Watanzania tuachane na vyema vya siiasa tuungane kuonyesha hisia zetu maumivu makubwa maisha magumu
@laurentsechu423016 сағат бұрын
Kuna haja ya kuwa na chama cha kusaidia wanaokamatwa na kubambikiwa kesi za hovyo.
@margarethpolepole7438Күн бұрын
Jamani hayo ni mateso kwa watoto Mungu wangu kutu gani hiki
@foibennjeje7730Күн бұрын
Yaani jera ni ya maskini mafisadi hata mmoja husikii yupo jera.
@elibarikimollel7149Күн бұрын
Wanaharakati wetu tumewaelewa sana, Waalimu ni aina ya machawa waliokubaliana na hali ingawa fani yao,na wao wenyewe wanadhalilika katika jamii ya watanzania wanaojitambua lakini na TLS nao wamenunulika,ama kutishwa, wakatishika. Kipindi cha Hosea na Sungusia vimedhalilisha fani,chama,na mawakili wote katika sheria mbele ya jamii ya watanzania wanaojitambua!
@AlfredMwakabanaКүн бұрын
Sisi waafrika watawala wanapenda kutumia nguvu badala ya hekima namba moja hekima
@juliuskitaluka1206Күн бұрын
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
@RajabuLandaКүн бұрын
Hiyo imetokeya paka huku eti anakuja rais kumbe yanakuja mazombi Kama haya 😂😂😂😂 ma ccm
@user-vl4rz6lf6dКүн бұрын
Mbona wanaosema ni wakristo huo ni udini Tu umewajaa tuambieni bas huo ubaya wa mama hamsemi mama Mbaa mama upumbavu huo
@user-vl4rz6lf6dКүн бұрын
Huyu mchungaji wa Mbuzi labda hakuna kitu hapo ni ziro
@monicamwita7865Күн бұрын
Hakuna udini wowote hapo
@edsonkahesi86032 күн бұрын
Mimi naona kama ccm iko juu ya sheria za nchi hii au nyie mnaonaje wadau.. maana ndio wavunjaji wa sheria hizo ila hawaguswi wala kukemewa. Mara hongo ya pikipiki ila tume ya uchaguzi na takukuru wao wamevaa miwani ya mbao.
@edsonkahesi86032 күн бұрын
Tanzania ujinga umepandikizwa na ccm, kwasababu inatengeneza mazingira ya kutukuzwa ili kila mtu awe chini yao yani watu wawe wanajikosha kwao tu kwa kila jambo hali inayotengeneza hongo umaskini na kutokujiamini. Hiki chama kimeingilia karibia taasisi zote hata zile nyeti..na zenyewe ziko kimya hazijitetei. Akitokea wa kujisimamia na kufuata misingi ya sheria na taratibu za nchi, huyo mtu anaonekana mbaya kwa7bu anakuwa anaharibu maslahi ya wanaojiita wenye nchi. Kazi kununua magari & pikipiki za kuhonga vijana.
@husseindinongo47982 күн бұрын
we mzee unabana sauti.si ulipewa ubalozi na hukukataa.tuachie samia wetu
@user-lq8mi3zz2c2 күн бұрын
Wakili Mwabukusi Wanakuogopa lakini Mungu atakutetea Utashinda kwa Uwezo wa Mungu
@ezekielmabwai46142 күн бұрын
Ccm wanajuwa eananchi asilimia 85. Hawana ubavu wa kushindana na Chadema! Wanatumia mabavu tu. Watanzania hawawapendi KWA NINI MNALAZIMISHA? PUMBAVU!!
@desiderihugo57042 күн бұрын
Hawa walimu wamelogwa na nani ??? Kwani wao wanaishi nchi hii kweli ?? Wao hawaathiriki na haya maisha magumu?? Ee Mungu usyeahindwa sikiliza kilio chetu baba . Tumechoka janani .
@desiderihugo57042 күн бұрын
Magufuli alifaya huu mchezo huu mchafu pia
@othmarluwawilo83082 күн бұрын
Walimu wooote Tanzania, acheni ujinga wa kuwa viraka wa kutumikia ccm. Ccm inawabaka, na kuwanyi ma stahili zenu. Kwa ujinga wenu mmebaki kulamba matako ya ccm.
