DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI

  Рет қаралды 353,617

Ananias Edgar

Ananias Edgar

Күн бұрын

DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
Julai 2, 1925 katika ardhi ya Congo alizaliwa mtoto wa kiume katika viuno vya Mzee François Tolenga Otetshima na tumbo la Bi Julienne Wamato Lomendja, akaitwa jina lake Elias Okit’ Asombo yaani Mrithi wa Aliyelaaniwa, Asombo akakua katika kimo na akili, akasoma, akajielewa, akabadili jina lake na kujiita Patrice Lumumba, akafanya kazi sehemu mbalimbali nchini, akaingia kwenye siasa kuikomboa Kongo kutoka kwenye makucha ya Wakoloni wa Ubeligiji, Mabeberu wakamuua na kisha kumkatakata vipande na kumyeyusha kwenye pipa la tindikali, Lumumba akapotea Duniani lakini fikra zake zikabaki zikiwasumbua watu wanaoamini Afrika haiwezi kujilisha bila kuomba nje!
JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

Пікірлер: 253
@raymondjohn3798
@raymondjohn3798 Жыл бұрын
Alikua kiongozi mkubwa aliyepitia mambo mengi magumu, Patrice Lumumba angeongoza nchi vizuri sana,pan Africanist original.
@tygertz181
@tygertz181 4 жыл бұрын
Kma unamkubal ananiasi Edgar gonga like
@mrbweichum
@mrbweichum 4 жыл бұрын
KAMA UNAMMPENDA MSIMULIZI ACHIA LIKE YAKO TAFADHARI
@daytonlennon9487
@daytonlennon9487 3 жыл бұрын
not sure if anyone cares but if you are bored like me atm you can stream all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my brother these days xD
@arijohan3511
@arijohan3511 3 жыл бұрын
@Dayton Lennon Yea, I have been using instaflixxer for years myself :)
@vincentmaloba2290
@vincentmaloba2290 4 жыл бұрын
Pumuzika salama Patrice Lumumba.Afrika tunajulikana kuangamiza fikira nzuli. Nimefurahiya historia nikiwa Kenya..🇰🇪
@morangaqatar8963
@morangaqatar8963 4 жыл бұрын
Africa murdered Africa, that is how cheap we are
@mamacikuu
@mamacikuu 4 жыл бұрын
We've been brainwashed by the system since they brought it in form of edu..., Religion, politics way of life, the white lifestyle, for ages upon ages but we are awaking now we are getting out of the system out of the matrix💪🙏TUKO PAMOJA!!
@edwinkimani4557
@edwinkimani4557 4 жыл бұрын
It's very sad, to hear about people who sacrificed n gave their lives for the sake of us, the freedom that I enjoy this day came about through sacrifice. yet even to this day we don't learn anything from them. Mtu Mweusi Nikama alilaaniwa. Ni kuomba omba na kukopa Kopa toka nje. Kaangalie Congo umaskini umewavaa kama Nguo. Africa tumebarikiwa lakini hatuoni maana mzungu ametupofisha kwa ushenzi wetu.
@elizabethalphonce1081
@elizabethalphonce1081 4 жыл бұрын
Hakika Mungu akulaze maala pema kwa Mambo uliyotaka kuifanyia Congo ingawa mabeberu na wanyonyaji wakaikatisha kazi yako ila damu yako itanena mema kwa nchi ya Congo
@margaretoyugi7137
@margaretoyugi7137 2 жыл бұрын
I admired your memorial music...Lumumba wa Baba👍 "Na kwa Afrika nzimaa muziki wake unabaki siku zotee👊👏👏👏
@margaretoyugi7137
@margaretoyugi7137 2 жыл бұрын
Ananias Edgar pongezi👍 Kazi safi Mungu akuzidishie uvumbuzi🙏🏽
@joaoonesmocumaio2362
@joaoonesmocumaio2362 Жыл бұрын
The legacy of this man is immensurable, the true pan africanist. He suffered a lot to make Congo free of Begium domain. My his soul rest forever.
@Elfuego257
@Elfuego257 2 жыл бұрын
Nafurahia sana usimuliaji wako, Endelea kutukumbusha tumetoka wapi!!
