No video

Chagua Vita Ya Kupigana - Joel Nanauka

  Рет қаралды 29,549

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 107
@josephmwamba2249
@josephmwamba2249 5 жыл бұрын
Asante sana brother kama unamkubaligi mkaka uyu gonga likes.......
@lupolamkomwa8478
@lupolamkomwa8478 4 жыл бұрын
Ahsante kaka yangu. Hakika tangu nimeanza kukufuatilia, ninapata uwepesi ktk kichwa changu. Na kwakweli, wewe umekuwa ni muongozo mzuri kwangu. Nakuelewa sana kiukweli. Mungu akubariki kwa kazi yako.
@veromkami3831
@veromkami3831 3 жыл бұрын
Yani kaka yangu kuna watu wamekamatwa ufahamu hapa napo ishi ni shida Kila iitwapo leo wananioiga vita hatari, mwisho napoteza mda, pesa, thamani, kupitia wewe cwezi fanya makosa tena nashukuru much respect brooo
@annemuhati1802
@annemuhati1802 5 жыл бұрын
asante sana kaka somo nzuri sana Mimi ni shawahi kuwa na vita na mdogo ju alitaka kuuza shamba ni kamkanya asiuze shamba ikawa chuki na vita Kali sana uyo kaka akatangaza hali ya hatari lazima ataniua ju namzuia kuuza shamba nilikachini ni kaafikiria ikiwa nitakufa ju ya shamba ni wanangu wataumia ju uyo kaka hawezi saidia nilifanya maamuzi ya kuacha na mambo ya shamba kabisa nikapata job Saudi Arabia niko na amani na iyo shamba ikauzwa sikuhusika hata kidogo napenda sana channels zako na watch nikiwa Saudi Arabia lakini Mimi ni mkenya napenda channels za Tanzania zote ubarikiwe sana bro
@abdoulkarenzo3138
@abdoulkarenzo3138 4 жыл бұрын
nime kutana na vita kubwa na vitahiyo ningeamua kuipambana kabisa ningeshinda lakini ataningeshi baada yahapo ningekua mtu masikini saana kabisa na ingekua vigumu kufikia malengo yangu sasa moyowangu unasema eti pambana na iyi vita akilizangu zinanambia ukipigana iyi vita na ukashinda unaenda pabaya sasa nika tizama iyi video njo ikanichochea vizuri nikaacha ku pigana iyi vita Asante J Nanauka Mwenyezimungu akupe mwisho mwema
@alihassanhaiba6937
@alihassanhaiba6937 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Joel hakika mungu amekubariki ,tangu nianze kufatilia vipindi vyako najiona nabadilika napata elimu kwa kweli .honhera
@marangujoy9313
@marangujoy9313 5 жыл бұрын
Hizi vita zote kwa kweli tunapatana nazo kila kukicha. jambo la maana ni vile umeweza kufafanua na namna ya kuzipigana. asante sana MWALIMUNANAUKA Maneno ya kinywa chako yanaridhisha mno.
@mgallason...5686
@mgallason...5686 5 жыл бұрын
thanks mwalimu,hakika umeongeza mafuta katika kupuuzia baadhi ya vita. binafsi nakumbana na vita nyingi mno katika maisha na hazina tija nimejifunza zaidi kunyamaza na hii ni dawa tosha kabisa.
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 жыл бұрын
safi sana Nanauka J namshukuru MUNGU kwa ajili yako Joel, pia nimejua kuwa vita ni ya BWANA MUNGU
@rahemahrahemah2719
@rahemahrahemah2719 5 жыл бұрын
Vita ya Kwanza ilinikumba Sana maeneo ya kzn kwangu mpaka nilitamani kuacha kazi , Ila nilipokuja kugundua sio kila vita nishike bunduki zingine nikupotezea Tu, mpaka sasaiv namshukuru MUNGU mpaka sasaiv sina stress nazidi kusonga mbele , nakushukuru Sana teacher Joel Allah bless you 🙏
@manaseelias2351
@manaseelias2351 3 жыл бұрын
Yaani asante, , nimejifunza kitu
@marthazakayo9787
@marthazakayo9787 5 жыл бұрын
Nimetokea kukuelewa sana
@barakaelectronicsbpt1549
@barakaelectronicsbpt1549 Жыл бұрын
Tupo Pamoja Asante SANA
@matokeomdende7030
@matokeomdende7030 5 жыл бұрын
Barikiwa,sana mtunisha kufundisha jamii.