@user-zk9ox3di4b2 күн бұрын
asante sana baba Dr silaa saaita tukaze mikanda kupambana na serekali dhalimu iache mizengwe na watanzania wafanye nini tunataka yafuatayo mashamba yetu ARUShA yalichukuliwa na CCM wanaeuza nchi yetu kama mayai ya kisasa ni kinyume Cha Sheria atutapenda kichini chini Cha CCM wajipange tutawatoa mamlakani. mchana peupe nauliza kizazi kipya waamke kuitetea nchi yetu bila kumuogopa mtu yeyote tukifa ni. alali tutakubali kufa sababu nchi yetu ni yetu Kila raia ana. haki ya kusema bila kutishwa na polisi Wala jambazi la. serekali linaloitwa wasio julikana wako ndani ya serekali atutaki mabeberu ndani ya serekali ndio maana kunawauwaji je nauliza nikwanini tumezingirwa na maraisi madkteta chuma Kiko jikoni kinachemka na CCM wanajificha makanisani ili Wawa onge wachungaji watuubirie ujinga makanisani mwananchi zinduka usikubali kuhongwa kataa hongo ya Samia mbona tunaona ni ukoloni mambo Leo na Samia mkitazama pia ole sendeka alipigwa risasi na nani serekali mungu amlinde sana olesendeka pongezi kubwa kwa kazi nzuuri Kila siku na Kila wakati oja wananchi masikini wasumbuliwe mpaka hostali ya patandi wanchi awatibiwi waambiwa bima ya afya je nauliza kwanini tuuziwe vitambusho sisi watu arumeru ushahidi tunayo ARUShA wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika
@nikodemmwahangila33342 күн бұрын
Hii wanaweza wakenya chanjo ya corona iliwachanganya kichwa walishakua vichaa lakini wao bangi halali sisi hatuwezi uwana
@hildandumbalo5827Күн бұрын
Sawa Dr Slaa asante sana barikiwa
@AbdilahiMriri2 күн бұрын
Unakosea unaposema wa Tanzania ni waoga badala ya kuhijumlisha naww. Sema Mimi ndo muoga namba moja.
@salumuledi71432 күн бұрын
Mwenyezi mungu akulani kwa kuvuruga amani acha uaskofu uende kweye siasa acha kutupotosha sisi sio wajinga kamawewe
@knight67572 күн бұрын
U lice
@MbarakaHamza-op9dx2 күн бұрын
Kwani miaka ya 90 ww ulikuwa wapi?na ulifanya nn?acha porojo.
@maureenlilykiwia1515Күн бұрын
Wewe nawe bwana kha
@PaulSanga-m3p2 күн бұрын
😮ukiuwa kwa upanga naweutauawa kwa upanga
@victorrobert77972 күн бұрын
Tungekuwa na watumishi 10 kama huyu hapa Tz tungefika mbali
@gustavkimaro40653 күн бұрын
Mzee mnafiki sana huyu.. mbona uliopoteuliwa balozi hukua unasema haya? Au kwa sababu mrija ulikatwa.. Unazeeka vibaya mzee wangu. 😂😂😂
@gowekogoweko58033 күн бұрын
😅😅😅😅😅Eti pafumu 😂😂😂Nacheka kama mazuri vilee 😂😢😢😢😢
@davidmpiluka52243 күн бұрын
Siku ile hata mtoto wa darasa la kwanza alitambua kuwa wale Wabunge waliochangia hoja kwa kumshambulia Mpina walikuwa wamepangwa.
@shabanikimpinga67693 күн бұрын
Ngojeni.kije.chama.kingine.mtajuta
@leahmgunda41543 күн бұрын
Una maana gani? Ungekuwepo wakati Nyerere anadai uhuru ungeungana na wazungu.
