KAMWENE VANYALUKOLO TUDUMISHE MILA ZETU WAHEHE HOYEEEE NAIROB KENYA 💯
@davidchambulila30284 жыл бұрын
Miji ya wenzetu ina sanamu Kama kivutio Cha utalii , ningependa kwenye roundi about ya samora liwekwe sanamu kubwa la mkwawa .mfano Pretoria Kuna sanamu la Mandela, Brazil Kuna sanamu kubwa la yesu
@mathayodaimonsala551 Жыл бұрын
Mandela anajulikana hata na ww mkwawa 1898 ndo kafa kulikuw na picha enzi hzo kwel
@kavishejrkavishe96434 жыл бұрын
Vivutio na urithi wa nchi yetu nzurii, ya Tanzania wa kwanza.kabisa kucoment hapa
@garadjuma89074 жыл бұрын
Danirod
@minaelnathanael18463 жыл бұрын
Amakweli chetu ni chetu.
@mbeyadotcom77114 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/hHnQnGqihK6GfbM Historia ya MTWA MKWAVINYIKA MWAMUYINGA MUNYIGUMBA
@christcarrier49544 жыл бұрын
Binafsi nimependezwa Sana na historia ya mtwa wetu,lakini pia matamani kujua watu wa namna gani wanatakiwa huko,wenye uwezo gani na Nini mashatti ya ujumla kuntembelea mazingira yote ya mtwa mkwama.