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 3 жыл бұрын
Safi sana
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 5 жыл бұрын
Asanteee sana kaka naomba kuuliza..mimi mtu nkishamuona kabisa hanifai kwenye maisha yangu huwa naamua kuachana nae completely ikiwa amenitenda vibaya huwa siwezi hata kumuuliza kwa nini alifanya hivyo zaid namtoa kabisa katika mfumo wa maisha yangu..hivi hii ni tabia njema kweli???
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 5 жыл бұрын
Nishakutana na Vita ya Kwanza,ilinipotezea miezi 5 bureee ila kwa upande wa hela ilikua inatakiwa nitumie sana pesa na walioianzisha wananichochea nitumie Pesa kuimaliza nikagoma kutoa Pesa zaidi.Na walijua lazima nitumie Pesa nyingi mpk nimalize ,Niliposhtuka lengo lao ,niliiacha ile vita kwa sababu kila nilipoiangalia ile Vita haina mwisho naweza kutumia pesa zote na nisiipatie muafaka,nikashukuru Mungu imetokea huenda ilipangwa itokee basi nikaiacha japo bado inaniumiza akili Miaka 6 sasa . Mpaka leo tumechuniana japo ni ndugu na naendelea kuua undugu kama walivyoanza wao.
@dodokindamba
@dodokindamba 5 жыл бұрын
Siku hizi sauti inakuwa chini sana
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 5 жыл бұрын
Nilivyotoka kwenye Vita ya kwanza nikakutana na vita ya pili Daaahh!!! Af mbaya zaidi mm wananiletea vita ndugu ,wanaanzisha kitu af ukijibu wakiona sijafika kwenye jibu walilotaka wanasambaza Wanachua jibu langu wanalikuza vibaya af wanalisambaza familia zote 😁😁😁😁Hadi kwa MAMA,wanasahau yule hawezi kunisaliti coz ananijua vyema zaidi yao. Maisha bhana
@ndarojuma5128
@ndarojuma5128 5 жыл бұрын
Elimu nzuri Sana ktika jamii yetu ukiususha mazingira na maisha yetu kiujumla. God bless u
@omarkhalfan8048
@omarkhalfan8048 3 жыл бұрын
Big up wew no moja coach menter Wang mm nipo Zanzibar nakufuatilia sana kupitia KZbin only naitaji niongee naww
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 жыл бұрын
Ukweli sana hakuja sababu yakupigana vita yakipuuzi Mfano kunamtu anakufuata nakuanza kusema mwingine vibaya hapo ukichangia tu anakwenda kwayule mtu nakusema kwamba wewe ndio umemsema vibaya. Ahsante sana Bro
@msengisimoni2087
@msengisimoni2087 5 жыл бұрын
kweli kabisa anakusemesha neno la kejeli ili tu wanajamii wakudharau,nimekuelewa mwalimu
@msengisimoni2087
@msengisimoni2087 5 жыл бұрын
pole sana kaka lakini hiyo vita mbeleni haina umuhimu kwako utapoteza muda kaka
@juliethfrank6626
@juliethfrank6626 3 жыл бұрын
Aisee so motivated
@florahgodifrey5312
@florahgodifrey5312 Жыл бұрын
Thank you brother umenisusa sana
@seifzongo320
@seifzongo320 5 жыл бұрын
Si kila vita n yakupigana ....naona unasema mm moja kwa moja Mwenyez mungu akubariki sn
@FrolaJoram-eg1ng
@FrolaJoram-eg1ng Жыл бұрын
Asante kaka Kwa ujumbe mzuri
@josephlukumaya4223
@josephlukumaya4223 Жыл бұрын
Mm nimekutan nazo zote ijapokuwa tena ni ndugu wa karibu na kuzaliwa nao
@richardvalson9868
@richardvalson9868 5 жыл бұрын
