🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Пікірлер: 277
@ThobiasMaranduАй бұрын
Pumbavu Unadhani Sisi Hatumsikilizi Mbowe Hotuba zake?
@KaburuKimath-eu5nfАй бұрын
We si WA kumsema mwenyekiti bila ye we usigekaa ujulikane
@ThobiasMaranduАй бұрын
Analalamika Kwanini Mbowe Haondoki... Jiulizeni Kwanini Yeye Baada ya Kuwa Mwenyekiti wa Kanda Vipindi Viwili Asiondoke Akaachia Wengine? Mbona Aligombea Mara ya Tatu Kama Kweli Hiyo Ndiyo Principle yake? BS
@mmassfashion963Ай бұрын
Hana akili uyo hawa lolote
@mmassfashion963Ай бұрын
Amemfungulia nani macho kibogoyo uyo
@SharifuBakari-tr7hdАй бұрын
Njaa mbya mnooooo qmmke
@melch3097Ай бұрын
Kusema kweli naipenda hii tv. Msilete tena huu uchafu hapa. Mda simrefu hata ccm watafukuza
@KaburuKimath-eu5nfАй бұрын
Hata Mzee tupe ajira
@RajabuOmar-er2lp8 күн бұрын
@@KaburuKimath-eu5nf ..
@ThobiasMaranduАй бұрын
Chaguzi Mbili Za Mwanzo Ulibebwa Na Mbowe, Safari Hii Alikataa Kubeba Mtu Uliona Kubebwa Ni Haki Yako... Waambie Watanzania Ukweli.
@user-oh6pc7zd4sАй бұрын
Mbowe ana uwezo wa kumbeba mtu?Yeye mwenyewe anabebwa na Tundu Lissu .Mbowe anakifanya chama kama mali yake binafsi ndio maana watu karibu wote makini waliondoka chadema kama Zitto,Proffessor Kitila,Profesa Beregu,Professor Safari nk.
@samuelmakara1475Ай бұрын
Una uhakika na unachosema
@mmassfashion963Ай бұрын
Chadema inaongoza kutoa viongoz mpk mawazir😂😂😂😂
@Elizabeth-mw2ofАй бұрын
Jina la Peter ni Petro Kwa Kiswahili, Petro alimsaliti Yesu kwa kumkana kuwa hamjui! Ombi langu kwa wazazi, angalieni sana majina mnayowapa watoto wenu.
@starlily07Ай бұрын
Umeongea yote, 🤣🤣 Petro msaliti 🤣 naaache kujiita Mchungaji mana Hana hadhi ya uchungaji
@AizackKalenge-ro5rcАй бұрын
Msigwa Muongo,Mbowe Amewahi kugombea urais mala moja,Mala zote anawachia wenzake,Na CCM inashinda Kwa wizi,Ameamua kuungana na wezi wa kura,Pole sana Msigwa
@KaburuKimath-eu5nfАй бұрын
Msigwa pole ila siasa ndivyo zilivyo unaaanga Lia wapi day ni kubwa
@hajihassan5433Ай бұрын
CCM haijawahi kuiba kura, upinzani Tanzania (Tanganyika) ni dhaifu lazima wakubali hilo.
@SylvesterMakenzieАй бұрын
Hiki kijamaa nilikuwa nakifuatilia sana siasa zake nanilizipenda sana kumbe sikujuwa kama ni kinafiki kiasi hiki kipumbavu kabisa
@abrahamnyagawa1304Ай бұрын
Mfumo wa nchi yetu, ndugu ni hatari sana, siasa zetu ni za maji taka, hovyohovyo tu.huyu msigwa atachakaa vibaya, sijui kama anafahamu hilo!
@furaha7154Ай бұрын
SASA UNATAKA KUSEMA KWAMBA MBOWE NI MBAYA KULIKO CCM ALOTUTESA MIAKA 60?
@NDEWARAАй бұрын
Unajua maana ya mateso wewe?😂😂
@FikiriniMwaluko29 күн бұрын
Nimuasi huyo mfumo wa akili umesha wekewa sumu
@sospeterodhiambo6869Ай бұрын
Ungetoka na kikaa kimya utangaze sera za ccm ungeeleweka lkn kupambana na Mbowe ni udhaifu mkubwa na hutaitumbisha chadema Sana sana unatuharibia CCM yetu sijui walikupokea vp
@jeremiahngoka4980Ай бұрын
Ukweli uliotukuka.Amekuwa fala sana tu
@user-fw6dp9iy4iАй бұрын
Kumbe msigwa ni poyoyo kabisa,ana vijimsemo vya Aina flan unaweza sema point kumbe ni ujinga,,,,,
@samwelmatemu8873Ай бұрын
Sikutemea kuwa huyu ana akili ndogo hivi
@bishopmosesmagadula7572Ай бұрын
Ongea point juu ya sugu aliyekushinda ukaamua kukimbia
@phabiankagoma5144Ай бұрын
Uwezo wa Msigwa ni mdogo sana kueleweka!