@margaretoyugi7137
@margaretoyugi7137 2 жыл бұрын
Napenda sana sauti yako na utafiti wako mpagaze👊👍
@Unkown30476
@Unkown30476 Жыл бұрын
Ipo siku MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MWENYE HAKI ata iinua AFRICA IN SHAA ALLAH
@zigashaneadvice3977
@zigashaneadvice3977 3 жыл бұрын
Nashukuru kwakunikumbusha tareki ya 30.06.1960 #listening u from S.A@blood Congolese
@PrémicesMumbere-r9n
@PrémicesMumbere-r9n 6 ай бұрын
Asante sana mwalimu iyi historia wa kokomani hawana faamu
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana denis yaani nimejawa na furaha kubwa kusikia historia zako
@SimonMwita-k8s
@SimonMwita-k8s 2 ай бұрын
Askari Wanaka kulaniwa kwanini vitu mbaya mbaya ni askari wanahusika wajinga wakutumika
@enockcheruiyot5919
@enockcheruiyot5919 3 жыл бұрын
Wamarekani ni wahofu sana,haya makala yamenitia machonzi 😢,pumzika kwa amani PL 🙏
@byishimoobednday779
@byishimoobednday779 4 жыл бұрын
As a Congolese, I really honor the sacrifice of Emery Patrice Lumumba
@babugsafari281
@babugsafari281 4 жыл бұрын
Ndungu Denis leo una nifikisha saana I love my country DRC
@mariekapongo2041
@mariekapongo2041 4 жыл бұрын
Congo 🇨🇩 my beautiful home land ❤ 💕
@alfayeedbuya603
@alfayeedbuya603 3 жыл бұрын
Nchi ya vita
@geofreysenka7091
@geofreysenka7091 2 жыл бұрын
Wazungu wauuji wachonganishi Hasa hao wamerekani Ni mbwa
@geofreysenka7091
@geofreysenka7091 2 жыл бұрын
Bora Urusi awabuluze tu hao wamerekani washenzi tu
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 жыл бұрын
@@geofreysenka7091 Hawa ni mambwa ila sisi tunawakumbatia tu wakina kwetu
@stevek8318
@stevek8318 4 жыл бұрын
Yeees, Ananias na Dennis mko wazee wa maana sana. Kutoka hapa marekani, wakenya wawavulia kofia! Edgar the gifted voice. Elimu ya hali ya juu sisi hupata hapa kutokana na kazi na utafiti nzuuri sana!
@bernardmukinji3065
@bernardmukinji3065 4 жыл бұрын
Like nyingi kweny comment hiyi ajili ya Lumumba
@nellymwangilwa4288
@nellymwangilwa4288 4 жыл бұрын
Forever you live long Mr.Patrice Lumumba,may you rest in peace
@manirihotheigenedelphine6027
@manirihotheigenedelphine6027 2 жыл бұрын
Jama kazungumuza sana ila maskio kama hatuna hivi wewe comment zakingereza hapa kunazungumuzwa kingereza au wewe nimwingereza?.
@musasimba3689
@musasimba3689 4 жыл бұрын
Msimuliaji bora kwangu wa simulizi kuwahi tokea hawa wengine wanaiga tu Asante bro Ananias Edgar
@OmanOman-nz2bg
@OmanOman-nz2bg 3 жыл бұрын
Inauma sana kweri iyi story 😪😪😪😪
@farukiabass5020
@farukiabass5020 3 жыл бұрын
Afrika yetu Ina paswa kua na watu hao namini katika maisha napia kutekeleza haya anayo ya fanya nami naichukia zarau na ubaguzi katika maisha yangu nanyi mulie itafsiri hii stori munaweza vijana Mimi ni faruok abass haji mtoto ninayo itaka historian ya afrika Nina umri was miaka12
@zawadimbusa3472
@zawadimbusa3472 2 жыл бұрын
Vraiment nous sommes contents de vous, que Dieu vous bénisse
@nathanaelshombana645
@nathanaelshombana645 4 жыл бұрын
The Hero never die✊✊
@fahadfaraj1822
@fahadfaraj1822 4 жыл бұрын
Ni stori ambayo muda wote nashindwa kuiskiliza, inakuaje mzalendo kama lumumba, wabelgiji na cia katika hili hawastahili msamaha wa wana congo
@themagnet4236
@themagnet4236 2 жыл бұрын
Asanteni sana,tutafutiye na Habari za Hayati Gregoire Kayibanda wa Rwanda!!!nitakushukuru sana!!
