Aisha na Mume wake Akko ni Raia wa China ambao wamejichukulia umaarufu kwenye mji wa Guangzhou kwa uwezo wao wakuongea Lugha ya Kiswahili na Kupika vyakula vya Kitanzania na Mgahawa wao wameupa jina la Tanzania.
Manshallah Aisha. So amefunga hata hajavaa shungi. Maskin mdogo2 ataweza uislam. Nimependa Aisha kuwa muislam
@queengee9885 жыл бұрын
Safi sana yan halaf unakut mtz anajifany hajui kiswahili washenzi kbs
@butondodavid21055 жыл бұрын
Yaan wagen wanasamin lugha milimbuken sasa ikiwa ugenn hatakiswahl hawaongei
@queengee9885 жыл бұрын
@@butondodavid2105 yana jifanya kizungu mbele shwain yan huw nakerek bac tu na ndo maan rais wa chin hat akiend nchi yyt anaongea lugha yake na si nyingn asa Tz yet sas majanga😂😂😂
@BONGOINMOTION5 жыл бұрын
@@queengee988 Wapuuzi
@jacksonmathayo65104 жыл бұрын
Huwa wana niboa kiukweli bhasi tu Mamy 😱
@hajjiqasim59774 жыл бұрын
😁😁😁love you tz love you kiswahili
@shabanichaye82555 жыл бұрын
Kama umesikia jina la Rais Magufuri gonga like
@zenaycechanzinho67025 жыл бұрын
Maasha Allah Aisha muislam😘
@issaathumani46825 жыл бұрын
Hahahaaa! Hiki kiswahili ni nomaaaa! Nimefurahi sana
@boniphacenyamhanga93955 жыл бұрын
Napenda Ayo tv, sana hongereni sana
@onefineday76135 жыл бұрын
Jamani tuwachangie ticket za kwenda Tanzania...mchina bwana..hongerini sana. Wafanya kazi as Ubalozini wanafaa kuwa tembelea😊
@rodicostantino72785 жыл бұрын
arie Sikiaa anapika kuku samaki firigisi like zangu
@hersheymoge12325 жыл бұрын
Wow Tanzania is very famous in China 🇨🇳
@mmlove91274 жыл бұрын
Huyu Demu akikaa bongo wiki mbili tu ataongea kiswahili zaidi ya profesor kabudi....
@mukhsinsalum98715 жыл бұрын
Duuu kajifunza kiswahil hata kufika ajafika ongera sanaaaa
@mohamedbinfadhil13965 жыл бұрын
Mtangazaji unapomuhoji mtu kama huyo uwe unaongea taratibu sana ili akuelewe na ajifunze zaidi kutoka kwako.
@msafirlaizer23685 жыл бұрын
That's true bro
@tuphujekumuhkunonyiile37395 жыл бұрын
Nikweri maana kunaswali limempita
@hawamkamba24075 жыл бұрын
mhojiwaji mwenyewe yuko moto kujibuuuu
@abdulyabdunuru14765 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka Sana Hawa wachina kiboko
@Queen-te3lz4 жыл бұрын
@@hawamkamba2407 😆😆😆😆😆
@gretamaheri84375 жыл бұрын
Kaka angu unajikaza kucheka sana 😂😂😂😂
@jonamnyone80145 жыл бұрын
AISHA UKO VIZURI KWENYE KISWAHILI
@santegotoronto58035 жыл бұрын
Safi kama umesikia Kuku kinyenzi Gonga like twende sawa
@amnemkubwa73535 жыл бұрын
😅😅🤣🤣🤣😃
@elizabethjoseph21165 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@bimsinan87435 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hopedavid15565 жыл бұрын
Mungu yuwakuona🤣🤣👌
@leahadamu79735 жыл бұрын
Tekita. Bei😂😂😂😂😂😂😂
@musahussein32065 жыл бұрын
Kama umesikia dona sembe napika gonga like
@bananatz42164 жыл бұрын
Maashaallah Muslim 🙏🙏
@mariamahmad82614 жыл бұрын
maa shaa Allah nimeipenda sana Tz juuu
@wilsondomisian98075 жыл бұрын
Bradha miradi ayo unapamba kwelkwel unaitangaza kaz yako hongeraa sanaa
@mohammedabdallah63905 жыл бұрын
Mimi pia funga hamna kula
@aidarousshaban95803 жыл бұрын
Hamdulillah nimeipenda sana mimi funga hamna kula halafu wewe mzaliwa kwenye uislamu unakula mchana wa ramadhan bila udhuru wowote unazidiwa na aisha mchina huoni haya?
