Kweli bado langu sijakosea kulitumia kama naww unakubalia na mm gonga like tuende sawa
@enzimpya43955 жыл бұрын
Moja ya movie mbaya kabisa inachangia ushetani...jambo la ajabu wanadamu na watu wanafurahi ndo ujue kizazi cha hiki na cha ibilisi na ataendelea kuwaua alafu mnasingizia kazi ya mungu Ole wenu
@hajjywapekeetz32935 жыл бұрын
Daaaah sijawahi kujutia kuangali movie za Madebe nilitokea kuchukia bongo movie ilazak...salut
@nyasindedebruno96465 жыл бұрын
Nabii mswahili,ndg naomba uendeleze Sana mahigizo mwisho wasiku bwansmdo utakuwa konkodi zaidi.Bwana akubariki Sana.
@happychurz92025 жыл бұрын
Anae sema moves mbaya akaangalie ya kina rey na kina jack woya na wazazi wake kama hajaona aibu
@natashael_sayed35193 жыл бұрын
Madebe kwakweli wewe ni mwanume ambaye sijui hata nikutafsiri aje mana kazi zako zinafundisha sana pia hata hivo ninajua kutugusa nakupenda sanaaaaaa😯😯🤐
@natashael_sayed35193 жыл бұрын
😘😗
@ukhtyhumairah734 жыл бұрын
Madebe hauna wivu na mkeo anakuwa ivo kifuwa wazi kifupi sio vizur Allah atuongoze uma wa bwana mtume Muhammad
@roi25534 жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu Ni suala muhim la kuzingatia
@salomedavid24175 жыл бұрын
Nzur sna mungu anijalie namm siku kipaji chagu watu wakione na kuwaelimisha
@masilingimbilinyi55895 жыл бұрын
Nikweli hii movie nusu x kabisa miguno kama yote du
@byamungulawi95303 жыл бұрын
Tukutane uwandjani chanuo jamani douuu🇨🇩🇨🇩
@gracejonathan48925 жыл бұрын
Mama hayupo kaenda kwa baba mwingine move ni nzuri lakn haipendez move nyengine kuwashirikisha watoto
@sosoalsos99123 жыл бұрын
Nakukubali sana bro madebe kwa kazi nzuri
@juliusfungo27545 жыл бұрын
Chanuooooo chanuooooo bongo bana noumaaaaa sana
@rafikarifaxani44835 жыл бұрын
Yaani uyu Dada mwenzenu cjui ata nisemeje jamn khaaaa
@AbdulJalil-gs7mn5 жыл бұрын
Uyo dem anajua sana kuigiza konk refa
@ArcardMgendi5 жыл бұрын
Hili jina Chanuo ni la majazi eehn? ...Kiswahili kitamu sana. Nafuatilia toka Kenya +245
@saidindoroma13174 жыл бұрын
nabii mswahili unajuaa sana mpaka unakeraa yaan
@kisongokhamisi40445 жыл бұрын
Nakukubaki sana bro madebe kwa kazi zako
@kikuikobe73245 жыл бұрын
My best actor Ladebe , Fidodido & chanuo big up for them
@bukuruamidu62455 жыл бұрын
Daaahh inabidi tusizaliliki kwa wakezetu
@kijasamwel98335 жыл бұрын
Duu noma
@abdallakithi63945 жыл бұрын
Hongera Madebe umefufua bongo move
@mrishodeguguuz875 жыл бұрын
Safi
@zulachama10675 жыл бұрын
Kweli kabisa sijatumia bundle vibaya movie iko vizuri sana zimehenda bundle za haki kutizama ongera sana Madebe lidai na wenzako mlojumuika
@rajabukhaji33675 жыл бұрын
Ekisx
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Ya wanajitaidi Sana kina Madebe Kuna kipindi aliniambiaga niende kwenye kikundu chake Sema sikuwai kwenda ni mbali nilimwambiaga napenda sanaa
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Hii ndo naiona Sasa sinaimalizia hila nilishawai hona zilizopita walikuwa wanajitaidi tena Kuna moja Wali hekt na huyo mdada alivyosema kazi zote hazina uwafazali Kuna kaka alikuwa anahekti hekt naye akasema anamjuwa huyo dada akawa ameshangaa naye yupo akataja Jina lake akihekt vizur kwenye hiyo muvi hadi nilimpendaga huyo dada
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Alivyosema kingekuwa kina ongea amenikumbusha ule usemi wa kusema kitu kingekuwa kina Sema kingesema
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Nilijuwa mkewe huyo aliyosema za saizi mana alivyokuwa a namwangalia kama anataka kumsuta vile umetoka wapi
@mwakakhamis57625 жыл бұрын
Urefa wa huyu dada mungu aniepushe nao
@sadiarahimu63925 жыл бұрын
kwa kweli hongera sana madebe sijutii MB zangu
@fredrickbilaury74665 жыл бұрын
Yaani fact kabisa haya maisha ndo tunavyoishi
@saidahmed96888 ай бұрын
good movie
@aishasufiani56095 жыл бұрын
Nakuona mbali sana madebe kama usipolewa sifa naukakazana utafika far
@ericksalum69855 жыл бұрын
Mwanamke akiii kuchukia, anaa uwezo wakuku Nyima mtoto aliye tumboni, pia akikupenda anaa uwezo, wakukupa mtoto waa mwanaume mwinginee. HAYO NDOO MAPENZI MUBASHARAA.
