LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 16,047

Joel Nanauka

Joel Nanauka

4 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 105
@Srene0225
@Srene0225 4 ай бұрын
Mambo ya kuzingatia kabla ya kusema ndio;- 1. Tambua thamani yako 2. Usiseme ndio kwa kinywa chako mahali ambapo moyo wako unasema hapana 3. Usikimbizane na rika(peer pressure),nenda kwa speed yako mwenyewe,usifanye haraka 4. Usiruhusu hisia zako ziharibu maisha yako NB:'Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima'
@lestutamdota715
@lestutamdota715 4 ай бұрын
Ni kweli kabisa .Baada ya kuachwa na mtu nilikuwa nampenda nilipoteza mwelekeo kabisa wa maisha sikuwa natumaini tena. Nashukuru mungu nilibahatika kupata ebook yako ya Jinsi ya kupona na maumivu ya kuhisi ulikuwa mwanzo wa kubadilisha mtanzamo . Yalikuwa si maumivu ya kimapenzi tu nilikuwa namaumivu ya toka utotoni maisha niliyoyaishi lakini pia maumivu ya kunyanyaswa kazini . Shukrani sana 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Hongera sana kwa kufanikiwa kusimama tena🙏
@aminajuma1156
@aminajuma1156 4 ай бұрын
Hicho kitabu kinapatikana wapi
@eliastanda9825
@eliastanda9825 4 ай бұрын
Mimi ni muhanga wa mapenzi nilipata maumivu ya moyo mpk yakatokea kabisa physically Yan nyama za juu ya moyo zilikua zinauma sana ni kama moyo ulikua umejaa ni maumivu yasiyoelezeka nikaenda hospitali ila bado nikawa na maumivu hayo ila nilitafuta tafuta video za Joël nilikuta video moja inasema usinganganie mtu anayetaka kuondoka maisha mwako ilinitia sana moyo na kuinuka na maumivu yapo ila so kama mwanzo na pia nilinunua e book nikawa Bize na kujisomea saiv nashukuru Mungu sana nimebalikiwa maisha yanaenda so kama mwanzo ila yanaenda kwa namna yake ya kipekee nafurahia uwepo wangu apa duniani ushauli wangu kwako bro usiache hii kitu unaokoa watu wengi sana❤❤❤❤
@elishamwalongo3010
@elishamwalongo3010 4 ай бұрын
@@joelnanauka ''????'
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 4 ай бұрын
Kama huna Imani na Mungu usiingie kabisa kwenye mapenzi ni hatari mno 😢
@aminajuma1156
@aminajuma1156 4 ай бұрын
Kabisa unaweza kufa imenikuta😢
@timothykengere2535
@timothykengere2535 3 ай бұрын
Ukweli 💯 Mtupu haya mapenzi ndio yameleta vita Duniani hata mahali tunafanya kazi,ukichunguza unapata hata chuki vitina watu wanakufsnyia hata kazini unapata chanzo ni, mapenzi true chain..........................
@fedrickmwinuka1656
@fedrickmwinuka1656 4 ай бұрын
Selection ya mpenzi kwenye maisha ya Binadamu yanasehem kubwa san
@user-ts4jr7ok1e
@user-ts4jr7ok1e 4 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa uishi miaka mingi sanaa
@user-fu5wi1ez7e
@user-fu5wi1ez7e 3 ай бұрын
Ahsante sana kaka sikutarajia kama nitakuja kupata haya mafunzo kwa sababu sitaki maumivu niliyoyapataga mpaka ikafikia uamuzi nikataka nishindwe kufanya mtihani wangu wa mwisho😢😢😭😭
@davielubuyih-yh7sx
@davielubuyih-yh7sx 3 ай бұрын
Pole sana
@gloriatoya72
@gloriatoya72 4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili
@VickyKijazi
@VickyKijazi 3 ай бұрын
Kweli moyo ni mdanganyifu, Mungu atusaidie nguvu za kuulinda. Barikiwa mwalm Mungu akutunze tuendelee kupona!
