Wanawake tunaweza sanaa!! Hongera sana dada 👌👊😋😋😋🔥👏👏🍺🍺
@bakariomari87582 жыл бұрын
Nikija dar hapa lazima nafika inshallah. Hongera Dada, kwa idea nzuri
@magrethmanintveld54772 жыл бұрын
Karibu
@venantrugabela67982 жыл бұрын
Ushauri mdogo tu Kwa kuwa kuna wakati umbali wa kupeleka chakula ni zaidi ya mita 5, ni vyema chakula kikafunikwa ili kulinda afya ya wateja. Miti inaweza kuzalisha wadudu, maua, mbegu au kinyesi cha ndege vikadondokea chakula
@babamarry63502 жыл бұрын
Kweli kabisa hata mimi nimeliona
@user-ot2io4cy6w2 жыл бұрын
Upo makini sana 👏🏾👏🏾👏🏾
@saitawilson73072 жыл бұрын
Safiiiii
@hassshoban82062 жыл бұрын
Kimoto huhitaji kufunika
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Ila Dar kuna chakula kizuri kwa kweli 👏👏yani hatari
@georgemhalla88532 жыл бұрын
Even Arusha bwana
@zawadirafael59212 жыл бұрын
@@georgemhalla8853 umenena
@m.mmarckus62982 жыл бұрын
@@georgemhalla8853 huko mtatushinda kwa nyama labda,ila nimecheka
@zulfahussein67842 жыл бұрын
MashaAllaah chakula kizuri kinavutia hila jinsi wanavyo kipeleka kwa watu sio kwenye mazingira mazuri kabisa
@Mimy_keys2 жыл бұрын
Chakula kingi mno kwa gharama hiyo 🤔 Mambo ni moto 👌 Mama weka meza zile za kupeleka chakala, Wadada watavunjika viuno hivyo 🤭
@Lassana7552 жыл бұрын
Kwa kweli Na hao walaji hicho hawakimalizi
@khadijahali48372 жыл бұрын
😂😂
@rajabdibwa64152 жыл бұрын
Good idea really👏
@samerjunior21582 жыл бұрын
Pengine nipicha tuu hujaona wazi
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
HAHAA
@aminamodi89272 жыл бұрын
NAOMBA CHAKULA KIKIWA CHATOKA JIKONO KWENDA KWA MLAKI KIFUNIKWE HII MI.KWA AKILI YA VUMBI NA NNZI HONGERA SSASANA DADA YANGU
@khalfanjuma76782 жыл бұрын
Na iyo minywele pia wafunike
@ilovejesus93032 жыл бұрын
Safi sana Dada msomi umeniispire sanaaa. Kujiajiri raha
@mariamumuniss13382 жыл бұрын
Nice pia mtangazaji anajua kuhoji🥰🥰
@valentinanduku87182 жыл бұрын
Good combination one day i will visit the place
@dottohamisi98442 жыл бұрын
Wanawake tunaweza sana 💪imenoga hiyo 😋
@jpkkakudji94022 жыл бұрын
Naomba naba uyo dada esko ww mtu noma sana king wangu 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
@thuvakonde25842 жыл бұрын
In sha Allah nikija vacation apo ntapeleka familia yngu waji enjoy laki n nusu sio pesa kwa furaha kwa mke wngu n watoto wngu In sha Allah @Mombasa 🇰🇪
ushauri jaribu kuweka na smalla plate kwa familia hasa kwa zile zinakuja na watoto hawawezi fikia vyakula vingine sahani ni kibwa
@vibetz99912 жыл бұрын
Spatii picha ,Combo inapelekwa kwa njemba moja tu ,mezani, amekaa anaisubilia
@fesalchambuso80232 жыл бұрын
Hahahahahaha 🤣🤣
@Myright8882 жыл бұрын
Hahaha
@mozasalum97152 жыл бұрын
Hongera sister I love your idea
@sabrinamustafa85542 жыл бұрын
Umenenepa Esco MashaAllah
@hono12322 жыл бұрын
Nunua vitoroli vidogo vys kusukumia chakula.hakikisha kufunika na karatasi nyeupe za nailoni,pia hakikisha wahudumu wanavaa muda wote kitcheni gloves.hapo utakuwa umevunja record bora kabisa na mapishi bora kabisa
@isaachayes97832 жыл бұрын
Yeah kitchen gloves na vitambaa kichwani
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
Umemaliza mwambaaa
@Yunus_Hassani2 жыл бұрын
Kazi nzuri na mikoani mna tuna😂😂😂
@ifgodsayyes.nobodycansayno17962 жыл бұрын
INGEFAA WEDDING HII NA COME THIS YEAR KUFANYA HARUSI YANGU BUT I'M A KENYAN I WISH IKO POWA SANA
@aysheraden77182 жыл бұрын
Mbona Kenya mombasa wanafanya sana hii na hasa walioanzisha hii ni waturuki inaitwa platter ukinunua hilo sahani ina kila kitu sema wao sio sinia ni sahani ya gae kubwa
@emmamombo71492 жыл бұрын
Kweli mombasa iko hii wapi hebu niambie mm home ni mombasa hebu niambie ni wapi inapatikana nikiwa home inshallah twende na familly
@assya482 жыл бұрын
nice ushauri jaribu kutumia plastik rap kufunika chakula from kitchen to mtaja inaonesha ni masafa marefu chakula chaweza kuchafuka nzi wadudu vumbi from upepo
@giztony20092 жыл бұрын
Perfect combo!??!!!
