Chakula cha MAAJABU, Sinia LAKI NA NUSU, hubebwa na watu wawili kwa uzito wake, hii sasa ni balaa!

  Рет қаралды 34,954

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

2 жыл бұрын

Пікірлер: 188
@vero57
@vero57 2 жыл бұрын
Wanawake tunaweza sanaa!! Hongera sana dada 👌👊😋😋😋🔥👏👏🍺🍺
@bakariomari8758
@bakariomari8758 2 жыл бұрын
Nikija dar hapa lazima nafika inshallah. Hongera Dada, kwa idea nzuri
@magrethmanintveld5477
@magrethmanintveld5477 2 жыл бұрын
Karibu
@venantrugabela6798
@venantrugabela6798 2 жыл бұрын
Ushauri mdogo tu Kwa kuwa kuna wakati umbali wa kupeleka chakula ni zaidi ya mita 5, ni vyema chakula kikafunikwa ili kulinda afya ya wateja. Miti inaweza kuzalisha wadudu, maua, mbegu au kinyesi cha ndege vikadondokea chakula
@babamarry6350
@babamarry6350 2 жыл бұрын
Kweli kabisa hata mimi nimeliona
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 2 жыл бұрын
Upo makini sana 👏🏾👏🏾👏🏾
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 жыл бұрын
Safiiiii
@hassshoban8206
@hassshoban8206 2 жыл бұрын
Kimoto huhitaji kufunika
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Ila Dar kuna chakula kizuri kwa kweli 👏👏yani hatari
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 2 жыл бұрын
Even Arusha bwana
@zawadirafael5921
@zawadirafael5921 2 жыл бұрын
@@georgemhalla8853 umenena
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 жыл бұрын
@@georgemhalla8853 huko mtatushinda kwa nyama labda,ila nimecheka
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 2 жыл бұрын
MashaAllaah chakula kizuri kinavutia hila jinsi wanavyo kipeleka kwa watu sio kwenye mazingira mazuri kabisa
@Mimy_keys
@Mimy_keys 2 жыл бұрын
Chakula kingi mno kwa gharama hiyo 🤔 Mambo ni moto 👌 Mama weka meza zile za kupeleka chakala, Wadada watavunjika viuno hivyo 🤭
@Lassana755
@Lassana755 2 жыл бұрын
Kwa kweli Na hao walaji hicho hawakimalizi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
😂😂
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 жыл бұрын
Good idea really👏
@samerjunior2158
@samerjunior2158 2 жыл бұрын
Pengine nipicha tuu hujaona wazi
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
HAHAA
@aminamodi8927
@aminamodi8927 2 жыл бұрын
NAOMBA CHAKULA KIKIWA CHATOKA JIKONO KWENDA KWA MLAKI KIFUNIKWE HII MI.KWA AKILI YA VUMBI NA NNZI HONGERA SSASANA DADA YANGU
@khalfanjuma7678
@khalfanjuma7678 2 жыл бұрын
Na iyo minywele pia wafunike
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 жыл бұрын
Safi sana Dada msomi umeniispire sanaaa. Kujiajiri raha
@mariamumuniss1338
@mariamumuniss1338 2 жыл бұрын
Nice pia mtangazaji anajua kuhoji🥰🥰
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 2 жыл бұрын
Good combination one day i will visit the place
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 2 жыл бұрын
Wanawake tunaweza sana 💪imenoga hiyo 😋
@jpkkakudji9402
