Mashallah nipenda ufahamishaji wako mana wengine mapozi kibao mpaka kichefu chefu ila wewe mashallah nimependa
@aromaofzanzibar10 ай бұрын
Shukran
@hidayashaaban61728 жыл бұрын
wallah ninafarijika sana napia nimepata kujua mengi kupitia kwako Allah akubariki sana
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Shukran, Amin kwetu sote
@khadijatsumiro22568 жыл бұрын
MashaAllah yni na jifunze mengi kutoka kwako. ..shukran sanaa .
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Shukran
@azamohamed6312 жыл бұрын
MashaAllah ☺️ unaelezea mtu anaelewa uzuri Allah abarik mikono yako
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Shukran 🙏🏽
@metalcombat44707 жыл бұрын
My favourite na maziwa-kahawa! Be more blessed, Aroma of Zanzibar..
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Thank you for your support
@agnesnjoroge10184 жыл бұрын
I love your voice and how composed you are.I love your cooking
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Thank you so much 🙂
@hanifaali79227 жыл бұрын
mm nazipenda sana chila asante kwa kutujuza upishi huu wiki ijaayo inshaallah nitajitahid nipike chila
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
iNSHALLAH
@rahmaarahma47054 жыл бұрын
Mashaallah habibty chila zako nzuri
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Shukran
@biabumwaruwa37954 жыл бұрын
Mashaallah, Asante mpnz nimetengeza leo chila zimetokea nzuri tamu Yani nimejiramba na iyo sauce ya jui ubarikiwe Sana,maana sikuamini
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Shukran, umenitamanisha na mimi. Hongera
@Ukhtyzuhura5 жыл бұрын
Ma Shaa Allah habbty Shukran kwa mapishi Nimejifunza mapishi mengi kupitia wapishi wetu nyie wazuri
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Ahsante sana
@Sweetie-im2jd3 жыл бұрын
Masha Allah sis Allah bless you always 🙏🙏🌹🌹🌹 I have learnt alot Nani mejifunza kupika from you I will always be greatful to you, especially the biriani 😋😋😋👌👌👌it's simple and one can learn haraka Sana
asante sana kwa mapishi yako mazuri nimeyapenda umenifurahisha sana mapishi ya donat nilikuwa naumiza kichwa ss kazi kwangu kupika shukran mungu akupe afya njema
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran wewe kwa kua na mie, nimefurahi kujua kwamba mapishi umeyapenda x ahsante kwa dua njema
@Som-Hanoolaato8 жыл бұрын
Ahsant bibie kwa mapishi ya Ramadani :) Baarak Allahu Feekum
@suushali43247 жыл бұрын
Aslm nimejaribu leo kupika chila mashallah zimetoka vizuri my husband amezipenda sana thank alot dear
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
ALKM SALAAM, MASHALLAH NAMIE PIA NIMFURAHI unaweza kunieltea kwenye instigram aroma of zanzibar au aromaofzanzibar@gmail.com
@prettyh75093 жыл бұрын
Mashallah na je kama huna naz
@aromaofzanzibar3 жыл бұрын
Nazi muhimu kwa ladha
@mwanakidaally97405 жыл бұрын
Mashallah wanikumbusha bibi angu wa tanga na Mimi saiv najivunia kuujua upishi huu
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Alhamdulilah
@albahryazza8 жыл бұрын
Thank you sister May Allah bless you for sharing your knowledge
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Thank you, Amin. Thank you for your support
@maryamal-mahrooqi52183 жыл бұрын
Napeda vipimo viako unaonesha
@balqeesmackysah73678 жыл бұрын
Ma sha Allah!Asante sana..Jazakallahu khayr
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Amin ya ukhty
@munnawwaryaqoob34145 жыл бұрын
Mkate naupenda huu😘😘
@aishamummy38397 жыл бұрын
wooow naenda Sana'a mapishi yako
@zahraalbaloochi28414 жыл бұрын
Wwwaawww👌bless you
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Thank you, Alhamdulilah
@mbaroukel-hinawy51016 жыл бұрын
Mashallah umenisaidia mapishi mengi thnks
@babyramadan90455 жыл бұрын
Asant sna nazipika leo insha'Allah.
