Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha

  Рет қаралды 209,636

The Chanzo

The Chanzo

4 ай бұрын

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo kinaongoza maandamano ya amani jijini Arusha yakilenga kuishinikiza Serikali kutoipitisha miswada ya sheria za uchaguzi.
Mpaka sasa chama hicho cha upinzani nchini kimeweza kufanya maandamano ya amani katika majiji makubwa manne nchini yakijumuisha Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na sasa Arusha.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 382
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 4 ай бұрын
President republic of Tanzania TUNDU LISU 2025
@marlopharle9199
@marlopharle9199 4 ай бұрын
Msema kwel na mshauri mzur aisee Lissu mungu akutenze popote ulipo
@jumakilinja6341
@jumakilinja6341 4 ай бұрын
Hongera sana lisu kaka yangu
@mayalakatema2576
@mayalakatema2576 4 ай бұрын
Pamba inalimwa Mwanza Mongera Halafu Mongera yuko Arusha na ni mjumbe wa Bodi ya Pamba eti nini 😂😂😂😂😂😂😂
@user-td9rq5vl1v
@user-td9rq5vl1v 4 ай бұрын
😂😂😂
@erickabel6201
@erickabel6201 4 ай бұрын
😅😅😅
@fadhilikombe3338
@fadhilikombe3338 4 ай бұрын
Inaumiza sana mkuu, mimi nimekosa nguvu ya kucheka nimejisikia kulia.
@marakidtz9454
@marakidtz9454 4 ай бұрын
Upuuziii😂
@user-cw7xw9cu6m
@user-cw7xw9cu6m 4 ай бұрын
oyaaa humu asiyehusika na shoo ashuke napata hasira nikiona mtu anayemsema vbaya huyu dingii mungu akulinde sana oneday yes
@DulaMudi
@DulaMudi 7 күн бұрын
risu saruti uyu Mzee saruti jeshi Ra mtu m Moja Yani waungane mi naona awa mfikii uyu kiyumo ana mambo yakipeke yake AA ana wasanini rakini ao watu a saritu mwana tundurisu baba
@user-le7ek2zs4t
@user-le7ek2zs4t 4 ай бұрын
Mungu akutunze baba na akupe maisha marefu ili watanzania waendelee kuchota hazina ambayo Mungu ameweka ndani yako.
@BazilTemu
@BazilTemu 4 ай бұрын
5⁵⁵⁵5⁵55⁵⁵⁵5⁵5⁵⁵⁵⁵⁵t5⁵55⁵⁵⁵⁵5⁵⁵⁵5⁵⁵⁵5😢😢
@HappyBooks-dj6oy
@HappyBooks-dj6oy 4 ай бұрын
True story Dunia Nzima magari yatapita njia nyingine sio njia Moja na waandamanaji.Salute waeleweshe Hao wamelala
@talents7934
@talents7934 4 ай бұрын
Huyo jamaa aliyesimama nyuma ya bodgadi wa lissu aliyevaa kofia nyekundu kafanana na Magu atari😂😂
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 4 ай бұрын
Ebana kweli kabisa🙏
@viviandule8171
@viviandule8171 4 ай бұрын
Saa mbona unamwita mjinga ,lisu ipo cku watanzania wasipokuelewa cku ukifa watasema lisu alisema bora yeye,jitu kama huwezi toa maon kaa kimya kuliko kutukana
@emmanuelthomas554
@emmanuelthomas554 4 ай бұрын
Uko poa Sana. Mungu akupe afya njema
@Dik770
@Dik770 4 ай бұрын
❤❤❤ lisu pamoja
@user-bz6ck8tz2z
@user-bz6ck8tz2z 4 ай бұрын
Unatufungua sana tusiyejuwa maujingq ya watawala
@user-do5by8jl6g
@user-do5by8jl6g 4 ай бұрын
Shikamoo baba pokea mauwa yako bab🙏🙏🙏
@edwinrevocatus
@edwinrevocatus 4 ай бұрын
Nilikuwepo apo live ✌️✌️
@jofreyjohn6796
@jofreyjohn6796 4 ай бұрын
@user-bl3go5yr8u
@user-bl3go5yr8u 4 ай бұрын
Mama anapiga kazi sawa ila hoja zisikilizeni vizuri jamani msitubeze chadema
@MohamedMkota
@MohamedMkota 4 ай бұрын
😂😂😂 mapolisiiiií angalia wasikugeuke lisu hao
@siamollel9725
@siamollel9725 4 ай бұрын
Mbeba Maono afi hadi kusudinlitimie,walishindwa kumuuwa ,hawataweza tena ,Kwajina La Mungu alie hai
@MohamedMkota
@MohamedMkota 4 ай бұрын
@@siamollel9725 ameeeeniii
@leonardngulo8809
@leonardngulo8809 4 ай бұрын
Huyu ndiye wazembe wanamwita shoga ? Mungu amlinde sana tuendelee kuelimishwa
@thomasmollel9465
@thomasmollel9465 4 ай бұрын
Big up bro nakukubali sana maisha marefu na ubaki na uzalendo wako
@tuikezeezra1315
@tuikezeezra1315 4 ай бұрын
I wish Mzee Magu angekuwepo!!😂😂😂😂🤣😂
@belinabaya6977
@belinabaya6977 4 ай бұрын
Big up nakuelewa sana Uchongewe sanamu
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 4 ай бұрын
Hongeren. Makamanda wetu mnatusemea tuko pamoja
@YonahMalaki-xx4pf
@YonahMalaki-xx4pf 4 ай бұрын
Mungu akulinde mh tundu lissu
@user-rr7kj2sb7s
@user-rr7kj2sb7s 4 ай бұрын
tupo pamoja tutaandamana mpaka kieleweke
@user-uy2ot2so9l
@user-uy2ot2so9l 4 ай бұрын
Chuma hiki unaweza ukakosea ukakiita Mungu.