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 4 жыл бұрын
Asante kwa Makala....Nzuri hapa Elimu bora aisee,⚡👏
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 жыл бұрын
Well done once again Mpagaze Denis Ananias Edgar you are the best guys👏👏👏👏👏👏
@OmanOman-nz2bg
@OmanOman-nz2bg 3 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@lulu8206
@lulu8206 3 жыл бұрын
Thank you so much ananias u helped me a lot with what to write on my essay we were doing an project about people who helped black people out of the hands of slavery from white people I dint want to write a essay about martin Luther because it is a famous story about slavery so I came here because I know u had this video and ya it helped me so much thank u and God bless u
@wataifab.7790
@wataifab.7790 4 жыл бұрын
Siyo ww tu pamoja na mm apa baba uyo jama lumumba na mwalimu nyerere walikuwa ni zawadi pekehe kabisa kutoka kwa Mungu watu wa haki akika wakumbukwe milele
@abcdg1995
@abcdg1995 4 жыл бұрын
I found myself speaking in tongues while listening to your story bro Congratulations SIR
@Aaron-nu7dv
@Aaron-nu7dv 2 жыл бұрын
fake
@LawyerKalikumbi
@LawyerKalikumbi 6 ай бұрын
Well done Dennis Mpagaze and Anannias Edgar
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 4 жыл бұрын
Lumumba alikuwa mzuri jamaniii handsome wa zamani😋😋😘😘hata ingekuwa mm ni mke wake nisingeolewa tena 😊😊
@byishimoobednday779
@byishimoobednday779 4 жыл бұрын
Hhhh
@byishimoobednday779
@byishimoobednday779 4 жыл бұрын
Hatari sana
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
Khaaaaaa😆😅
@belindagiliard8977
@belindagiliard8977 4 жыл бұрын
Hata Mimi, nisingeolewa tena
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 4 жыл бұрын
@@belindagiliard8977 umeona eeeehh🤗🤗
@abdallahmgotto7474
@abdallahmgotto7474 4 жыл бұрын
Ulipo tupo 😍
@yakobomaganga6557
@yakobomaganga6557 2 жыл бұрын
Kwa kweli uzarendo ni Imani ngumu Sana inatakiwa kujitoa sadaka Kwa kweli 😭😭😭😭😭
@fiziparadise7808
@fiziparadise7808 4 жыл бұрын
Asante sana, kwetu Lumumba sio tu hero ila pia ni prophet.
@tanzanianchiyangu8984
@tanzanianchiyangu8984 4 жыл бұрын
Safi sana mpagaze
@sindabahabwoyaanacret660
@sindabahabwoyaanacret660 4 жыл бұрын
Mpagaze tunaomba historia ya laurent nkunda na yuko wapi mpaka sasa
@situsengadiego3662
@situsengadiego3662 4 жыл бұрын
Vraiment nous sommes heureux de vous que Dieu vous bénisse✌✌✌✌
@abcdg1995
@abcdg1995 4 жыл бұрын
I love your voice vocalist bro Congratulations Excellent content keep them coming brother worth it Greetings from Santa Monica's California USA
@josephatjordan5560
@josephatjordan5560 4 жыл бұрын
Iko poa hyo
@malakoasaniasani2249
@malakoasaniasani2249 4 жыл бұрын
Mpagaze umeniacha hoiii kwakupachika kibao iile🙏
@danielmacharia9603
@danielmacharia9603 4 ай бұрын
Kazi safi naitwa Karis Karis kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 4 жыл бұрын
Laaaah kunawatu walipigwa mishale kwenye iyi dunia Allah awalipe mashuja wetu kwayote walio pigania
@salmasaidi2875
@salmasaidi2875 4 жыл бұрын
Ahsante sana na kalimanzira alikuwa nani imenikumbusha kuma mwendazimu miaka ya utoto wetu alikuwa akijiita hili jina na maana yake sijui. Shukran kwa historia Kwa kweli lazima tusome ili tujue.
@godykisirinya8345
@godykisirinya8345 4 жыл бұрын
Asante xana bro mashujaa was Africa
@anthonywilliamjohn6696
@anthonywilliamjohn6696 4 жыл бұрын
Yaani unanikoshaga Sana br,,, stay blessed
@salimramadhani740
@salimramadhani740 3 жыл бұрын
Asante 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@rashidyally8715
@rashidyally8715 2 жыл бұрын
Mabeberu ni mbwa Sana Tena mbwa kweli kweli wanamuua ndugu yetu halafu wanakuleteeni jino mbwa Hawa sisi hapa mabeberu tunaikumbatia tu pumbavu
@alainonge7752
@alainonge7752 4 жыл бұрын
Big up saana mpagaze na Ananias
@kakozialbert2482
@kakozialbert2482 3 жыл бұрын
Thank you for this history
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 жыл бұрын
Hakika wasio ma unafiki hawaishi maisha marefu.lazima kum.parura parura na kumuua
@emmanuelbawili2104
@emmanuelbawili2104 4 жыл бұрын
Lumumba R I P Brother
@Nuyama1
@Nuyama1 4 жыл бұрын
ananias edgar & denis mpagaze.
