Mtumishi wa Mungu aliyejaa hekima na busara.Twakupenda Sana hapa Kenya. 🇰🇪..wapi Wakenya wangapi hapa?
@evamoka65202 жыл бұрын
Mimi hapa mkenya nakuunga mkono.
@johngachugu3052 жыл бұрын
Tupo Kenya hoyee 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@barnabasmtelevu65004 жыл бұрын
Maneno ambayo Mungu mwenyewe ameyaweka kwenye kinywa cha mtumishi wake yanaonekana wazi kabisa. Hata mimi "nimekuelewa" Baba mchungaji. God bless you!
@willykikwete86264 жыл бұрын
Mgogo umeongea jambo la kweli kabisa na umetoa ELIMU kubwa kwa nchi. Na wewe tumekuelewa
@chrisshonga4 жыл бұрын
Kwa kweli mchungaji tumekuelewa na MUNGU akibariki kwa kukutumia kama chombo cha kusaidia wanyonge
@dariuslimbu23254 жыл бұрын
Mgogo katumia fursa hongera zake sana GOD bless him
@mwimbajinamwalimujaphetgeo17184 жыл бұрын
Du! Mgogo NI hatali Sana, kaongea point kubwa sana
@mamlakapaluku886Ай бұрын
Amina Mungu akubariki Mchungaji kwa Maono haya na kwa somo nzuri
@saimonjulius13194 жыл бұрын
Saf sana mgogo nimekuerewa pia, na nimeshamuerewa raisi wetu
@evapoul42974 жыл бұрын
Mchungaji nakupenda mno,yesu kristo akutunze
@yaseenkara90164 жыл бұрын
KAKA nimekuelewa sana maana hata sisi yametukuta hayoo hayoo cha ajabu na kushangaza kabla ya kununua tumeenda manispaa mpk ramani tumeoneshwa ya kiwanja lakini mwisho wa siku tumeambiwa ni eneo la RELI
@bulugubujilima13323 жыл бұрын
Baba MUNGU tubariki moyo wa uzarendo waafrika woto,Amina!
@isayamichael4 жыл бұрын
Mungu anapenda wajumbe wa namna hii hakika mungu akubarika kwa kufkisha point hii Amina
@nlhdma99254 жыл бұрын
Rais Ma anafanta kazi nzuri sana kwa watanzania.
@rev.musabalalarogersmusabalala4 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA RAIS WETU NA UMEONGEA KWELI MCH. MGOGO RAIS MUNGU AKUTUNZE TUNAKUOMBEA ZAIDI
@majaliwamsigwa39744 жыл бұрын
Umeeleweka mtumishi wa Mungu
@josephjuma62422 жыл бұрын
Kweli mchungaji Mgogo Magufuli alikuwa kiongozi mwenye maono kweli, Joseph kutoka magharibi mwa Kenya
@elizamabula2 жыл бұрын
Hallelujah maneno ya mungu yako ndani yako baba Asante kwa usemi mzuri mungu akubariki.
@MMUNGAHOSEA4 жыл бұрын
Nimefurahiii sna kuona tabasamu ya wa Africa hakika Tanzania 🇹🇿 katka myaka inayo kuja hapo itakuwa inchi yenye nguvu sna maana Mungu Anaendaa mambo manzuri kwa taifa tangu Tanzania
@Mike-yg7pb4 жыл бұрын
Daaaaah!! Nimekuelewa sana Mgongo Mungu akubariki sana
@zenassylvester1254 жыл бұрын
Yani wewe ni mchungaji wa watu umepiga maneno muhimu ,hongera Rev Daniel Mgogo
"Mimi siombi. Maombi yaliyoombwa hapa na wachungaji Wengine yametubariki lakini Mimi nimeona niyaseme haya." Mchu. Mgogo akinena mbele ya Rais huku watu wakitegemea labda angefanya maombi kama wachungaji walippita. Dah Mgogo nampenda sana!!
@hajidotto88834 жыл бұрын
channel ten mmetisha kwa kutupatia habari exclusive
@kevintengojuma41013 жыл бұрын
I love you man of God
@kamaukamau62333 жыл бұрын
A very wise pastor,I admire you and in this life if I happen to be in your city I'll visit your church for a church service
@jumaigoti86764 жыл бұрын
Pointi mgogo ubalikiwe kwa Ujumbe mzuri.
@sheilalolila22333 жыл бұрын
Magufuli jamani kwanini umekwenda kazi ya mungu aina makosa. Duh tutakukumbuka daima
@forgivepraisebetogod81963 жыл бұрын
Blessed man of God.
@aludomakori42303 жыл бұрын
MUNGU,ampe tano mingine JPM,mgogo ulisema kweli TUMEMUELEWA JPM kwa mafueza yanayoshuka serikalini Sasa hivi,ni lini haya yalipatikana?
@shijathedon54532 жыл бұрын
Mpaka nakosa la kusema kwa watu wenye hekima kama hawa
@shomarisalehe34873 жыл бұрын
Upo vizuri Sana
@fatmalyego25314 жыл бұрын
Wakupinga kila kitu mpoooo maana hamnaga jema nyie,, Mgogo umeongea ukweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,, Magufuli jembe
@francismigongwa41462 жыл бұрын
Amina mtumishi wa BWANA
@winfridakasindye96184 жыл бұрын
Tumekuelewa. Baba, raisi waawanyonge,,tumekuelewa
@zumbeshauri81144 жыл бұрын
Mimi musilimu lakini kiukweli mchungaji huyu huwa hata mahubiri yake anaongea mambo na shida za wengi sio wale wa kukanyagisha watu mafuta
@joshuaibrahim66914 жыл бұрын
Mwenye njaakali mbele ya mfalme nihatari mbele yajamiii bora ukoma
@marynjuguna93953 жыл бұрын
Full of wisdom
@jamesmethuselafredrick60644 жыл бұрын
Safi.!☺
@DavidBogoss3 ай бұрын
Mungu aku bariki sana
@elijahnyamwange35202 жыл бұрын
Great man of God
@petermtonyi91384 жыл бұрын
Mung akubark san kwa maneno y hekima,kwel hat mung alianza nasekta ya ujenzi,tumekuelewa
@manasesamwel59464 жыл бұрын
Mch. Mgogo Nimekuelewa Baba
@badenbensoni75164 жыл бұрын
Amen
@mufush4 ай бұрын
A man full of wisdom
@paulahcatania61373 жыл бұрын
Kweli maneno mazuri.....rip mr
@azorikambale80632 жыл бұрын
Barikiwa mutu wa Mungu
@peterkichochi75102 жыл бұрын
Thinker always speaks widely. Misumari imepenya ila daah. RIP jembe ila mpini umenaki.
@isayamwabulanga77674 жыл бұрын
Wapenda haki atujakuelewa watakuelewa Ambao awapendi haki Lakini naamini ata mungu Hanapenda haki sizani kama hanakuelewa
@hassanjuma26884 жыл бұрын
Haki gani utakayo wewe kuwa muwazi
@isayamwabulanga77674 жыл бұрын
Kama wewe Hutambui dhuruma wanazofanyiwa wapinzani Tz basi basi wewe ufai atakuongoza familia yako
@fredialfredi2024 жыл бұрын
@@isayamwabulanga7767 akiri ni nywele kila mtu na zake
@davidcornel95454 жыл бұрын
Nimekuelewa JPM
@isayamwabulanga77674 жыл бұрын
@@fredialfredi202 hiyo siyo akili ni ujinga Ambao atujaandaliwa ili upate kizazi bora ni lazima umuandae mtoto kwa kufunza kujua thamani za uhai, Hekima, kupenda nchi yake, nakujua thamani ya haki nk Lakini mwafrica yupo tayari Kupoteza thamani uhai kwa kutetea Chama cha siasa
@mbilinyijohnpius84624 жыл бұрын
Thanks mch:Daniel mgogo
@winnersinchrist01 Жыл бұрын
Pasteur tikito Emanuel
@mavinemurila48734 жыл бұрын
Naienzi Tanzania Sanaa japo mie mkenya
@emmanueljacob92254 жыл бұрын
Nakuelewa sana mchungaji
@AdamuShabanimwikoАй бұрын
Mungu mtie nguvu mtumishi wako anaytuhurubira ni ya kweli
@benezethkapongwa80174 жыл бұрын
Yaani mahubiri yako ndo maana sijaachaga kukusikia... Nakuelewa na wewe pia
Tusadiwe sisi wa huku vijijini ili tusivutiwe na maisha ya mjini na kuja kupata hasara za kuvunjiwa nyumba na kusabisha foleni mjini tuboreshewe miundo mbinu huku vijijini kusudi tubaki huku huku tunalazimika kuvamia mjini si kwa kupenda ni kutokana na serikali kutusahau na kubezi na maeneo ya mijini
@amosgwako99252 жыл бұрын
Wwwuuueeehhh....this guy Mugogo daktari... 🖖
@sylviesylvieleonardoliveas61384 жыл бұрын
Amen wa ongeya kweli
@avax57174 жыл бұрын
Hata mimi uncle Magu, ninakuelewa
@catherineamos70872 жыл бұрын
Umeongea point sana Mchungaji Mgogo
@ricksonmrema864 жыл бұрын
Mtumishi hupo sawa
@moyesmassawe19634 жыл бұрын
Point Mtumishi
@gracepeter32003 жыл бұрын
Tumemueleewa Rais wetu
@anyimikeshola12032 жыл бұрын
Amina baba
@ancomagu75104 жыл бұрын
Dah hama kwa hakika umenena vyema yani ni ukweli mtupu
@kindandakudingwa75144 жыл бұрын
Huyu Daniel Mgogo ndio Nani??
@furahamwaijumba55714 жыл бұрын
Ni mchungaji wa Baptist Tanzania Ila anafanya huduma kooote Duniani.
@jeremialyati6092 Жыл бұрын
Well said mtumishi wewe huwezi kuwa upande wa wanafki ni msema ukwel
@salvationsalvatory90974 жыл бұрын
Goooooood Goooooood
@mkangyailutashaggy72072 жыл бұрын
Amen kubwa mchungaji
@sulleysonsulley41604 жыл бұрын
Mhe Rais Hiyo injili imekaa sawa , watu wako wamesikiaa?
@gabrielisack77864 жыл бұрын
Daniel Mgogo umenikosha roho yangu.
@profmasumbuko22883 жыл бұрын
Point taken
@aludomakori42303 жыл бұрын
Jmn,cku nyingine mpeni tena mualiko
@amonamiri44873 жыл бұрын
Mgogo bhana uko vizur...sana
@anyimikeshola12032 жыл бұрын
Amina
@miguelbaptistanhoka14623 жыл бұрын
Upendo kwako mwishimua pastor.niko Moçambique.
@raphaelgadau27834 жыл бұрын
Daniel
@roinajohnson97884 жыл бұрын
Nimekuelewa mgogo mwenzangu
@sallyommy26623 жыл бұрын
Mnyakyusa uyo sio mgogo
@emmanueljackson5324 жыл бұрын
On
@bonfesmwenda40064 жыл бұрын
Pia Mimi nimekwerewa muchugaji
@cobadadon23344 жыл бұрын
ukweli mtupu
@eliaspeter40172 жыл бұрын
Smart 100%
@faustineselestine33273 жыл бұрын
Asante mtunishi
@aludomakori42303 жыл бұрын
JPM wenye akili tumekuelewa
@aludomakori42303 жыл бұрын
Channel ten mmefanya vyema kurudisha video hii kwa muda ambao Sasa tutaona kwa macho mafanikio.
@veileronesmo92194 жыл бұрын
Mchungaj wangu naemuelewaga
@janetkahada52064 жыл бұрын
Ukweli kabisa ubarikiwa
@octaviangeorge11832 жыл бұрын
Nimekuelewa
@genimaige60234 жыл бұрын
Amina mm nimekuelewa na bado naendelea kumuelewa mh raisi wetu