Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZbin : www.youtube.com... #ChomozaTv#2021
Пікірлер: 128
@nsiaelieza95683 жыл бұрын
Ni kweli huyu Mchungaji niliwahi kupanda naye daladala. Tulipofika maeneo ya Ubungo Riverside, mateja yalijaa dirashani na kumshangilia akawagawia elfu mojamoja huku akiwafurahia.
@lwitikomusa17122 жыл бұрын
Nabarikiwa sana kupitia maneno ya uyu pasta
@lwitikomusa17122 жыл бұрын
Yesu ana kutumia vyema mtumishi,
@meddydoubledi16752 жыл бұрын
Watu walio ona mengi, hunena Kwa Hekima Congratulations to you Mch..Hananja
@kilianngaga21093 жыл бұрын
Baba yangu Mchungaji Hananja, Mungu akutunze tu, Hakika umekuwa Baraka sana katika Maisha yetu.....
@mjunimpemuluke7440 Жыл бұрын
Nakupenda San mchungaji hananja nakukubali San kwa maneno yako
@Tino_Official_tz3 жыл бұрын
Tangu nilivyoona ile clip nilivutiwa sana na mahubiri yake. Mungu azidi kumtunza. Kastaafu na bado kanisa linatamani kumuona madhabauni 👏👏👏👏👏
@lameckgunze63762 жыл бұрын
Mbegu ya Mungu haifi, haipotei.
@samwelelisha80443 жыл бұрын
Ananibariki sana, Mchungaji ana sifa zote za kuwa mwalimu...❤️
@garozeditingskill67642 жыл бұрын
Mungu akutunze mchungaji upo vizuri.
@neatnesskaffana88523 жыл бұрын
Asante baba huwa nakukubali sana kwa moyo wako wa kujitoa hasa kwa waliokataliwa na jamii Kama mateja
@eliayunga77663 жыл бұрын
Kila siku sitaacha kusema juu ya chomoza TV mnafanya kazi nzuri Mungu aendelee kuwatumia apendavyo katika huduma
@newalengela77773 жыл бұрын
Mchungaji yupo vizuri, kuna huduma kubwa sana mbele yako.. Mungu akubariki zaidi na zaidi.
@theophildamfuruki68592 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji Hananja kwa mahubili yako hakika unanibariki sana
@adelajunior5266 Жыл бұрын
Nakupenda Sana tena sana
@rabielkinabo95893 жыл бұрын
Mimi binfsi nakubali Sana anajua jinnsi ya kuishi na jamii BigUp baba mchungaji
@upendombise55373 жыл бұрын
Nakukubali saàaaan pastor upo vzr saaana Mungu azidi kukutumia zaid na Zaid dady🙏🙏🙏
@sekelakatitu94192 жыл бұрын
Asanteee mchungaji
@godfreyndyanabo60163 жыл бұрын
Kwakweli kipndi kilikuwa kizuri sana Nimejifunza mengi sana
@jacksonjovan42383 жыл бұрын
Mtumishi unafaa sana kwa kizazi hiki tulichonacho endelea kuwajenga vijana naamini mchango wako kwa kanisa ni mkubwa sana Barikiwa sana baba
@happymushi22193 жыл бұрын
Jimmy nimecheka sn--- huyu baba hatakiwi kustaafuu Ni hazina kujenga future ya vijana
Mch. Hananja UBARIKIWE sana kwa mafundisho yako ya neno la Mungu. Asiyekuelewa kweli kuna mtizamo na tafsiri yake ya mtizamo
@asajilemwamundela12203 жыл бұрын
Duu mzee fundi sana
@barnabazawadi56863 жыл бұрын
Huyu mzee ana maneno wewe!! Nimempenda bure....part 2 tafadhali
@yolandaliyoya18393 жыл бұрын
😅😅🙏🙏👏👏 Amina ,,Mungu akubariki sana
@venancezumba2022 жыл бұрын
Yuko vizuri pastor
@vailetheanyambilile97493 жыл бұрын
NAMPENDA HUYU BABA GOD BLESS POSTAR
@dianafabian3082 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mchungaji
@alphashila69573 жыл бұрын
My teacher, Pastor great of all you are a good friend..it is a gift to know,to see kile Mungu alichokupa..si ajabu wasiokuelewa.Mungu ni mwenye kutunza utukufu wake na hujifunua kwa yule ampendaye so hata kumuelewa Hananja na mpk Mungu akuchague..Barikiwa sanaaaa Mchungaj..Umestaafu kuta za dini lkn kazi yake YESU ndo kwaanza unaianza,hujastaafu..piga kazi!!!! 'THAMANI YA MTU HAIPUNGUZWI NA DHAMBI AU UDHAIFU WAKE'👏👏
@wilsonmkumbo71992 жыл бұрын
Amina,mch upo sahihiiiiiii
@wilsonmkumbo71992 жыл бұрын
Mbona mch umestafu mapema Sana? Umri unakuruhusu.
