Watu wabaya hawafai kuongoza nchi hii, kwa uwezo wa mungu na ashindwe nia yake hiyo.
@samuelmuthui46993 ай бұрын
Waislamu hawafai kuongoza?😂😂😂
@user-ie2sr4fi4k3 күн бұрын
Wabaya unawajuaje?
@MayungaShuli4 ай бұрын
Jambazi Sana makamba hatumtaki
@nanubob19694 ай бұрын
kabisa!!!
@daudifungo55213 ай бұрын
Hongera Sana Bro Ktk Safari ya Ndoto Zako Duniani Never Give Up. All the Best.
@Santzmedia3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@valenakomba76864 ай бұрын
HUYO HAFAI KABISA.
@michaelndilima62103 ай бұрын
Mtu anayepania urais mjue kuwa kuwa huwa anakuwa sio mzuri kwa manufaa ya watu bali huwa amepania kujinufaisha yeye angalia watu walioupata urais bila kutumia nguvu ndiye huwa mzuri.
@valenakomba76864 ай бұрын
HUYO NI MZEE NI MNAFIKI SANAA .
@yousuphnzira32094 ай бұрын
Mnafiki babaako
@alexmathias66204 ай бұрын
😢😢😢😢😢 mi kama ataongoza makamba naenda kuomba uraia Burundi duuu hafai huyo Kama Ni uongoz anafaa Majaliwa au kabudi
@Santzmedia4 ай бұрын
😂
@alexmathias66204 ай бұрын
Kweli kabisa duuuu hii nchi sasa imevamiwa Kama na hao wameanza siasa zao za mwaka gede gede mbona hawakuonekana kwa anko magu
@user-ie2sr4fi4k3 күн бұрын
Kaombe mapema uwo iraia kwa nkurunzinza maana uwez kuzuia mafuliko kwa mikono😂😂😂😂
@Mughusi3 күн бұрын
@user-e2sr4fi4k ipo siku hiking kiburi chenu kitakwisha.enndeleeni kulamba asali. Kila lenye mwanzo lina mwisho
@angellomarcel56773 күн бұрын
Huyu kijana ni Mwamba sana...namuelewaga sana shida yake mtata sana
@warakawayohana28963 ай бұрын
Mmoja wa viongozi wa hovyo kabisa Tanzania
@Santzmedia3 ай бұрын
🥺🥺🥺
@mushumbusikappia16234 ай бұрын
Usiwaangalie Wabaya Wako. Angalia Ndoto Yako. Mungu mwenyewe Atakulinda na Kukufungulia malango ya Nia yako
@victorphilipo3 күн бұрын
Huyo dogo amekuwa roho mbaya sana kwa sababu huduma ariigeuza biashara kupandisha umeme nakusema umeme kunatakiwa sh 600000 kuingiza umeme mungu anaona
@meryevance67443 ай бұрын
Hafiiiii huyu kijana na Nape pmj na Liziwani
@CYPRIANMACHIBULA4 ай бұрын
Hakuna kitu hapa
@user-rk6jf6zq6d2 күн бұрын
Kamwe hata Atuhumiwe Kuiba Matirion kiasi Gani Mimi Sio Nabii Lakini Hatokaa Apate Uraisi wa Nchi Inayoitwa Tanganyika au Tanzania
@user-qk9iz5lt8q4 ай бұрын
Hafai hafai KABISA
@hassanmfaume45224 ай бұрын
Atafaa sana maana ni mtu mwenye aiba ya kuwa Rais shule kaenda anatufaa sana watanzania ila wale wanyarwanda hawatusumbui kumkataa..!!!
@musakihama72053 күн бұрын
@@hassanmfaume4522aseeee,😢😢😢😢😢.
@chrispinboniface33293 күн бұрын
Huyu hafai hata kuongoza Mtaa 😢😢😢
@gabjoni43064 ай бұрын
Never Happen Never Nchi haingozwi kwa Drama
@MajataFajiri3 күн бұрын
Jimboni kwake TU hapajali je nchi ataijali kweli.kama wananchi TU wa bumbuli Barbara ni mbovu utazani njia za kupitishia ng,ombe jimboni kwake TU hajawahi kukaa na wananchi wanaadha kibao lakini hajali, akipewa nchi atahamia marekani kuishi kwasababu tuu simzalendo .