@fredrickbaryagati2194Ай бұрын
Msigwa njaaa sana na sio mchungaji ni msanii tu na watu awapo chadema sababu ni msigwa ni kutaka mabadiri
@philemonsnyanda9450Ай бұрын
Mbona nyie wandishi hamuulizi elimu yake?
@nassercurtis9579Ай бұрын
Alishajibu akaruka ruka swali na kusema we tufanye nimeishia la saba tujust that kwa mujibu wake mwenyewe, halafu shida waandishi wa habari wengi hawana shule na wenye shule hawafuwatilii historia ya nyuma ya mtu wanae muhoji hivyo maswali yanatoka tu vinywani vyao na si maswali ya mpangilio ni kama wanapiga story na si kuuliza maswali, mfano msigwa alishawahi kusema nikihama chadema nyumba yangu ichomwe moto je ikichomwa atasema amehujumiwa na chadema au? Je ulisema kimihemko ama ulisema ili chama na wanachama wakuamini zaidi? Je kwanini uligombea uchaguzi wakati umeshaona chama kimepoteza muelekeo? Kwanini ulijiingiza kwenye uchaguzi? Je kwanini usinge baki kwenye chama ukaendelea kupambania mabadiliko? Tunamuona mbunge wa CCM ambae kila siku hupewa adhabu na hata kufukuzwa bungeni na kuzomewa na wabunge wa chama chake lakini haami na amesema hata hama na mpaka kitaeleweka tu iweje wewe, iweje wewe umeenda kwenye chama ambacho ulikuwa unakipinga sana kwa mambo mengi? Yaani sijasomea habari ila naona nina maswali mengi mno dhidi ya huyu mchungaji.
@barnaba3037Ай бұрын
Dah Yan Mchungaji kabisa ndo anaenda kuitetea ssm😂😂
@rogersiddyАй бұрын
Fala huyu hajielewi pumbavu kbs
@GiftyJackson-k3vАй бұрын
Mch unazingua sana
@user-rh6dz7wr3pАй бұрын
Chadema haitakufa kamwe. Chadema kitawatete watanzania hata siku ya kiama mbele ya mwenyezi Mungu. Chadema kitabandirika on its formation time by time. Msigwa ametoka kwa yesu amekimbilia kwa shetani. Ivo yesu na shetani hawakai nyumba moja
@AndersonLyandala-du1rtАй бұрын
Maneno maneno 🤩🤩🤩
@JohnKalegaАй бұрын
Wewe msigwa. Hizo ni Tamaaa
@komuhsengo9796Ай бұрын
Kisu na lema sio wa aina yako, hilo igo beba mwenyewe aibu yako, kwani mligawana ulichopew
@rindenimwanga6355Ай бұрын
Msigwa uko sawa,sasa anza kutupa sera za kubadili uchumi,ulinzi wa mali na utajiri uliopo,ajira n.k.
@philemonmollel7630Ай бұрын
kweli msigwa umechqngànyikiwa sana
@brunomirambi8792Ай бұрын
TENA MAMA SAMIA RAIS WANG. KAMA ANA NISKIA MPE MSIGWA UWAZIRI NI MSAADA MKUBWA KWETU CCM SIKUCHAGULLII NI WIZARA GANI ILA NAKUOMBA SAAAANAA MAMA YANGU
@user-lv7zy7mx9iАй бұрын
Wabongo wengi tunapenda mseleleko ndio maana ndio maana mbowe anatupelemba
@michaelkisesa3959Ай бұрын
Imeisha iyo.
@user-oh6pc7zd4sАй бұрын
Msigwa ni mwanasiasa makini ,mkweli kuliko Mbowe anaekitumia chama kama mali yake binafsi na anakitumia chama kwa maslahi yake binafsi.
@melichmahingule2896Ай бұрын
Jamani mbona haka kana karibia kuwehuka!
@reginas1832Ай бұрын
Njaa mbaya sana
@tumainimwaifunga3884Ай бұрын
Lisu aende ccm? Itashangaza watu
@ezekielmabwai4614Ай бұрын
Msigwa ni maji taka. Ubongo wake umejigeuza MATOPE. Nani afuate MATOPE?!
