CHEGE AFUNGUKA "NILIWA MISS NDUGU ZANGU TEMBA NA NATURE" WATOTO WADOGO WAKAE MBALIII....

  Рет қаралды 56,956

Bongo Plus

Bongo Plus

Күн бұрын

Пікірлер: 61
@AsuuBoy-254
@AsuuBoy-254 8 күн бұрын
Nice one pia Mimi nataka kuona nekana
@mohammedathman5816
@mohammedathman5816 2 жыл бұрын
Umoja ni nguvu big up sana mubarikiwe. Much love from Kenya
@martingichovi5521
@martingichovi5521 9 ай бұрын
Well said bro,c show off ni biss👍
@faizaahamd2052
@faizaahamd2052 2 жыл бұрын
Nimefurah sana muko pamoja .TMK . MUBARIKIWE❤❤❤❤❤❤❤❤💞 sana
@issahamissiissahamissi7775
@issahamissiissahamissi7775 2 жыл бұрын
TNC TEMBA NECHA CHEGE unyama ni mwingi Sana💪🏻💪🏻💪🏻
@beckarluhanga8421
@beckarluhanga8421 2 жыл бұрын
Welcome Back ma Ninja
@GibsonMahanga
@GibsonMahanga Жыл бұрын
Chege hv Bobsele na said. VERO Wako wapi
@kiatu
@kiatu 2 жыл бұрын
Project ni kazi ya muda kwa madhumuni ya kutengeneza bidhaa au huduma. Katika hili swala bidhaa ni album. Project lazima iwe na mwanzo na mwisho. Project zingine zitafuata kutokana na matokeo ya hii.
@rehemafredrick7794
@rehemafredrick7794 2 жыл бұрын
Nawapenda sana nyie TMK ❤
@isaa6145
@isaa6145 2 жыл бұрын
Nawapenda sana
@tonymaster3619
@tonymaster3619 2 жыл бұрын
Nakubali sana bro
@japhetkarisa9385
@japhetkarisa9385 2 жыл бұрын
Tunasubiri hilo dude mzee bifu zamani waachieni watoto bifu
@Qqambaa
@Qqambaa 2 жыл бұрын
Nakumbuka wakikosana Hawa majamaa nature alihisi kama akitoka hichi kikundi kingine kitabuma
@yustonwilliam3669
@yustonwilliam3669 2 жыл бұрын
tunasubir mtuletee vituvzuri mashabiki zenu tunawapenda
@mweroruwa6339
@mweroruwa6339 2 жыл бұрын
Furaha to mkiwa pmoja..!!!
@faizaahamd2052
@faizaahamd2052 2 жыл бұрын
❤❤❤❤tunawapenda❤❤❤❤❤❤❤❤💞💞💞💞💞💞
@diwanikatayankonko2671
@diwanikatayankonko2671 Жыл бұрын
Tunasubiri kwa hamu
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 2 жыл бұрын
Bora muje pamoja maana kuna wapuuzi tu huku wanaimba chitaki…
@robathcarlos8068
@robathcarlos8068 2 жыл бұрын
🤣😂🤣
@bonaventuremabula4113
@bonaventuremabula4113 2 жыл бұрын
yani hatawaungane makundi yote hapa tz hawamuwez aliyeimba chitaki
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 2 жыл бұрын
@@bonaventuremabula4113 mbona umekurupuka aliyesema suala la kumuweza aliyeimba chitaki ni nani Sasa hapo? Alafu kitu kama haujakielewa ni vema ukakaa kimya tu...
@bonaventuremabula4113
@bonaventuremabula4113 2 жыл бұрын
@@RobbyDejan1234 zamazao zilishapita hao
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 2 жыл бұрын
Tunataka mziki mzuri halisi
@olembetonga7341
@olembetonga7341 2 жыл бұрын
Oyaaa nimefurahi Sana kwakweli
@Babu.Suwa.Yoshua01
@Babu.Suwa.Yoshua01 2 жыл бұрын
Nime m miss Temba ♥️
@christopherkalimanzila6868
@christopherkalimanzila6868 2 жыл бұрын
We missed you much guys
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 2 жыл бұрын
Naule uchezaji wa Tmk basi muulete vijana wasasa watapenda kinoma
@maulidihassani8324
@maulidihassani8324 2 жыл бұрын
hahahaha😂😂😂😂😂
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 2 жыл бұрын