@victorkisenha59333 күн бұрын
Baba ni kweli, wew endelea kuwaelewesha watu,
@richardhosea88273 күн бұрын
Acha hizo mbona ww ulikimbia si urudi tuandamane sote
@victorrobert77972 күн бұрын
Hata kama alikimbia ana haki ya kusema maovu ya nchi hii ,hata wewe ungekubali kuuwawa ,alifanya uamuzi mzuri kuamia USA.
@monicamwita7865Күн бұрын
Abaķ mmàlize kama wengine mliowaua
@kirimbakisalum19503 күн бұрын
Rev. I understand your motion.
@menyemusic3 күн бұрын
Kwanza mngehoji wenye viwanda kwa nini sukari ilipotea? na imekuwa ni kawaida inafichwa ili ipande . mbona hamuwatetei wananchi. Wacha zipindishwe tu ilimradi tunapata sukari
@abdalahgunda13193 күн бұрын
Watanzania wamechoka lakini tunaburuzwa tuu tuanenda kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bila tume huru kitu kitachofanyika kutoa baazi ya serekali za mitaa danganya toto lakini sio sulisho lazima hili watanzania waliangalie sana kwa makini ndio maana na muamini sana tundundulisu mwabukusi explanation tume. Huru kwanza hata km new costuetion ltachelewa tungelianziasha sasahivi ili Dunia kweke macho hapo
@allyfutto87633 күн бұрын
Lijamaa linakuwaga na ma'points, lakini linavyo chamba walengwa wana wananuna na kutoyafania kazi kwa wakati, asilimia 70 ya waTZ ukiwabwatiza wana hamaki japo si kwa kucharuka bali kubata pia kunasaidia na ujumbe unafika ki shari.
@ezrakaturitsaofficialtz78734 күн бұрын
Mhe Rais kumbuka hata hayati Magufuli alisifiwa mpaka kuitwa simba wa Yuda alikataa akasema mimi ni mwanadamu tu msinipigie magoti na wewe kuwa mkali wewe ni mwanadamu tu unahitaji msaada wa Mungu lakini ukiwa husikilizi ushauri wa viongozi wa dini itakugharimu kuwa mwenyenyekevu na usikie maonyo ya viongozi wa dini ukiwa kama chura kama unavyosema husikii neno la Mungu linasema pasipo mashauri nchi huangamia Mhe Rais this is your time to be serious and say your not an Example of GOD your just human being
@ezrakaturitsaofficialtz78734 күн бұрын
Kiongozi wa nchi ukiona unalaumiwa sana hakuna baraka hapo Mungu kumbuka Rehema na Mheshimiwa Rais Samia Jitokeze hadharani ukatae sifa ya kufananishwa na Mungu unayopewa na Nabii hiyo sifa usipoikataa itakugharimu na wewe umesema ni kama chura husikii saa endelea kusifiwa finally utakuja kuelewa kwamba hata herode Mungu alimpa hekima akasau kumrudishia Mungu utukufu akapigwa na chango Mhe Rais Samia wewe ni msikivu sasa jitokeze hadharani kwa ukali na ukatae kuitwa Mungu kiongozi wa nchi kusifiwa na watu kwamba ni mfano wa Mungu itakugharimu usipokemea hilo kuwa mkali kabisa ili hiyo hali ya kutukuzwa kama Mungu watu waache mara moja
@maureenlilykiwia1515Күн бұрын
Hivi vya kusifiwa havijaanza kwake vimeanza kwa aliyepita na hao wanasifia ni wanafiki duniani hakuna. Kila kitu utasikia mama amefanya mama ametupa mama hili mama lile sasa hapo Mungu huwa hakai kimya lazima aingilie kati kwa hili
@OdiloMagungu-uf5is4 күн бұрын
Ccm ni watu wabaya miaka yote
@saidisaidi45024 күн бұрын
Wewe ujielewi kwanza wacha ukafiri halafu ndio ulete huo😊 ujinga wako hakuna mtz muoga isipokuwa tunajielewa wewe umri wako ni wa nyerere Sasa ulifanyanini wakati nyerere anaitia nchi shimoni nyerere aliwanywesha uji wa njano na hukuchukua hiyo hatua ukuchukua watu walikufa wakati wa nyerere na ulikuwa kijana bona ukuvaa bomu kafiri wee
@gilbertmathias75944 күн бұрын
Wewe tunakujua sana mshenzi tu wa tabia ww unawambia waache woga wakati mwenyewe huko marekani mpumbavu mmoja tu.