Nimekuelewa sana ßrother #NANAUKA🤙🤙
@joelharris5293
@joelharris5293 3 жыл бұрын
god bless u bro
@khadijaamour7654
@khadijaamour7654 4 жыл бұрын
Awo ni mahasidi tu, 2020
@abdoulkarenzo3138
@abdoulkarenzo3138 4 жыл бұрын
kabisa ayo yamenikuta lakini sikupigana
@jenipherwenslaus9596
@jenipherwenslaus9596 5 жыл бұрын
Am proud of you bro.... Kila siku najifunza kitu kipya kwako.... Vita ya kwanza ndio ambayo napigana nayo zaidi ktk maisha yangu.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ameee🙏🏻🙏🏻
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Yaani hili somo la leo karibia vita vyote vinanipitia yaani ili tuu mtu akuone mbaya kisha akuone huna maendeleo na wakikuona unamaendeleo wanakufanyia vita bila kujua ila muhimu kukalibiana navyo Ahsante sana brother somo zuri nimejifunza vitu vingi hapa👏👏barikiwa sana brother
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Kweli kabisa watu wasio na faida bora kuwa epuka
@zuhuraabdillah6941
@zuhuraabdillah6941 5 жыл бұрын
provokers nimekutana nayo few weeks ago. the place where i have been working. i decided to quit a job istead of lose my energy there. thank you for sharing
@prosperlelo7768
@prosperlelo7768 5 жыл бұрын
LIVE LONG BROTHER NANAUKA JOEL.
@msangodiesel3204
@msangodiesel3204 5 жыл бұрын
Nimeputia maguu nakufwatilia nimejifunza mengi hadi wanaona aibu wanikutata vilevile
@eliasayasini1466
@eliasayasini1466 5 жыл бұрын
shukran mkuu
@ramosmpemba3749
@ramosmpemba3749 4 жыл бұрын
dahh bro kiukweli napenda kupigana vita zote kwa hili nimejifunza vingi bless up 🙏
@asiaally4076
@asiaally4076 5 жыл бұрын
Yaani ulichofundisha.kimenipamwanga.vita hiyo hasa Vita ya majeruhi imeniweka Mahali pabaya mno
@awamkhalid5361
@awamkhalid5361 5 жыл бұрын
Moj ya vita nayoendelea kukabiliana nayo n vita kati yangu na wezi wa rasimali muda ambapo kwa sas hatuwez kuonan bila miadi ya apointment
@omarabdallah7577
@omarabdallah7577 5 жыл бұрын
This is so inspired bro Joel, much love from +254.
@pendojeremiah9111
@pendojeremiah9111 3 жыл бұрын
Me nimekutana nao live daaah kwann sikuuona hii video mapema
@kanezajoella6663
@kanezajoella6663 Жыл бұрын
Aaante sana nilisha pitia hiyo vita na hadi sasa napigana namtu wa aina 4 ila kupitiya hi video ninayo inaona kwa sasa inanibadirishia maamuzi nilikuwa nimeshika kwa sababu ya kazi mtu ninae tumikanae yani hizo 4 ulizo zitaja ndivyo alivyo ila kesho nazani nita badiri mtazamo
@ablysonco8850
@ablysonco8850 5 жыл бұрын
Daaah! Its Veeeerrrrryyyy Fantastic Points...Respect broo...
@mariamuswedy8899
@mariamuswedy8899 5 жыл бұрын
Thanx broo unanipa mwanga
@wisdomofbooks6905
@wisdomofbooks6905 5 жыл бұрын
Hakuna barabara iliyonyooka kwenye maisha.Tupigane vita yenye manufaa kwetu.Thank you for inspiration
@ngaboraymond260
@ngaboraymond260 5 жыл бұрын
Rwanda tunakufwatilia sana Big up N
@godfreyjoseph5967
@godfreyjoseph5967 5 жыл бұрын
JoelNanauka mungu akuzidishie brz, thanks kwa time yko kutukumbush v2 mhm..