Ukweli kwa sasa hakuna mziki wa maana Ila changamoto kubwa ya Hawa jamaa mashabiki wao wengi now umri wetu umeshakwenda.. tutakuwa tunawapa big up tu katka mtandao uku uku.. Ila Hawa vijana wa sasa ndio Wana mtihani nao sana, sababu nao washaelewa music wa kizazi chao
@louser9473
@louser9473 2 жыл бұрын
Ni kwel kabsa bro umeongea vyema
@MisifaNelly
@MisifaNelly 11 ай бұрын
𝑵𝒐𝒎𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒂𝒔𝒆𝒆
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 2 жыл бұрын
Napenda watu wanaoungana
@stellahpaul5624
@stellahpaul5624 2 жыл бұрын
Hiyo stick ya temba haitokagi
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 2 жыл бұрын
Na haidondoki
@yussufkhasim9021
@yussufkhasim9021 2 жыл бұрын
Yani Nina hamu wewe I can't wait..
@swalehesaad1143
@swalehesaad1143 2 жыл бұрын
Nilichokigundua hapa hakuna muunganiko wa kweli ni biashara tu hapo Ila ule uswahiba hakuna huyo chege anasimamiwa na mkubwa fela ambae hawana maelewano mazuri Sana na p funk majani, Pia hapo Kuna ule umoja wa necha na insepctor haroun kwaiyo utakuwa umevunjika ama.
@nkurunzizaemery1581
@nkurunzizaemery1581 Жыл бұрын
Warundi tunakubar ikikit kwakwerr?
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 2 жыл бұрын
Safi hii
@rahimhemed1219
@rahimhemed1219 2 жыл бұрын
Ohyaaaa dah tumechoshwa na viunovyao wapaka piko Karibun wanaume wanguvu oyaaa lamamayakee
@omanmwajabumbeguoman8642
@omanmwajabumbeguoman8642 2 жыл бұрын
Tuna wakubali pia umoja ni nguvu
@fabianfaustine444
@fabianfaustine444 2 жыл бұрын
Kuna mtu anmic hapo kr
@pastoraile7195
@pastoraile7195 2 жыл бұрын
P fank is Doctar dre in Tanzania kuna sikuuu mtajuwa tuuuu na mtaelewa tuuuu
@ankalmzito254
@ankalmzito254 2 жыл бұрын
sasa hivi kazi ipo...
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 2 жыл бұрын
Ni kweli tumechoka kusikia nyimbo zenye matusi.najua unakuja mziki ambao hakuna vificho kwenye jamii nzima.
@mussamsella8560
@mussamsella8560 2 жыл бұрын
P funk majani amekua mtu mwenye project nyingi lkn nyingi huwa zinaishia njiani,So hata kwenye hili hofu yangu malengo yatatimia?? Ni mtu ambae anazingatia sana mchakato kuliko matokeo
@omarmussa5755
@omarmussa5755 2 жыл бұрын
Unajiskiaje
@pastoraile7195
@pastoraile7195 2 жыл бұрын
Sema Alikiba na Mond wata post Kazi zenu?????au Big fizzier from Burundi Au South Africa Oskido????au Nigeria Ebuka au 2 baba
@yahayanelem993
@yahayanelem993 2 жыл бұрын
Ludixhen uwezo wenu Kama TMK
@rajabhussein7794
@rajabhussein7794 2 жыл бұрын
Tmk family mlituteka Sana jamani enzi hizo kule kwetu mpanda mpaka watoto walikuwa wanapenda staili yenu ya mapanga
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 2 жыл бұрын
MANDISHI MATATU3
@hamiboy1706
@hamiboy1706 2 жыл бұрын
Tmk nawapend san
@luisshafii5067
@luisshafii5067 2 жыл бұрын
Safi TNC nguvu moja
@tanzaniawomenyouthempowerm267
@tanzaniawomenyouthempowerm267 2 жыл бұрын
Fanyeni onyesho siku ya Valentine
CHEGE NA TEMBA WAFUNGUKA : ASLAY HANA ADABU, MBOSSO ANAFANYA VIZURI
19:21
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
Wanaume Tmk - Kichwa Kinauma
4:40
Mziiki
Рет қаралды 677 М.