@charo.mukarebugo5778
@charo.mukarebugo5778 2 жыл бұрын
Rest in peace,wazalendo wa Africa, lala salama duguyangu lumumba
@babamarc4325
@babamarc4325 4 жыл бұрын
R.I.P. lumumba,from USA
@josephcharles6315
@josephcharles6315 2 жыл бұрын
Ninyi xi ndo mulimuua
@kapondamsita476
@kapondamsita476 4 жыл бұрын
Asante kwastory zamaana
@MaganaErasto
@MaganaErasto 17 күн бұрын
Yes nzuri
@manirihotheigenedelphine6027
@manirihotheigenedelphine6027 2 жыл бұрын
Jama alikua shuja wa Africa kweli, nazikubali fikra zake huu kigogo haswa, japo nimarehemu, Mungu kamupumuzishe kwa amani, shuja wa Africa, Africa tunaria machoji yadamu😭😭😭😭😭, ila chakufurahisha, naye mubutu kafa km ubwa, bwege mtu, Ananias ukatusimulie muzoga wake kama uko wap.
@tresorsamson9200
@tresorsamson9200 4 жыл бұрын
Notre lidere reste en paix
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Merci beaucoup
@josephatraymond4902
@josephatraymond4902 4 жыл бұрын
Hapo sawa kbc kuwa mwana harakati lkn usijiingiz kwenye siasa
@mbayomaikoakzahi9400
@mbayomaikoakzahi9400 4 жыл бұрын
Nilikuwa kazini nikato roka kwa dakika kadhaa ili kuisikiliza hili 💪💪
@stevek8318
@stevek8318 4 жыл бұрын
I'm your new manager na nimesoma hii!!
@rhodarichard4366
@rhodarichard4366 4 жыл бұрын
Big dod nakushtak kwa bos wako😣
@osm721
@osm721 4 жыл бұрын
Sauti yako bro☆MOTO☆
@abuusufian6506
@abuusufian6506 4 жыл бұрын
Ulipo tupo ....sauti ya utangazaji yaani mpaka nikiwa nakula roho tuliii umenifanya kujua historia za Africa
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 4 жыл бұрын
Sijaona hata Jamal Mustafa hampati huyu jamaa fundi
@abuusufian6506
@abuusufian6506 4 жыл бұрын
@@fasterwalker1464 kaka Jamal ,mtiga wote wanatulia
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 4 жыл бұрын
@@abuusufian6506 nachomkubali anaongelea reality
@yakobomaganga6557
@yakobomaganga6557 2 жыл бұрын
Nakweli malkom X!!" Anafanana na Lumumba aiseee!!"
@monikasteven3064
@monikasteven3064 4 жыл бұрын
Be blessed bro
@bugumalondonlondon
@bugumalondonlondon 11 ай бұрын
Napenda sana iyi
@mosesharerimana278
@mosesharerimana278 4 жыл бұрын
Tunakulewa sn Kaka much lov
@MustafaMusa-m2h
@MustafaMusa-m2h 4 ай бұрын
Asante kumuomba alikufa naamini sunja sana
@margaretoyugi7137
@margaretoyugi7137 2 жыл бұрын
"Emery wa Mama Lumumba wa Babaa"👍
@Topnews6148
@Topnews6148 4 жыл бұрын
RIP my leader Patrice
@samsonhumbe8220
@samsonhumbe8220 2 жыл бұрын
Hongera sana ndugu Denis na Ananies Edger. Mungu awabariki.
