Watanzania bahati mbaya uelewa ni mdogo tunaamini sana uwongo kuliko ukweli
@VickMatee2 ай бұрын
Mimi ni mmoja was waumini,,,aminaaa 4
@oscarkalihamwe1621Ай бұрын
Mwisho wa Dunia is near please!!! Come to Jesus Guys hata sodoma na gomnorrah walipona wanne tuu. Please and please Jesus is looking u to kneel down to him will be saved
@PaulMerick-dy6qo2 ай бұрын
Pole mwaya
@LeonardSikazwe2 ай бұрын
Kalibu ufe nakuonya usimtaje mungu 10:10
@BarakaKayuni-c6fАй бұрын
Habali
@TajewuoMoseka2 ай бұрын
Chief hiyo kanisa ni ya chakula au ni ya neno la mungu mungu hadhiakiwa
@agentchidisautimbaya21412 ай бұрын
Daaaah kila nikiwaangalia walinzi wa godlove nakumbuka mbali nimecheza nao sana kamali aiseee
@NoahMwanjalilaКүн бұрын
Ko wewe had reo bado unacheza maana uliocheza nao ndohao
@PeterSaqware2 ай бұрын
Ukisikia YESU hatajiwi jiongeze
@RamadhaniYahayamshihri2 ай бұрын
Pesa pesa tuu hawa washamba kk chifu achana nao hawo
@jumaotieno12992 ай бұрын
Dogo anajitahidi kuongea kwa kujiamini, ila yule baunsa nyuma ana sura ngumu daaa!!!
@jamessimbaire30162 ай бұрын
Yani kwa yule mwenye akili timamu huwezi msikiliza huyu jamaaa
@josepheriah59772 ай бұрын
Sawa na uk
@PaulMerick-dy6qo2 ай бұрын
Huku lazima ufe godlove
@jumaotieno12992 ай бұрын
Hao walinzi wako unawapea bei kwa siku? Mbn wanaonekana wana njaa!!??
@jeremiahcharles60273 ай бұрын
Upuuzi tu😂😂😂
@MabulaJelly2 ай бұрын
Kanisani tunafata neno la MUNGU sio kula tunashiba neno
@peterngichabe2702 ай бұрын
I wish people know what this guy is talking about...
@ISSACKRICHARD3 ай бұрын
Ukifunguwa kabisa umeenda Mzee mazombi ni mengi 😂😂😂😂😂😂 apo kwenye kanisa shikilia utapiga elaaa
@VickMatee2 ай бұрын
Mimi mmoja wapo was waumini
@zachariamakoba83683 ай бұрын
Mtakuja na njia nyingi xn, nyinyi xana, ili kuwaoteza maboya wenye loho mtakatifu wa Mungu tunaijua hii😏😏😏
@KenethTuruka2 ай бұрын
Hakuna kitu hapo wakala washetani uyo
@venasbinguyeko93642 ай бұрын
Mtambue majira na nyakati
@erickjosephat8633 ай бұрын
"Nimepakaa mafuta ya million" 🙆♀️🙆♀️
@ngubadunia58792 ай бұрын
Njo umeamuwa ili utobowe zaidi ufanye mazabau ili utowe kafara nyingi
@brysonuronu58622 ай бұрын
Unapotea
@habilahabdullah39413 ай бұрын
Yule baunsa kule nyuma ile sura
@DJINNOSSBTZ2 ай бұрын
Yule anasubili alipwe maisha yaende ila msg ya jamaa haielewi kabisa😂
@Kuminamoja19953 ай бұрын
Likiwa kanisa la waumini ili wapewe pesa ni sawa lkn sio waumini kutoa sadaka?
@jacksule75573 ай бұрын
Anazo ss
@sisimizitv20202 ай бұрын
Pesa ni pesa
@RiyamaAbibu8893 ай бұрын
Naogopa idunia tunaenda wapi😂
@SalimRajabu-zn6ib3 ай бұрын
Unachukua pesa kwenye group kisha unawaremov
@hamisimkoma73803 ай бұрын
Hahahah kwa ishu ya kanisa hapo utapiga hela kwa kuwa wakristo ni mbulula vibaya mno kwa kuwa wanafuata maneno ya wachungaji na sio maandiko ya injili
@barikilangoy47372 ай бұрын
Msaidie kwanza huyo mlinzi wako
@BensonEvaristo3 ай бұрын
Chif huko kwenye kanisa unaenda kupotea usicheze na mungu kaka utapotea
@FatumaKibona-zs9uq3 ай бұрын
Chifu 😅😅😅😅 unatowa neno na chakula
@NicholausKalolo3 ай бұрын
uyuu jamaa agent wa freemason katumwa
@AzizaHamisi-o6z2 ай бұрын
Wenzetu haya mazehebu yanaongezeka sijui mnamacho hamuoni
@efathagenus993 ай бұрын
HAKIKA ME NDO NABII NIJAYE,KWANI KUZALIWA KWANGU PAKA SASA SIJAWAHI UMWA NA SITOUMWA....PENGINE NIMEZALIWA NAKUSIBIRIA KIFO....NATAMN NIWAPONYE WOTE KW KUWASHIKA,LAKINI WATU HAWANA IMANI KWA MUNGU.....