@mwanaheriomary7333
@mwanaheriomary7333 5 жыл бұрын
Daah asnt sana broo
@berthsunshine3936
@berthsunshine3936 5 жыл бұрын
Umenibadilisha sana kama unakitabu nijulishe
@winnyshayo8812
@winnyshayo8812 5 жыл бұрын
Barikiwa kaka Joel.
@josephmagaluda5240
@josephmagaluda5240 5 жыл бұрын
Good
@furahayabwana6127
@furahayabwana6127 5 жыл бұрын
Asante sana DR. JOEL 💯
@muhamedali6063
@muhamedali6063 5 жыл бұрын
Imeniumiza moyo hii video yaani Joel ni Kama unanidadavulia mapito yangu ddah! Yaani imenisisimua hasira ile mbaya
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 5 жыл бұрын
Pole ndg
@noelawily5380
@noelawily5380 5 жыл бұрын
tnks be blesed
@noelawily5380
@noelawily5380 5 жыл бұрын
tnks be blesed
@lauchungulau9255
@lauchungulau9255 5 жыл бұрын
Kweli bisa teacher nimeekuelewa vita vya kupigana ni vita vya maendekeo yakimaisha sio vita vya kupigana na watu vita vina rudisha watu wengi nyuma kimaisha kimaendeleo
@giftsam8458
@giftsam8458 5 жыл бұрын
Asante sana broo mungu akubariki nimepata njia ya kuepuka vitayoyote itakayoo kuja ya mikakati
@mussasaimon2012
@mussasaimon2012 5 жыл бұрын
Umenipa kitu kipyakabisa japo nimewahi pambana bila kujua
@swabriissa2034
@swabriissa2034 5 жыл бұрын
Shukran kwa kutuelemisha brother nakubaliyana nawe yote uliyosema yapo
@tatuyussuf7574
@tatuyussuf7574 5 жыл бұрын
Watu wanaotaka kukupotezea rasilimali ulizonazo...hii vita kwa upande wangu ndio inayonisumbua...imefika pahala najikuta..nashindwa kupiga hatua..sabb ya wao...plz nishaur...niweze...kuondokana nalo hili...
@abelbenedicto5392
@abelbenedicto5392 5 жыл бұрын
Sina Neno Zaidi ya Ahsante Brother🤝
@rhinakiza
@rhinakiza 5 жыл бұрын
Amen baba ubarikiwe nikweli basisa unacho kiongea
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 жыл бұрын
Asant sana mwalimu Joel Nanauka
@wilsonnkumba2104
@wilsonnkumba2104 5 жыл бұрын
Safi sanaa, nimeipenda.
@carrencatherine2018
@carrencatherine2018 5 жыл бұрын
Exostives ni wengi,asante kwa kunfanya nwatambue zaid,
@jonathanvalentine9188
@jonathanvalentine9188 5 жыл бұрын
Reasonable bro, sema kuna watu wengine wanakuja n'a mashambulizi ambayo yanaonyesha négative impacts moja kwa moja , Sasa watu Kama hao utaaachaje kuanzisha vita nao???
@emanuelkinyamagoha7185
@emanuelkinyamagoha7185 6 ай бұрын
@tabithaerastoshukrani.90
@tabithaerastoshukrani.90 4 жыл бұрын
Naam, Sawasa👊
@zacqtv9855
@zacqtv9855 5 жыл бұрын
Asante sana MUNGU akubaliki
@mwajumamwishehe2743
@mwajumamwishehe2743 5 жыл бұрын
Asante kakangu nimejifuza
@joelmasingisa2227
@joelmasingisa2227 5 жыл бұрын
Asante sana Sir. This is my personal growth
@msleny6767
@msleny6767 5 жыл бұрын
Sina budi kusema Asante kwa upload hii, ni muhimu sana kwa yeyote yule anayetaka kujua jinsi ya kujitegemea tena kutimiza malengo yake👏👍
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Nashukuru sanaa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@jacksonchimomo554
@jacksonchimomo554 5 жыл бұрын
imekaa vizur Sana
@bahatiaamani9320
@bahatiaamani9320 5 жыл бұрын
Thanks so much Sir,Iyo nikweli kabisa katika maisha ya mwanadamu inatokea sana zaidi
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 жыл бұрын
morning Nanauka.