@user-lj4pz4pv8o
@user-lj4pz4pv8o 3 ай бұрын
Muungu akubariki sana mkuu wangu mungu akupe nguvu zaidi
@KasimBadi
@KasimBadi 4 ай бұрын
Thank you brother JOEL
@LakinaneMuna
@LakinaneMuna 3 ай бұрын
Ahsante sana Brother Joel hakika nimejifunza mengi kutoka kwako
@carolinekalume934
@carolinekalume934 4 ай бұрын
Jamani nilikuwa nasubiri hii episode kwa hamu! Asante Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Hongera naaamini umejifunza
@DevothaJohnMagessa
@DevothaJohnMagessa 3 ай бұрын
Asante sana kaka nimejifunza sana juu somo hili,yaan umegusa maisha yangu ninayopitia kwa kipindi hiki..ubarikiwe sana
@KelendoLaizer-yf8jy
@KelendoLaizer-yf8jy 4 ай бұрын
Asante kwa somo ubarikiwe
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 3 ай бұрын
Mr..top...haki ... doze yako...iko.. .sawa .... asante sana
@user-qv3eo5pb3g
@user-qv3eo5pb3g 4 ай бұрын
Shukran joel ❤❤❤
@tarsisiamwalongo6819
@tarsisiamwalongo6819 4 ай бұрын
Ubarikiwe mno mtumishi ,japo hapo kwenye kumshirikisha mtu ni nje na mzazi au hata mzazi tu anatosha mshirikisha
@isacksolomon5309
@isacksolomon5309 4 ай бұрын
Asante sana mwlm.
@naomitheobald125
@naomitheobald125 4 ай бұрын
Be blessed brother J.nanauka
@edommdende4309
@edommdende4309 4 ай бұрын
❤️🙏
@fawziyahassan5714
@fawziyahassan5714 3 ай бұрын
Asante sana Kaka JOEL
@EMMANUELJOELLUHERA-lh6um
@EMMANUELJOELLUHERA-lh6um 4 ай бұрын
Ubarikiwe san
@alexlucas1571
@alexlucas1571 3 ай бұрын
Daaah episode hii nzuri sana
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 4 ай бұрын
Hayaa ni zaidi ya maarifa
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mwalimu.penzi nikitu kinacho kufanya uinuke ama uanghamiye amaubaki kiwete
@kuruthumukondo7149
@kuruthumukondo7149 4 ай бұрын
Shukrani kaka ❤❤
@user-td8zl2jd7r
@user-td8zl2jd7r 4 ай бұрын
Ahsante kwa somo
@vanessasalema6087
@vanessasalema6087 4 ай бұрын
Noted.
@Tonga994
@Tonga994 2 ай бұрын
Ahsante kwa Elimu hii kaka
@user-bi7hz1mu7p
@user-bi7hz1mu7p 4 ай бұрын
Thanks bro.. your biggest fan froma fb salma said.❤
@peacennko2003
@peacennko2003 4 ай бұрын
Nondo hizi ✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 4 ай бұрын
Somo🙌🔥👏🏆
@user-zf1sp9ez4v
@user-zf1sp9ez4v 4 ай бұрын
Expensive pain bro😢 shukran kaka we from far😢😢😢😢
@rosadamassawe8019
@rosadamassawe8019 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka Joel, hakuna kitu naogopa kama kusema ndio nikiwa sina uhakika. Yesu aendelee kukutunza.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Amen Rosada, ni kweli inahitaji muda🙏
@eliasmugume254
@eliasmugume254 4 ай бұрын
Mungu awabariki Sana tena Sana
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen Ameen
@niriacatering172
@niriacatering172 3 ай бұрын
Asante sana
@user-ds2em7or1w
@user-ds2em7or1w 4 ай бұрын
Asante kaka
@user-sp1ig8ul2s
@user-sp1ig8ul2s 4 ай бұрын
Nanauka kwenye line
@Elishanabagingisemvayle-ob4cm
@Elishanabagingisemvayle-ob4cm Ай бұрын
Ubarikiwe Sana daima, ningeli penda sana nipata kuzungumza nawe kwenye WhatsApp kama itakupendeza lakini.