@albahryazza8 жыл бұрын
you promised to post Tambi ya oven after August. Eagerly waiting
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Inshallah I will post please bear with me I have a lot to do right now
@hudaaalhussein38416 жыл бұрын
Mapishi yako mazuri mashallah
@zuwenabaruti99857 жыл бұрын
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh JazakiLLAH khayran nmejaribu kuupika alhamdulillah umetoka vizur lakn haujatuna kama wako ukawa una layers sijui tatizo hapo utakuwa ninii
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Alkm Musaalaam , fanya mchanganyiko wako uwe mwepesi kidogo una jua michele na tui tofafauti kila mahali
Shukrani mama ila nimesikia unataja magii ipii hiyo mama naomba unieleweshe
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Magi yaani hicho kikombe cha manjano kikubwa nilotumia
@saumuhamic88945 жыл бұрын
Shukran auntie. ...naomba recipe ya anjera
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Mimi sijafanya video ya anjera bado
@saumuhamic88945 жыл бұрын
In shaa Allah. ....naomba ufanye ukipat wasaa
@nicolaschola67022 жыл бұрын
I'm going to make this for dinner today
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Enjoy your dinner
@alrahbialrahbi2773 жыл бұрын
Manshallah Hauweki engg
@aromaofzanzibar3 жыл бұрын
Sio lazima
@AshouHumaid Жыл бұрын
Mashaa Allah
@zanniambatta40228 жыл бұрын
MashaAllah I like it yummy yummy
@abdul-wahidali46574 жыл бұрын
Asalam alaykum ss dada angu ni frayimpen gan nzr kwakuchomea
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Chagua la kiasi tu sio zito wala jepesi
@mercyambuka30858 жыл бұрын
Hey , Thanks for the great work you are doing . Please put up a video on how to cook vermicelli .Thanks
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Thank you for your support dear , will try my best for that
@mercyambuka30858 жыл бұрын
Thank you .I am in love with your channel .Baraka.
@wilfriedanaganze92466 жыл бұрын
Yaani nimejifunza mengi ktk mapishi yako 😘Mungu wetu akubariki kwa video zako
@wilfriedanaganze92466 жыл бұрын
Bila wewe watoto wangu na mume wangu wasingeweza kula vizuri uwiiii! Asante sana bless u
@rahmaabdallah20536 жыл бұрын
Allah akubariki utufunze mengi
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Amin kwetu sote
@rahmaabdallah20536 жыл бұрын
aroma chila kupika kwa jiko la Gesi inanishinda naon moto mkali najitaidi kupunguza moto bado moto kati mkali?ni lazima kuweka mafuta katika flampen
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Moto kama unahisi mkali pia unaweza kutafuta chuma kizito ili zi si ungue, mafuta yanasaidia zi sigande chini kwenye frying pan
@rahmaabdallah20536 жыл бұрын
OK shukran habt Umeme better ?
@rahmaabdallah20536 жыл бұрын
Amena
@hidayashaaban61728 жыл бұрын
mashaa Allah kila la kher
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Amin
@nafisaakberali17002 жыл бұрын
Hellocan I keep in refrigerator and do next day
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Are you asking or are telling me
@mariamabdallah-df3zr6 ай бұрын
Habibty nataka kupika leo asubuhi In Shaa Allah lakini sijaelewa mugi moja na robo tui la nazi halafu huku umeandika tui la nazi mugi moja tu naomba nieleweshe habibty nisije haribu vitu 😅
@aromaofzanzibar6 ай бұрын
Samahani kwa kuchelewa kukujibu majira yetu ni tofauti , tui ni mug 1 an robo kama nilivyo eleza hapo lakini nimekosea kuandika nitarekebisha, ahsante kwa kunishtua
@mariamabdallah-df3zr6 ай бұрын
Shukran sana habibty ❤
@justjj9934 Жыл бұрын
Nimejaribu kufanya, lakini zote zimeganda katika frying pan, ckifanikiwa, suali ninaweza kutumia unga wa mchele uliosagwa, au lazim mchele urowekwe? Shukran..
