CHEKI JINSI PROF KABUDI ALIVYOTOA HISTORIA YA MKOA WA SINGIDA, KISWAHILI CHAKE CHAWAKUNA WENGI

  Рет қаралды 49,572

BONGO NEWS TV

BONGO NEWS TV

Күн бұрын

Пікірлер: 74
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 Жыл бұрын
Asante sana Prof. Kabudi. Unaielewa historia ya taifa letu vizuri sana. Kiswahili chako ni cha kuigwa na kila Mtanzania hasa wale wenye ulemavu wa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza wakidhani ndo wataonekana wasomi. Unakipa heshima Kiswahili chetu.
@FabianPiusMghanga
@FabianPiusMghanga Жыл бұрын
Asante sana Prof. Kabudi Sikuwahi kufahamu mambo mengi kuhusu mkoa wa Singida
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 Жыл бұрын
Prof. Kabudi you are the best!! Asante kutukumbusha Watanzania tulikotoka na tulipo sasa!!!
@justinebosire9804
@justinebosire9804 Жыл бұрын
From Kenya i love listening ..to him fluency..
@jumanneshigela2900
@jumanneshigela2900 Жыл бұрын
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
@peterkanza2207
@peterkanza2207 Жыл бұрын
Mzee Kabudi,sauti ya mamlaka,safi sana.
@thetopafricatours9355
@thetopafricatours9355 Жыл бұрын
Asante Profesa na salamu kwa wanasingida. Mheshimiwa kabudi bado nakuomba uongee na Mheshimiwa Raisi kuhusu Mkataba wa Bandari Kwani Mheshimiwa Rasi alituambia wewe ni Mtu wa Mikataba. pamoja na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao kwa kweli unahitaji marekebisho makubwa kwani wazanzibar kwa asilimia kubwa wanasema tanganyika inawanyonya nami sielewi. kabisa Tangyika inawanyojnyaje zanzibar. Mimi Naona tuwe na Nchi Moja tu. na serikali tatu hiyo inahitaji kura ya maoni pande zote Mambo haya naona ni vyema yaongelewe na ninyi wazee sasa hivi. na sio kesho.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Kama huoni Zanzibar inadhulumiwa vipi na Tanganyika basi acha Muungano ubakie hivi hivi lakini sasa mamlaka yote iliyonayo Tanganyika kwa Tanzania sasa ipewe Zanzibar na Tanganyika iwe na Serikali yake kama ilivyo leo Zanzibar. Wazanzibar HATUKUBALI hata siku moja iwe nchi moja, kimsingi hatuutaki tena Muungano kwa sababu Watanganyika wengi hamuujuwi Muungano kwa sababu hauwaumizi, Wazanzibar wote wanatafautiana kusiasa lakini kwenye kudhulumiwa na Muungano wote wanaelewa. Nakutajia mambo machache Wazanzibar hawahawahi kuwa na hata Naibu Spika, Naibu Gavana, kuna taasisi kadhaa za Muungano kama vile NECTA, TCRA, ATCL nk Wazanzibar hawapati hata ujumbe wa bodi achilia mbali management. Kwenye Katiba ibara ya 133 - 144 imezungumzia masuala ya fedha ikiwemo kuanzishwa akaunti ya pamoja, mikopo na misaada, CAG nk mbona ibara hiyo hadi inadaiwa Katiba Mpya HAZIJATEKELEZWA. Fedha ndio uchumi mkiizuwia hapo Zanzibar ndio mumeiua kabisa. Ndio tunasema Katiba mpya tuangalie na tuujadili upya Muungano kwanza tuone uendelee au uvunjwe. Wazanzibar HATUTAKUBALI Katiba Mpya ambayo ni Mkataba mpya bila kuelewana vizuri kwenye hii. Yanayoidhulumu Zanzibar hayatokani na Katiba iliyopo ni kutokutekelezwa tu, kuna assurance gani kwamba Katiba Mpya ITATEKELEZWA 100%?
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo Жыл бұрын
UHUYU BABA NI HAZINA NA RASILIMALI WATU KUBWA SANA KWA TAIFA LETU TANZANIA. TUNAKUOMBEA AFYA NJEMA PROF P. KABUDI. HAPA KAZI TU NA KAZI IENDELEE.
@RobertPangaya
@RobertPangaya Жыл бұрын
Huzee wako unafaida kwetu vijana pa kujifunza mengi ya kimaarifa Na kizalendo big up prf kabudi long life💐
@bijaporaelias4280
@bijaporaelias4280 Жыл бұрын
Asante mheshimiwa kwa kutupa elimu kuhusu umhimu wa mkoa singida