@user-er2if3dl9d
@user-er2if3dl9d 3 ай бұрын
Kweriii aise mapenzi hayana utani kabsa usisemee kwamba natembea naye tu basi baadaye inaweza kuktuse kabsa yan,,
@saidalhabsi9257
@saidalhabsi9257 4 ай бұрын
😢😢😢 umeniponya Asante sana kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Nashukuru kwa Mrejesho 🙏
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 4 ай бұрын
Mungu akubariki my Brother❤
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameeen
@user-ms3gw9if4h
@user-ms3gw9if4h 3 ай бұрын
Mungu akutunze na baraka zake ziwe juu yako Milele Amina
@johnwangubo3342
@johnwangubo3342 4 ай бұрын
Asante sana kaka joel nimejifunza kitu
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Karibu tuendelee kujifunza🙏
@rebeccakisale
@rebeccakisale 4 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 4 ай бұрын
AHSANTE
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 4 ай бұрын
Amna kitu kigumu kama kupata mwenza sahihi kuishi ndoto zako na kupata rafiki sahihi
@user-bq7ym3tv1h
@user-bq7ym3tv1h 4 ай бұрын
Napitia wakati mgumu kwenye ndoa ya miezi mitano tu najuta kusema ndiyo kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Pole sana, tafuta ushauri mapema. Unaweza kuongea na msimamizi wako au kiongozi wako wa imani kwa kuanzia
@user-bq7ym3tv1h
@user-bq7ym3tv1h 4 ай бұрын
@@joelnanauka ahsante kaka
@user-dy6mx4yc6y
@user-dy6mx4yc6y 4 ай бұрын
Sijatoka bure Shukran sana sana kaka Joel Allah akubariki
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Nashukuru sana sana
@ZubedaVicent
@ZubedaVicent 3 ай бұрын
​@@joelnanaukaMm cna amani na mmewangu ambae tumezaa nae tumefunga ndoa lakin nimeishi nae bila amani mwaka1 uliopita je mm nifanyeje pastor
@LeahLuhwavi-pd6cz
@LeahLuhwavi-pd6cz 4 ай бұрын
Ubarikiwe Sana ujumbe huu ni mzuri Sana.🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Nashukuru sana tuendelee kujifunza
@ZubedaVicent
@ZubedaVicent 3 ай бұрын
​@jpoelnanauka please help me
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 4 ай бұрын
All in all Don't allow your emotion to destroy your life 😂😂😂
@everose276
@everose276 4 ай бұрын
Kaka sisi tuliokwisha ingia sasa na kifungo cha ndoa ndio balaa sasa jinsi ya kutoka 😊
@abdulfatahjuma3105
@abdulfatahjuma3105 4 ай бұрын
More blessing
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Ameenn
@jkifutu7936
@jkifutu7936 4 ай бұрын
Absolutely 💯 💯 💯
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 4 ай бұрын
Mimi mwenyewe tangu nilipokubali napitia mateso na nimepoteza thamani na kukata tamaa kabisa
@godlistenmangowi9328
@godlistenmangowi9328 4 ай бұрын
Usikwahi kukata tamaaa!amka ufurahie tena,Wafilipi 4:4
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 4 ай бұрын
Pole asee NAMI pia napitia IRA tusonge mbele
@janetmbwana553
@janetmbwana553 4 ай бұрын
Pole sana lkn bado unayo nafasi
@FrancisTossy-zy2tu
@FrancisTossy-zy2tu 3 ай бұрын
Pole sana
@user-fo8pd3cx9h
@user-fo8pd3cx9h 3 ай бұрын
Umetisha sana asante.ukweli mtupu. 4:01
@Yonzomc01
@Yonzomc01 4 ай бұрын
Hasante sana kaka nimejifunza kitu ambacho skuwai kujua.
@ahz6907
@ahz6907 4 ай бұрын
Hongera....Kila siku tunajifunza.😊
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Shukrani sana, tuendelee kujifunza🙏
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 4 ай бұрын
Niliwahi kupenda mtu mpk tukapata mtoto ila hakuwahi kunijali wala kunithamini kwenye maisha yake ila mtoto akafanyika baraka na kunifungulia milango mingi sana ila mpk sasa naogopa kupenda, nimeshamsahau nalea mtoto wangu hayupo kwenye akili moyo wala maisha yangu ila sijawahi kupenda tena wala kuingia kwenye mahusiano, Ee Mungu nisaidie nipate mtu sahihi atakayenipenda Mimi na mwanangu kama nitakavyompenda yeye
@samwelimwanja4105
@samwelimwanja4105 4 ай бұрын
Pole sana betric
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 3 ай бұрын
Nan wa kukupenda wew na mwanao?