@siamollel9725
@siamollel9725 4 ай бұрын
ukweli sisi huku chini tunaosota ndotunajua mengi,jengeni mazingira ya kupokea kero zetu mziseme majukwaani
@user-le7ek2zs4t
@user-le7ek2zs4t 4 ай бұрын
Mungu akubariki akupe maisha marefu ni rais wa wanainchi. Watawala na machawa hawawezi kukupenda kaza boot kesho ya watanzania iko karibu.
@danielmalale2615
@danielmalale2615 3 ай бұрын
Fact tunu ya mungu KwA watanzania mungu akulinde
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 4 ай бұрын
Hivi anayempinga huyu anaakili sawa sawa!!
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 4 ай бұрын
Hata mm nitashangaa
@user-rn9og1rk3l
@user-rn9og1rk3l 4 ай бұрын
Ukiona mtu ana mpinga lissu na hayupo kwenye system jua hana akili timamu.
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 4 ай бұрын
Pamoja sana.
@michaelnsangallo7967
@michaelnsangallo7967 4 ай бұрын
Ķ,ìl
@user-lx7ez3rq4c
@user-lx7ez3rq4c 4 ай бұрын
Wewe ni noma san
@DulaMudi
@DulaMudi 7 күн бұрын
aaa baba mungu akurinde baba sisi badi tupu pamoja na wewe baba karibu kirwa baba tume kumisi baba
@monicamwita7865
@monicamwita7865 4 ай бұрын
Nimekuelewa lisu. Asante kwa kutoka somo
@user-de8ly6ck8x
@user-de8ly6ck8x 4 ай бұрын
Nimekuelewa mkuu ❤
@ngamugamahonzelosanga3316
@ngamugamahonzelosanga3316 4 ай бұрын
Kwa kweli leo Tundu Lisu nimekuelewa na umeleweka vizuri hotuba yako imetufungua na kuelewa mambo mengine ambayo binafsi nilikuwa siyajui hongera sana kwa hotuba nzuri hakika tunaliwa na watu wachache pambana wananchi tupo pamoja nanyi watatuelewa 2025
@evaemil856
@evaemil856 4 ай бұрын
Camera man, umetisha. Good job.
@user-pz2kp2ej5e
@user-pz2kp2ej5e 4 ай бұрын
Bro asante
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 4 ай бұрын
Wee jiulize tu,angalia magari ya kubebea wagonjwa mengi yamechoka sana,ukilinganisha na magari viongozi wa ccm na serikali 😢😢
@illomowerner7690
@illomowerner7690 4 ай бұрын
Hoja ya msingi
@user-nd8mc6mz1s
@user-nd8mc6mz1s 4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@MakarangaJohn-wi7yk
@MakarangaJohn-wi7yk 3 ай бұрын
Pamoja sana
@user-xk1bx2gp6e
@user-xk1bx2gp6e 4 ай бұрын
Mzee Mungu akupe maisha marefu siku moja jua litachomoza magarib na kuzama mashariki ipo siku
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 4 ай бұрын
Burund madereva wakigoma mishahara matajiri wakaongeza.wabongo walipo karibu kugoma wakasaini kazinmadereva wengine siku ile ile mda ule ule.tumuumgeni mko tu mama dah
@user-dq5xt8ed7w
@user-dq5xt8ed7w 4 ай бұрын
Mwl.kasema watu wa gome kuulipa kodi sii kufanya kaz erewaniiii masege sent
@JohnBunzali-ni2zq
@JohnBunzali-ni2zq 3 ай бұрын
Mungu amlinde sana huyu bwana
@devisshirima6780
@devisshirima6780 4 ай бұрын
Dah !! Mmiliki wa saa ndiye atakuambia muda !! 😂😂😂
@illomowerner7690
@illomowerner7690 4 ай бұрын
.. daaa
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 4 ай бұрын
Hao miungu wa kuchonga mungu wa kweli anawaona! Na malipo ni hapahapa duniani....!!!! Wacha watuulie familia zetu za kwao zinawiri...