@saidhamisi27953 жыл бұрын
😂😂
@aminamgunga62705 жыл бұрын
Iyo kari khaaaa 😂😂mchina kavunja rekodi
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Ayo tv mko mbali xana duuu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Sangoyamboka4 жыл бұрын
Chinese are really very cool. We call it inculturation. They speak african language and eat african food cooked in african way. Waouh! Bravo. Welcome to Afrika.
@charlesmakuri7925 жыл бұрын
Safi friend of tz mnatia moyo nchi nzuli sio kupenda vita na maandamano ovyo badae maisha yanakua magumu
@yassirkipemba78895 жыл бұрын
hamsinyii😂😂😂😂
@OnesmoEmmanuel-xr2rf7 ай бұрын
MUNGU nisaidie siku Moja ikukupendeza niende hii nchi ya china MUNGU nisaidie Mimi🙏🙏🙏🙏
@jeremiakaridushi79743 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri sana mana watu wengi huwa wanakiona kiswahili hakina diri umeona wakina aisha wamejifuza kiswahili wana piga helatu
@kevincray55915 жыл бұрын
hongera sana AISHA nimekukubari sana
@zakaliajoseph7705 Жыл бұрын
Nmewapenda mnoo pia kwa sababu wanapika vyakula vzuri syo vinyoka nyoka hapana
@rajabuhondo49733 жыл бұрын
Daa nime penda ucheshi wa dd Aisha safi Sana mungu aku zidi shie
@alexandrinadomaino98683 жыл бұрын
Moja mme moja mke, safi sana. Nimeipenda
@gallousgosbert49934 жыл бұрын
NIMEWAPENDA SANA HAWA WA WATU WAPO VIZURI SANA NINGEKUWA NA UWEZO WA KUFIKA CHINA NINGEKWENDA NIONJE MAPISHI YAO NIMEFURAHI SANA KUONA WANAONGEA KISWAHILI VIZURI SANA NA HAWAJAWAHI KUFIKA TANZANIA I LOVE YOU ALL CHINESE PEOPLE SO MUCH WELCOME TO TANZANIA MWUAAAAAAAA!
@goodluckmachangu59415 жыл бұрын
Vizur sana hii story ni exposure nzur
@DrSanai5 жыл бұрын
Aisee, tujifunzeni kichina....kinasaidia sana ukikijua.
@magrethelias19615 жыл бұрын
TANZANIA juu hapana chezea
@gracecharles12444 жыл бұрын
China bado wanatumia Rambo 🤔🤔🤗😂😂Toto mbili mume n.a. mke...hongeraa sana aisha
@gallousgosbert49935 жыл бұрын
Safi sana hawa watu wanajitahidi kujifunza lugha yetu kweli nimeamini wana upendo wa kweli
@MtilahBlog5 жыл бұрын
Safar hii nikifika China nitawatembelea Hawa jamaa.
@teychriss32483 жыл бұрын
Nichukue na mm! 😓😓
@mcnjovu35254 жыл бұрын
Big up sana milard ayo wachina saizi wamekua kwa rugha
@am12ghh373 жыл бұрын
Mashallah she is very nice lady ❤👌💕💕
@hadijajohn74342 жыл бұрын
Aisha uko vizuri hongera dada kwa kujuwa kiswahili
@belgieboys98675 жыл бұрын
Kwa vile anamjua jina rais MAGUFULI Kwa heshima hii rais magu engemualika huyu Aisha tz. Ni heshima kubwa walilolipatia taifa hili la TZ mpaka kumjua jina rais. MUHESHIMIWA RAIS NAOMBA HUYU MAMA WENGEMSAIDIA KUKANYAGA TZ NA PIA KUWA MGENI WAKO NA WATZ WOTE KWA JUMLA
@saidiissa87295 жыл бұрын
Mashaa Allah muislam dah
@queengee9885 жыл бұрын
Daah wanaume kam huyu mme wa aisha wa kusaidiana kaz hiv tz hawapo yan daaaahh🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
@nemohos48855 жыл бұрын
unakaa wapi?