@abuuramadhan80934 ай бұрын
Makamba mungu atakusaidia umechafuliwa bila sababu
@OmarMohamed-bs2hf2 сағат бұрын
Kumbe ndounataka uweke historia kukaa uraisi kwa kupitia mauwaji
@georgemassebu20833 ай бұрын
Huku mitaani kwa wananchi hakuna anayemkubali,yeye pamoja na Mwigulu Nchemba
@Santzmedia3 ай бұрын
Ulishafanya research kumbe😂😥
@msafirimaulidi5054Ай бұрын
Aiitaj research j makamba ,mwigulu nchemba ni mafisadi wakubwa ata ulimuuliza mtt wa nasary atakwambia
Huyu ndiye atakaye kuja kushika nchi baada ya Rais wa sasa kumaliza muda wake wa miaka 10 - 2030 MUNGU akipenda. MAKAMBA atakuja kuwa RAIS 2031.
@MajataFajiri3 күн бұрын
Makamba akiwa raisi watanzania tujiandae Kwa anguko kubwa la nyanja zote za maisha,January Jimbo lake TU la bumbuli Hali ni mbaya Barbara hazipitiki nimitaro mitupu je akipewa uraisi siatauza nchi.kama Jimbo TU halijali je nchi ataijali kweli.watanzania tuwe macho,akipewa ubunge harudi mpaka miaka mitano iishe ndo arudi wakati wa uchaguzi .mm nasema hata uwenyekit wa mtaa hafai.ila sema tuu mfumo unambeba.
@simonnaivasha63932 күн бұрын
Akawe Rais nyumbani kwao ! Sio Tanzania .
@nurusulley32764 ай бұрын
Jerry Jembe anaweza kufaa urais
@rehemakanyere41883 ай бұрын
Yes,tena saaana
@jedidahbintidaudi82413 күн бұрын
anafaa uwaziri mkuu
@United-Bantu-People4 ай бұрын
mwizi
@Santzmedia4 ай бұрын
Duuh
@azizihfarijala53074 ай бұрын
kaiba nn tusiwe wapiga ramli huyu ni kijana katiwa doa na rais marehem sababu ya ugomvi wa baba na marehemu zaidi ya hapo ni kijana mchapa kazi
@user-ow6vh6mz8u3 ай бұрын
Mpumbavu wewe ameiba nini
@husseinc2 ай бұрын
haya majizi ayafai lazima ashirikiane na mabeberu nchi itahangamia
@MirajiMbolile2 күн бұрын
@user-ow6vh6mzj8u jizi ee au na wewe ni jizi unatetea lijambazi lenzio pumbavu
@deniccgabriel61534 ай бұрын
😂😂majambazi ndio tunaowaona kwenye nafasi kubwa hiv nyie watu wenye akili mko wapi na nyie waaminifu mko wapi mje mlisaidie Taifa letu😢😢😢😢😢😢😢
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Taifa linaangsmia😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@JacksonFrances4 ай бұрын
Hakuna Watu wa Kulikomboa Taifa La Tanzania 🇹🇿 Kama Mimi na Wewe Hatutaamka na Kupinga Tawala Mɓovu"
@alawikihema86764 ай бұрын
nchi hii inatafunwa na udini kimya kimya hamtaki kufunguka tu semeni hatuwataki kwa dini yao ,acheni roho mbaya nchi hii ni mali yetu sote hakuna race yenye hati milki ya nchi hii.
@hassanmfaume45224 ай бұрын
Majambazi yote hayapo sasa ktk system kwani yamefyekelewa mbali😅😅😅
@hassanmfaume45224 ай бұрын
@@alawikihema8676umesema kweli kwani hawana lolote ila udini umewajaa sana hata kikwete alipigiwa kampeni za udini sana lakini mwisho wa siku walimwita hao hao chaguo la mungu ..! Mtu akiandikiwa kuwa sehemu huwezi kumtoa katu ..!