@isaachayes97832 жыл бұрын
DADA ENDELEA KUWA MBUNIFU SASA TENGENEZA KI GARI CHA KUSUKUMA NA IKIWEZEKANA BUNI NSMNA GANI CHAKULA KITAKAA NA MOTO MUDA WOTE
@rosejoseph93782 жыл бұрын
Hongera dada kazi nzuri
@nasraabdallah8502 жыл бұрын
Mashaallah 🔥👌
@neemakilomoni42582 жыл бұрын
Wow 😋😋I can’t wait 😋
@saudazigaba24242 жыл бұрын
Hongera sana
@zenajustus57312 жыл бұрын
Hongera dada .
@janeschurmanns73642 жыл бұрын
Aise nikija Dar nitatafuta hiki kijiwe du watu wana maarifa jamani du hongera sana
Sinia sio siri limeniita kwa jina langu kabisa 😋😋😋😋😋😋
@fatnafaraj75452 жыл бұрын
Hahahaaaa unanidai so kwa kicheko hiki
@priscaprisca25692 жыл бұрын
Nikija tz nitaleta family yangu wajienjoy na kombo meal 😋
@nilansaid29272 жыл бұрын
Watanzania ni harworkers na smart sana hasa umkute msomi
@isaachayes97832 жыл бұрын
Dada umevutia watu hadi nchi za nje wanataka kuja, nimeona kwenye mitandao watu mbalimbali toka mataifa ya nje wakiulizia
@emmamombo71492 жыл бұрын
Na kwambia mm wakwanza naangalia hiyo combo nikiwa Germany
@isaachayes97832 жыл бұрын
@@emmamombo7149 😅😅
@emmamombo71492 жыл бұрын
@@isaachayes9783 nimeona mtu ameandika hapo kwa comments pia mombasa kenya iko inshallah nitakitafuta mate mdomoni
@nuraydasworld44312 жыл бұрын
mm nataka from 🇺🇸
@Myright8882 жыл бұрын
Mi mwenyewe nipo Germany na nimeshaipangia likizo nikale nirudi niendelee na kazi 😀😀😀
@Sppah6972 жыл бұрын
Kuwe an special Trolley Basi ya kubeba hicho chakula!
@lulually52092 жыл бұрын
Duuuh msosi wa kufa ngedere laki na nusu halali mpk mate yamenitoka
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
😅😅😅😅
@rahjah58822 жыл бұрын
Creative na bei ni rahisi sana
@Myright8882 жыл бұрын
Mi mwenyewe nipo hapa Germany nishaandaa likizo nijekula kombo tu kwa kweli lol!
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
Ukujee ni baalaa tuliwah kwenda aiseee
@annakattoa75022 жыл бұрын
Number ya simu tuweke order jamani....