@JuliusMhinaАй бұрын
Ulishajulikana ni msaliti tangu zamani.ulikuwa na kazi maalum ya ccm
@mashakakwembe7482Ай бұрын
Huyo ni msaliti tu mchungaji uchwara hawezi kuaminika tena kaamua kuchagua feza kuliko utu ni Bora akakaa kimya tu kuliko kuwaponda viongozi wa chadema muulize anasemaje kuhusu kauli ya nape?
@abrahamnyagawa1304Ай бұрын
Hayo yote mmeyazungumza,leo ndiyo umejua kwamba unafikiri,miaka mingine yote ulikuwa huna unalojua?
@AndersonMokiwa-is5chАй бұрын
Msigwa nakuelewa sana chadema kunamambo ya kijinga sana nilitolewa kwenye group la chadema dodoma kisa naanza na Mungu kwenye group kila siku wakasema et group halina mambo ya din hili nilichoka na mimi ni mwanachama wa chadema dodoma
@bonifaceibunga9443Ай бұрын
Huyu Msigwa ni PANDIKIZI LA CCM. Kwa hiyo anafanya kazi ya CCM
@user-jr3mg3ko6mАй бұрын
Hunalolo msigwa nakiduku chako icho mnafiki
@peterpaschal4522Ай бұрын
Kumbe ni muhangaikaji siku nyingi tu😢
@shabanadam4476Ай бұрын
Peter mbona unatia aibu sana achana na media
@bishopmosesmagadula7572Ай бұрын
NASHUKURU MBOWE HUWA HAJIBU CHOCHOTE JUU YA WANAO MTUKANA NA HAWA WOTE MBOWE KUWASAIDIA MPAKA WAKAJULIKANA LEO WANAMTUKANA NA MBONA WOTE WALIO MTUKANA MBOWE HAWAHESHIMIKI
@brunomirambi8792Ай бұрын
UKWEL UKISEMWA TUUPOKEE HONGERA MSIGWA
@barnabasmsagamasi61129 күн бұрын
Msigwa usije ukasema ulikuwa muhimu sana ndani ya chama cha chadema. Hata ungegombea ubunge wa CCM hutapita.
@aloycejulius594028 күн бұрын
Msigwa umeongea points sana,
@habibuamir1005Ай бұрын
Hoja sio maslahi ya chama, ni kwamba wananchi wanataka maslahi na unafuu wa maisha yao.
@NixonJohnson-r4mАй бұрын
😮
@philipongenzatvАй бұрын
Yani angekuwa karibu ningemchapa makofii ya mashavuni nyi mnatuludiaha nyuma Kwa uroho wakijinga watu kama hao mfano akifa huwezi kulia
@SirajiHamis-pc1khАй бұрын
Wew mungu ana kuona
@FrankPonsian8 күн бұрын
Wewe fara mchungaji gan mnafiki unatoka kwa watu wa mungu unaenda kwa mashetan
@goodlucktarimo2716Ай бұрын
Huko ulikoenda kama mchungaji wanafanya yaliyo mema na hamna unafki?
@abrahamnyagawa1304Ай бұрын
Miaka 20, leo nd'o unajua kwamba chadema kuna madudu? Zungumza mazuri ya huko,siasa za maji taka tz.
@Kalunirashidi17 күн бұрын
sawa kwann mtu anabadilika wakati akijuwa kwann watu ambao wakatoka chadema kwamtindo uwo uwo
@paull8659Ай бұрын
Sawa Bwana Msigwa ungeshinda uenyekiti wa kanda ungebaki. Hivyo wewe unataka madaraka tu..
@Yama-l7bАй бұрын
Mimi ni mwana ccm lkn nilipo mwangalia huyu jamaa ameishiwa na hoja alikuwa wapi kipindi hicho na anajita mtetezi wa watu miaka 20 yupo chadema lkn hakuwahi kuongea juu ya chama chake Leo anaropoka nadhani anajitafutia tu namuna ya kula lkn ccm kuweni makini na hawa wasaliti hawa ndio watakuja kumuaribia Rais wetu
@user-ig5yn4zp2uАй бұрын
Zamani msigwa ulikuwa wapi
@ramadhanmahongole9293Ай бұрын
Msigwa huna hata aibu umenunuliwa na ccm kama kifaransa cha kuku🤣🤣🤣🤣 pole sana yote unayo fanya ya kumtukana mbowe, yalishafanywa na kina waitara, Silinde, lijualikali, katambi na wengine wengi walio hama chadema kwa kunuliwa na ccm lakini chadema bado iko imara wewe unafanya marudio tu huna jipya
@user-uq5vm2ge4qАй бұрын
mjinga sana
@glorymiko6830Ай бұрын
Petro,Petro,petro. Nimekuita mara tatu. Wacha tamaa.angalia usije jinyonga baadae.