@aromaofzanzibar Жыл бұрын
Pole sana , tatiz itakuwa ni hiyo frying pan sio recipe angalia comments wengi wamepika na kufanikiwa . Yes lazima mchele urowekwe upate kulainika au hutoweza kusaga utaunguza blender. Unga ulosagwa jaribu uone kama utapenda binafsi yamgu sipendi kwani ni mlaini sana
@justjj9934 Жыл бұрын
Maneno yako ni kweli sana c recipe, frying pan ilikuwa imechunika sana, vile vile mchele haukusagika vizuri katika blender, sababu baadae niliona chenga nyingi.. Inshallah nitajaribu tena, na inshallah nitafanikiwa, ndio mapishi ya ki bachelor...Shukran..
@happyabdallah83798 жыл бұрын
upishi mzuri aana
@fatmayunus75166 жыл бұрын
Nice recipe mashaAllah..my question is why don't you flip it on the other side pia iwe brown?will there be a difference if i brown the other side too?
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Thanks , thers no difference but the beauty of chila is those holes on the top , if you flip it I think thats what they call vibibi
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
This is vibibi kzbin.info/www/bejne/b4XLfmdvrc2ngbc
@asiy22836 жыл бұрын
Thanks for your recipe🌷🌷
@ayshahayaty86507 жыл бұрын
Shukran habbty leo in shaa a Allah ntajaribu
@aminamohamed12587 жыл бұрын
napenda sana chakula chako najifunza mengi
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran
@roseassey95716 жыл бұрын
I really like Zanzibar chila
@fatmamansour6762 жыл бұрын
Je kwa hand blander nikisagia itatoa mbaya mchanganyiko wangu?
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Kama una hand blender linaloweza kusaga mchele sio vibaya
@fatmamansour6762 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar shukran
@mrsmrshassan74738 жыл бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh , , shukran sana , me nimejaribu masha Allah tam sanaa nyam nyam , Allah akuzidishie
@Noorein-ws8wk26 күн бұрын
Thanks dear ❤
@aromaofzanzibar25 күн бұрын
Welcome 😊
@Noorein-ws8wk25 күн бұрын
@@aromaofzanzibar ♥️♥️♥️
@husnamohd37793 жыл бұрын
A salam alaykum naomba kuuliza mbona mimi nikifanya huo mkate wamchele hautoki vizuri?
Aslm alkm. Nimejaribu na mm jana sijui nikakosea wapi maana vilikatalia kutoka kwenye pan. Vilikua maji maji sanaaaaa au sijui tui lilizidi
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Rugeya Hanif pole sana namie pia jana nilifanya nikapata kama wewe unga ulikua umaji sana sikujua kwa nini lakini ninekumbuka kama nimetumia mchele wa tofauti sio ule ninao tumia wa kawaida kwa hivyo nomejua kumbe sio mchele wowote tu niliendelea tu na viliganda kwa kutumia chuma cha steel ziliganda nikabadili kwa chuma cheusi kusichoganda ikawa sawa.
@nassrasalum25817 жыл бұрын
Thankx nimizitafuta sijaziona haswa
@saidakhamiss19352 жыл бұрын
naomba kuulza ikiwa utatumia ule unga wa mchele hamna shida katik kupika
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Ni kitu kujaribu uone kama utapenda mie bi nafsi sipendi naona inagandana kama ugali lakini wenhine wanapenda hivyo
@munahahmed23106 жыл бұрын
MashaAllah, naweza tumia unga Wa mchele instead of mchele Wa kurowekwa? Can I use rice powder?
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
munah ahmed kwa unga wa mchele hutopata sawa kama hivyo zinakua nzito kama ugali ni vizuri kuroweka mchele ukasaga
@munahahmed23106 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar , shukraan. Just wanted to confirm than.
@intyswaridrissah14096 жыл бұрын
Safi sana.......ila niulize mfano unga wako umekosea maji ukawa mwepesi sana unaweza ukatia nini ili uwe mzito?!
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Ongeza unga wa mchele kidogo kama unao
@seifjuma34714 жыл бұрын
Dada kamasina maziwa ya unga na nazi ya unga m'badala wake unawezakua maziwa ya maji na tui la nazi?
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Ndio unaweza Mimi nilikuwa sina ndio maana nimetumia maxiwa na Nazi ya unga
@justjj99346 жыл бұрын
Chila nzuri sana sana, lakini usiku huu nitazipata wapi? Umetutia njaa..