@jumakilindi6732
@jumakilindi6732 5 жыл бұрын
Somo zuri ahsante
@doreendinamica3473
@doreendinamica3473 5 жыл бұрын
Well said...kaka Joel now you may start to produce DVDs series from these topics
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Ahsante sana kwa ushauri🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@bashirndyanabo8398
@bashirndyanabo8398 5 жыл бұрын
nikweli ndugu ulivyoongea umenigusa sana
@augustinomwamasinga2200
@augustinomwamasinga2200 5 жыл бұрын
Two points in blue are very strong
@elisawildlife5358
@elisawildlife5358 5 жыл бұрын
Nice life coach. Huwa ninakuelewa saana.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Karibu sanaaaa🙏🏻🙏🏻
@wilsonayubu8612
@wilsonayubu8612 5 жыл бұрын
Kaka Joel vitabu navipataje simu napiga hazipokelewi
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 жыл бұрын
Asante sana
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 5 жыл бұрын
Sounds good
@zainabomar5512
@zainabomar5512 5 жыл бұрын
Asante sana kaka
@modillamohamed5570
@modillamohamed5570 4 жыл бұрын
Nitakupata vipi kwa whatsapp
@godwinmondpltnmrweyemamu560
@godwinmondpltnmrweyemamu560 5 жыл бұрын
kaka kwann Ayo mambo usiandike kitabu
@jacksonimwasoni2520
@jacksonimwasoni2520 5 жыл бұрын
Great.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
😘
@danielsimeon9556
@danielsimeon9556 4 жыл бұрын
brother kunakitu nataka unisaidie watu wengi weminishika akili kwamba kila ninachotaka kufanya wanatambua hususa eneo langu lakazi mawazo mengi yanajitokeza yakwangu ntawezaje kujua saikolojia yamtu ilimridi mawazo yangu yasionekane....
@charlzzesonconsciousness6685
@charlzzesonconsciousness6685 5 жыл бұрын
Blessed
@boniphacemgolozi9417
@boniphacemgolozi9417 5 жыл бұрын
Asante!!
@johnluhwa8342
@johnluhwa8342 5 жыл бұрын
Bro unasema kwel kabsaa,unatujenga sana
@egonkasiano7822
@egonkasiano7822 5 жыл бұрын
Shukran
@eliasayubu1787
@eliasayubu1787 5 жыл бұрын
Thankx kwa kututia nguvuu....
@eliezermtokoma2057
@eliezermtokoma2057 5 жыл бұрын
asante
@cecyjohn1357
@cecyjohn1357 3 жыл бұрын
Mfano umetengenezewa kesi unafanyaje?
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 5 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@lusajovilindila8680
@lusajovilindila8680 5 жыл бұрын
Asante sana
Chuja Maneno Kabla Ya Kuongea (Tripple Filter Test) - Joel Nanauka
8:56
LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI  - JOEL NANAUKA
14:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 17 М.
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 3,8 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 36 МЛН
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
00:31
МишАня
Рет қаралды 3,4 МЛН
Ishinde “Victim Mentality” - Joel Nanauka
9:02
Joel Nanauka
Рет қаралды 17 М.
BAADA YA KUFELI - JOEL NANAUKA
7:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 20 М.
Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi
22:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
AINA YA WATU WANAOTAFUTWA NA WAAJIRI
9:56
The HR Tanzania
Рет қаралды 3,1 М.
Joel Nanauka:Kwanini unachelewa kupata unachokitaka?
7:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 80 М.
TAMBUA MAJIRA MUHIMU KWENYE MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA
10:18
Joel Nanauka
Рет қаралды 6 М.
ZITAMBUE KANUNI ZA KUPIGANA VITA | ASKOFU GWAJIMA
7:13
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 16 М.
Kutawala Hisia Zako - Joel Nanauka
11:03
Joel Nanauka
Рет қаралды 59 М.
Pastor Tony Kapola:Namna kupigana vita vya kiroho
2:10
Pastor Tony Kapola
Рет қаралды 23 М.
Ufanye Nini Unapokataliwa Na Watu? Joel  Nanauka
9:39
Joel Nanauka
Рет қаралды 32 М.
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 27 МЛН