@naomikimaroh12055 жыл бұрын
😂😂😂😂wakufa vita vya pili
@mathewkabulwa42735 жыл бұрын
Mi nipo dada angu ....japo sijapata wa kupika nae .....
@danieljoseph63095 жыл бұрын
😂😂😂kila mtu anamajukumu yake wewe utaenda kazini kumsaidie
@ndossiadventurestz.67965 жыл бұрын
Nipo mma
@surusuru1994 Жыл бұрын
Ooh my god swahiili China 💖💖💖💖💖💖💖🙏🇹🇿🇨🇳👏👏🇴🇲
@mubanduvuai78762 жыл бұрын
It soo awesame....
@mwanadamtz12985 жыл бұрын
Amazing nilicho jifunza kutumia fulsa
@salummuhija44355 жыл бұрын
Safi sana nimeipenda
@officialsalmazayn29385 жыл бұрын
Unamuliz A anajibu H 😂😂😂😂Watangazaj poleni
@husnanetto41543 жыл бұрын
Aki yamung Tanzania nchi pendwa
@simbarajabu41574 жыл бұрын
Dah nmefurahi sana ajawai kufika tz lakini anajuwa vizuri kiswahili
@najma32685 жыл бұрын
Watanzania mnakwama wapi wanaume kupsaidiana na mke kupika mama tilie , mko radhi mkae vijiweni kupiga swaga mchana ukifika unaenda kwenye banda la mkewako kula tena ukikuta hata wateja ww ndo unataka uhudumiwe haraka wakati hulipi
@elizabethjoseph21165 жыл бұрын
Wanaudhi sio Sir ujanja wa kipuuzi tuuu msaada hakuna pumbu zao hao
@najma32685 жыл бұрын
Elizabeth Joseph haswa
@faridaothman5 жыл бұрын
Safi sanaaa
@maidasaid94495 жыл бұрын
nimefungua miaka bili hapa..hihihihiiii umejitahid aisha
@kassimjuma87135 жыл бұрын
Harafu eti vijidada huku vinajifanya havijui kiswahili
@elizabethjoseph21165 жыл бұрын
Kweeeli utakuta vi english viiiiiiingi
@babuallyabdallah29644 жыл бұрын
Ukiwachunguza sana hao utagundua ni vipigaji tuu
@gullaalex65904 жыл бұрын
😂Umeonaee
@juliethhouseofdesigns1473 жыл бұрын
Umeona 🤣🤣🤣
@dainapendo54443 жыл бұрын
Si vijinga tu
@zenaycechanzinho67025 жыл бұрын
Nimetaman dona hilo jmn😋😋😋
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Tuache uvivu tufanye kazi fulsa zipo nyingi bongo,vijana mnachagua kazi mnachotaka ni kubofya bofya simu zenu na kuzurura ovyo alafu mdondoshewe pesa tutachelewa xana,Enx ayo tv kwa kutuletea mambo mazuri
@gullaalex65904 жыл бұрын
😍😍Karb tz aisha
@PowerPower-ms3bs4 жыл бұрын
Safi sana mchina
@batulimohamed60883 жыл бұрын
Nimekupenda cn aisha
@zulfamohamed45495 жыл бұрын
Aisha nimekupenda ujawai kifika tz lakin unsongea kiswahili vizr wadada wa tz wenyewe wanakwambia kiswahili awakijui yan wanaboa kwel uko ndy mkataa kwao mtumwa
@babuallyabdallah29644 жыл бұрын
Wapigaji tu hao Wanajifanya kizungu kwa wiiiiingi!!! Ukizubaa imekula kwako
@paulofesto49485 жыл бұрын
Safi sana Aisha
@ilynpayne74915 жыл бұрын
Magufuli ana julikana hadi China
@fettyameir45145 жыл бұрын
Nic
@kristinaojambo36115 жыл бұрын
Asante saana bint
@batromeombogo71315 жыл бұрын
Huo uguli uwe mgumu basi maana kuna wasukuma huku wakija huko kama ugali laini watamaliza sufuria nzima walai
@elizabethjoseph21165 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umetisha et watamaliza sufuria
@madinabilos66175 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@walivyojuma70954 жыл бұрын
😂😂😅😂🤣😂😅🤣😂
@walivyojuma70954 жыл бұрын
Kweli kabisa maan ugali unaonekana laini laini hatari
@blessmsolina7274 жыл бұрын
Jamani
@linusrohomoja88564 жыл бұрын
shikamoo kiswahili, mi nilidhani kawahi kukaa mbagala maana anatiririka kiswahili hadi raha.