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Pole sana
@aishaomar42466 жыл бұрын
Assalam alykum naomba tufundishe kupika vibibi
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Inshallah nikipata nafasi dear, lakini vibibi vinatofauti kidogo sana na chila , anagalia video hii kzbin.info/www/bejne/b4XLfmdvrc2ngbc
@haithamkhamis37448 жыл бұрын
Assalam Alaykum aunty naomba maelekezo ya meat cake shukran
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Alkm Salaam, meat cake ntafanya wiki inayokuuja tukijaaliwa Inshallah
@saadamohammed65875 жыл бұрын
Umetumia mchele Aina gani
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Mchele wa basmati
@paulinacherement25345 жыл бұрын
Asante saaana.
@faizaummumohamed53638 жыл бұрын
barakallah fik lakini tafadhali.. increase the sound.....Allah yu khalik.i love your program.
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
OK thanks for letting me know
@veronicajonathan69417 жыл бұрын
asante kwa elimu mama..ila naomba kujua mug moja ni sawa na kiasi gani kwenye mzani...ni nusu ama robo?
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran, itakua chini ya robo ,
@masumajanmohamed18373 жыл бұрын
🤗👌🤩
@asyaabdulghani31832 жыл бұрын
🙏❤️
@zenasaleem14002 жыл бұрын
Asalam aleikum nauliza je ukiroweka kwa jisaa moja na nusu Michele huwezi pika chila
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Kiasi masaa 3 mchele ulainike vizuri
@safiaahmed52467 жыл бұрын
Aslm alkm Habibty video nzury mashaAllah je nikiwa na unga Wa mchele laini naweza kupika chila au mpaka niroweke mchele
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Mie sijawahi kupika wa unga wa mchele, unweza kujaribu
@BahatyQweesty-wo4xd Жыл бұрын
Thanks sister
@aromaofzanzibar Жыл бұрын
You’re welcome 😊
@kichuyamavugo86236 жыл бұрын
naomba upike egg chop PLC mama
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Inshallah dera nikipata fursa nitaleta
@sabrinasadiq6947 жыл бұрын
shukraan mayai naweza kutia au nisiweke
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Sabrina Sadiq haina haja ya yai kama unataka basi tia ute tu sio yai kamili
@dabiijamal92934 жыл бұрын
mashallwah
@aramusa66267 жыл бұрын
asante kwa video 😘. ila cjafaham lile tui ulotengez umelitumia muda gani?
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Tui nime mwagia kweye chila karibu na mwisho wa video wakati kula
@aramusa66267 жыл бұрын
+Aroma of Zanzibar ahaa asantee
@shahasinassir75948 жыл бұрын
woow MashaAllah
@adrak76755 жыл бұрын
Thank you very much dear.. Good luck 👍🏼
@FATMAALI-vv6gk Жыл бұрын
Naomba kujua kwa sasa hii mikate mchele gan ni mzur kutumia maana kila mchele naona unatoa mikate inayonata kwenye meno
@aromaofzanzibar Жыл бұрын
Ni vivigumu sana kuna michele ya aina nyingi lakini kizamani hasa walikuwa wanasema utumi mchele mkukuu lakini mie natumia mchele wa kawaida tu
@samiraalrajhy76937 жыл бұрын
Yani Kama mug 2 mchele na Nazi ya unga nitie vijiko 14 mana mug 1 ya mchele ni Nazi ya unga vijiko saba au?
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Ndio, lakini nazi inategemea uzito unavyotaka ukihisi nzito sana unaweza kufanya hata vijiko 10-12 na pia soma instructions kwenye hilo box litakwambia unahitaji vijiko vingapi kwa kikombe au mug
@khadijaswaleh87495 жыл бұрын
Aa.je nikitumia unga wa mchele badala ya mchele mzima?
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Unaweza kutumia lakini mimi sijawahi kujaribu kwani kuna michele tofauti
@mimimina14875 жыл бұрын
Umetumia mchele wa pishori??
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Basmati, lakini unaweza kutumia pishori
@mimimina14875 жыл бұрын
Shukran dear
@samiraalrajhy76937 жыл бұрын
Anty sorry nakusumbua ila nlikua nakuliza Kama nafanya mchele mug 2 na vipimo vya Nazi na sukari naongeza nakua au?
