TAZAMA WACHINA WANAVYOPIKA CHAKULA CHA KITAZANIA

  Рет қаралды 140,184

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Aisha na Mume wake Akko ni Raia wa China ambao wamejichukulia umaarufu kwenye mji wa Guangzhou kwa uwezo wao wakuongea Lugha ya Kiswahili na Kupika vyakula vya Kitanzania na Mgahawa wao wameupa jina la Tanzania.

Пікірлер: 303
@focuspolitics4622
@focuspolitics4622 5 жыл бұрын
Safi kabisaaa hicho ndicho kiswahili anachokipigia debe mhe.magufuli kinakua duniani kote
@pendosaid7787
@pendosaid7787 4 жыл бұрын
Inapendezana
@mwajumakoshuma5417
@mwajumakoshuma5417 5 жыл бұрын
Manshallah Aisha. So amefunga hata hajavaa shungi. Maskin mdogo2 ataweza uislam. Nimependa Aisha kuwa muislam
@queengee988
@queengee988 5 жыл бұрын
Safi sana yan halaf unakut mtz anajifany hajui kiswahili washenzi kbs
@butondodavid2105
@butondodavid2105 5 жыл бұрын
Yaan wagen wanasamin lugha milimbuken sasa ikiwa ugenn hatakiswahl hawaongei
@queengee988
@queengee988 5 жыл бұрын
@@butondodavid2105 yana jifanya kizungu mbele shwain yan huw nakerek bac tu na ndo maan rais wa chin hat akiend nchi yyt anaongea lugha yake na si nyingn asa Tz yet sas majanga😂😂😂
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 5 жыл бұрын
@@queengee988 Wapuuzi
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 жыл бұрын
Huwa wana niboa kiukweli bhasi tu Mamy 😱
@hajjiqasim5977
@hajjiqasim5977 4 жыл бұрын
😁😁😁love you tz love you kiswahili
@shabanichaye8255
@shabanichaye8255 5 жыл бұрын
Kama umesikia jina la Rais Magufuri gonga like
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 5 жыл бұрын
Maasha Allah Aisha muislam😘
@issaathumani4682
@issaathumani4682 5 жыл бұрын
Hahahaaa! Hiki kiswahili ni nomaaaa! Nimefurahi sana
@boniphacenyamhanga9395
@boniphacenyamhanga9395 5 жыл бұрын
Napenda Ayo tv, sana hongereni sana
@onefineday7613
@onefineday7613 5 жыл бұрын
Jamani tuwachangie ticket za kwenda Tanzania...mchina bwana..hongerini sana. Wafanya kazi as Ubalozini wanafaa kuwa tembelea😊
@rodicostantino7278
@rodicostantino7278 5 жыл бұрын
arie Sikiaa anapika kuku samaki firigisi like zangu
@hersheymoge1232
@hersheymoge1232 5 жыл бұрын
Wow Tanzania is very famous in China 🇨🇳
@mmlove9127
@mmlove9127 4 жыл бұрын
Huyu Demu akikaa bongo wiki mbili tu ataongea kiswahili zaidi ya profesor kabudi....
@mukhsinsalum9871
@mukhsinsalum9871 5 жыл бұрын
Duuu kajifunza kiswahil hata kufika ajafika ongera sanaaaa
@mohamedbinfadhil1396
@mohamedbinfadhil1396 5 жыл бұрын
Mtangazaji unapomuhoji mtu kama huyo uwe unaongea taratibu sana ili akuelewe na ajifunze zaidi kutoka kwako.