@V24hrsАй бұрын
Msigwa ni msema kweli siku zote
@nedlly2Ай бұрын
Mbowe kuacha kukubeba msimu huu ndipo shida ilipoanzia! Unapenda sana mbeleko wewe!
@MussaDoctor6 сағат бұрын
Pambana kauteuzi kananukia malizia kazi waliokutuma mabwana zako
@emmapaul1766Ай бұрын
Akimaliza asome comments ndio atajielewa vizur
@humphreybilly7437Ай бұрын
Msigwa nilikuwa nampenda Sana ila kwa Sasa nikama sipana ya malaya
@giftkalenge418Ай бұрын
ujue was kwanza kukufuata ni mbowe he itakuwaje?
@PhilipoMwita-b2xАй бұрын
Huyu jamaa huenda ikawa kweli lkn Sina uhakika koz hatukutegemea kama msigwa ataenda ccm
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Whose Peter Msigwa kwa sasa hivi reptation yake na sasa anaweza akawa muuza viazi. Huna cho chote cha uchungaji kwa sababu ungekuwa mchungaji usingekuwa unaongea mambo yakuonyesha kuwa unauchungaji? Kumbe ulikuwa chini sana kabla ya kuingia CHADEMA. Usisshau kule ulikotoka.
@MussaDoctor6 сағат бұрын
Yaani msigwa umekuwa wavipande thelathini
@ClaudCarlosАй бұрын
Wewe umekimbilia CCM baada ya MSUKUMA kusema ana SMS zako 😂😂😂
@user-rh6dz7wr3pАй бұрын
Ccm haina radha tena. Unatetea ujinga. Baada ya nyerere mbowe ndiye kiongozi anayefuata kwa kutetea watu. Unajua ww watu wanakushagaa
@emmanuelmarko8442Ай бұрын
Huyu jamaa atapata shida sana. Anatapatapa alipenda starehe sana kitega uchumi chako ni sehemu ya kuogesha magari. Sasa hata uongee ni kazi bure atakujibu nani? Unajikweza na kujilinganisha na mh Mboe huwezi kumchafua hata kidogo kukaa kimya kwa viongozi wakuu wa chadema ni jibu pia. Unatumika kumpaisha mboe juu zaidi. Hoja zitakapokuishia utaanza kuongelea ya familia yako kichwa chako hakipo vizuri. Ngoja tuwaambie wakakupime mkojo ili tujue unasumbuliwa na nini mpenda vyeo msigwa.
@user-cz7bd9tc5kАй бұрын
Ukiwa Mchungaji Wa Mifugo ni Raisi sana kuwa Mwana siasa Lakini kuwa Mchungaji Wa kiroho sio Raisi kuwa Mwana siasa kwakua Mwana siasa saa zote sio Mkweli Siuna ona Msigwa Alitu ongopea Akiwa Mwenyekiti Wa Kanda ya Nyasa Ameshindwa huko Ame Anza Uongo Mwingine Sasa Hadai katiba Tena Ana Itaka hihi Aliyokua Ana ikataa Tuwe Macho
@ostenmwakasita6960Ай бұрын
Kweli Msigwa ni kichaa alipata kura zaidi ya Makufuli na Lwassa kwani nawe ulikua mgombea Urais alfu uwache kumtaja taja Makufuli usije ukatuchukiza tumechoka kukusikiliza kumtaja taja JPM
@user-hd6il8ni2f17 күн бұрын
Huyu jamaa ukimuangalia usoni na ukiangalia macho yake ndio utagundu ujinga na unafiki na umalaya malaya. Pesa inamtesa huyu bwege
@user-rh6dz7wr3pАй бұрын
Anasema hakuna safu nzuri ya uongozi chadema. Je ccm ipo. Mengi yakijipanga ni yale manyonyaji. Naomba nikupangie safu ya chadema. Freeman mbowe, John heche, mnyika, lema, mwakajoka, sugu, lissu, suzan kiwanga, devota minja, chifu kalumuna, mdude, John pambalu, cathelini ruge, mwaipaya, kenani
@V24hrsАй бұрын
Eti Mbowe alikimbilia ikulu hata koti halijanyooshwa😂😂😂
@user-ol7pp5dw8jАй бұрын
Mwambie msigwa asome comment za wananzengo😂😂
@ezekielmirambo8704Ай бұрын
Wasaliti wataendelea kuwepo!
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Hata Yesu unamsaliti leo utashindwa kumsaliti Mbowe?