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Yes utaongeza kila kitu
@rhinakiza5 жыл бұрын
Mbona mimi sija wai ona nazi ya uga? I use milk coconut only please help me to find I live 🇺🇸
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Nazi ya unga inauzwa sana maduka ya wahindi kwenye vibox au pakti ndogo ndogo hivi
@rhinakiza5 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar siku yumbani ni America
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
@@rhinakiza mimi pia nipo US nipo Texas napata vitu vyote maduka ya wahindi
@rhinakiza5 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar oh I see I will try to look in Africa store
Sabrina Sadiq Kwa kinyumbani hasa ni uzuri kutumia mchele mkukuu ule mfupi lakini Mimi sina natumia mchele wa basmati ninao pikia wali
@neemasharifu60784 жыл бұрын
Michele wa Aina gani
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Mimi natumia basmati
@sihamnjagi8 жыл бұрын
Asalam aleikum...hujasema mchele ni kiasi gani na hamira ni kiasi gani ...tupe vpimo kamili
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Vipimo nimeweka mwish na pia bojeza hiyo heading ya video utaona vipimo nimeandika
@sihamnjagi8 жыл бұрын
+Aroma of Zanzibar ok nimeona shukran habibty
@sabrinasadiq6947 жыл бұрын
ahsante
@zamzammohamed43167 жыл бұрын
baada ya kumaliza kubleend naiwacha muda gan ili iweje kuumuka vizuri??
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Hman mda maalum inategemea na ujot au baridi hapo ulipo, inaweza ikawa saa ua kasoro , wahcha mpaka uumuke upande juu na kufanya mapovu
@salmaalbarwani26184 жыл бұрын
Moto unaweka mkali au mdogo kabisa please
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Moto kiasi zipate kuiva
@yusraswaleh26398 жыл бұрын
a aleikom.dada kama sina mug naeza tumia nn itakua sawa na kiasi gani.shukran
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Yusra mug nilotumia ni sawa na kikombe 1 and nusu x I mean standard measuring cup
@yusraswaleh26398 жыл бұрын
+Aroma of Zanzibar tx mapishi mazuri nafurahia
@samiramohamed37185 жыл бұрын
Shukran.am going to try
@samiramohamed37185 жыл бұрын
Wallah Allah akubaarik.sio killa mtu anaweza kusema mambo ama ujuzi wake
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Amin kwetu sote
@mamuuomar25967 жыл бұрын
Asante kwakutujuza lakini mchele waezatumia wowote ama uko mchele maalum wa chela
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
mamuu omar Mie natumia mchele wa kawaida tu lakini kinyumbani tulikua tunatumia mchele mkukuu ulokatikakatika hivi
@awashilwavu55136 жыл бұрын
Maashaallah, shukran
@sitymohd38187 жыл бұрын
Mummy mchele mzuri hasa kwa kupikia chilla ni aina gani?au unaweza tumia wowote?
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Sity Mohd Hasa kwa kinyumbani tulikua tunatumia mchele mkukuu ule mfupi lakini Mimi sina natumia mchele wa basmati ninao pikia wali wa kawaida Na sijapata shida yoyote
@mwanaiditz39007 жыл бұрын
nmejalubu nmeweza
@ankowillyzofficial49595 жыл бұрын
Mbona zangu zakatika Katika
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Pole sana, labda unga mwepesi sana
@asiayusuph28758 жыл бұрын
shukran mama penda xana
@aromaofzanzibar8 жыл бұрын
Shukran
@rashidsuke16207 жыл бұрын
Dada unaishi wapi nikufate maaa I learne many recipes from you Allah bless your tutorial
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Ahsante sana Rashid mie nipo USA, thanks for your support
@fatmakhamis65114 жыл бұрын
Nataka kujua mkate wa mchele lain
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Mkate wa mchele nimeshaweka , tafadhali angalia kama ndio mlaini au vipi
@pmgpmg77176 ай бұрын
Je itawezekana kutuma maziwa badala ya nazi?
@aromaofzanzibar6 ай бұрын
Unaweza lakininkadha itakua tofauti sio ya kiasili