@jpkkakudji9402 2 жыл бұрын
Naomba naba uyo dada esko ww mtu noma sana king wangu 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
@thuvakonde2584
@thuvakonde2584 2 жыл бұрын
In sha Allah nikija vacation apo ntapeleka familia yngu waji enjoy laki n nusu sio pesa kwa furaha kwa mke wngu n watoto wngu In sha Allah @Mombasa 🇰🇪
@sharifasharif3978
@sharifasharif3978 2 жыл бұрын
Hiii inaitwa kula kujigalagaza, hapa panamfaa bb levo mpen mtu combo ale🤣🤣🤣🤣🤣
@assya48
@assya48 2 жыл бұрын
ushauri jaribu kuweka na smalla plate kwa familia hasa kwa zile zinakuja na watoto hawawezi fikia vyakula vingine sahani ni kibwa
@vibetz9991
@vibetz9991 2 жыл бұрын
Spatii picha ,Combo inapelekwa kwa njemba moja tu ,mezani, amekaa anaisubilia
@fesalchambuso8023
@fesalchambuso8023 2 жыл бұрын
Hahahahahaha 🤣🤣
@Myright888
@Myright888 2 жыл бұрын
Hahaha
@mozasalum9715
@mozasalum9715 2 жыл бұрын
Hongera sister I love your idea
@sabrinamustafa8554
@sabrinamustafa8554 2 жыл бұрын
Umenenepa Esco MashaAllah
@hono1232
@hono1232 2 жыл бұрын
Nunua vitoroli vidogo vys kusukumia chakula.hakikisha kufunika na karatasi nyeupe za nailoni,pia hakikisha wahudumu wanavaa muda wote kitcheni gloves.hapo utakuwa umevunja record bora kabisa na mapishi bora kabisa
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 жыл бұрын
Yeah kitchen gloves na vitambaa kichwani
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
Umemaliza mwambaaa
@Yunus_Hassani
@Yunus_Hassani 2 жыл бұрын
Kazi nzuri na mikoani mna tuna😂😂😂
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 жыл бұрын
INGEFAA WEDDING HII NA COME THIS YEAR KUFANYA HARUSI YANGU BUT I'M A KENYAN I WISH IKO POWA SANA
@aysheraden7718
@aysheraden7718 2 жыл бұрын
Mbona Kenya mombasa wanafanya sana hii na hasa walioanzisha hii ni waturuki inaitwa platter ukinunua hilo sahani ina kila kitu sema wao sio sinia ni sahani ya gae kubwa
@emmamombo7149
@emmamombo7149 2 жыл бұрын
Kweli mombasa iko hii wapi hebu niambie mm home ni mombasa hebu niambie ni wapi inapatikana nikiwa home inshallah twende na familly
@assya48
@assya48 2 жыл бұрын
nice ushauri jaribu kutumia plastik rap kufunika chakula from kitchen to mtaja inaonesha ni masafa marefu chakula chaweza kuchafuka nzi wadudu vumbi from upepo
@giztony2009
@giztony2009 2 жыл бұрын
Perfect combo!??!!!
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 жыл бұрын
DADA ENDELEA KUWA MBUNIFU SASA TENGENEZA KI GARI CHA KUSUKUMA NA IKIWEZEKANA BUNI NSMNA GANI CHAKULA KITAKAA NA MOTO MUDA WOTE
@rosejoseph9378
@rosejoseph9378 2 жыл бұрын
Hongera dada kazi nzuri
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
Mashaallah 🔥👌
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 2 жыл бұрын
Wow 😋😋I can’t wait 😋
@saudazigaba2424
@saudazigaba2424 2 жыл бұрын
Hongera sana
@zenajustus5731
@zenajustus5731 2 жыл бұрын
Hongera dada .