@JosephMosabiАй бұрын
Ungetengeza sera za kuisaidia chama ulichohamia sio kukisema chama ulichotoka,kama mke aliyeachika
@nurdinkisaria9476Ай бұрын
Ubaya ubwela😂
@ZawadyKaonekaАй бұрын
Msigwa bhana😂😂😂 acha kuongea bhana😂😂😂 wewe shule huna bhana😂😂 kauze mitumba bhanaa😂😂😂😂 kawa tete wa hehe 😂😂😂😂
@oseamkamaАй бұрын
Mara nyingi sna nafufatilia mch but kitu nilichogundua kutoka wako unauchungu ndani ya moyo kwasababu ya madaraka
@MatronaThomas-wz5siАй бұрын
Umepigwa na Sugu uchaguzi wa kanda unawasema wenzako danganya watoto
@abrahamnyagawa1304Ай бұрын
Kama hivyo ndivyo,mbona umekuwa huko kwa miaka yote? Huna jipya,na unakwenda kuchakaa vibaya.
@seifjuniorrashid7597Ай бұрын
Kwel sisi wachin hatujui ....mi nmekuelewa....prof safar kitila n.k wako wap????😢😢😢
@luthermartin1098Ай бұрын
Wewe Mzee muogope Mungu acha kusema uongo wewe vile umeshaa Hamaaa mbona inakuwasha nini? Mbona huachi kuzungumza mambo ya CDM?
@FikiriniMwaluko29 күн бұрын
Kweli akili ni nywele kila mtu anazake !!! Ulihamia huko juzi juzi umebebeshwa bango la samia na ukachekelea kukunja ngumi nongwa duuu!!!
@josephmantago2837Ай бұрын
Aisee kumbe Msigwa ndo alikuwa mjinga no moja chadema walichelewa kumfukuza ktk watu ambao ccm imewanunua hyu Msigwa ndo mjinga zaidi hana akili zaidi ya porojo na vimsemo vya taraabu Puree kabisa!
@TwalibuKimaro-th5mvАй бұрын
Ungekua na akili ungeanzisha chama na siyo kukimbilia ccm kilichkupeleka huko ni rushwa tu
@user-my5yp6xx5sАй бұрын
Maisha Sasa ivi ni mazuri sababu amenunuliwa na CCM
@raphaelmacha1173Ай бұрын
Baba yangu alinifundisha kuwa unapozungumza uwe na akiba ya maneno kwa hiyo ndugu yangu ujifunze kuwa na akiba ya maneno chadema ni chama ambacho hakifungamani na ccm ndio maana wanakufundisha nini cha kusema wewe ni kama kasuku
@michaelmagwaza-bc6mkАй бұрын
Hivi ukiwa Mch, Mwanasiasa nilazima uwe mwongo.? Na Mtukanaji Kama Msigwa.?
@manasesaitoti22 күн бұрын
Wakati unapokelewa wengine hawapigi hata makofi unapenda vyeo ungeshinda isinge hama, huna lolote
@abrahamnyagawa1304Ай бұрын
Siyo kweli, ndugu msigwa.wewe ni mchungaji,uwe na hofu ya Mungu.
@user-sb4xk5rq5vАй бұрын
Viongozi wengi Africa siyo wanang'ang'ania madaraka au nafasi huwezi kaimu tu nafasi ilimradi mtu ni msemaji mzuri na mshawishi, Bali uchungu na kuongoza watu pia ni kitu kingine tafakari !!!!!!!!
@user-vp1zu3fb5wАй бұрын
NDUGU YANGU SEMA UKWELI KILICHO KUPELEKA CCM NI HASIRA YAKUSHINDWA NA SUGU NA MASLAHI YAKO BINAFSI WEWE HUTAKIWI UAMINIKE HATA HUKU CCM,
@RwechungulaBegumisaАй бұрын
Mbowe hatoi ajira, Serikali iliyopo madarakani ndiyo inatoa ajira
@bakariiddy5387Ай бұрын
Njaaaaaaaaaaa
@evelynmwaimu-vd9joАй бұрын
Looo!, utawangoja sana
@leomika8473Ай бұрын
Kwanza usimuhite mchungaji. Ana sifa hiyo uwezi kula rushwa ukawa nakiburi hasira eti nimchungaji
@GeraldTarimoАй бұрын
Umegombea uenyekiti wa kanda mara 2 uengeachia wengine na mbowe angeachia.
@theson1987Ай бұрын
ukimsikiliza uyuu jamaa utagundua kuwa kutopata nafasi ya uongozi imemuuma sanaa akaamua kuepa kwa hasira baadae kapata hasar