CHAMA NI MAGUGU, MO DEWJI KAAMUA KUFANYA USAFI “ILA IMETUUMA KWENDA YANGA”

  Рет қаралды 17,117

Millard Ayo

Millard Ayo

5 күн бұрын

Пікірлер: 52
@mwitamalwa2773
@mwitamalwa2773 3 күн бұрын
Mm naona sawa tu chama kwenda yanga make anatuletea mauza uza
@joshuakitunzi9500
@joshuakitunzi9500 3 күн бұрын
Kbs aondoke bhn
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 3 күн бұрын
Sawa Gugu linaenda kufanya kazi mjiandae kisaikolojia
@kennedymafole
@kennedymafole 3 күн бұрын
mimi ni yanga laikini nakubali GB64 anajua mpira na ana facts nzuri, anapaswa kupewa nafasi kubwa katika matawi na influence.
@mikidadymohammedy7603
@mikidadymohammedy7603 3 күн бұрын
Mm kwangu naona sawa tu.
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 3 күн бұрын
Msimu ujao MAKOLO mkiburuzwa, huyu huyu ataanza kulaumu viongozi walimuacha Chama...msipende kuweka nadhiri msizoweza kutimiza, maneno meeengi pa pa pa pa pa , bwege wewe
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 3 күн бұрын
Si ulisema utahama Kwa MAKOLO na kwenda Azam ikiwa Chama atahamia YANGA..🤣🤣🤣
@bigjizee4130
@bigjizee4130 Күн бұрын
Kabisa huyu jamaa alikuwa anaongea utadhani hana kichwa 😂
@ushiwamarandu7433
@ushiwamarandu7433 3 күн бұрын
SIYO KWELIIII!
@user-yq7gz7qo6d
@user-yq7gz7qo6d 3 күн бұрын
Jamaa ana akili sn apewe nafasi na wamsikiluze mara kwa mara anaongea point naomba kuwasilisha
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 2 күн бұрын
Tupo na Mkwala hao wengine ni Mangugu
@mbtlforofficesolution4926
@mbtlforofficesolution4926 3 күн бұрын
Tunajifariji na hatujajipanga nikama tunaanza kutengeneza Timu....hivi tunaweza fika malengo tuliyojipangia...au ndiyo ule msemo sizitaki hizi mbichi
@ushiwamarandu7433
@ushiwamarandu7433 3 күн бұрын
duh huyu jamaa mbona leo kawa mpole sanaaaaaa...?
@DaluChiwinga
@DaluChiwinga 3 күн бұрын
Pole kaka
@user-ip2we5uc7n
@user-ip2we5uc7n 3 күн бұрын
WEWE ULISEMA CHAMA AKIENDA YANGA UTAACHA KUSHABIKIA MPIRA, LEO UNAONGEA NINI TENA
@ElishaOisso
@ElishaOisso 3 күн бұрын
Nenda chama hatukudai,asante sana mwamba wa lusaka
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 3 күн бұрын
Kweli watz kiswahili mingi du tunaweza kukusikiliza mpk kesho asubh kwa vile hutaki kukubali kuwa we uliroka.Du Watz kweli kiswahili mingi😅
@jovnroma
@jovnroma 3 күн бұрын
Mungu ni mwema sana acha Chama atupishe kwanza
@NyasanaTv-ol4ix
@NyasanaTv-ol4ix 3 күн бұрын
Imekuuma nini chama aliikuta simba katoka watakuja wengine zaidi yake mtoto akifa kwahiyo ndo unakata tamaa kulala mkeo eti ukimzaa na huyo atakufa jamani amkeni zama za kukaa na mchezaji miaka mingi ni tatizo kubwa sana yanga wenyewe hawawezi kumpa chama miaka mingi hapo ikizidi ni miwili hatozidi hapo huyo chimba anaenda kusitafia soka lake yanga kashachoka huyo
@Prosperkaluta
@Prosperkaluta 3 күн бұрын
Hata wewe imekuuma
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 3 күн бұрын
Ahadi ni deni
@KarimSaidi-pn8nw
@KarimSaidi-pn8nw 3 күн бұрын
Toka apa
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 Күн бұрын
Ww kabla ya yote vua jezi ya makolo Vaa ya Azam SI ulisema utaama Simba kenge we
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 3 күн бұрын
Acha kujitetea unaropoka bw uliona ulilala mahabusu.aaa we vipi bwashe? Kubali uliropoka yaishe bw.😂
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba 3 күн бұрын
Hapo unatuburuza chama hajamuacha ukweli ni kwamba chama kaicha simba huo ndio ukweli ata ww unalijua hilo.
@apostlejacksonkalinga5191
