Mm naona sawa tu chama kwenda yanga make anatuletea mauza uza
@joshuakitunzi95003 күн бұрын
Kbs aondoke bhn
@Carolina-sm5zt3 күн бұрын
Sawa Gugu linaenda kufanya kazi mjiandae kisaikolojia
@kennedymafole3 күн бұрын
mimi ni yanga laikini nakubali GB64 anajua mpira na ana facts nzuri, anapaswa kupewa nafasi kubwa katika matawi na influence.
@mikidadymohammedy76033 күн бұрын
Mm kwangu naona sawa tu.
@ismailmasoud60013 күн бұрын
Msimu ujao MAKOLO mkiburuzwa, huyu huyu ataanza kulaumu viongozi walimuacha Chama...msipende kuweka nadhiri msizoweza kutimiza, maneno meeengi pa pa pa pa pa , bwege wewe
@ismailmasoud60013 күн бұрын
Si ulisema utahama Kwa MAKOLO na kwenda Azam ikiwa Chama atahamia YANGA..🤣🤣🤣
@bigjizee4130Күн бұрын
Kabisa huyu jamaa alikuwa anaongea utadhani hana kichwa 😂
@ushiwamarandu74333 күн бұрын
SIYO KWELIIII!
@user-yq7gz7qo6d3 күн бұрын
Jamaa ana akili sn apewe nafasi na wamsikiluze mara kwa mara anaongea point naomba kuwasilisha
@renatusblandes11312 күн бұрын
Tupo na Mkwala hao wengine ni Mangugu
@mbtlforofficesolution49263 күн бұрын
Tunajifariji na hatujajipanga nikama tunaanza kutengeneza Timu....hivi tunaweza fika malengo tuliyojipangia...au ndiyo ule msemo sizitaki hizi mbichi
@ushiwamarandu74333 күн бұрын
duh huyu jamaa mbona leo kawa mpole sanaaaaaa...?
@DaluChiwinga3 күн бұрын
Pole kaka
@user-ip2we5uc7n3 күн бұрын
WEWE ULISEMA CHAMA AKIENDA YANGA UTAACHA KUSHABIKIA MPIRA, LEO UNAONGEA NINI TENA
@ElishaOisso3 күн бұрын
Nenda chama hatukudai,asante sana mwamba wa lusaka
@thadeusmarkiminja22823 күн бұрын
Kweli watz kiswahili mingi du tunaweza kukusikiliza mpk kesho asubh kwa vile hutaki kukubali kuwa we uliroka.Du Watz kweli kiswahili mingi😅
@jovnroma3 күн бұрын
Mungu ni mwema sana acha Chama atupishe kwanza
@NyasanaTv-ol4ix3 күн бұрын
Imekuuma nini chama aliikuta simba katoka watakuja wengine zaidi yake mtoto akifa kwahiyo ndo unakata tamaa kulala mkeo eti ukimzaa na huyo atakufa jamani amkeni zama za kukaa na mchezaji miaka mingi ni tatizo kubwa sana yanga wenyewe hawawezi kumpa chama miaka mingi hapo ikizidi ni miwili hatozidi hapo huyo chimba anaenda kusitafia soka lake yanga kashachoka huyo
@Prosperkaluta3 күн бұрын
Hata wewe imekuuma
@haidhabushiri95583 күн бұрын
Ahadi ni deni
@KarimSaidi-pn8nw3 күн бұрын
Toka apa
@ramadhanimrungu5806Күн бұрын
Ww kabla ya yote vua jezi ya makolo Vaa ya Azam SI ulisema utaama Simba kenge we
Mazoea kazn matokeo yake ni hyo kila siku chama mgomo kila siku yeye tu acha nanaye sema chama ikiwezekana
@NassoroSipemba3 күн бұрын
Nyie waandish mtakuja kuuwa watu sio busara kumuita huyu jama na kuanza kumuhoji maswala ya simba wakati mnajua fika ana majonzi, mlitakiwa mumpe muda wa kupumzika badala yake mngempa kitanda apumzike kwa siku ya leo than baada ya week kupita ndio mumuhoji hicho kinacho endelea hiv sasa.
@salehestambul55353 күн бұрын
Jamaa kapoa saaana leo.
@alphoncealmack92403 күн бұрын
Huyu jamaa hata sijui kwanini anapewa mike kuhojiwa 😂😂😂😂 huwa hajitambui kabisa yupo kama king'amuzi vile😂😂😂 si alisema Yanga haina uwezo kumsajili Yanga
@DanielChaula3 күн бұрын
😂😂😂
@CHACKRYABDALA3 күн бұрын
Huyu hayuko VIZURI JUU ya hili kapagawa
@mustafamsati95993 күн бұрын
Yan unaumia yanga kuchukua magugu sasa si ufurahi na ngao ya jamii mnakutana nae huyohuyo chama kulaanina
@AminaAmina-cr8jq3 күн бұрын
AnMdomo huyu alisema Chama hawez kwenda,yanga hashaushiki na chips
@remidusmwanandenje-yy5gs3 күн бұрын
Amepoa😂😂😂😂
@AminaAmina-cr8jq3 күн бұрын
Ogelea,Chama yooooko Chama ni mama yKo mam yako yeyewe alichepka akamuacha bb yako jifikirie kbla ya kuongea yoooko yakooo
@fauzishabani26223 күн бұрын
kirusi kimeondoka
@Sostere983 күн бұрын
Simba tunataka vijana wenye moto
@nicodemuswidambe51323 күн бұрын
Mo anamoto
@nicodemuswidambe51323 күн бұрын
Huwa unalopoka tu ili ushabikiwe. Huna jipya rudia clip yako uliyoongea ovyo. Pumbafuu!
@nicodemuswidambe51323 күн бұрын
Waongo nyie kawagomea acha kusema mmeflash hiyo ni laana. Mnamlamba miguu mo kashindwa kulipa acha kusema mlikuwa hammtaki. Rejea clip zako leo unakuja na miwani yako unatudanganya. Pumbafuuu!
@johnjulliusntwenya47133 күн бұрын
hahahahah
@mosesdavid-vm5hk3 күн бұрын
HUYU SIO GB 64 NAYEMJUA MIMI
@NassoroSipemba3 күн бұрын
Kushindwa kubaya sasa furaha utaipata wapi? Wakati kipenzi cha makolo leo chama anaitwa gugu hebu mkumbusheni swali kati ya chama na pakome nani zaidi.
@AminaAmina-cr8jq3 күн бұрын
AnMdomo huyu alisema Chama hawez kwenda,yanga hashaushiki na chips