@user-py3mz6xd2t2 күн бұрын
Unatengemea awe Rais wako huyo kilaindala anaewekwa anafeli najamaa yake utaona tena wamerundisha wanachenza nahakili za watanzani tunawanzum
@AllyGibu-cz2vo4 ай бұрын
Kwa wanaotegemewa kupata urais labda Majaliwa, Makonda na Jerry Slaa hao hadi waongoze kisha January ndo atashika madaraka sasa mda huo tayari ni miaka 30 January atakuwa babu na sisi hatutaki kuongozwa na babu😂😂
@jedidahbintidaudi82413 күн бұрын
mmmh Majaliwa anachukua % fulani kwa kila halmashauri, wasipompa pesa anawaletea takukuru..Majaliwa huyu sidhani kwa kweli
@nurumohammed13103 күн бұрын
Huyo hasipewe Nafasi hafai anautaka uraisi roho yake
@samwelmatemu88732 күн бұрын
Huyu mswahili hawezi kuwa raisi .Mnawaza kuwa maraisi wakuku sanya kodi na kula basi.
@simonnaivasha63932 күн бұрын
Wachane amepata elimu kwa sababu ya Fursa ya wazazi wake is nor so smart.
@user-gd1ny2so9y4 ай бұрын
Wezi awooo
@Luganoamos-jv5in4 ай бұрын
Hyo anaweza kabisa tusubili tu ngoja mvua inyeshe tutaona panapovuja,safi kijana pambana siku itafikia,ingawa so Leo au kesho
@Santzmedia4 ай бұрын
😂
@ezekielsaidtembo22873 ай бұрын
Ni kijana mwenye historia nzuri katika Taifa letu. Namtazama kwa jicho la mapendekezo ya kushika madaraka makubwa sana katika Taifa hili. Mungu akubariki sana January Yusufu Makamba❤❤❤❤
@Santzmedia3 ай бұрын
Nice documentary 😀
@user-um6ob9sf3g4 ай бұрын
Fisi fisadi mkibwa
@dallerbwoyniglo86754 ай бұрын
Kweli pengo linaota, jamaa kajaza pengo la Rowasa mwisho wa sku atahamia ukawa. Raha sana siasa ya Bongo
@hassanmfaume45224 ай бұрын
Huyo anapita kuwa Rais bila wasiwasi .!
@DativaMbowe3 күн бұрын
@@hassanmfaume4522 emeni nautuongoze sasa ee bwana 🙏🙏
@ekisuka14 ай бұрын
Umelipwa na amekuandikia historia yake, ukistrugle sana kwa nafasi fulani kama siyo mpango wa Mungu huwezi pata.
@Santzmedia4 ай бұрын
Unamaanisha nini Rafiki!!?
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@Santzmediautamwelawa hata kwa kuchelewa
@johnabery-vn7eb4 ай бұрын
Hapo hakuna unachokichambua no upuuz mtup makamba mwizi na kikwete
@Santzmedia4 ай бұрын
😂😂😂 si dhani kama uko sahihi ukisema mwizi and then hauna uthibitisho , labda nikufundishe kitu "mti wenye matunda sikuzote ndio unapigwa mawe" mpaka Hapo sidhani kama bado haujanisoma
@ototek80374 ай бұрын
@@Santzmedia mti wenye matunda?? Bro huo mti unanyoka wakali ndomana unarushiwa mawe hauna matunda yoyote..makamba na kikwete tofauti ipo wapi?
@Ambwene4 ай бұрын
@@SantzmediaHuyo mwizi tuu Hafai kuwa rais
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@Santzmediatena ni jambazi sugu
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@ototek8037umemsahau kinana
@mussakingazi88752 күн бұрын
Sio baba yake Mzazi
@Santzmedia2 күн бұрын
Sawa
@Ambwene4 ай бұрын
JANUARY MAKAMBA NI MWIZI HAFAI KUWA RAIS WA NCHI HATA KIDOGO
@user-zx4xf2bu9p4 ай бұрын
Wewe unafaa zana mbaya
@user-hb7mq8lg9e4 ай бұрын
Kigogo?🚶🚶🚶
@richardrugemalira69342 ай бұрын
Tusijenge utamaduni wa uongozi kuhodhiwa na watoto wa viongozi. Huo utamaduni unazidi kuota mizizi kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa. Uongozi kigezo kikkuu iwe UWEZO na sio kubebwa kwa historia.
