9op5y
@user-pp1cq9op5y 20 күн бұрын
Sisi wenye chama ndiyo tumemchagua tumeona anatufaa
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 20 күн бұрын
Umpiga mshono
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 20 күн бұрын
Mzeee wa Saccos
@kingmichael1234
@kingmichael1234 19 күн бұрын
Kweli kabisa
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 20 күн бұрын
Naona machawa ya mm kilemba mnatepeta kwa jinsi anavyo wakanyaga kwa taarifa yenu mbowe hatoki uenyekiti mbowe mitano tena ya uenyekiti chadema wala chadema msilogwe mkawasikiliza manyang'au na machawa wa chama cha majambazi
@user-dj7mw5rx5h
@user-dj7mw5rx5h 20 күн бұрын
Mh mmh huyu wakumuogopa kama ukoma maana huyu anataka kuchafua taifa
@ABBASIKANDULU-kl8zc
@ABBASIKANDULU-kl8zc 20 күн бұрын
Achaa ujinga kahaba wewe kuchafuwaa nnchi unajuwà ninii wewe tulia uzae
@georgesteven5185
@georgesteven5185 19 күн бұрын
Akili huna www pole sanan
@user-sg4vj4ky4y
@user-sg4vj4ky4y 19 күн бұрын
Sijui Kama yupo sahihi au anatafuta dona
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 18 күн бұрын
Magavana peleka boma ng'ombe huko ,,,waachie vijana wapambane utakuja kudondoka stejini umri imeenda huo
@annamnanka-qk1bx
@annamnanka-qk1bx 17 күн бұрын
Mbona wewe utakikuachia uwenyekiti ili wengine wachaguliwe acha porojo mabadiliko yaazie kwako kwanza
@user-ss6gy4yy8v
@user-ss6gy4yy8v 19 күн бұрын
Kweli kabisa mwamba
@abbiecox1
@abbiecox1 18 күн бұрын
muhim watanzania fanyeni kazi huyu keshashiba siku nyingi anatafuta kick! wewe umepoteza muda unaacha kazi unalala njaa ukitegemea siasa utaumia!
@user-yx5lv4pn4v
@user-yx5lv4pn4v 20 күн бұрын
Ukosawa
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 19 күн бұрын
Hapo kila mkoa utakua na uchumi wake
@albertvalentino130
@albertvalentino130 20 күн бұрын
Vyama viwili vya upinzani au vya siasa ---- chadema ni Chama cha upinzani,wakati ccm ni Chama tawala -- kosa hilo umekuwa ukilirudia Mara kwa Mara " rekebisha "
@josephbundala1475
@josephbundala1475 20 күн бұрын
Mnataka shari? Toka kwanza wewe kwenye uenyekiti wa milele ndipo na ccm uwaambie watoke.
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo 20 күн бұрын
Unataka akammiliki mama ako?
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 19 күн бұрын
Vijana waajiriwe
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 20 күн бұрын
Ningetamani vijana waweze kukusikilizz na kuondoa uchawa.
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 20 күн бұрын
Ata wewe jiulize mbona ataki kuachia kiti kama mstarabu
@phillipmasungwa7365
@phillipmasungwa7365 20 күн бұрын
SAFI SANA KAMANDA MBOWE TUPO PAMOJA.
@MichaelNgisirei
@MichaelNgisirei 20 күн бұрын
Tundu lissu hupo wapi?
@user-tb8zb4rv6h
@user-tb8zb4rv6h 20 күн бұрын
Hunampango
@StevenGendo-vx9jo
@StevenGendo-vx9jo 20 күн бұрын
Alishamla mama ako? Bas ni baba ako
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 20 күн бұрын
Kwahiyo CCM hakuna wanacho fanya ila kujaza matumbo yao tu.
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 20 күн бұрын
Yes nn wanafanya
@Jal210
@Jal210 20 күн бұрын
Hiyu muhuni tu
@hanujoseph8809
@hanujoseph8809 20 күн бұрын
Mhuni ww mwenyewe muone
@user-cu6ol4zb8e
@user-cu6ol4zb8e 20 күн бұрын
huna jipya wa huni tuu nyinyi
@user-bx3ko9ft5t
@user-bx3ko9ft5t 20 күн бұрын
Bora wahuni kuliko ccm
@godfreymkinga
@godfreymkinga 20 күн бұрын
Tena vihuni afu mboe una kasauti kazuri ukiigiza kama gashi
@LaurenceSanga-ft7ou
@LaurenceSanga-ft7ou 20 күн бұрын
Naomba mungu aendelee kuwa mwenyekit mpaka 2o3o
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 20 күн бұрын
User muhuni ni wewe, na humuelew🎉i mbowe
@kassidpandu866
@kassidpandu866 20 күн бұрын
subiri serikali yako ya ukoo uje ufanye hivyo
@JackKanyigo
@JackKanyigo 18 күн бұрын
Ukiwa mjinga na elimu ya std 7 au form 4 f au d;.huwezi kumwelewa Mbowe
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 17 күн бұрын
Critical thinkers hawaropoki na kubwabwaja UKimsikiliza kwa fikra za ndani yupo sahihi
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 20 күн бұрын
Katiba kweli ibadilishwe kila Raisi aliyefanya makosa na kuhaki serikali washtakiwe wote ndio wanagombania katiba isibadilishwe kutokana maovu wanayofanya ni mengi mbaya dhuluma wanayajua hayo
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi 20 күн бұрын
Wasiishie tu kushitakiwa,bali watahifishwe mali walizojilimbikizia bila kuzitolea jasho.
@StellaNjau-zd5kn
@StellaNjau-zd5kn 20 күн бұрын
Walimsema marehemu wakamchukia leo hao ndio walimsapoti mama je leo wanataka nini? Tusikubali kushawishiwa kumwaga damu wao wanatuchochea alafu wao wanaenda angani wanatushangaaa tutakapo uwana. Hiii yote na uchu wa madaraka usikibali kushawishika wapendwa jifunzeni kwa walibya leo hawana hata pa kulala yote hayo ni uchu wa madaraka. Tujiangalie tuache kushawishiwa ujinga.
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 20 күн бұрын
HATA MSIGWA ALIKUWA ANAONGEA HIV HIV SAS KIKUWAP LEO😢😢😢
@LameckZakaria-qg9vv
@LameckZakaria-qg9vv 20 күн бұрын
Siasa ni njaa ukiwekewa ugari unasahau
@michaelmshighati8432
@michaelmshighati8432 20 күн бұрын
Hongera sana Mwenyekiti
TUNDU LISSU AKIONGEA MBELE YA VIONGOZI WA BARAZA KUU LA CHADEMA
21:07
Chadema Media TV
Рет қаралды 78 М.
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 35 МЛН