@msafirlaizer2368
@msafirlaizer2368 5 жыл бұрын
That's true bro
@tuphujekumuhkunonyiile3739
@tuphujekumuhkunonyiile3739 5 жыл бұрын
Nikweri maana kunaswali limempita
@hawamkamba2407
@hawamkamba2407 5 жыл бұрын
mhojiwaji mwenyewe yuko moto kujibuuuu
@abdulyabdunuru1476
@abdulyabdunuru1476 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka Sana Hawa wachina kiboko
@Queen-te3lz
@Queen-te3lz 4 жыл бұрын
@@hawamkamba2407 😆😆😆😆😆
@gretamaheri8437
@gretamaheri8437 5 жыл бұрын
Kaka angu unajikaza kucheka sana 😂😂😂😂
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 5 жыл бұрын
AISHA UKO VIZURI KWENYE KISWAHILI
@santegotoronto5803
@santegotoronto5803 5 жыл бұрын
Safi kama umesikia Kuku kinyenzi Gonga like twende sawa
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 жыл бұрын
😅😅🤣🤣🤣😃
@elizabethjoseph2116
@elizabethjoseph2116 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@bimsinan8743
@bimsinan8743 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@hopedavid1556
@hopedavid1556 5 жыл бұрын
Mungu yuwakuona🤣🤣👌
@leahadamu7973
@leahadamu7973 5 жыл бұрын
Tekita. Bei😂😂😂😂😂😂😂
@musahussein3206
@musahussein3206 5 жыл бұрын
Kama umesikia dona sembe napika gonga like
@bananatz4216
@bananatz4216 4 жыл бұрын
Maashaallah Muslim 🙏🙏
@mariamahmad8261
@mariamahmad8261 4 жыл бұрын
maa shaa Allah nimeipenda sana Tz juuu
@wilsondomisian9807
@wilsondomisian9807 5 жыл бұрын
Bradha miradi ayo unapamba kwelkwel unaitangaza kaz yako hongeraa sanaa
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 5 жыл бұрын
Mimi pia funga hamna kula
@aidarousshaban9580
@aidarousshaban9580 3 жыл бұрын
Hamdulillah nimeipenda sana mimi funga hamna kula halafu wewe mzaliwa kwenye uislamu unakula mchana wa ramadhan bila udhuru wowote unazidiwa na aisha mchina huoni haya?
@saidhamisi2795
@saidhamisi2795 3 жыл бұрын
😂😂
@aminamgunga6270
@aminamgunga6270 5 жыл бұрын
Iyo kari khaaaa 😂😂mchina kavunja rekodi
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Ayo tv mko mbali xana duuu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Sangoyamboka
@Sangoyamboka 4 жыл бұрын
Chinese are really very cool. We call it inculturation. They speak african language and eat african food cooked in african way. Waouh! Bravo. Welcome to Afrika.
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 5 жыл бұрын
Safi friend of tz mnatia moyo nchi nzuli sio kupenda vita na maandamano ovyo badae maisha yanakua magumu
@yassirkipemba7889
@yassirkipemba7889 5 жыл бұрын
hamsinyii😂😂😂😂
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
@OnesmoEmmanuel-xr2rf 7 ай бұрын
MUNGU nisaidie siku Moja ikukupendeza niende hii nchi ya china MUNGU nisaidie Mimi🙏🙏🙏🙏
@jeremiakaridushi7974
@jeremiakaridushi7974 3 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri sana mana watu wengi huwa wanakiona kiswahili hakina diri umeona wakina aisha wamejifuza kiswahili wana piga helatu
@kevincray5591
@kevincray5591 5 жыл бұрын
hongera sana AISHA nimekukubari sana
@zakaliajoseph7705
@zakaliajoseph7705 Жыл бұрын
Nmewapenda mnoo pia kwa sababu wanapika vyakula vzuri syo vinyoka nyoka hapana
@rajabuhondo4973
@rajabuhondo4973 3 жыл бұрын
Daa nime penda ucheshi wa dd Aisha safi Sana mungu aku zidi shie
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 3 жыл бұрын
Moja mme moja mke, safi sana. Nimeipenda
@gallousgosbert4993
@gallousgosbert4993 4 жыл бұрын
NIMEWAPENDA SANA HAWA WA WATU WAPO VIZURI SANA NINGEKUWA NA UWEZO WA KUFIKA CHINA NINGEKWENDA NIONJE MAPISHI YAO NIMEFURAHI SANA KUONA WANAONGEA KISWAHILI VIZURI SANA NA HAWAJAWAHI KUFIKA TANZANIA I LOVE YOU ALL CHINESE PEOPLE SO MUCH WELCOME TO TANZANIA MWUAAAAAAAA!
@goodluckmachangu5941
@goodluckmachangu5941 5 жыл бұрын
Vizur sana hii story ni exposure nzur
@DrSanai
@DrSanai 5 жыл бұрын
Aisee, tujifunzeni kichina....kinasaidia sana ukikijua.