@selemanikapara19725 жыл бұрын
ila nilicho jifunza wenzetu huwa hawaachi fursa. aisha huyo kama ni huku kwetu huyu ni mama ntile kabisaaa wa kitaa, lkn kajiongeza kaenda kusoma kiswahili ili ahudumie wateja wake lkn kwetu huku anaye jifunza kichina ni tour guide lkn kwa mama ntile kibongo bongo bado sanaaaaa japo kuwa wachina wako kibao wanafanya shughuli za ujenzi. watanzania tujifunze kitu kutoka kwa AISHA kujiongeza ni kitu muhimu sanaaaa
@mosimba4673 жыл бұрын
Kweli kabisa ndg yangu
@abdallahkambangwa72155 жыл бұрын
karibu sana kwenye dini yako ya asili Msalimie sana kaka Jet lee
@mrholela79065 жыл бұрын
Haha hahahaha ....mnachekesha sana
@shekinahfaymatatiana58754 жыл бұрын
Kazi ipo 😝😝😂😂nimecheka
@badaral6167 Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah mashallah Aisha
@ambrosekituyi21995 жыл бұрын
Kwa kasi hii wachina wameshaiteka dunia nzima. The future is exciting.
@jp17805 жыл бұрын
Ambrose Kituyi wamesha taker over dunia American hawajajuwa tu ila soon they will see most countries will start using the dollar and that will be the end of it
@Swedishmumy5 жыл бұрын
karibu again chin
@judithakoth18344 жыл бұрын
Mbavu zangu jamani😂😂😂😂paspo hamna janani😂😂😂
@hawasaleh5044 жыл бұрын
Hamshinyi Hhhhh nmeshjua kmbe kichna
@michelletv56483 жыл бұрын
Nasikia Raha Sana💕💕💕💕💕💕
@khamisshee47065 жыл бұрын
Mashaallah
@priscalameck87003 жыл бұрын
😀😀kiswahili kinachanja mbuga duuh
@aminamadenge8598 Жыл бұрын
Ayo naomba mm nifike uko niwasaidie tufike mbali kwenye bishara jaman
@mubanduvuai78762 жыл бұрын
I like the way she talks
@frankassey59715 жыл бұрын
Kumbe kuku wa kienyeji wapo
@veronicadickson18594 жыл бұрын
safi Sana, Sasa unawakuta watanzania wajifanya hawajui kiswahili eti aonekane kingereza kimemuathiri hovyo 😂😂
@janempoki17095 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha unachekeshaaaaa we we mchinaa
@zainabubakari84893 жыл бұрын
Unazaliwa chikundi huko alf kesho ukihojiwa unafnya hujui kiswahili aiseeee 😂 bongo n kwikwi jmn mweeeew
@zakayomusa99334 жыл бұрын
Hongera Aisha
@shuaybukitwanga76443 жыл бұрын
Mashallaaaaaah Aisha
@teychriss32483 жыл бұрын
Aisha anaongea kama masai!
@deboramushi84714 жыл бұрын
duuuh mchina nomaaa
@giftnyakipande12534 жыл бұрын
Wow
@bongodoeverything58054 жыл бұрын
Chips makange kama usikia rply😂😂
@sarahsarah49194 жыл бұрын
Mashallah
@estherdeo18583 жыл бұрын
Good job
@gracekagoma32313 жыл бұрын
Safi sana dada
@e.b.m.y.c.b48485 жыл бұрын
Mchina ametisha sanaa
@avand42373 жыл бұрын
Safi sana
@cornelfaya37465 жыл бұрын
shikamoo wachina, me nilijua munaweza kuiga machumachuma kumbe hata kiswahil?
@samijumanne79843 жыл бұрын
👏👏
@zaidishabani57455 жыл бұрын
Kwel Sasa ubunifu unaonesha matunda yake sio kila siku wasanii embu tujifunze km hivi