@hancepopessau2527
@hancepopessau2527 4 жыл бұрын
He was the hero
@ناديهترتوب
@ناديهترتوب 3 жыл бұрын
Maskini lumumba,Allah akurehemu
@estherawa1885
@estherawa1885 4 жыл бұрын
Rip lumumba
@hassanmsuya6692
@hassanmsuya6692 4 жыл бұрын
Simba wa Afrika🙏🏿🙏🏿
@nyotadjuma5172
@nyotadjuma5172 9 ай бұрын
god bless you
@toweman6484
@toweman6484 3 жыл бұрын
Nakubal mkuu
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 4 жыл бұрын
Mobutu msenge Sana 😥
@mikomomalombi2987
@mikomomalombi2987 4 жыл бұрын
asante ndugu kwa kutu kumbusha sisi wa congo drc
@juliuskulokhoma8020
@juliuskulokhoma8020 4 жыл бұрын
Hawa wanakuja ku dislike Wana akili timamu kweli
@bugumalondonlondon
@bugumalondonlondon 11 ай бұрын
Naipenda
@leylahleylah4599
@leylahleylah4599 4 жыл бұрын
Voice of Ananias 🔥🔥
@AnaniasEdgarTV
@AnaniasEdgarTV 4 жыл бұрын
Asante sana
@simonIbrahim-hc8vm
@simonIbrahim-hc8vm Ай бұрын
Daaah 😭😭😭😭⭐⭐🙏🙏🙏
@marcelin_hd
@marcelin_hd 4 жыл бұрын
A hero
@ZadokAsaph
@ZadokAsaph 8 ай бұрын
Bigup
@fredialfredi202
@fredialfredi202 4 жыл бұрын
Hongera sana best.
@dicksonmwangi5499
@dicksonmwangi5499 4 жыл бұрын
Big up sana
@mamskiumbe4057
@mamskiumbe4057 4 жыл бұрын
Atr sana
@mack_vita_onyango8409
@mack_vita_onyango8409 4 жыл бұрын
Dah. Binadamu sio watu believe me.
@kondosaid216
@kondosaid216 2 жыл бұрын
R.i.p Magufuli
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 жыл бұрын
Eti alivunja yai la kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂we jamaa nakupenda
@khadijagundumu6210
@khadijagundumu6210 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@nimrodsigulu2053
@nimrodsigulu2053 4 жыл бұрын
Kumbe hizi kesi za uchochezi waanzilishi ni mabeberu?
@jenny20254
@jenny20254 4 жыл бұрын
Lumumba nilimpenda sana lakini wendawazimu wakamuuwa ndomana cogo inarudinyuma
@dausonevarister7909
@dausonevarister7909 3 жыл бұрын
Whta they did to lumumba, is what they did to JPM
@laurentzacharia1563
@laurentzacharia1563 4 жыл бұрын
Limumba forever
@mkobelwaprosper5832
@mkobelwaprosper5832 4 жыл бұрын
Nikiskia story kama hizi uwa natamani sana niende ikulu siku moja aice ila tena nikiskiliza mangoma ndo nasaau kbs 🤔🤔🤔
@abufauzan9417
@abufauzan9417 4 жыл бұрын
Hahaha
@tryphonet.sagilo-vm1gs
@tryphonet.sagilo-vm1gs 7 ай бұрын
Big up
@erickrichard4292
@erickrichard4292 4 жыл бұрын
Nzuri sanaaa
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 2 жыл бұрын
Waafrika tutamuenzi waziri mkuu Patrice Lumumba milele daima.
@MajaliwaEnyonyi-bz9ss
@MajaliwaEnyonyi-bz9ss Жыл бұрын
Habari ya mkewakehinahumiza sana 😢
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 2 жыл бұрын
Good
@ChristophMcThe
@ChristophMcThe 4 жыл бұрын
11:19 Kanyama
@bedatv5634
@bedatv5634 Жыл бұрын
Safi
HAILE SELASSIE: Mfalme  Aliyeuawa Na Kutupwa Chooni!
16:02
Global TV Online
Рет қаралды 908 М.
ВЛОГ ДИАНА В ТУРЦИИ
1:31:22
Lady Diana VLOG
Рет қаралды 1,2 МЛН
БАБУШКА ШАРИТ #shorts
0:16
Паша Осадчий
Рет қаралды 4,1 МЛН
УЛИЧНЫЕ МУЗЫКАНТЫ В СОЧИ 🤘🏻
0:33
РОК ЗАВОД
Рет қаралды 7 МЛН
HISTORIA YA PIERRE NKURUNZIZA/ KISA CHA KUMGEUKA BOSS WAKE KUINGIA IKULU
22:14
Historia ya  Rais 'THOMAS SANKARA'  Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
11:19
Global TV Online
Рет қаралды 821 М.
The riddle of experience vs. memory | Daniel Kahneman
20:37
Why is Israel accused of being an apartheid state? | Start Here
15:00
Al Jazeera English
Рет қаралды 254 М.
HISTORIA YA IKULU YA MAGOGONI / HUYU NDIYE ALIYEJENGA!
7:13
Global TV Online
Рет қаралды 177 М.
ВЛОГ ДИАНА В ТУРЦИИ
1:31:22
Lady Diana VLOG
Рет қаралды 1,2 МЛН