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 4 ай бұрын
Vizuri sana Mzee.🙏🙏🙏🙏 Kumbe ni ndugu yetu👍
@pepchallanga3626
@pepchallanga3626 Жыл бұрын
the only Prof we have in Tanzania
@foundationforcommunityhope7327
@foundationforcommunityhope7327 Жыл бұрын
Big up Prof Kabudi, popote unapokwenda na kutoa hotuba ...unakuwa super hii haina kupinga... proud of Tanzania...uko vizuri Sana.
@rajaburajabu12509
@rajaburajabu12509 5 ай бұрын
Historia nzuri sana kabudi Najivunia sana
@mwanaidiomari2676
@mwanaidiomari2676 11 ай бұрын
It's very good
@bonnymartin3348
@bonnymartin3348 11 ай бұрын
Asante kwa kuitaja shule yangu ya Mwenge Sekondari sauti ya Mamlaka hiyo.
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl 10 ай бұрын
Professional person God helps you for everything
@JosephKangungu
@JosephKangungu Жыл бұрын
Good man
@rwekazamugasha6448
@rwekazamugasha6448 Жыл бұрын
Prof Kabudi apewe majukwaa ili aendelee kutuo historia sahihi na uasilia wa Kiswahili. Keep it up, Prof Kabudi
@JosephKangungu
@JosephKangungu Жыл бұрын
Kwa Nini mama kamtoa w ya mambo ya ndani? Niliuzika Sana.
@JosephKangungu
@JosephKangungu Жыл бұрын
Samahani mambo ya nje
@shadowkasi6881
@shadowkasi6881 Жыл бұрын
Mimi sinashaka pro kabudi Namkubali sana.
@ObediKinkusha-gq8fw
@ObediKinkusha-gq8fw Жыл бұрын
Asante kabudi uko vizuri tunakuhitaji
@christopherchisuligwe512
@christopherchisuligwe512 11 ай бұрын
Real profro
@braviuscosta1430
@braviuscosta1430 Жыл бұрын
Huyu ndo angekuwa rais nampenda sana
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Haswaaaa uongozi wa urais unahitaji mtu mwenye akili
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 11 ай бұрын
🎉🎉
@joycemalima2790
@joycemalima2790 Жыл бұрын
Hongera sana
@meshackmwankusye2908
@meshackmwankusye2908 Жыл бұрын
Amina Amina sema amen ukombozi wa kweli unakuja
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Жыл бұрын
Umesoma sana lakini umetuagusha kisa cheyo simamiya ulicho someya
@obedlwinga9194
@obedlwinga9194 Жыл бұрын
Cheyo kafanya mini tens hapo? Au cheo
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz 11 ай бұрын
🎉🎉🎉
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 Жыл бұрын
SAUTI YENYE MATUMAIN SAUTI UKISIKIA UJUE KUNA KITU HAPO ..HONGERA MH.KABUDI
@yahayaally8416
@yahayaally8416 Жыл бұрын
Baba Pinga kazi nakubari ww mze
@karimambosanga4290
@karimambosanga4290 Жыл бұрын
Unashangaa dhahabu kama hii haithaminiwi kisa simwenzetu,ila Mungu akuongoze pr Kabudi
@sashawambura
@sashawambura Жыл бұрын
He is always unique...
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 Жыл бұрын
Huyu ndio professor
@SelijusiMalambo-c8k
@SelijusiMalambo-c8k Жыл бұрын
Huyu niwaukweli sio wengine wanao ota kama uyoga
@mariamusaulo4429
@mariamusaulo4429 Жыл бұрын
Mungu akutunze ww Baba
@shd12m55
@shd12m55 Жыл бұрын
Hk kichwa ni balaa,,RIP MAGUFULI
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 6 ай бұрын
Singidani NI jina la kimangati ua barbagi pia hujakosea Sana watindiga NI WA barbagi WA mbugani na wanyaturu hawakutokea ethopia wametokea Somalia wao na Watusi waliondoa wakati moja
@MartinLaban
@MartinLaban Жыл бұрын
Jembe jembe jembe sauti haijawahi badirika safi saaana mama akitoka kura yangu nakupa roho saaaafi.
@stewartmonyo
@stewartmonyo 2 ай бұрын
🎉👏👏👏👏👏👏👏👏🎁🎁🎁🎁🎁
@mdoeonesmo6780
@mdoeonesmo6780 Жыл бұрын
🔥
@MartinLilenga
@MartinLilenga 2 ай бұрын
Kichwa
@YoelRyoba
@YoelRyoba 2 ай бұрын
Kabudi tunaomba utunge kitabu cha history hito