@ajlascafff60955 жыл бұрын
Chanuo anakipaji namkubali
@samivan16175 жыл бұрын
honger san kwel mlikaa n kufikilia kz nzurii n mm moja kat shbk wa kaz zak madebe nakukubal ila naomb kama una group niunge nipt move zako zote bro🔥🔥
@johnhassansalum97925 жыл бұрын
yaani huyu Dada anaongea point ya kweli kbs
@bihizaclement98685 жыл бұрын
Refa noma 😂😂😂😂😂😂nimekupenda bure move tamu
@mbegatv41585 жыл бұрын
daaa uyu demu nimemkubali big up kwake
@trecyeddie40645 жыл бұрын
#Daaaah_kumbe_KISONOKO_mnene_HIVYO_jmn noma sana @REFA
@deborahcharles43165 жыл бұрын
Duh, kwakweli si mchezo, unaangalia filamu mpaka unataka kufanya test kwenye real life. Ila muhimu watoto wasiwepo jirani maana hayo maneno si mchezo.
@elizabethjumajuma24095 жыл бұрын
Its so cool
@robertalex52035 жыл бұрын
Hahahahahahah noma
@benedictnzuki92295 жыл бұрын
ms
@omarisaria31683 жыл бұрын
Huyu refa nikimtaka ntampataje ,Niko Kenya.
@williammuchiri47163 жыл бұрын
Hahaha nmemwogopaaaaaaa
@omarisaria31683 жыл бұрын
@@williammuchiri4716 anajua kuchezesha game, anafaa huku kwetu Kenya kunauhaba wa marefa..
Mama hayupo kaenda kwa baba mwingine daaa...!!!hii hatari
@fatmahbakhar96865 жыл бұрын
Filamu thamuu jamani lifaliiii😙😙
@janethkikali41285 жыл бұрын
duuuuu wew dada hatar sana
@mateopaulomtui38265 жыл бұрын
It's so amazing movies I really like it big up
@ibongeyermos76685 жыл бұрын
maneno mazito kabisa
@jumaradhomary85916 жыл бұрын
Napenda mpaka nauuuumwaaa
@priscadaudi48494 жыл бұрын
Nomaaa
@suzantaymer81875 жыл бұрын
Mchepuko sio dili uaminifu ni kitu kizur sana kwenye ndoa mie nashindwaga kuelewa kwann mtu atoke nje ya ndoa yake
@naimasaid77635 жыл бұрын
Umeona ee
@laststizo74804 жыл бұрын
Ukikua utaelewa
@Collinscj4 жыл бұрын
Madebe Lidai my favourite actor
@peterbombo43084 жыл бұрын
Nimeikubali
@nasrahcute42786 жыл бұрын
Nimemueleewa xn uyu dada
@khdigahk42464 жыл бұрын
😄😄😄Uyo ndo Mrs madebeeeee
@mubaarakmuhammad82995 жыл бұрын
Mbna anaonekqn kiuono chenyewe Hana halaf anamaneno yakishujaa hizo mechi anaziweza kweli
@khadijahassan35045 жыл бұрын
mnataka kujaribu 😂😂😂😂
@ibraimogirane72935 жыл бұрын
Hawezi Kito huyo dada anaye jikubar anitafute
@rizikikombe53095 жыл бұрын
Kama haziezi hange ongea kujiamini
@mubaarakmuhammad82995 жыл бұрын
@@khadijahassan3504 rabda kwako
@biashahamisi50425 жыл бұрын
Mubaarak Muhammad
@EstherJoram-gt4lt Жыл бұрын
Haina danload
@kebumtanza51195 жыл бұрын
Hivi hawa walio disliked hii video wanaelewa maana ya dislike kweli??? au ndo tunabonyeza bonyeza popote tuu??? bongo bhana maajabu kwel kwel
@kikuikobe73245 жыл бұрын
Pamoja nami
@kebumtanza51195 жыл бұрын
hahaha kk
@shabanmbajo39385 жыл бұрын
Kebu Mtanza Nenda Uingereza, Akikosea Mmoja tu Bongo Imeoza!
@kebumtanza51195 жыл бұрын
shaban mbajo umetsha sanaaa
@shabanmbajo39385 жыл бұрын
Kwa Nini Ndugu?
@alvinvedastus8555 жыл бұрын
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haha ha kulaleki bigap kwetu watu we mbamba maana ndo tunao jua ulefa wenyemili minene subilin kuchezeshwa uku mkimwaga jasho km bomba la mvua pambafu inaumaga iyoooooooo penda bigap kwako broo madebe mungu akuongoze
@ommymtimbuka69805 жыл бұрын
Huyu dada hii nafac ameitendea haki saaaaaana nimempenda bureee
@issaramadhani97145 жыл бұрын
Hadi raha 100%.
@zaitunijumbe4405 жыл бұрын
Hatari Dada huyu
@jumanyamhanga45695 жыл бұрын
Mtindo wa kuzalia anautumia kutafutia mimnba , duuu!!!! Noma sana
@matatamasudi95765 жыл бұрын
Kaka unatisha iko poa sana lefatena mh nishida
@yasinjumanne92095 жыл бұрын
Aseee kwel maneno kuntuuu duuu🥰🥰🥰😂😂
@barakahatibu16296 жыл бұрын
Nice rena
@hurumakidaga90765 жыл бұрын
maradhi yale nayaona kijiji kizma mtapata rooooho
@juvenilehybremana24635 жыл бұрын
Nimekukubali..
@sarandansopela90515 жыл бұрын
Nakukubali made be lidai
@thomasnyamba71445 жыл бұрын
Dada nime kuku bali sana kwa misemo yako konki
@mariambwela94475 жыл бұрын
Nimeludia tena kucoment dada wakati unaongea maneno hayo usiwe jilan namtoto saw mamy
@kelvintarimo92915 жыл бұрын
Maria Mb wela
@justinealbert26335 жыл бұрын
Mv bukoba
@issaramadhani97145 жыл бұрын
Anatakiwa afanye akiwa yeye binafsi katika maisha yake lakini wanapokuwa wamashout movie zao masuala ya watoto kuwepo karibu na script kama hizi wanazingatia maadili ya kuwepo watoto
@khalfankh39505 жыл бұрын
Safi sana
@haroubiddy55106 жыл бұрын
Noma sana dada uko vizur
@gogfraymataligana60025 жыл бұрын
Haroub Iddy
@aminalibondo75075 жыл бұрын
It's so amazing movie l like it big up for all
@muniramussa15305 жыл бұрын
hahahhaha hii move naipenda sana jaman
@pendojose86775 жыл бұрын
Mama hayupooo, kaenda kwa baba mwingineeeee
@jailosytweve49805 жыл бұрын
Hahahah hahahah
@issaramadhani97145 жыл бұрын
Maradhi makubwa ya jamii ndani ya ndoa yakikosa tiba ni hatari sana.
@fahmiiidrissa61205 жыл бұрын
😁😁😁😁
@MaryamF-yf3yo5 жыл бұрын
Irijama noma yani lina pewa ahadi linafurikinyama
@sofiaissa23315 жыл бұрын
Maryam35531 F kitandani mitindo kifo chs mende peleka leba
@fettyzing57775 жыл бұрын
Refa mrembo sana jomon
@fettyzing57775 жыл бұрын
Hivi hiyo miguno tena veeep jaman mmh hatar
@saniakikoti73955 жыл бұрын
nampenda sana hy dada
@lutherking36665 жыл бұрын
Uyo dda mbali na uhusika aliopew kweny muv mmb piah huonkana anajua
@fadhilihamidu61565 жыл бұрын
Nikweli dada mechi anaicheza kweli kweli
@sospetersiame9065 жыл бұрын
Huyo Dada anajua kucheza uhusika wake Nilikuwa sijawahi angalia movie hii
@roi25534 жыл бұрын
Kweli kabisaaa nikajua me pekee yangu 2 kumbe na nyie wenzangu mumeona eeh Ndio maana madebe akaona Bora tu ajenge nae family
@fettyzing57775 жыл бұрын
Miguno hiyo jaman kama yote
@zainabumigomba29195 жыл бұрын
Fetty zing sasa movie tamu ila wanaelimisha vipi kuhusu magonjwa
@charitynyakondo15044 жыл бұрын
Mmmh chanuo kwa kupiga chapo mambo yote
@muhsinjuma7995 жыл бұрын
Unajitahidi sana
@hamisially49562 жыл бұрын
Chanuo
@muwezahakika43025 жыл бұрын
inaelimisha kwa kweli mwanzo mwisho😅😅
@roi25534 жыл бұрын
Kweli kabisa
@jacksonmwalongo10965 жыл бұрын
Duuuuuuuuh!!!! Atar Pepsi inalewesha naanz Leo kutumia pepsi
@petromkama43885 жыл бұрын
khaaaaa! dad uko vizr mpempe vidonge vyake
@aloyceerasto27965 жыл бұрын
Maneno duu
@joachimhancemwakoba82835 жыл бұрын
hahaha kiwandaniiii najiona mimi na manjoi yangu
@Mjingafaki5 жыл бұрын
Daaaah? Kanumba angelikuwepo angeumwa kichwa kupitia nyie mafundi wepya.
@fainnamvungi43645 жыл бұрын
AFTER NYEGEZI SONG SASA NYEGEZI MOVIE😂😂😂😂
@asumanmangilile68365 жыл бұрын
Unasemaje hapoooooo..!
@hurumakidaga90765 жыл бұрын
duh we mdada hapnaa aseeee
@tatukachingwe22905 жыл бұрын
Kwanss wenzangu mmeielewaje,,mbn mm ninairudia weeeh kuitizama lkn hkun ninchokieleea,,,
@nardjaha45185 жыл бұрын
Tatu Kachingwe
@tatukachingwe22905 жыл бұрын
Abeeeh
@bintihamisi69175 жыл бұрын
Nakupenda sana daa una maneno matamu
@jacksonjumanne72885 жыл бұрын
Binti Hamisi uko viziri sana
@emmanuelyngimba60994 жыл бұрын
Nakupendasan
@twahajsalim79135 жыл бұрын
duh! hii movie inanipa mchecheto
@khadijarama69255 жыл бұрын
nakupenda sana wew dad
@allyhussein65325 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sylvesteraron49725 жыл бұрын
ujinga wa kipumbavu movie kama unagalia x, haifai kuangali baba wala mama hasa watoto, matusi tu, mmefeli mwazo wa movie mpaka mwisho wake,
@pendoanthony64025 жыл бұрын
Akili huna unataka injili au???
@stunnaman58225 жыл бұрын
sio kila kitu kipo kwa ajir ya rika zote. kuna vya watoto na wakubwa na hii ya wakubwa kama energy drink.
@issaramadhani97145 жыл бұрын
Unapoenda dukani ikiwa ni mlevi bila shaka hutopenda unywe bia zako ilhali watoto wakuona movie zingine hazistahili kushare na watoto not especially for them.
@amirylue14175 жыл бұрын
Top Dog haaaaahaaaaaa xio kipotabo
@mimaakenirram14055 жыл бұрын
kwaiyo wamelewa pensi au 😂😂arafu wanazungukana wenyewe kwa wenyewe jamani pia maneno mengine anaonge mbele ya mtt unamfundisha nn maana mpaka anajua baba mama kaenda kwa baba mwengine