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 3 ай бұрын
@@priscusaugust7251 atakayenipenda dear na sio lazima sababu nimeshamchagua mwanangu kama chaguo la kwanza hivyo hata asipopatikana Haina tatizo ndugu
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 3 ай бұрын
@@samwelimwanja4105 ahsante ndugu
@FilbertHabashi-zn1qu
@FilbertHabashi-zn1qu 3 ай бұрын
​@@priscusaugust7251 Priscus August, ongeza sauti kidgo. Kiukwel kwa maisha ya sasa hakuna mtu wa kumpenda mtu na mwanae, na isitoshe mtoto atakuwa hyo kuna siku atamfata babake, so ni ngumu upate mwananume wa kuwapenda ivo. Kikubwa mtoto akifikia wakat wa kuish na baba, itakuwa rahis utafute mwanaume wa kukupenda wwe.
@righitkileo
@righitkileo 3 ай бұрын
❤❤Joel Nanauka.❤❤❤Nakupenda sana❤unajua kufundisha❤Aisee Munqu akupe muda mrefu hapa dunian❤❤❤❤❤❤❤
@nasha_59
@nasha_59 4 ай бұрын
Asant sna kwa darasan hil naomb uwek namna yakupony maumiv ya muda mref plz tlishafany makos tnatak kupiny mioyo yet ili tusj tkafany tna makos
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 4 ай бұрын
Kaka Joel sikuiz husem chochote kwenye komenti,,hulaik why?
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Najitahidi ila kuna wakati nashindwa mambo yanakuwa mengi
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 4 ай бұрын
Ila kuhusu mapenzi dah! anyway ninaujasili wa kusema mzizi wa mapenzi kwangu uling'oka tangu nikiwa na 36year mpaka sasa namshukuru Mungu nina 46 cjawahi fikili kutamani tena kitu mapenzi au mahusiano ,nimegundua kitu mapenzi bora ni wewe mwenyewe kujipenda na kujikubali ,nilisoma kwenye biblia nafikili wimbo ulio bora imeandikwa kabisa usiyachokoze mapenzi mpaka yatakapoamua yenyewe.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 ай бұрын
Uko na copy za vitabu kwa lugha ya Kiingereza?
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 4 ай бұрын
Kaka Joel barikiwa zaidi, mimi maumivu ya mapenzi yalinipa changamoto ilifika kipindi nilitamani kujiua,ila kwasasa nimepona ninapambania maisha yangu,nanimeamua kujipenda mapenzi kwa sasa hayana nafasi bado natafuta naamini ipo siku nitapata mwanaume sahihi
@user-ql5vl1rf4l
@user-ql5vl1rf4l 4 ай бұрын
Pole sana dear
@FrancisTossy-zy2tu
@FrancisTossy-zy2tu 3 ай бұрын
Nakuombbea upate alie sahihi
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 4 ай бұрын
Boss kuna namba umetoa napiga hupokei hata msg sijajua tatizo nini
@joelnanauka
@joelnanauka 4 ай бұрын
Karibu sana 0756-094875/ 0762 31 21 71 / 0745 25 26 70
@paulmayombe4336
@paulmayombe4336 3 ай бұрын
Mapenzi ni kama gemu flani iv jmn mtu akishajua umemp3nda ndo anaanza kukufanya anavotaka
@FrancisTossy-zy2tu
@FrancisTossy-zy2tu 3 ай бұрын
Acha tu aise
LIFE WISDOM : KABLA YA KUMPATIA MTU MOYO WAKO - JOEL NANAUKA
15:27
SABABU ZA WANAWAKE KUTOKUWA WAAMINIFU KWENYE NDOA | Deo Sukambi
26:01
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 117 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 32 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 100 МЛН
LIFE WISDOM : MAJIRA YA KUTENGANA NA WATU - JOEL NANAUKA
15:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO   JOEL NANAUKA EPISODE 03
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 7 М.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: KAMA UNATAKA KUFANIKIWA DUNIANI, KUOMBA PEKE YAKE HAITOSHI.
9:11
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 121 М.
LIFE WISDOM : AINA 6 ZA UTAJIRI - JOEL NANAUKA
18:01
Joel Nanauka
Рет қаралды 13 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 50 М.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 22 М.
KATIKA NDOA MWANAMKE NDIO MTUNZA HAZINA  MCH  RICHARD HANAJA
7:06
Ebenezer TV Mikocheni B Assemblies of God
Рет қаралды 215 М.
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 117 МЛН