@janeschurmanns7364
@janeschurmanns7364 2 жыл бұрын
Aise nikija Dar nitatafuta hiki kijiwe du watu wana maarifa jamani du hongera sana
@hassansalumu210
@hassansalumu210 2 жыл бұрын
Nikipata parkege yangu ugali nitautupa😆😆 ,hizo zarau
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
HAHAAA
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
😅😅😅😅ww kubakisha vigum kwan unaenda Gym aiseee
@yasintawalyuba2444
@yasintawalyuba2444 2 жыл бұрын
Nice work sister
@aikakeenja3993
@aikakeenja3993 2 жыл бұрын
Kifunikwe kinatoka umbali mrefu kumfikia mlaji
@azzaalmaamry5817
@azzaalmaamry5817 2 жыл бұрын
Hongera Dada
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 2 жыл бұрын
Sinia sio siri limeniita kwa jina langu kabisa 😋😋😋😋😋😋
@fatnafaraj7545
@fatnafaraj7545 2 жыл бұрын
Hahahaaaa unanidai so kwa kicheko hiki
@priscaprisca2569
@priscaprisca2569 2 жыл бұрын
Nikija tz nitaleta family yangu wajienjoy na kombo meal 😋
@nilansaid2927
@nilansaid2927 2 жыл бұрын
Watanzania ni harworkers na smart sana hasa umkute msomi
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 жыл бұрын
Dada umevutia watu hadi nchi za nje wanataka kuja, nimeona kwenye mitandao watu mbalimbali toka mataifa ya nje wakiulizia
@emmamombo7149
@emmamombo7149 2 жыл бұрын
Na kwambia mm wakwanza naangalia hiyo combo nikiwa Germany
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 жыл бұрын
@@emmamombo7149 😅😅
@emmamombo7149
@emmamombo7149 2 жыл бұрын
@@isaachayes9783 nimeona mtu ameandika hapo kwa comments pia mombasa kenya iko inshallah nitakitafuta mate mdomoni
@nuraydasworld4431
@nuraydasworld4431 2 жыл бұрын
mm nataka from 🇺🇸
@Myright888
@Myright888 2 жыл бұрын
Mi mwenyewe nipo Germany na nimeshaipangia likizo nikale nirudi niendelee na kazi 😀😀😀
@Sppah697
@Sppah697 2 жыл бұрын
Kuwe an special Trolley Basi ya kubeba hicho chakula!
@lulually5209
@lulually5209 2 жыл бұрын
Duuuh msosi wa kufa ngedere laki na nusu halali mpk mate yamenitoka
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
😅😅😅😅
@rahjah5882
@rahjah5882 2 жыл бұрын
Creative na bei ni rahisi sana
@Myright888
@Myright888 2 жыл бұрын
Mi mwenyewe nipo hapa Germany nishaandaa likizo nijekula kombo tu kwa kweli lol!
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
Ukujee ni baalaa tuliwah kwenda aiseee
@annakattoa7502
@annakattoa7502 2 жыл бұрын
Number ya simu tuweke order jamani....
@fatumadumba5009
@fatumadumba5009 2 жыл бұрын
Mbona hiyo combo alianza miaka mingi,mi nilikuta uganda inaitwa lusinia ni hatariii
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 2 жыл бұрын
Ukajifanya kusema kama mzungu mara unajisifu unasema malreee sema tu matamshi yako unajichoresha ovyoooo kabisa
@donardmsomi8451
@donardmsomi8451 2 жыл бұрын
Mko vizuri... But muwe mnafunika chakula
@rahamrahma6259
@rahamrahma6259 2 жыл бұрын
Hongera dada kwa ubunifu
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 жыл бұрын
Hiyo sehemu km naiona segerea mwisho nikipata time InshaAllah nitakuja
@honorataharold947
@honorataharold947 2 жыл бұрын
perfect combo; but napenda kutoa ushauri kwa kua kutoka jikoni mpaka kwa wateja kuna umbali na wanabeba kwa mikono ungejaribu kutafuta namna ya kukibeba labda kutumia troll kuepuka kujikwaa, mikono kuteleza, kuungua , na kadharika
@yasintawalyuba2444
@yasintawalyuba2444 2 жыл бұрын
Dada chakula muwe mnafunika kwa kutumia foil ya chakula
@ladyt1471
@ladyt1471 2 жыл бұрын
Hongera sana mamii naomba utuwekee namba za simu ili tuweze kufanya booking mapema for Christmas
@zuweinaally2413
@zuweinaally2413 2 жыл бұрын
FUNIKA CHAKULA UKIWAPELEKEA WATEJA..NA MATAYARIDHO MEZANI YAWE TAYARI ...