@seebs11563 жыл бұрын
Jaman nimejifunza mengi barikiwa
@tumainimwakyaka27752 жыл бұрын
Nampenda huyu mch yupo vzr sna
@joelwambura67033 жыл бұрын
Na happyness tutaitaje ndg mtumishi
@johnmasubo36992 жыл бұрын
Nakupata sana mchungaji napenda mafundixho yako
@goodluckmlay18032 жыл бұрын
Nikakukubali Sana baba Mchungaji,,, janneover Mosha mwimbaji wa nyimbo za injili,, barikiwa BABA YANGU MPENDWA
@elizalutiga62873 жыл бұрын
Big up sana Mchungaji
@josiakatende76833 жыл бұрын
Nakukubalii saaaana mtumishi!!
@beatricepallangyo28213 жыл бұрын
Asante Baba!!!
@delishbby85423 жыл бұрын
Nimemkubali sana mchungaji na masomo yake
@nganzanyamiamba56162 жыл бұрын
Huyu ni mwalimu wa mambo na ni mtu flan simple
@tingbatuuka72782 жыл бұрын
Unaeleweka sana. Kwa waelevu tu
@gaspermadumla58002 жыл бұрын
Mimi ni Mch. Naomba namba ya Richard Hananja please nataka nimwalike ktk seminar
@jDianGloryMinistry3 жыл бұрын
Barachichi zimeanguka 😂🤣🥰🤣😂😂🤣
@ciciandjojo77013 жыл бұрын
Nimecheka mno. Mchungaji unamaneno. Nimependa.
@vunu_dunia31903 жыл бұрын
Naomba Mawasiliano ya huyu muhubiri!
@gracemacha93573 жыл бұрын
🙏🙏🎤
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Zaburi 69: 6 Wanaokungoja Wewe wasiaibishwe, Kwa ajili yangu, Bwana, MUNGU wa majeshi. Wanaokutafuta Wewe wasifedheheshwe, Kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. *TUKAE KATIKA HALI YA KUMNGOJA BWANA!! AIBU, FEDHEHA NA UOVU WOTE UONDOKANE NASI SASA!! TUMWONE MUNGU KWA USHINDI WA KISHINDO!! KWAKE YEYE NI HESHIMA, UTUKUFU, ENZI, NGUVU, UWEZA NA MAMLAKA, HALELUYA!!!*
@ejfilm21183 жыл бұрын
Mchungaji wa wa kibangu Hananja nimepata pia fulsa ya kusoma na mwanao Oti Kisarawe seminary
@davidedwards23193 жыл бұрын
😂😂🤣🤣 Nakukubali sana
@juliusndiyaine25693 жыл бұрын
Daaa mchungaji amenifunja mbavu kwa kweli.. Mchungaji tunakuelewa sana na misamiati
@rwebo49553 жыл бұрын
"Uzoefu ni elimu" - Salute
@adamjutto58493 жыл бұрын
Mi ni muslamu,ila huyu mzee bwana hua namsikiliza anafurahisha sanaa
@josephkavindi36663 жыл бұрын
Athumani kayaya power chuma R.I.P😭😭😭
@williammbasila25733 жыл бұрын
Safii sana Mchungaji.