@user-jc8el6je5e3 күн бұрын
Utakuwa ccm
@aaronswai30923 күн бұрын
Wewe hujitambui kama humuelewi Askofu Mpemba
@komangohill59572 күн бұрын
Alitoroka kama roketi akikwepa kifo. Hoja ya kifo naye ni muoga
@user-eo4bl3do8kКүн бұрын
Ndio maana hii nchi haiendelei kwa watu kama Hawa INZI,wa kijani karibu sisi kizazi cha sasa tutaingia barabarani kama KENYA
@HamzaHeri4 күн бұрын
MBONA WEWE ASKOFU UNAPANDISHA KIDOLE JUU HUKO SAWA MIMI NAJIULIZA SANA
@user-io6yj9fs2h4 күн бұрын
Wewe ndomchungaji wakweli wengine machawa tu uko sawa sana ujinga umezidi chii kitwima padri nawewe nimewaelewa sana
@fabianmainchanyangachika50174 күн бұрын
Wambie baba wameongeza Kodi tena
@albertinamichael61234 күн бұрын
Mbwa nyie Magufuli hakuuwa mtu yeyote hawa wanao teka watu ndio walio kuwa wanauwa watu ili kumchafuwa JPM.
@sylvestercameo62634 күн бұрын
Akili ikikutuma kuandikia mbwa comment ukiamini kwamba mbwa ana uwezo wa kusoma na kuelewa ulichokiandik basi jitafakari akili yako, yawezekana ulishatoka katika utu wala wewe si binadamu bali uko kwenye kundi hilo unalowasiliana nalo!
@StevenGendo-vx9jo4 күн бұрын
Mbwa ni ww na familia yako yote ni mijibwa
@knight67574 күн бұрын
😂
@MwanakomboNassor-bw3by4 күн бұрын
Mwema kwako nani kila Rais unamchamba wewe utakufa nacho kijiba cha roho
@ShuwarMdudu4 күн бұрын
We msenge hanisiiii
@StevenGendo-vx9jo4 күн бұрын
Anamfila mama ako na baba ako
@monicamwita7865Күн бұрын
Bamako na wewe. Toa hoja
@desiderihugo57044 күн бұрын
Ccm waondoke tumewachoka jamaniii Mungu baba tuhurumie tuokoe na watesaji hawa . Safari wataondoka.
@edsonnelson44644 күн бұрын
Mhh wataondoka!. Wakati sasa watu wengi ndiyo kwanza wanahamia CCM?
@mariamfaicalhassan28904 күн бұрын
@@edsonnelson4464yaani msigwa kuhamia ndiyo wanahamia wanaohamia wamepotea
@Vickypaulo-kr8kj4 күн бұрын
Tuombe tuu mungu atawatengua 🤕🤕🤕
@FrankMwakatundu-cu6bd3 күн бұрын
Kama kila mmoja wetu ataona anao wajibu wa kupiga Kura ya ya kuikataa CCM na kulinda kura zetu basi CCM asubuhi na mapema itang'oka na kamwe haitakaa isimame!!?
@healingclinic6983 күн бұрын
@@edsonnelson4464kuhamia kwa watu haibadilisha unyama ushenzi na ubaya wa CCM hata malaika wakihamia CCM haitabadilisha ukweli
@kashiririrkaasongwisye94874 күн бұрын
Mzee fumbua macho sikuizi wanaweka mtandao ila meter kumi tu kutoka office kuu ukitoka hapo hamna ni bando tu!
@muharamijuma15694 күн бұрын
ASK MPEMBA NI TAPERII MAMA TENA 2225
@petromgaya17463 күн бұрын
Iyo 2225 nadhani mtamchagua 🚮🚮🚮 chawa wa mama 😝
@MyahudiMgalilaya-vh6ss3 күн бұрын
Hata kuandika hujui unakazana na mama tena! Kilema wa hakili