@Trendingnewstubes
@Trendingnewstubes 22 күн бұрын
Wanyaturu ni wajukuu wa mfalme suleiman na malkia wa Sheeba
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 Жыл бұрын
Amesha ramba asali uzalendo umemshinda sasa anafukuzia vyeo. Tuliambiwa yeye ndio mzee wa mikataba na matumda yake tumeyaona bandari wanakabidhiwa Dubai na watanzania wanafukuzwa kwenye ardhi ya nchi yao wapewe wageni hongera Prof.
@emanuelkitiku690
@emanuelkitiku690 2 ай бұрын
Wanapo niboa tu uccm ukome😊
@humbemusa3480
@humbemusa3480 Жыл бұрын
Nimeipanda bureee hii historia ya Singida kutoka kwa Kabudi umetishaaaaaaaaaa ungesema na kinyaturu kidogo tukusikie. Maua yako tunakupatia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk Жыл бұрын
Nyerere alikuwa na akili sana
@humbemusa3480
@humbemusa3480 Жыл бұрын
Mbojo ni hatariii saana kwa wakati huo
@josephkafumu3006
@josephkafumu3006 3 ай бұрын
Hiii ndo sauti ya kutunzwa sasa
@mangashajunior242
@mangashajunior242 11 ай бұрын
Vipi yale makonteina ya makinikia na mikataba yake imeishia wapi...
@coolruler6820
@coolruler6820 Жыл бұрын
Nabii hanaga heshima kwao,,,,,watu kama hawa ingepaswa kuonekana wamekalia ngazi za juu za uongozi wa nchi ili tuyafaidi madini yaliyomo vichwani mwao,,,,ila ndivyo hivyo
@msafiriatanasiovicent209
@msafiriatanasiovicent209 Жыл бұрын
Kabun we ni baraa mkuu mpe uwazir
@johnmsambuzi9094
@johnmsambuzi9094 Жыл бұрын
Lengo la historia hiyo kwa mda huu nini,tunaomba kuelewa,na anayesomewa historia hiyo lengo afanye nini
@jairoshamisi3266
@jairoshamisi3266 Жыл бұрын
Wana manyoni singida hoyeee
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
huyu akiongea hatulii macho
@kianda973
@kianda973 Жыл бұрын
Noah zetu ziko wapi?
@amanikudeli5297
@amanikudeli5297 Жыл бұрын
Mwamba huyu
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Жыл бұрын
Kwanini ulijitukana mwenyewe nakukumbusha uliokotwa wapi? Do you still remember
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 Жыл бұрын
Akili yako ndio inaona hivo
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Жыл бұрын
Endelea kukumbuka historia na roho yako ya chuki...huwezi mfikia huyu mwamba kwa lolote !!!
@RobertAbdala-m1m
@RobertAbdala-m1m Жыл бұрын
Vee umnyaturu mbuyani
@augustinempule7385
@augustinempule7385 11 ай бұрын
Mnyampaa
@godiusjilaoneka3484
@godiusjilaoneka3484 Жыл бұрын
9
@ShabaniHusseni-m8l
@ShabaniHusseni-m8l Жыл бұрын
Acha upumbavu wewe nani kakuuliza
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Kuwa na heshima kwa viongozi wako
@coolruler6820
@coolruler6820 Жыл бұрын
Si lazima kumsikiliza,,,kalale
@jumanneshigela2900
@jumanneshigela2900 Жыл бұрын
Prof. Well done siku nitakutafuta niombe historia hii bora kabisa Mungu akihifadhi na kila lililo ovu na akupe maisha marefu ili tusome mengi toka kwako binafsi saluti kubwa kwako
@RobertPangaya
@RobertPangaya Жыл бұрын
Huzee wako unafaida kwetu vijana pa kujifunza mengi ya kimaarifa Na kizalendo big up prf kabudi long life💐
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Sana Mashaallah
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 2 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,2 МЛН
Waziri KABUDI Amvunja Mbavu MAGUFULI - "NYERERE Asingekuwa MTANZANIA"
17:33
SIMANZI NA MAJOZNI KHUTBA YA BABU DUNI
15:30
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 50 М.
NONDO ZA MZEE WARIOBA MBELE YA RAIS SAMIA KUHUSU HAYATI SOKOINE
19:28
HISTORIA YA CHIFU SENGE MISANGA ALIYENYONGWA NA WAKOLONI
14:11
barmedastv
Рет қаралды 4,2 М.