Nitawashangaa sana Chadema kama hawafanyi zaidi katika kujiandaa na uchaguzi wakati wanapoandamana! Kwa maandamano wafanyayo wanazo fursa lukuki...Mikutano ya kuuza sera, kuongeza wanachama, kupanga safu za kugombea, kujulisha uovu uliopo na mapungufu yaliyopo katika utawala uliopo, kuelimisha na kubainisha mikakati ya namna ya kukabiliana na kuupiga vita utawala wa kiimla uliopo....n.k. Sidhani kama wapo kutembea tu mitaani! Nitawashangaa sana!
@masamakijames78372 ай бұрын
Nakushukru sana kwa kuwashtua,ila asilimia kubwa ya watz wako makiniwa sasa si kama enzi zile unagombea
Safi Santa Dr. Slaa nakuomba uwashirikishe kwa hayo mawazo Yako.
@elibarikimollel71492 ай бұрын
Wananchi Tukifikiri vizuri, tunaona wazi ccm hawana njia halali ya kushinda uchaguzi kihalali kwa kura za watu tuliopigwa na njaa na kila aina ya dhiki mpaka sasa,lakini watawanunua baadhi kwa fedha zetu wenyewe wanazokusanya kwaajili ya uchaguzi tu! Propaganda zipo nyingi mno hata Makonda kaokoka! ila watu tunalia,na tuna jambo letu, wasipotumia hila watasngukia pua tu!
@salummohamed26892 ай бұрын
Tulishasema huenda uchaguzi ukawa mgumu sana Kwa wapinzani kuliko 19/20. "Zubaeni kwenye maandamano mkiwa na polisi wao mkaacha mikakati ya mapambano kipindi cha chaguzi".