Huyu jmaa yupo vzur big up sana LAKINI USHAURI WANGU ajitahid sana kua creative asitumie maneno yaleyale mana watu wakizoea misamiat yake watamchoka sana!!!!awe mbunifu na kua na misamiat mipya
@gastogeness84106 жыл бұрын
Kama unamkubal Mr beneficial. Gonga like
@deocratioxcarlox295 жыл бұрын
Xaan baba la baba
@emmanuelwenga26965 жыл бұрын
Anatisha kiku***
@emmanuelwenga26965 жыл бұрын
Dwasi
@visentjoseph75415 жыл бұрын
Gasto Geness good
@gastogeness84105 жыл бұрын
Patrick Francis utajua mwenyewe
@simonmuga20836 жыл бұрын
Jamaa anazidi kuadvance....well done beneficial
@elirehemaakiyo2566 жыл бұрын
Umetisha
@sadikramadhan32023 жыл бұрын
sssfgj
@patrickchristopher13115 жыл бұрын
Kwenye hii. Kweli mr beneficial ana advance sanaa. Kaka kama kawa . Kaza hela yote . Usilegeze wala usicheke na boya yeyote . Utafika mbali sanaaaaa.
@jamesdavidkawongajr44186 жыл бұрын
Yaani nikimuona tu Mr Beneficial moyo wapata nafuu
@jajatz30536 жыл бұрын
Nice
@nicholouskihombo15075 жыл бұрын
Masikhara hayo mkuu
@nelsonstsven41345 жыл бұрын
Mmetisha san
@johnyhamis55565 жыл бұрын
James David Kawonga Jr hahahaah same as me bro.
@gerumanaanatoly13555 жыл бұрын
Mambo ni fasi aduasi chalia araaaa
@streetkidonline47776 жыл бұрын
Yan mm ndo shabiki number 1 wa huyu jamaa
@bonnyjames62125 жыл бұрын
Me 2 ,me 3
@crownprime79424 жыл бұрын
gonga like kam lotee aise
@michaelbrando4313 жыл бұрын
Me 3
@bonnyjames62125 жыл бұрын
Pambana baba la baba pambana la hela yote haikatai haikatox nakukubali mbaya mbovu broooooooooo👊👍
hii rangi haivutii hata kidogo badilisheni bhanaaaa
@hassanmakacha39425 жыл бұрын
😂😂😂😂bunge linge kuwa la machizi khaaaaa yaani ww chalii ya r mungu anakuona pamba na ela yote
@nickosimchimba81765 жыл бұрын
Hii kongamano wangekua wanarusha pia kwenye TV mojawapo za bongo ingewatangaza sana
@arnoldraphael12946 жыл бұрын
Daaaaaah safi sana endelea kumbambana hela yote
@leopoldmwesa69686 жыл бұрын
Gonga like zako kama umemuona janjaro
@rashidadam37925 жыл бұрын
H
@barakaleader15505 жыл бұрын
Umetisha Baba la Baba nimekupenda bure
@adammakoye41986 жыл бұрын
Beni umewakamata watu mbya style yko hii kma unakumbuka nilikuwa mtu wa mwanzo sana kukuunga mkono na kukusanuwa kwmba unatakiwa ukomae nayo itabamba na kweli imebamba ila ogopa kesho na kesho kutwa wakiikinai. so umiza kichwa baba la baba ikitoka hii uje na nyingine kali zaidi. walikuwepo wakina bambo na wengine kaza broo. nakusanuwa kwa mara nyingine mnama
@austinkennedy98705 жыл бұрын
Asibadilishe, with this accent he his representing a culture.
@anithalaizer93315 жыл бұрын
Adam Makoye g
@pamelamushi17175 жыл бұрын
Adam Makoye Umeshauri vyediiii...
@gretagonga29665 жыл бұрын
True
@saumuhassan63656 жыл бұрын
Mr Beneficial nakukubali sana Mzee Baba.
@kingmambtz54235 жыл бұрын
nakubali zimbaaa chafuaaaa tuko pamoja sanaa
@annakwaslema92215 жыл бұрын
Kama umemeona dogo janja like kama yoteee!
@Mahmoudih235 жыл бұрын
Nimemuooooona
@shabanially30925 жыл бұрын
niaje umetisha
@a_vannydejoon44115 жыл бұрын
Good to him
@eliethgift12275 жыл бұрын
Bernado Baran NAKUKUBALI KAMA YOTE
@hoseangwavi92274 жыл бұрын
Hosea ng'wavi ,nimemuonaaaaa
@godyruge44785 жыл бұрын
Nadhan mimi niadhirika sana na comedy za Wakenya hasa Churchill...hizi me naona hamna kitu aisee
@anthonymsenga20315 жыл бұрын
Umetisha laana baba la baba pambania hilo kombe dingili. Like mingi kwa jamaa anajua
@danielimsuya99385 жыл бұрын
Atar saana
@deotarimocharles76815 жыл бұрын
Deo tarimo
@petermfugale85755 жыл бұрын
Vpi
@godfreymaxwago36356 жыл бұрын
Daaah uyu mwamba me nikimuonaga tu hata kama ajaanz kuchekesha me tayar mzee wa yechu yechu
@athumanijuma12845 жыл бұрын
nic
@basilegnace58044 жыл бұрын
kama unampenda mr beneficial gonga like
@gaspermoshi23303 жыл бұрын
Nakukubali sana tuwakilishe chuga moko iyo aikatai aikatox 🙏🙏🙏 may god bless u
@ballisticsound47965 жыл бұрын
yoo the song is traight firee mamong'oo s/o Jambo Squad
@alikomwamundela62645 жыл бұрын
Kama umemuona Dogo Janja gonga likes nyingi!
@mwanaidally92766 жыл бұрын
nimemuona dogo janja
@daudipupni53875 жыл бұрын
Umetisha sana broo ila unapokuwa kwenye steji jaribu Ku move usisimame sehem moja
@2nyiivo4344 жыл бұрын
Hakuna zaidi yako mr well done
@viniishemdoe86745 жыл бұрын
Umetisha baba
@abelharry_tz6 жыл бұрын
Leo ulkuwa down kidogo but next time naamin utakuw Poa zaiD
@rubeniashery47605 жыл бұрын
Aisee chalii yangu me nakukubali kinoma mazee we ni mkali sana
@christinaseme33956 жыл бұрын
Dogo siku hizi upo vizuri sana big up
@andrewhemed29415 жыл бұрын
Mr Beneficial you are an international Comedian
@robartalembe99095 жыл бұрын
Kabla hujaongea watu wameishaanza kufurahi yaan wanakukubar sana piga kazi baba tuzidi kucheka tuuuu
@salimsalehe96456 жыл бұрын
Namkubali sana jamaa. Kuna jamaa alikuwa anjulikana kwa jina masawe namuweka sawa na uyu