CHADRACK BOKA NI FUNDI BALAA TAZAMA ALICHOFANYA LEO KWENYE MAZOEZI YA YANGA NA GUU LAKE LA KUSHOTO
Пікірлер: 8
@Kabeya41017 күн бұрын
Baka hajafika na hiyo jezi namba 2 kavaa Aziz Andambwile mrefu, Boka mrefu, yaani tumeongeza urefu pia, kipa mrefu, Nondo mrefu
@marcobulili434118 күн бұрын
Kweli Ibrahim baba simuoni
@thadeylyimo977217 күн бұрын
Aucho, baka, Aziz, Diarra bado hawajafika
@beatbyrich289115 күн бұрын
Lomalisa anatatizo gani? hata huyu ataachwa vibaya,.. wanasema kila mtz anaweza kuwa simba au yanga, mimi ni Arsenal.. jifunzeni kuacha wachezaji vizuri.
@denimpemba16 күн бұрын
Kajifungia ndani mpaka leo hajatoka alipo skia chama yanga
@josephgalandu12817 күн бұрын
jamani nauliza yulealiyesema chama akienda yanga atakufa,vipikeshafika kuzimu
@zakiakondo284917 күн бұрын
Dah 😂😂😂
@AllyMasangaluka-bm5ib17 күн бұрын
Uyondio bola wajinga walimfaya wakati lnjinia kashafanyayake kenge ao