@damymzuri99892 ай бұрын
Singida wako vzr xn
@Santzmedia2 ай бұрын
Kiukweli
@ramdanmbara85004 ай бұрын
Acha kutengeneza Promo wewe
@Santzmedia4 ай бұрын
😂 Promo tena
@khadejakhadeja97135 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@aliferuzi15373 ай бұрын
BADO HAIJATOSHA KTK MALENGO ILA BASI SAUTI HAIPAI
@ANNAKISIGA-pc5qs4 ай бұрын
Watu wabaya hawafu kabisa ila mungu ataamua huyu akipewa urais tujiandaee kawa wazir wa nishat tu hata mwaka haujaisha umeme hakuna akiwa rais je nn kitatokea?
@user-rk2sb2lb1q2 ай бұрын
Bora iddiamin angemalizaga shuhuli tu hapa mana taifa linadidimizwa
@Santzmedia2 ай бұрын
🤩🤩🤩 Ivi Mwenzetu wewe ni Mtanzania kweli
@batrumbeziks59463 ай бұрын
Huyu ni msakatonge, mla rushwa, mwizi na mpotoshaji, kama alivyokuwa baba yake.
@msafirimaulidi5054Ай бұрын
Ukiweka jiwe na jmakamba nachagua jiwe
@SantzmediaАй бұрын
😆😆😆
@LusajoKabuka4 ай бұрын
Kwa hiyo tufanyeje munatutinga kutuchanga ya nasi kila mtu anahisitoria maana yake hatujakuelwa huuu
@jakobongwara30383 күн бұрын
Kama mwizi wahera zanchi
@AdrianoStephen4 ай бұрын
Jambazzz tuuu Hawa ndioo kikosi Cha misoga
@Santzmedia4 ай бұрын
😂😂😂
@margarethpolepole74384 ай бұрын
Adrian mijizi mingi ya timu msoga yote inataka Urais mpaka inagombana yenyewe kwa yenyewe humo ndani ya Ccm kuna makundi 3 wajumbe ndiyo wanafiki na wenye msimamo Ikulu ya sasa mpaka machawa wanaingia kumekuwa hovyo kabisa
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@margarethpolepole7438kweli kabisa ni kutoka kwake msoga mbaya sana
@EmmanuelLupoja3 ай бұрын
,,😂😂😂hatari sans
@KassimSalumu-fk6yk3 ай бұрын
Kivipi
@gracemachege38174 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢this is my country
@Santzmedia4 ай бұрын
🤝
@Ajijji124 сағат бұрын
Kawalipa mumpìgie kampeni mapema haya akawe rais kwao
@emmanuelmunuo75293 күн бұрын
Huyu aligombea uraisi Na anafaa sana kuwa raisi maana ana elimu ya kutosha.
@simonnaivasha63932 күн бұрын
Elimu sio makaratasi ila Tabia yako kutoa huduma kwa jamii .!
@davidwatson68212 күн бұрын
Inatusaidia nini?????
@PaulFrank-lw2jt5 күн бұрын
Sasa sifaaaaaa zoooteee ila hana karama ya uongozi ,,,,,hafaiiii
@user-sf3mm9xe3p3 ай бұрын
JANUARY HAFAII KUA RAIS KAMA NCHI HAITARUDI NYUMA MARA 100
@irovyairovya23334 ай бұрын
Urais wa nchi kabisa?
@lusakaone77824 ай бұрын
Nimeamini anautaka urais, kama Ana Nia njema ajitahidi muhimu ndoto yake aisimamie
@meryevance67443 ай бұрын
Huyu mwalibifu wa nchi ndio munampahisha kuwa Raisi muovu ukiongoza nchi mtegemea matatizo nafsi zenyewe mpk muhue ndio muogoze
@abuuramadhan80934 ай бұрын
Magufuli alikua anamchukia makamba kwa sababu makamba alijenga jina lake vzur nakutaka kua Rais na magufuli alikua hataki kuondoka madarakan
@upendoeliya93294 ай бұрын
Ikiwa Wizara ya Nishati aliishindwa Urais atauweza???? Mbinafsi sana yeye na Genge lake la Wahuni Nape, Riziwani n.k.
Wataiongezea serikali majanga tu, itakuwa shida juu ya mishida
@jumaatubu4 ай бұрын
Ah story mzuri na Mungu amsaidie
@Santzmedia4 ай бұрын
Na wewe
@masungamashauri40704 ай бұрын
Mwenye media ukosapo taarifa kaa kimya ni busara pia
@Santzmedia4 ай бұрын
Shida yetu iko wapi mkuu??!!