@genovevatarimo3982
@genovevatarimo3982 2 жыл бұрын
Watu wanakula jaman😉😉
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 жыл бұрын
DADA USIPATE TABU KUFUNIKA TUMIA KAWA KUBWA AMBAYO UTATUMIA KWA MDA MREFU NA NZURI PIA
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 2 жыл бұрын
Sasa wakidondoka na hilo sinia hata sitawaelewa
@ndayishimiyecynthia5256
@ndayishimiyecynthia5256 2 жыл бұрын
Siku nikienda Tz lazima nifike hapo na marafiki zangu nimependa
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
Nipitie ndg ukanipe offers 😂🙏🏻
@ndayishimiyecynthia5256
@ndayishimiyecynthia5256 2 жыл бұрын
Tena na bia zipo nisehemu nzuri sana ntakuja siku moja
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 жыл бұрын
Haaaaaaa unawaza bia
@nuriathmickdard6521
@nuriathmickdard6521 2 жыл бұрын
Kiwe kinafunikwa kwa usafi na usalama
@omarykitololi447
@omarykitololi447 2 жыл бұрын
Yani hiyo ndo maana haris ya kutumia elim yako kuwa created na kutoa ajira kwa watu wengine, sio umesoma unakaa tuu nyumban hunasubil kuajiwa mtu kama huyo asijiite Masomi, congratulation sister....
@queenlinda255
@queenlinda255 2 жыл бұрын
Namba ya simu
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 жыл бұрын
Waafrika kwa kula, 🤣 kudadadeki
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 2 жыл бұрын
Hahaha ni shida
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
Acha tuleeeee
@Myright888
@Myright888 2 жыл бұрын
Saaafi Sanaa
@Sppah697
@Sppah697 2 жыл бұрын
MazingiRa jamani na siyo mazingiLa!😏😳🙄
@aminachingwalu2850
@aminachingwalu2850 2 жыл бұрын
Hio sahan ni atar
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
😊😊ubunifu
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 жыл бұрын
Namba ya simu tunaomba
@asmhatanzania8697
@asmhatanzania8697 2 жыл бұрын
Chakula kizuri ila kiko wazi wafanyakazi hawajavaa gloves pia😋
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 2 жыл бұрын
kiw. mnakifunika maan
@Lassana755
@Lassana755 2 жыл бұрын
Sasa hawa ata robo hawamalizi iyo ki2
@comedyclips4274
@comedyclips4274 2 жыл бұрын
💙💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎇🔥
@evelynekoseko2275
@evelynekoseko2275 2 жыл бұрын
Mimi hukitamana sana ....nikija dar lazma.....yani hukiona insta mate yatoka
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 жыл бұрын
Mnapatikana wapi jmn
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Esco unapenda milion ww
@MRST_1662
@MRST_1662 2 жыл бұрын
Hapo ni wapi na panaitwaje? Jina na restaurant?🇹🇿🇨🇦
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 жыл бұрын
Hapo juu tizama bango,ni tabata segerea
@hono1232
@hono1232 2 жыл бұрын
Tunaomba namba ysko ya simu!
@aisharevelian6933
@aisharevelian6933 2 жыл бұрын
Chakula kizurii bei nafuu sana
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 2 жыл бұрын
Kumenoga nikirud nitemberee🇴🇲
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
Tumia foil unapopeleka chakula kwa water itakuwa poa
@afamefunaokeke6966
@afamefunaokeke6966 2 жыл бұрын
naomba hilo sinia lol
@kiri5807
@kiri5807 2 жыл бұрын
nimemind kweli kwa shuhuli kila meza ya 1 50, 000 imetoka hiyo .
@matukiosafaris6508
@matukiosafaris6508 2 жыл бұрын
Nnavyowajua wabongo wape mwezi tu kila mahali utasikia tunatoa huduma ya combo
@fesalchambuso8023
@fesalchambuso8023 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@deborahcharles5676
@deborahcharles5676 2 жыл бұрын
Sio mbaya ni biashara ndio ilivyo
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 жыл бұрын
@@deborahcharles5676 NDIO MAENDELEO KUIGA.
@kisalaTV
@kisalaTV 2 жыл бұрын
Hii nikirudi bongo lazima nije
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 2 жыл бұрын
Kuna foil tumieni
@AliMohammed-df7iz
@AliMohammed-df7iz 2 жыл бұрын
Ebanae nakubali tz Nazi iendelee
@anjoymshami3091
@anjoymshami3091 2 жыл бұрын
Hongera sn dadaangu mshukuru mungu aliyekuwezesha kupata uwezo huo
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 2 жыл бұрын
Wale wakuiga hawachukui muda.