@fatumadumba50092 жыл бұрын
Mbona hiyo combo alianza miaka mingi,mi nilikuta uganda inaitwa lusinia ni hatariii
@mwanaishazain79852 жыл бұрын
Ukajifanya kusema kama mzungu mara unajisifu unasema malreee sema tu matamshi yako unajichoresha ovyoooo kabisa
@donardmsomi84512 жыл бұрын
Mko vizuri... But muwe mnafunika chakula
@rahamrahma62592 жыл бұрын
Hongera dada kwa ubunifu
@rajabdibwa64152 жыл бұрын
Hiyo sehemu km naiona segerea mwisho nikipata time InshaAllah nitakuja
@honorataharold9472 жыл бұрын
perfect combo; but napenda kutoa ushauri kwa kua kutoka jikoni mpaka kwa wateja kuna umbali na wanabeba kwa mikono ungejaribu kutafuta namna ya kukibeba labda kutumia troll kuepuka kujikwaa, mikono kuteleza, kuungua , na kadharika
@yasintawalyuba24442 жыл бұрын
Dada chakula muwe mnafunika kwa kutumia foil ya chakula
@ladyt14712 жыл бұрын
Hongera sana mamii naomba utuwekee namba za simu ili tuweze kufanya booking mapema for Christmas
@zuweinaally24132 жыл бұрын
FUNIKA CHAKULA UKIWAPELEKEA WATEJA..NA MATAYARIDHO MEZANI YAWE TAYARI ...
@genovevatarimo39822 жыл бұрын
Watu wanakula jaman😉😉
@salimsaid72002 жыл бұрын
DADA USIPATE TABU KUFUNIKA TUMIA KAWA KUBWA AMBAYO UTATUMIA KWA MDA MREFU NA NZURI PIA
@sakinaomary72072 жыл бұрын
Sasa wakidondoka na hilo sinia hata sitawaelewa
@ndayishimiyecynthia52562 жыл бұрын
Siku nikienda Tz lazima nifike hapo na marafiki zangu nimependa
@dorcaskidoti2492 жыл бұрын
Nipitie ndg ukanipe offers 😂🙏🏻
@ndayishimiyecynthia52562 жыл бұрын
Tena na bia zipo nisehemu nzuri sana ntakuja siku moja
@m.mmarckus62982 жыл бұрын
Haaaaaaa unawaza bia
@nuriathmickdard65212 жыл бұрын
Kiwe kinafunikwa kwa usafi na usalama
@omarykitololi4472 жыл бұрын
Yani hiyo ndo maana haris ya kutumia elim yako kuwa created na kutoa ajira kwa watu wengine, sio umesoma unakaa tuu nyumban hunasubil kuajiwa mtu kama huyo asijiite Masomi, congratulation sister....
@queenlinda2552 жыл бұрын
Namba ya simu
@isaachayes97832 жыл бұрын
Waafrika kwa kula, 🤣 kudadadeki
@vincentmokenye44652 жыл бұрын
Hahaha ni shida
@maloomaalmnsj51112 жыл бұрын
Acha tuleeeee
@Myright8882 жыл бұрын
Saaafi Sanaa
@Sppah6972 жыл бұрын
MazingiRa jamani na siyo mazingiLa!😏😳🙄
@aminachingwalu28502 жыл бұрын
Hio sahan ni atar
@khadijahali48372 жыл бұрын
😊😊ubunifu
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Namba ya simu tunaomba
@asmhatanzania86972 жыл бұрын
Chakula kizuri ila kiko wazi wafanyakazi hawajavaa gloves pia😋
@rehemahramadhani34282 жыл бұрын
kiw. mnakifunika maan
@Lassana7552 жыл бұрын
Sasa hawa ata robo hawamalizi iyo ki2
@comedyclips42742 жыл бұрын
💙💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎇🔥
@evelynekoseko22752 жыл бұрын
Mimi hukitamana sana ....nikija dar lazma.....yani hukiona insta mate yatoka
@neemaruben54272 жыл бұрын
Mnapatikana wapi jmn
@khadijahali48372 жыл бұрын
Esco unapenda milion ww
@MRST_16622 жыл бұрын
Hapo ni wapi na panaitwaje? Jina na restaurant?🇹🇿🇨🇦
@m.mmarckus62982 жыл бұрын
Hapo juu tizama bango,ni tabata segerea
@hono12322 жыл бұрын
Tunaomba namba ysko ya simu!