@apostlejacksonkalinga5191 3 күн бұрын
Ngoja mda ufike tutaona kama chama ni gugu au ni mchezaji.
@IdrisaNasor
@IdrisaNasor 3 күн бұрын
Simba ikifanya vbya uyu uyu ndio atakaekuja kulalamikaaa kwann viongozii wmemuachaa chamaaaa😅😂😂
@joachimkanoni7518
@joachimkanoni7518 3 күн бұрын
Assist ya chama kwa Okrah 1_1
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 3 күн бұрын
Mzee wa Azam kapoa sana 😂😂😂ila Gb64 simba kindakindaki
@daudimichael7338
@daudimichael7338 3 күн бұрын
Alisema atahamia Azam, tunamsubiri ahamie Azam😂😂😂😂
@mansourmzalla6696
@mansourmzalla6696 3 күн бұрын
Wewe Fanya uende azam tunaomba ahadi itimizweeeeeeee
@DeborahSaitoti-oy7fm
@DeborahSaitoti-oy7fm 3 күн бұрын
Mazoea kazn matokeo yake ni hyo kila siku chama mgomo kila siku yeye tu acha nanaye sema chama ikiwezekana
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba 3 күн бұрын
Nyie waandish mtakuja kuuwa watu sio busara kumuita huyu jama na kuanza kumuhoji maswala ya simba wakati mnajua fika ana majonzi, mlitakiwa mumpe muda wa kupumzika badala yake mngempa kitanda apumzike kwa siku ya leo than baada ya week kupita ndio mumuhoji hicho kinacho endelea hiv sasa.
@salehestambul5535
@salehestambul5535 3 күн бұрын
Jamaa kapoa saaana leo.
@alphoncealmack9240
@alphoncealmack9240 3 күн бұрын
Huyu jamaa hata sijui kwanini anapewa mike kuhojiwa 😂😂😂😂 huwa hajitambui kabisa yupo kama king'amuzi vile😂😂😂 si alisema Yanga haina uwezo kumsajili Yanga
@DanielChaula
@DanielChaula 3 күн бұрын
😂😂😂
@CHACKRYABDALA
@CHACKRYABDALA 3 күн бұрын
Huyu hayuko VIZURI JUU ya hili kapagawa
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 3 күн бұрын
Yan unaumia yanga kuchukua magugu sasa si ufurahi na ngao ya jamii mnakutana nae huyohuyo chama kulaanina
@AminaAmina-cr8jq
@AminaAmina-cr8jq 3 күн бұрын
AnMdomo huyu alisema Chama hawez kwenda,yanga hashaushiki na chips
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 3 күн бұрын
Amepoa😂😂😂😂
@AminaAmina-cr8jq
@AminaAmina-cr8jq 3 күн бұрын
Ogelea,Chama yooooko Chama ni mama yKo mam yako yeyewe alichepka akamuacha bb yako jifikirie kbla ya kuongea yoooko yakooo
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 3 күн бұрын
kirusi kimeondoka
@Sostere98
@Sostere98 3 күн бұрын
Simba tunataka vijana wenye moto
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 3 күн бұрын
Mo anamoto
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 3 күн бұрын
Huwa unalopoka tu ili ushabikiwe. Huna jipya rudia clip yako uliyoongea ovyo. Pumbafuu!
@nicodemuswidambe5132
@nicodemuswidambe5132 3 күн бұрын
Waongo nyie kawagomea acha kusema mmeflash hiyo ni laana. Mnamlamba miguu mo kashindwa kulipa acha kusema mlikuwa hammtaki. Rejea clip zako leo unakuja na miwani yako unatudanganya. Pumbafuuu!
@johnjulliusntwenya4713
@johnjulliusntwenya4713 3 күн бұрын
hahahahah
@mosesdavid-vm5hk
@mosesdavid-vm5hk 3 күн бұрын
HUYU SIO GB 64 NAYEMJUA MIMI
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba 3 күн бұрын
Kushindwa kubaya sasa furaha utaipata wapi? Wakati kipenzi cha makolo leo chama anaitwa gugu hebu mkumbusheni swali kati ya chama na pakome nani zaidi.
@AminaAmina-cr8jq
@AminaAmina-cr8jq 3 күн бұрын
AnMdomo huyu alisema Chama hawez kwenda,yanga hashaushiki na chips
UCHAMBUZI SAKATA LA FEISAL SALUM, JE, ANAKWENDA SIMBA AU HAENDI?
14:01
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 88 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 14 МЛН
HAKUNA NDOA
11:49
Joti TV
Рет қаралды 212 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 88 МЛН