@magrethelias1961
@magrethelias1961 5 жыл бұрын
TANZANIA juu hapana chezea
@gracecharles1244
@gracecharles1244 4 жыл бұрын
China bado wanatumia Rambo 🤔🤔🤗😂😂Toto mbili mume n.a. mke...hongeraa sana aisha
@gallousgosbert4993
@gallousgosbert4993 5 жыл бұрын
Safi sana hawa watu wanajitahidi kujifunza lugha yetu kweli nimeamini wana upendo wa kweli
@MtilahBlog
@MtilahBlog 5 жыл бұрын
Safar hii nikifika China nitawatembelea Hawa jamaa.
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
Nichukue na mm! 😓😓
@mcnjovu3525
@mcnjovu3525 4 жыл бұрын
Big up sana milard ayo wachina saizi wamekua kwa rugha
@am12ghh37
@am12ghh37 3 жыл бұрын
Mashallah she is very nice lady ❤👌💕💕
@hadijajohn7434
@hadijajohn7434 2 жыл бұрын
Aisha uko vizuri hongera dada kwa kujuwa kiswahili
@belgieboys9867
@belgieboys9867 5 жыл бұрын
Kwa vile anamjua jina rais MAGUFULI Kwa heshima hii rais magu engemualika huyu Aisha tz. Ni heshima kubwa walilolipatia taifa hili la TZ mpaka kumjua jina rais. MUHESHIMIWA RAIS NAOMBA HUYU MAMA WENGEMSAIDIA KUKANYAGA TZ NA PIA KUWA MGENI WAKO NA WATZ WOTE KWA JUMLA
@saidiissa8729
@saidiissa8729 5 жыл бұрын
Mashaa Allah muislam dah
@queengee988
@queengee988 5 жыл бұрын
Daah wanaume kam huyu mme wa aisha wa kusaidiana kaz hiv tz hawapo yan daaaahh🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@nemohos4885
@nemohos4885 5 жыл бұрын
unakaa wapi?
@naomikimaroh1205
@naomikimaroh1205 5 жыл бұрын
😂😂😂😂wakufa vita vya pili
@mathewkabulwa4273
@mathewkabulwa4273 5 жыл бұрын
Mi nipo dada angu ....japo sijapata wa kupika nae .....
@danieljoseph6309
@danieljoseph6309 5 жыл бұрын
😂😂😂kila mtu anamajukumu yake wewe utaenda kazini kumsaidie
@ndossiadventurestz.6796
@ndossiadventurestz.6796 5 жыл бұрын
Nipo mma
@surusuru1994
@surusuru1994 Жыл бұрын
Ooh my god swahiili China 💖💖💖💖💖💖💖🙏🇹🇿🇨🇳👏👏🇴🇲
@mubanduvuai7876
@mubanduvuai7876 2 жыл бұрын
It soo awesame....
@mwanadamtz1298
@mwanadamtz1298 5 жыл бұрын
Amazing nilicho jifunza kutumia fulsa
@salummuhija4435
@salummuhija4435 5 жыл бұрын
Safi sana nimeipenda
@officialsalmazayn2938
@officialsalmazayn2938 5 жыл бұрын
Unamuliz A anajibu H 😂😂😂😂Watangazaj poleni
@husnanetto4154
@husnanetto4154 3 жыл бұрын
Aki yamung Tanzania nchi pendwa
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 4 жыл бұрын
Dah nmefurahi sana ajawai kufika tz lakini anajuwa vizuri kiswahili
@najma3268
@najma3268 5 жыл бұрын
Watanzania mnakwama wapi wanaume kupsaidiana na mke kupika mama tilie , mko radhi mkae vijiweni kupiga swaga mchana ukifika unaenda kwenye banda la mkewako kula tena ukikuta hata wateja ww ndo unataka uhudumiwe haraka wakati hulipi
@elizabethjoseph2116
@elizabethjoseph2116 5 жыл бұрын
Wanaudhi sio Sir ujanja wa kipuuzi tuuu msaada hakuna pumbu zao hao
@najma3268
@najma3268 5 жыл бұрын
Elizabeth Joseph haswa
@faridaothman
@faridaothman 5 жыл бұрын
Safi sanaaa
@maidasaid9449
@maidasaid9449 5 жыл бұрын
nimefungua miaka bili hapa..hihihihiiii umejitahid aisha
@kassimjuma8713
@kassimjuma8713 5 жыл бұрын
Harafu eti vijidada huku vinajifanya havijui kiswahili
@elizabethjoseph2116
@elizabethjoseph2116 5 жыл бұрын
Kweeeli utakuta vi english viiiiiiingi
@babuallyabdallah2964
@babuallyabdallah2964 4 жыл бұрын
Ukiwachunguza sana hao utagundua ni vipigaji tuu
@gullaalex6590
@gullaalex6590 4 жыл бұрын
😂Umeonaee
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 3 жыл бұрын
Umeona 🤣🤣🤣
@dainapendo5444
@dainapendo5444 3 жыл бұрын
Si vijinga tu
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 5 жыл бұрын
Nimetaman dona hilo jmn😋😋😋
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Жыл бұрын
Tuache uvivu tufanye kazi fulsa zipo nyingi bongo,vijana mnachagua kazi mnachotaka ni kubofya bofya simu zenu na kuzurura ovyo alafu mdondoshewe pesa tutachelewa xana,Enx ayo tv kwa kutuletea mambo mazuri
@gullaalex6590
@gullaalex6590 4 жыл бұрын
😍😍Karb tz aisha
@PowerPower-ms3bs
@PowerPower-ms3bs 4 жыл бұрын
Safi sana mchina
@batulimohamed6088
@batulimohamed6088 3 жыл бұрын
Nimekupenda cn aisha
@zulfamohamed4549
@zulfamohamed4549 5 жыл бұрын
Aisha nimekupenda ujawai kifika tz lakin unsongea kiswahili vizr wadada wa tz wenyewe wanakwambia kiswahili awakijui yan wanaboa kwel uko ndy mkataa kwao mtumwa
@babuallyabdallah2964
@babuallyabdallah2964 4 жыл бұрын
Wapigaji tu hao Wanajifanya kizungu kwa wiiiiingi!!! Ukizubaa imekula kwako
@paulofesto4948
@paulofesto4948 5 жыл бұрын
Safi sana Aisha
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 жыл бұрын
Magufuli ana julikana hadi China
@fettyameir4514
@fettyameir4514 5 жыл бұрын
Nic
@kristinaojambo3611
@kristinaojambo3611 5 жыл бұрын
Asante saana bint
@batromeombogo7131
@batromeombogo7131 5 жыл бұрын
Huo uguli uwe mgumu basi maana kuna wasukuma huku wakija huko kama ugali laini watamaliza sufuria nzima walai
@elizabethjoseph2116
@elizabethjoseph2116 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umetisha et watamaliza sufuria
@madinabilos6617
@madinabilos6617 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 4 жыл бұрын
😂😂😅😂🤣😂😅🤣😂
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 4 жыл бұрын
Kweli kabisa maan ugali unaonekana laini laini hatari
@blessmsolina727
@blessmsolina727 4 жыл бұрын
Jamani
@linusrohomoja8856
@linusrohomoja8856 4 жыл бұрын
shikamoo kiswahili, mi nilidhani kawahi kukaa mbagala maana anatiririka kiswahili hadi raha.
@selemanikapara1972
@selemanikapara1972 5 жыл бұрын
ila nilicho jifunza wenzetu huwa hawaachi fursa. aisha huyo kama ni huku kwetu huyu ni mama ntile kabisaaa wa kitaa, lkn kajiongeza kaenda kusoma kiswahili ili ahudumie wateja wake lkn kwetu huku anaye jifunza kichina ni tour guide lkn kwa mama ntile kibongo bongo bado sanaaaaa japo kuwa wachina wako kibao wanafanya shughuli za ujenzi. watanzania tujifunze kitu kutoka kwa AISHA kujiongeza ni kitu muhimu sanaaaa
@mosimba467
@mosimba467 3 жыл бұрын
Kweli kabisa ndg yangu
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 5 жыл бұрын
karibu sana kwenye dini yako ya asili Msalimie sana kaka Jet lee
@mrholela7906
@mrholela7906 5 жыл бұрын
Haha hahahaha ....mnachekesha sana
@shekinahfaymatatiana5875
@shekinahfaymatatiana5875 4 жыл бұрын
Kazi ipo 😝😝😂😂nimecheka
@badaral6167
@badaral6167 Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah mashallah Aisha
@ambrosekituyi2199
@ambrosekituyi2199 5 жыл бұрын
Kwa kasi hii wachina wameshaiteka dunia nzima. The future is exciting.
@jp1780
@jp1780 5 жыл бұрын
Ambrose Kituyi wamesha taker over dunia American hawajajuwa tu ila soon they will see most countries will start using the dollar and that will be the end of it
@Swedishmumy
@Swedishmumy 5 жыл бұрын
karibu again chin
@judithakoth1834
@judithakoth1834 4 жыл бұрын
Mbavu zangu jamani😂😂😂😂paspo hamna janani😂😂😂
@hawasaleh504
@hawasaleh504 4 жыл бұрын
Hamshinyi Hhhhh nmeshjua kmbe kichna
@michelletv5648
@michelletv5648 3 жыл бұрын
Nasikia Raha Sana💕💕💕💕💕💕
@khamisshee4706
@khamisshee4706 5 жыл бұрын
Mashaallah
@priscalameck8700
@priscalameck8700 3 жыл бұрын
😀😀kiswahili kinachanja mbuga duuh
@aminamadenge8598
@aminamadenge8598 Жыл бұрын
Ayo naomba mm nifike uko niwasaidie tufike mbali kwenye bishara jaman
@mubanduvuai7876
@mubanduvuai7876 2 жыл бұрын
I like the way she talks
@frankassey5971
@frankassey5971 5 жыл бұрын
Kumbe kuku wa kienyeji wapo
@veronicadickson1859
@veronicadickson1859 4 жыл бұрын
safi Sana, Sasa unawakuta watanzania wajifanya hawajui kiswahili eti aonekane kingereza kimemuathiri hovyo 😂😂
@janempoki1709
@janempoki1709 5 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha unachekeshaaaaa we we mchinaa
@zainabubakari8489
@zainabubakari8489 3 жыл бұрын
Unazaliwa chikundi huko alf kesho ukihojiwa unafnya hujui kiswahili aiseeee 😂 bongo n kwikwi jmn mweeeew
@zakayomusa9933
@zakayomusa9933 4 жыл бұрын
Hongera Aisha
@shuaybukitwanga7644
@shuaybukitwanga7644 3 жыл бұрын
Mashallaaaaaah Aisha
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
Aisha anaongea kama masai!
@deboramushi8471
@deboramushi8471 4 жыл бұрын
duuuh mchina nomaaa
@giftnyakipande1253
@giftnyakipande1253 4 жыл бұрын
Wow
@bongodoeverything5805
@bongodoeverything5805 4 жыл бұрын
Chips makange kama usikia rply😂😂
@sarahsarah4919
@sarahsarah4919 4 жыл бұрын
Mashallah
@estherdeo1858
@estherdeo1858 3 жыл бұрын
Good job
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 жыл бұрын
Safi sana dada
@e.b.m.y.c.b4848
@e.b.m.y.c.b4848 5 жыл бұрын
Mchina ametisha sanaa
@avand4237
@avand4237 3 жыл бұрын
Safi sana
@cornelfaya3746
@cornelfaya3746 5 жыл бұрын
shikamoo wachina, me nilijua munaweza kuiga machumachuma kumbe hata kiswahil?
@samijumanne7984
@samijumanne7984 3 жыл бұрын
👏👏
@zaidishabani5745
@zaidishabani5745 5 жыл бұрын
Kwel Sasa ubunifu unaonesha matunda yake sio kila siku wasanii embu tujifunze km hivi
@esthernsami7732
@esthernsami7732 4 жыл бұрын
Watanzania mwe macho.Mtapikiwa Mbwa na Nyoka
WACHINA WANAVYOKULA CHURA, NYOKA, KONOKONO, MENDE, NG'E NA MAMBA
7:29
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 12 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
LIVE# NILIACHA CHUO NA KUKIMBILIA BIASHARA YA GENGE !
15:19
Agha Media
Рет қаралды 10 М.
NDOTO  ZINAZO  WEZA KUKUJULISHA MKE AU MME  KAMA  KACHEPUKA/SHEIKH ABUU JADAWI
13:27
UKIANGALIA UTATOKWA NA MACHOZI
4:46
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 44 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН