Tunakuamini chama ukitulia unaweza fanya makubwa sana. Cha muhimu usisikilize makelele ya nje yatakupoteza. Msikilize Coach Gamondi na wachezaji wenzako ili kutengeneza uwiano mzuri utakaoleta radha tamuu ya mpira ndani ya timu yenu. Keep it up!
@kareemibrahim18922 ай бұрын
Utopwakiswiii mnapat tabu 😂😂😂 hay mpen ushuzi chama
@naliakafatuma98702 ай бұрын
GOD is good all the time and all the time and all the best chama good work be blessed shalom
@ushiwamarandu74332 ай бұрын
tupe hiyo tofauti ambayo hawa ahmed ally anaijuwa hahahaaaaaa...!
@ShaniKuveta2 ай бұрын
Big up the brain ukwel unajua tu
@mwansasujonny35362 ай бұрын
Maestro...
@amaniomar17552 ай бұрын
Triple C
@julianagowele91632 ай бұрын
Nakuamini sana Chama. Subiri uwaonyeshe
@adamgwila33952 ай бұрын
Unamwami n mungu wako wewe
@julianagowele91632 ай бұрын
@@adamgwila3395 kwani wewe mimi nikimuamini unaumia na nini. Huko kwingine ni kuwashwa tu na comment za watu
@adamgwila33952 ай бұрын
Hongera utopole chama ndio ndoto yenu
@rosenyoni64262 ай бұрын
Ulikuwa unauza mechi
@NasibuAlban2 ай бұрын
Muulize ana miaka mingapi
@EsterKindoli2 ай бұрын
😂😂😂😂
@molenicharles91072 ай бұрын
26😂😂
@Kabeya4102 ай бұрын
Muhimu kitu kutoka miguu yake miaka utaijua tarehe 8 akipiga chuma 2 peke yake
@WatuShazi2 ай бұрын
Mkifunngwa mech imeuzwa mpira unamatokeo ya ajabu kuwa mtu wa soka
@mossesmohd51702 ай бұрын
Apo mwisho nimeskia amesema nguvu moja
@LeylaSaria2 ай бұрын
😂😂😂daima mbele nyuma mwikoooooooo
@errydeo88652 ай бұрын
And then?!
@BenjaminiMathayo2 ай бұрын
Hata huku uliko hatuna imani na wewe
@EMAALAY2 ай бұрын
Siku zote kile apandacho mtu huvuna tu
@tujifunze83692 ай бұрын
bye bye C C C sad to see you leave
@JoshuaPaulo-n2u2 ай бұрын
Kwenda uko msaliti mkubwa wewe😮😢atutaki sifa yako
@azizymachadeson35772 ай бұрын
😂😂😂 Ka inauma katika isikuchubue
@HabibuMuhunzi2 ай бұрын
Mbn Ujamuuliza umri wake
@revocatusawadhi65502 ай бұрын
Kwn ww una umri gn?
@HajiAliSaid2 ай бұрын
Unataka kuolewa nae mpaka unauliza umli
@revocatusawadhi65502 ай бұрын
@@HajiAliSaid ww n mkundu makasiriko ya nn matako ww
@EsterKindoli2 ай бұрын
@revoca😂😂😂tusawadhi6550
@marthastephen66002 ай бұрын
Umezidiwa kidogo tu na mzamiru na shomary kapombe na zimbwe kama kifungashio
@HussainMaula-tz8dh2 ай бұрын
Unajua hata aliemuua hamza simba wa uislamu ndie mtu aliekuja kumuua kubwa katika makubwa ya ukafiri.kwa io wana simba tusimuhukumu chama siku zote wakati ndio utaamua.
@AsifuSule2 ай бұрын
Chama waonyeshe uwezo wako makoloo wazid kukuchukiaa
@rosekwayu2 ай бұрын
Hatuko hivyo sis ww ...
@ElizabethEmmanuel-nj1oi2 ай бұрын
Waliokua wanakucheka wew Mzee Leo unacheza kwao sijui watakubadilishia jina la uzee ama yetu macho
@seciliamchalo56272 ай бұрын
Ashakua kijana uzee mwisho Simba ukija Yanga ni Young hujui hilo
Tunaisubiri Thank You. Ili Nassisi Tumalizie Very Mutch.
@SuzanIkwabe2 ай бұрын
Tunae na tunatamba nae ccc🎉@@nurdinmfamau3493
@bantujunior95492 ай бұрын
Mbona imetoka na machungu ivo
@AlphonceYona2 ай бұрын
Huna ishu tena
@StevenTambi2 ай бұрын
Mmetemwa nyinyi
@RosemaryMarube2 ай бұрын
Ila chama ulichokifanya kama hakina ubaya basi ubarikiwe lakini kama kuna unafiki ndani yako natimu yako nadhani hamna kitu utakachokifanya kifanikiwe
@AnuaryBoimanda2 ай бұрын
Exactly 💯💯💯
@frankJonas-du5he2 ай бұрын
Achen roho mby football biashar nyie hamuogop
@errydeo88652 ай бұрын
Maisha ya mpira ni mafupi kwa hawa wachezaji kumbukeni wengi hawajaenda sana,mpira ndo kila kitu! Maisha ya mpira yakiisha basi! So,maslahi yao ni muhimu! Hakuna mchezaji siku hizi eti ana mapenzi na club! Maslahi kwanza! Hizo dua za kuku wekeni PEMBENI
@NasibuAlban2 ай бұрын
Simba walikuokota ukiwa na rasta chafu hujitambui ulikua chokoraa leo umekua msaliti muuza mechi wewe tamaa zimekujaa tunakuchukia tunaomba uvunike mguu ulifiwa na mke wako simba wakakusitiri na utavunjika tu mguu subiri uone
@marthastephen66002 ай бұрын
Sisi tulivokua tunaongea kwa fei na mayele mlituita washamba vipi leo imekuaje tena si nyie ndo mmemuacha had kaja yanga akiwa ni free agent amewasaliti kwa lipi mlitaka azeekee hapo😅
@marthastephen66002 ай бұрын
Mliwachukua morrison niyonzima gadiel na kakolanya yanga ikiwa inajitafuta mkafurah wenyew leo vipi tena ndugu zetu😅
@domymerinyo81652 ай бұрын
Alikuwa ndio muuza mechi na kuongoza migomo ya kimyax2
@SamweliMango2 ай бұрын
Na wew ukianza ushabk wa simba ulikuwa unanuka mavi....pumbavu
@muhsiniamiri93102 ай бұрын
huyu nimchezaji so anatfut maisha so wachezaj hawan tmu mashabik nd wanatmu tusiwajaj