@gospelthusiast3 жыл бұрын
Dah uyo pastor sichoki kumsikiliza hahaha😂😂😂😂😂
@andreasdismas3 жыл бұрын
Kweli kabisa kila mtu anamtazamo wake kwa kila anacho kiona au kusikia Mzee wangu Daaah kupenda bureeee
@brysonuronu58623 жыл бұрын
Mchungaji unauaaa nimecheka mno kuhusu mtizamooo
@brysonuronu58623 жыл бұрын
Hapo ndipo ilipo imani na subira ya watakatifu
@makulaikuku69093 жыл бұрын
Maparachichi yameanguka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sanaa wallah
@jameskileo28252 жыл бұрын
Ame
@hellenrichard1873 жыл бұрын
Mungu azidi kumbariki mchungaji huyu
@gracedonald87943 жыл бұрын
Jamani leteni mwendelezo
@samwelelisha80443 жыл бұрын
Jamani hakuna clip nyingine za haya mahojiano... Imekuwa too short
@OmbeniJacksoni11 ай бұрын
Hananj
@adamjutto58493 жыл бұрын
Watu kutokunielewa sio shida,wakati mwengine hara we mwenyewe hujielewi
@hamismabula58133 жыл бұрын
Thamani ya mtu haishuki, nimeipenda hiyo!
@trophywilson72113 жыл бұрын
Hana Tofauti na Mchungaji Marehemu Mitimingi kwa semina ,Mke anahitaji kusikilizwa wanaume hawajui hilo kwa kweli
@daudimichael73383 жыл бұрын
Leteni part 2, alipoishia....tafsiri ya utoto utumwa, ujana maswali, uzee......
@iviejustified81093 жыл бұрын
Baharia huyuuuu.... ila all is well and I like em
@noelswai49133 жыл бұрын
Huo wimbo mwisho wa video ni wa nani?
@sadockalfred17103 жыл бұрын
Aise dah hii ikali duuh
@mekumeku24842 жыл бұрын
Hahaha huyu pastor raha sana
@gerkombo65123 жыл бұрын
Afadhali niwe paka sauz afrika kuliko kuwa mtu tanzania. Kauli ya enzi hizo.
@annaaminaamani62492 жыл бұрын
Yuko poa sana
@mamachris68113 жыл бұрын
Mtangazaji acha kiswahili kibovu Maisha ✅ mahisha ❌
@samwellwiza10983 жыл бұрын
VIPINDI VITATU VYA WANANDOA Maaba Mapenzi Kuleana/ kutunzana Pamoja nina magari napenda kupanda daladala au bajaji au pikipiki... Thamani ya mwanadamu haifananishwi na shilingi
@makaveliomari35823 жыл бұрын
Anko jimmy please naomba nikutanishe baba huyu wa imani
@shosemoshi96502 жыл бұрын
Mchungaj huyu aliniokoa Kwa mahubir yke Mungu endelea kumlind
@maimunafundi35442 жыл бұрын
Kweli Duniani ni mapambano
@hubertmroso16642 жыл бұрын
Kutokueleweka sio sifa ya kujivunia.
@kabhikachambala33923 жыл бұрын
Malizia clip hio mwamba
@jacquelinemnanka67573 жыл бұрын
Jimmy malizia bado tunatamani kumsikiliza
@nickmoshi82433 жыл бұрын
Mbona hamjamalizia maongezi yenu aisee?
@lucaschisamalo28523 жыл бұрын
Hahahahahaa nimecheka sana
@celline31483 жыл бұрын
Uncle Jimmy huyu Mchungaji inibidi umrete tena jamani.
@charlesminja13582 жыл бұрын
CHARLES MINJA MIMI KWA MTAZAMO WANGU MCHUNGAJI ANAKIPAWA CHA PEKEE
@rumb58763 жыл бұрын
😂😂😂😂 cheka kanisani, usicheke kama Fiati
@gospelthusiast3 жыл бұрын
Ninacheka balaa😂😂😂
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Poa sana
@tingbatuuka72782 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Marii
@Alex_Anania3 жыл бұрын
Huyo Ni msikule....dah hatariiiii sana
@pascalsamson47213 жыл бұрын
Duuuu
@geofreymodestmushema93713 жыл бұрын
Mchungaji nimekuelewa hata kama kutokukuelewa hakukusumbui.Natamani kupata mahojiano yake yote
@longinuskomba98872 жыл бұрын
Wewe unahoji hakuna kitu yaani unahoji kama special sn case
@carolsere153 жыл бұрын
Hivi "mahisha" ndio nn mtangazaji
@trophywilson72113 жыл бұрын
Umenikosha Mchungaji
@mecksonmgeyekwa69873 жыл бұрын
Kaongea pointi sana thamani ya mtu haishushwi kwa dhambi