@frenktarimo4703
@frenktarimo4703 4 ай бұрын
Good
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 4 ай бұрын
Uhusiano wakatiba nikipata viongozi Bora sio Bora viongoz
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 4 ай бұрын
Upuuzi kabisa,Tena haswaaaaa Peeople 💪💪💪
@user-lt8oj3ui4q
@user-lt8oj3ui4q 4 ай бұрын
My mentor i wish i met you in anyway corner of this world 🌍🌍🌍
@user-ig5yn4zp2u
@user-ig5yn4zp2u 4 ай бұрын
Na kukubali sana kaka achane vibaka hao
@alittlemoretime
@alittlemoretime 2 ай бұрын
Mimi nimekuelewa kiongozi
@user-ru1st2yc9z
@user-ru1st2yc9z 4 ай бұрын
❤chadema hoyee ungea baba polisi wa arusha malaya hao watolewe wote wsekeza wasomi
@user-zh1py1fz1l
@user-zh1py1fz1l 4 ай бұрын
Mungu atulinde tunatabika sana maisha yamekuwa magumu sana
@SamweliLekibenge
@SamweliLekibenge 4 ай бұрын
Usifananishe mwandam na Mungu
@gangan4618
@gangan4618 4 ай бұрын
Kenge we WA kijani, tunazungumzia katiba mbovu inayompa rais wa nchi hii kuchukua nafasi ya Mungu kama sio mungu.
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 4 ай бұрын
Tunashukuru mzee kwa kuwa mtetezi wa haki
@SebastianSteven-pt8kh
@SebastianSteven-pt8kh 2 ай бұрын
Lisu ongera Sana broo mungu akulinde sana
@eltonbosha2141
@eltonbosha2141 4 ай бұрын
Huyu anafaa kuidimamia hii nchi maana Jana upuuzi na anaonekana ana uchungu na wananchi Barikiwa sana
@miriamamiri641
@miriamamiri641 4 ай бұрын
Ni kweli babaa
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 4 ай бұрын
MAJIZI,MANAFKI,MACCM HAYO..
@jofreyjohn6796
@jofreyjohn6796 4 ай бұрын
mungu tusaidie tupate rais kama huyu
@issaowden4400
@issaowden4400 4 ай бұрын
Huyu ndio mtume sasa😂😂😂
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 4 ай бұрын
Sio wamasai tu sehem nyingi wamenyang'anya maeneo yalikuwa yakuchungia yote wamegawana mtusaidie kutusemea sahiz hakuna hata maeneo yakuchungia mifugo
@Athumanirasuli
@Athumanirasuli Ай бұрын
Ramadhani Issa sawaya fundi
@salomemahenge7935
@salomemahenge7935 4 ай бұрын
namkubari sana uyu mwamba
@RoiamajoFashion
@RoiamajoFashion 2 ай бұрын
Baba lisu ubarikiwe... Kwa kutufungua macho ila kazana upite nchi nzima mpaka vijiji usichoke WEWE NI MKOMBOZI WETU.,.
@jossporahmsw8420
@jossporahmsw8420 4 ай бұрын
Nakubali sana mwanaharakat,
@clemencemarcelli3365
@clemencemarcelli3365 4 ай бұрын
Lisu tunakuelewa sana ndiyo maana Mungu kakuokoa kwenye jaribio ulilopitia
@ChachaMariba
@ChachaMariba 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 4 ай бұрын
Lisu ❤
@user-le7ek2zs4t
@user-le7ek2zs4t 4 ай бұрын
You're a lion of Africa
@clemencemarcelli3365
@clemencemarcelli3365 4 ай бұрын
Katiba mpya sasa hii iliyopo inatengeneza miungu watu
@RamaNinga-jv2xw
@RamaNinga-jv2xw 3 ай бұрын
Hakika kila kitu kina mwisho hakika mungu anawaona walichokifanya na wanalopanga kukifanya na kuendelea kuonea watu.
@abelmghana2843
@abelmghana2843 4 ай бұрын
Mungu akulide sana lisu hakupe siku nyingi zakutosho Amina
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 4 ай бұрын
Lisu you are a hero of Tz and Africa against Dictors of Tz, who serves their own greediness.
@user-sj9ob8vb3s
@user-sj9ob8vb3s 4 ай бұрын
good
@NyokaaWise
@NyokaaWise 4 ай бұрын
What kind of 🚨 😁😁😁
@sudiomari5881
@sudiomari5881 4 ай бұрын
Safi sana endeleeni kutuletea taalifa mzurmzuri km hizi zachadema
@SALOMECHARLES-pv6up
@SALOMECHARLES-pv6up 3 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@OckendenMkandawire
@OckendenMkandawire 4 ай бұрын
Now I get why Lowasa was denied to be the head of State 😮 my God
@theobartkingamkono5087
@theobartkingamkono5087 4 ай бұрын
Shida police wanadanganywa na macc et hayo mandamano ni maigizo ila mm nahisi ipo siku jeshi litakuja kuingia balabalani kutuliza hasila za watanzania wanao vuja damu kisa kudharauliwa na watawala
@michaelboniface7003
@michaelboniface7003 4 ай бұрын
Peoples power
@rosebaran4994
@rosebaran4994 2 ай бұрын
Taarif ya habari ya tareh 3 usiku
@user-le7ek2zs4t
@user-le7ek2zs4t 4 ай бұрын
Nimekubali wewe ni mtetezi wa wanyonge
@WmareteMarete
@WmareteMarete 4 ай бұрын
Mheshimiwa! Kwanini umenyoa na kuonekana Kama vijana wahuni???? Unatupa mambo mazuri sana ya maendeleo yetu! Onesha basi uadilifu katika mwonekano wako
@StellaMakata
@StellaMakata 2 күн бұрын
Sema mwamba wetu
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 2 ай бұрын
Safi
@salimabdul4424
@salimabdul4424 4 ай бұрын
Huyu jamaa geneous sana basi tu chama ndo kinamuangusha..
@winifridarugayana7312
@winifridarugayana7312 4 ай бұрын
Chama kizuri ni kipi
@salimabdul4424
@salimabdul4424 4 ай бұрын
@@winifridarugayana7312 nccr mageuzi
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 ай бұрын
HATUTAKI HISTORIA.
@monicamwita7865
@monicamwita7865 4 ай бұрын
Hutaki wewe sisi tu nataka. Tumia sindano ikuingie.
@antonyelias866
@antonyelias866 4 ай бұрын
Ongea baba
@user-ee4sf5hi6g
@user-ee4sf5hi6g 4 ай бұрын
Most of the rulling part in Africa do silence opposition parties in many ways
@MnyamaTolu-kd5ct
@MnyamaTolu-kd5ct 2 ай бұрын
Umebarikiwa baba IKULU inakuhusu
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 ай бұрын
INAWEZEKANA POLISI HAWANA TELEVISION ZA KUONA MAMBO YA DUNIA NZIMA .PENGINE NI STESHENI INAONA ZANZIBAR NA BARA
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 4 ай бұрын
✌️✌️✌️✌️💪❤
@zhaozlyoung
@zhaozlyoung 4 ай бұрын
Mm nakukubali mpaka kufaa kamanda lissu
@user-ny4zx8bx2v
@user-ny4zx8bx2v 4 ай бұрын
Superdoll alipewa Kagera sugar na Mtibwa
@othumanomari1589
@othumanomari1589 4 ай бұрын
Puuzi typing 😂😂😂😂😂
@user-rp9iq6dd8w
@user-rp9iq6dd8w 3 ай бұрын
wanatumiza sana wanainchi kumbe ndivyo wanavyo tutesa waraniwe namungu kama nikweri
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 ай бұрын
Hapo hawajapewa sh elf5 tano wala Tshirt wala hawakapelekewa magari kuwasomba wala hawakushinikizwa kutokana na ajira na shughuli zao.wamekuja kwa moyo mweupe kiasi wanaoumia wale wa mbogamboga wanajifanya kuwapangia kazi ati hawanakazi ndio maana wanaandamana
@user-pw4bc7sr5y
@user-pw4bc7sr5y 4 ай бұрын
Ikulu ya Rais Mama Samia mkiwa na tatizo au shida ndio mnamuita RAIS SAMIA
@lekunatimoreto35
@lekunatimoreto35 4 ай бұрын
Sawa sawa sisi tulisumiwa Sana na serikali yetu na tunaonewa sisi wahanga wa nchi ya Tanzania na bado tunaonewa na serikali yetu Asante Sana
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 60 МЛН
TUNDU LISSU AMSHIKA KOO RAIS SAMIA KWA KUHONGA PIKIPIKI NCHI NZIMA
5:55
Chadema Media TV
Рет қаралды 21 М.
Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
7:20
Top Stories Tanzania
Рет қаралды 3,1 МЛН
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН