Kama umeona watoa taarifa wamechezea ukuni weke like hapa
@kamgomoli36504 жыл бұрын
Daaa inauma sn uchaguzi ujao 2020 tutavipoteza hv vichwa makini kwa hila za wazi wazi za mzee Meko.
@dicksonaroka69614 жыл бұрын
Asante sana msigwa nimependa ulivyo changia umeongea vizur kwa busara na weledi nafikir umeeleweka vizur sana hongera
@mrholela79064 жыл бұрын
Hahaha bora jikee
@mussachuo39104 жыл бұрын
Upo sahh kbsa
@hassanyussuph44073 жыл бұрын
Ulijuwajee kama kuna hila ilikua imeandaliwa wallah inaumiza sanaa
@shabaniramadhani41093 жыл бұрын
Kweli yametimia😢😢
@tonyelshabbaz4 жыл бұрын
Bunge likiwa hivi kila siku amani itakuwepo ! Tunasikilizana na kupeana muda !! Nimependa sana leo Mh Speaker
@silasbenjamin35324 жыл бұрын
Big up bro nice work you have spoken a good speech to the nation
@Bigboy-nx3nc4 жыл бұрын
WATOA TAARIFA🤣🤣🤣🤣👍👍😂😂... Msigwa Ndo dawa Yao.
@rogerkivuyo814 жыл бұрын
Mwamba kaongeaaaa point ase kama unakubali gonga like yanguvu apo
@lazariushananda50143 жыл бұрын
Good speech oppostion side
@davoo25554 жыл бұрын
Mihemko.... Wana mihemkooo sana Mh Msigwa
@katabaroonlinetv96884 жыл бұрын
Nakukubali sana msigwa wasitupotezee muda tusonge mbele
@alimussa26554 жыл бұрын
Wanaotoa taarifa wanapewa za uso mh.msigwa 😂😂
@kipokendirangu25724 жыл бұрын
Ali mussa huyo msigwa hajui uchumi wa dunia.tunachopata ni sawa wazungu wamekaba biashara hiyo ya utalii kama biashara ya mafuta ndiyo maana rais magufuli aliamua kuanza na moundo mbinu kufufua usafiri wa anga reli meli ili tuweze kupata kipato cha utalii kwa bahati mzuri utalii wa Tanzania unatangazwa huku london
@jastinchinga19894 жыл бұрын
Jiwe la Moto kwenye hikikichwa kimoja vimo vichwa100 vy kijani kma unakubalina na mm gongo twende2020
@elishajuma2615 Жыл бұрын
@@kipokendirangu2572 we fala huna akili kabisa
@peter.b.michael38414 жыл бұрын
Wabunge wetu ni shida,, kiswahili hawajui kiingeza ndo majanga kabisa,,
@henrymlandali91874 жыл бұрын
Duuuuuuuu Mungu mpe nafasi nyingine mbunge wangu
@njiroimanuel80634 жыл бұрын
Henry Mlandali ilindobungela mwisho hutamuonatena bungeni
@ezrawaya83774 жыл бұрын
Mh. Msigwa🤣🤣 ✌️✌️🔥
@fredreckmwakalinga34754 жыл бұрын
Wabunge wa upinzani ukweli wako vizuri haya majuha yaliyonunuliwa ovyo yamebadilika kuwa makapi
@frankatilio43774 жыл бұрын
God Bless Pst Msigwa
@abnelstudent24314 жыл бұрын
HV wabunge wa ccm mbona kila upande wa pili wakichangia wao wp na taarifa hivi no kwann
@abubakaryomary39854 жыл бұрын
Nakuwaminia msigwa Big up
@fredmabeya4 жыл бұрын
This guy has a smart thinking
@robertjagad58264 жыл бұрын
I think he is making a point umaarufu wa kina steve nyerere ni mdogo sana
@dicksonaroka69614 жыл бұрын
Safi sana mchungaj umeongea vizur sana na maneno yako tumeyaunga mkono kabisaaa yanajenga na s kubomoa saf sana
@godfreymagoso53344 жыл бұрын
Ila kweli kuna wabunge huwa hawahurumii kodi zetu!!!! Ivi wanaotoa wanaelewa kweli wanachomaanisha!!! Wapiga kura tujitathmini
@katabaroonlinetv96884 жыл бұрын
Nakuombea sana 2021 urudi
@davoo25554 жыл бұрын
Wabunge wa CCM mnaaibisha sana, bunge halina heshima tena utafkiri mkutano wa wanywa kahawa
@godfreymagoso53344 жыл бұрын
Shikamoo Mchungaji,,,,,,,,, ila nisiongee jambo
@mrperfect88524 жыл бұрын
😂😂😂😂
@esthernsami77324 жыл бұрын
Mbunge mheshimiwa Rais wetu anaona mbele. Utalii wa wachina una sura nyingine. Wachina hawaji kwa ajili ya utalii. Usidanganyike. wanatumwa na serikali yao wapi waweke makao kupata mali ghafi bure. HESHI MA KWA RAIS WETU, WAZIRI WA MAMBO NJE PAMOJA NA VIONGOZI WOTE. ulimwengu wote wanajua Tzania inaongoza kwa utalii na wanatangaza sana kuhusu nchin yetu
@luvisa24724 жыл бұрын
Huyu msigwa ameongea vizuri na inatakiwa mtu mwenye akili ya hali ya juu kumuelewa. Steve analalamika bure. Steve amewajumuisha wasanii wote ili apate support, msigwa usiombe radhi what you said is what is needed in Tanzania. Alicho ongea msigwa ndicho kinacho takiwa tanzania. Wizara husika chukueni point za msigwa. Well done msigwa
@clevermaphotos4 жыл бұрын
Nakupenda na nalizika Sana na utendaji wako wa kazi mungu akulinde
@eustacevenant45674 жыл бұрын
Musigwa musigwa umejiita waziri kivuri still Wewe ni mbunge SASA unasema waache ubunge! Wewe ni mchungaji wawapi? Kazi mnataka kuonekana munaongea basi!
@edsonnelson44644 жыл бұрын
Eustace Venant huwa akili hamna yaani wewe huoni logic anayoongea hapo,nyie ndo mnaturudisha nyuma
@fadhilgaspa65204 жыл бұрын
kanuni ya 28 sina data nimeishiwa hiyo kwa tundu lisu inatoka kichwani CIO mpaka asome
@mussaphysicscommissioner84584 жыл бұрын
Kanuni ya 28 hahaha 😂 😂 😂
@danielelibariki40384 жыл бұрын
Alikuwa Patron wangu wa boarding huyu mbunge mwaka 2008 hahaha
@abdulseif40934 жыл бұрын
wabunge strong wapo upinzani ndio maana ccm wanapenda kutoa taarifa ili na wao wapate kiki na waonekane,,,,!!?
@hamisikabwe39804 жыл бұрын
Badala ya kuchangia hoja kwa mantic,nie mmekalia taarifa, taarifa,acheni ujuha nie baadhi ya wabunge wa ccm.
@elishajuma2615 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@rosemarymsulwa2034 жыл бұрын
Ujumbe unaweza kuwa mzuri. Lakini jinsi unavyowasilishwa. Ni kutafuta sifa. Kelele hazijengi.
@danymsinga70484 жыл бұрын
Kanun y 28🤣🤣🤣🤣
@kipokendirangu25724 жыл бұрын
Huyu msigwa hajui utalii hiyo biashara ngumu sana kwa sisi wafrika inatuia vigumu sana sawa sawa na biashara ya mafuta duniani
@chesconkwera20054 жыл бұрын
Sio kweli
@elishajuma2615 Жыл бұрын
Wew unajua nn
@johnsonmarick454 жыл бұрын
Upinzani akili nyingi sana,,Mungu awabariki
@nasrimohamed75564 жыл бұрын
Wabunge wa chadema n kwamba wote wanaupeo kiasi hiki au ksa n wapinzani maana bnafc wote nawaelewa sn
@amhamediserengeti48084 жыл бұрын
Msigwa yuko sahihi kabisa utalii unatakiwa utangazwe kwa njia ya watu maarufu duniani
@briansancedo93364 жыл бұрын
Bishop upo vizur mwalimu nyerere aliwahi kukemea kwa mtumishi wa selikari kuwa na kofia zaidi ya moja.
@lucusmvuna85744 жыл бұрын
Wewe jamaa Akili nyingi sema tu tutawapoteza kwa mbinu zao tu jaman tutawamis sana
@mussachuo39104 жыл бұрын
Hawa wabunge wa CCM wanaboa kila wakat taarifa tu mpinzani akongea wao Taarifa hii Taarifa iondolewe mbunge akiongea hayo mambo Taarifa mtu akaongee na mkewe
@tumaininerei59484 жыл бұрын
Dah ndio kusiwe na upinzani? japo mimi ni CCM naninampenda mh rais, lkn natamani one day bunge liwe 50% 50% nisiwe mchoyo wa makofi kwa spika kwa hili.
@sirosiro91104 жыл бұрын
Ukiipenda ccm utakua maskin
@stevensimtoe29894 жыл бұрын
Vzr Sana kuwa mzalendo
@ismailkidoga51094 жыл бұрын
kanuni ya 28 hahahahahaha aibuu hiii
@jacksnow29214 жыл бұрын
Ahsante m'bunge wa kweli;kweli wafukua ujinga
@donaldsinkamba48674 жыл бұрын
Big up Mh msigwa safi sana
@eddymkwambe5744 жыл бұрын
Tatizo ni kutokuheshimu umuhimu wa weledi na umahiri unaoendana na wakati bali uchama isiyo na tija
@britonngale66444 жыл бұрын
Tunawatarajia bunge lijao
@clevermaphotos4 жыл бұрын
Uko Vizuri Sana Mbunge Msigwa we unastairi kuwa Raisi kabisa
Kweli kabisa wewe Ni mchungaji halisi Wewe Ni kichwa Sana
@dollyandthedoliganeloi30254 жыл бұрын
Jamani apo mchungaji umechemsha Roger Federer au LeBron utawalipa shilling ngapi si nchi itafilisika nchi nyingi tena tajiri zinatangaza ata kwenye treni au mabasi uku ulaya
Acheni ujinga hana jipya hii ya siku nyingi kipindi hiki mmejitoa ufahamu rudi karantin
@JohnJohn-zz4rn4 жыл бұрын
😄😄😄🤗
@wilsonkimaro63754 жыл бұрын
HIZI TAARIFA TAARIFA ZITOLEWE HAMTUACHI TUPATE POINTS, ACHENI USHABIKI WA AJABU IWENI WATU WAZIMA SASA BUNGE HILI KAMA LA VIDUDU VILE MBONA HAMKUI????
@hazibonplatformafrica96174 жыл бұрын
Kanuni ya ngapi 🤣🤣🤣🤣ya 28 mheshimiwa,...heb isomee...mhe. spika kwa sababu ya kuokoa miss naomba nisisome.🤣🤣🤣🤣Aibuuu
@mrperfect88524 жыл бұрын
😂😂😂😂mcgwa hatak masihar kila wa taarifa ni panga2
@erickmsigwa884 жыл бұрын
good sana MMBUNGE
@muhidinsaleh68324 жыл бұрын
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@anchelouskyaruzi59134 жыл бұрын
We need huyu 2020
@marrytanzania90354 жыл бұрын
Ccm wanatia aibu jaman
@pierreadams31144 жыл бұрын
Duh
@kinotasontravel38834 жыл бұрын
Euro hujui kitu bado
@franceally27744 жыл бұрын
😂😂😂 28 kama namba ya Manula
@innocentselestne58714 жыл бұрын
Msigwa we nomaaaaa
@simonmisri69684 жыл бұрын
Hahaaaaaaahaaahhaaa Kama umeona kuhusu utaratibu ulivyochanganywa Like
@lydiathadeous66444 жыл бұрын
KWANZA SAFARI CHANNEL YA UTALII TZ INGETAMGAZWA WOLRD WIDE ila nchi yetu iko LOCAL ONLY.
@zachariadaudi20684 жыл бұрын
Wachina walikuja duniani kwa hiyo China iko sayari gani? Msigwa dorooooo
@chaz22154 жыл бұрын
Kweli kabisa, msigwa anazungumzia vision na mission za nchi kwenye kukuza utalii lakini wizara husika haionekani kuwa wabunifu katika kufanya Tanzania inakuwa kitovu cha utalii
@japhetjoseph17724 жыл бұрын
msigwa hapo kwa mawazir achana nao maana kaz zinafanywa watatengeneza sera paka lin faida ya sera nn acha maneno ya sio navitendo mgigwa hapo unafeli iv unajua faida ya wazir kusuluhisha kitu je unajua wananchi wamesha choka na mambo ya mahakan maana dunia hakuna mahaka yenye mwisho utasikia rufaa na kuhamish cort .
@ramadhanimahongole87644 жыл бұрын
spika anapendelea upande wake wa ccm kuruhusu taarifa nyingi pindi wabunge wa upinzani wakichangia spika hayupo kwenye usawa
@woltabenad83114 жыл бұрын
Msingwa noma
@tamimissa75254 жыл бұрын
Mkifika kumi na tano mambo yanaenda
@hemediswaibu51994 жыл бұрын
Ni kwer kabsa
@ismaililuhunga72544 жыл бұрын
They deal with things and not issues
@boscophrolence38744 жыл бұрын
Taalifa taalifa za uso kule 2sipoteze muda
@robertsemaganga91684 жыл бұрын
Msigwa anza kuaga ubunge maana hurudi tumeshakuchoka
@venancemsanjila18954 жыл бұрын
Msigwa...! Hiv Uchungaji nikweli fani yako au ulifoji....? Kwel uko na uhuru wa kuongea....Ila sasa unautumia vibaya...Uko nje ya kanuni na maadili za kibunge...Unasema Raisi anasuruhisha ndoa za watu....!! UMEVUKA MIPAKA........!!
@bulugubujashi63784 жыл бұрын
Kanuni ya 28 dah! Umetuzalilisha wanaichi wako mbunge,hata huijui hiyo kanuni