@aisharevelian69332 жыл бұрын
Chakula kizurii bei nafuu sana
@rahimaaaaa56822 жыл бұрын
Kumenoga nikirud nitemberee🇴🇲
@bajagihaji89232 жыл бұрын
Tumia foil unapopeleka chakula kwa water itakuwa poa
@afamefunaokeke69662 жыл бұрын
naomba hilo sinia lol
@kiri58072 жыл бұрын
nimemind kweli kwa shuhuli kila meza ya 1 50, 000 imetoka hiyo .
@matukiosafaris65082 жыл бұрын
Nnavyowajua wabongo wape mwezi tu kila mahali utasikia tunatoa huduma ya combo
@fesalchambuso80232 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@deborahcharles56762 жыл бұрын
Sio mbaya ni biashara ndio ilivyo
@salimsaid72002 жыл бұрын
@@deborahcharles5676 NDIO MAENDELEO KUIGA.
@kisalaTV2 жыл бұрын
Hii nikirudi bongo lazima nije
@selestinsongola27872 жыл бұрын
Kuna foil tumieni
@AliMohammed-df7iz2 жыл бұрын
Ebanae nakubali tz Nazi iendelee
@anjoymshami30912 жыл бұрын
Hongera sn dadaangu mshukuru mungu aliyekuwezesha kupata uwezo huo
@winfridamwigilwa21072 жыл бұрын
Wale wakuiga hawachukui muda.
@subiramussa14282 жыл бұрын
Kabsa
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
ndio tz tatizo lao wanafeli apo tuu
@jrm94482 жыл бұрын
Tena wanaboresha zaidi
@salimsaid72002 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 KUIGA NI MAENDELEO SIO MBAYA NA YEYE PIA SIO WA KWANZA.
@kdloon20302 жыл бұрын
Mtangazaji kaenda mixer uroho"Eti tuonje
@georgemhalla88532 жыл бұрын
Pepsi-Cola oyeeeeeeeeeee
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@jamilahathumani42222 жыл бұрын
Kama ingewezakanaa angesajili wazo lake Hilo la kusevu chakula chake ili wasimuige yeye ndo awe muasisi ili apate pesa zaidi kupitia wazo lake Hilo la tofauti,,Mana bila ya ivo watu watamuiga jinsi yakusevu alafu baada ya muda atakosa upekee hivyo itampelekea kukosa kipato,,trust me,,aende kusajili uspesho wake huo atakuwa bilionea wabadae,,na itamfanya kuwa peke yake na atapata oda nyingi zaidi itampelekea kupata pesa zaidi kwasababu atakuwa peke yake hapa Tanzania na duniani pengine
@zaytunhijja67712 жыл бұрын
Mbona yy sio wamwanzo
@rahmaawadh16952 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@suzanfelix80652 жыл бұрын
Unaongea kidogo kidogo shishi ameshaona tayari😂😂😂
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Uchoyo hautomsaidia mtu yyte hapa duniani. Na haswa kwa sisi waisilam Allah ametuamrisha tusibanie elimu na tusaidiane. Na hio ndio miongoni mwa kupeana elimu. Najambo jengine ni masuala ya rizk.....km rizk yako utapata hata mkiwa wengi na km sio rizk yako hutopata hata ukiwa peke yako.
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Mnaeza kua wengi na watu wakaangalia test au usafi. Kwanza kwenye maisha kitu kikifanywa na mtu mmoja tu bei inaeza kua kubwa lkn wakifanya wengi bei inaeza kupungua na hata kwa yule ambaye uwezo wake mdogo lkn katamani anaeza kujinunulia siku moja moja.
@aminahassan35882 жыл бұрын
Ndio anapata faida lkn
@rehemahramadhani34282 жыл бұрын
mpaka kifike mezan ndeg si ameshakinyea
@aisharevelian69332 жыл бұрын
Nimecheka 🤣🤣🤣
@bakariyusufujuma2 жыл бұрын
Mbona ugali hakuna?
@jeanneandfrancislifestyle15182 жыл бұрын
Jesus Christ whatttt to much food 🍱
@lissamsalu123452 жыл бұрын
Ntauja jaman
@ediymakame66432 жыл бұрын
somchezo
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Chakula kinavutia had rah
@assya482 жыл бұрын
what the account of your inster???
@annamwakibinga5272 жыл бұрын
Acha maneno bwana tuonyeshe chakula
@Hashdough2 жыл бұрын
AD
@TeamKRX2 жыл бұрын
Watu wangapi wanakula jamani ni wapi naona roho inatetema