@iddiabdallah73523 ай бұрын
Huyo labda kwa wasambaa wenzake huko sio urais wa tanzania
@SmilingCells-gz4rk3 ай бұрын
Chuki tu lakin january yupo vizurii sana
@Santzmedia3 ай бұрын
Very nice comment
@MrA24G3 ай бұрын
Vizuri kwa lipi wewe unaesema yupo vizuri jenga hoja.Mfano magufuli tuliona kazi zake na seriousness yke tangu waziri jenga hoja tuelewe
@malembobulongo38564 ай бұрын
Kwanini usingekufa tu mwaka huo maana sio kwa ufisadi huu
@EdwardMaziku-td2liАй бұрын
Inashangaza sana mtu kumupa sifa ambayo ukichunguza kiundani hana !!!!!.....
@abuuramadhan80934 ай бұрын
Wivu na chuki za magufuli kwenye nafasi ya urais na kumchafua mungu amuongozo
@dismasmariananga47764 күн бұрын
Anafaaa kwa sababu mabaya yake hatuyatambui
@ezekielmsemwa81943 ай бұрын
Anatatumia nguvu nyingi kushawishi raia uongoz sio CV ya ulifanya nini, R. I. P JPM
@Santzmedia3 ай бұрын
🥺🥺🥺🥺
@charlesmpunga11614 ай бұрын
Sioni ubaya akiomba nafasi yoyote hata Urais kwani ni haki ya kikatiba mradi sifa mama Mtanzania.
@Santzmedia4 ай бұрын
Kwanza ninakupongeza Kwa kuleta idea chanya katika uwanja Huu wa mawazo pia Kuna wimbi kubwa la Watanzania haswa katika vizazi hivi ilo uliloliandika Hapo hawalifahamu , Zaidi wanabaki kuandika tofauti na mawazo husika .
Hafai kabisa kua rais na hatakuja kua rais wa nchi hii.
@JacksonFrances4 ай бұрын
Kwahiyo Mtandao Wa Wezi Unaendelea Kushika Kasi Eti?"
@Santzmedia4 ай бұрын
Kivipi?
@user-re3zo7ie5e4 ай бұрын
Huyu januari sio mwamba mwamba huwa hamishwi hamishwi ovyo ovyo kwenye wizara huyu anabahati basi alikotoga hivi majuzi tu wizara ya nishat kawekwa wizara ya mambo ya nje siasa ndio zinazo mlinda
@Santzmedia4 ай бұрын
😂😂 sio anaehanishwa ndio anaonekana kutatua shida z watu Vizuri 😂
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@Santzmediahuyo boga status shida gani
@tegezdomin83634 ай бұрын
Inchi imepotea kwahiyo mnampamba ili apendeze awe raisi hafai hata kidogo
@user-ow6vh6mz8u3 ай бұрын
Makamba anafaa kuwa Rais
@TwahaMpakani-pn4ov3 ай бұрын
Baba yke anafokea waandishi wa habar kisa kaulizwa seeikali kushindwa na swala la umeme hivyo huyo hastahili hata ukuu wa wilaya ataieweza nchi?
@Santzmedia3 ай бұрын
😂😂
@SimonEdward-kj3ez3 ай бұрын
Alivyokuwa waziri wa nishati na madini umeme ulikuwa ni wa tabu
@Santzmedia3 ай бұрын
😂😂😂
@ndukulusudikucho_3 ай бұрын
Jembe kama Jembe
@user-vs9wg5km6w3 ай бұрын
Nishati tu inakwama, akipewa inchi itakuwaje..?
@nikorasnyenge59404 ай бұрын
Urais atausikia tu mbwa huyu
@dicksondotto9583 ай бұрын
Makamba ni azina ya viongozi wazuri tulio nao sema anachukiwa kwa vile hakuwa sawa na mwenda zake. Ukiwauliza wote wanaomchukia wakupe sababu zakumchukia hawana point kabisa. Watawala wote wanamteua unadhani wajinga awaoni kitu pale? Ipo siku atatimiza ndoto zake.
@Santzmedia3 ай бұрын
Good 🕊️
@user-nt6fb2ky3t4 ай бұрын
Kama tunataka hii nchi iuzwe mchana kweupe watanzania tulogwe kumpa urais fisadi makamba
@NdageKitahama4 ай бұрын
Ni kweli January makamba hafai kumpa nchi itauzwa nchi tumpeni makonda anaweza