@subiramussa1428
@subiramussa1428 2 жыл бұрын
Kabsa
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 жыл бұрын
ndio tz tatizo lao wanafeli apo tuu
@jrm9448
@jrm9448 2 жыл бұрын
Tena wanaboresha zaidi
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 KUIGA NI MAENDELEO SIO MBAYA NA YEYE PIA SIO WA KWANZA.
@kdloon2030
@kdloon2030 2 жыл бұрын
Mtangazaji kaenda mixer uroho"Eti tuonje
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 2 жыл бұрын
Pepsi-Cola oyeeeeeeeeeee
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@jamilahathumani4222
@jamilahathumani4222 2 жыл бұрын
Kama ingewezakanaa angesajili wazo lake Hilo la kusevu chakula chake ili wasimuige yeye ndo awe muasisi ili apate pesa zaidi kupitia wazo lake Hilo la tofauti,,Mana bila ya ivo watu watamuiga jinsi yakusevu alafu baada ya muda atakosa upekee hivyo itampelekea kukosa kipato,,trust me,,aende kusajili uspesho wake huo atakuwa bilionea wabadae,,na itamfanya kuwa peke yake na atapata oda nyingi zaidi itampelekea kupata pesa zaidi kwasababu atakuwa peke yake hapa Tanzania na duniani pengine
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 2 жыл бұрын
Mbona yy sio wamwanzo
@rahmaawadh1695
@rahmaawadh1695 2 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@suzanfelix8065
@suzanfelix8065 2 жыл бұрын
Unaongea kidogo kidogo shishi ameshaona tayari😂😂😂
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Uchoyo hautomsaidia mtu yyte hapa duniani. Na haswa kwa sisi waisilam Allah ametuamrisha tusibanie elimu na tusaidiane. Na hio ndio miongoni mwa kupeana elimu. Najambo jengine ni masuala ya rizk.....km rizk yako utapata hata mkiwa wengi na km sio rizk yako hutopata hata ukiwa peke yako.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Mnaeza kua wengi na watu wakaangalia test au usafi. Kwanza kwenye maisha kitu kikifanywa na mtu mmoja tu bei inaeza kua kubwa lkn wakifanya wengi bei inaeza kupungua na hata kwa yule ambaye uwezo wake mdogo lkn katamani anaeza kujinunulia siku moja moja.
@aminahassan3588
@aminahassan3588 2 жыл бұрын
Ndio anapata faida lkn
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 2 жыл бұрын
mpaka kifike mezan ndeg si ameshakinyea
@aisharevelian6933
@aisharevelian6933 2 жыл бұрын
Nimecheka 🤣🤣🤣
@bakariyusufujuma
@bakariyusufujuma 2 жыл бұрын
Mbona ugali hakuna?
@jeanneandfrancislifestyle1518
@jeanneandfrancislifestyle1518 2 жыл бұрын
Jesus Christ whatttt to much food 🍱
@lissamsalu12345
@lissamsalu12345 2 жыл бұрын
Ntauja jaman
@ediymakame6643
@ediymakame6643 2 жыл бұрын
somchezo
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
Chakula kinavutia had rah
@assya48
@assya48 2 жыл бұрын
what the account of your inster???
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 жыл бұрын
Acha maneno bwana tuonyeshe chakula
@Hashdough
@Hashdough 2 жыл бұрын
AD
@TeamKRX
@TeamKRX 2 жыл бұрын
Watu wangapi wanakula jamani ni wapi naona roho inatetema
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
Tabayta kwa walaa bata
TAZAMA WACHINA WANAVYOPIKA CHAKULA CHA KITAZANIA
9:00
Millard Ayo
Рет қаралды 140 М.
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН
MAMBO YA KUZINGATIA  NDANI YA CHUMBA CHA USAILI WA KAZI/JOB INTERVIEW
12:52
Chakula maarufu Forodhani#Zanzibar
3:32
DW Kiswahili
Рет қаралды 18 М.
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН