CHRISTINA SHUSHO AJIJUTIA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 19. ASIMULIA MAGUMU NA MAZITO ALIYOPITIA

  Рет қаралды 112,464

RUMAFRICA

RUMAFRICA

Жыл бұрын

CHRISTINA SHUSHO AJIJUTIA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 19. ASIMULIA MAGUMU NA MAZITO ALIYOPITIA

Пікірлер: 504
@jekelasimoni8950
@jekelasimoni8950 2 ай бұрын
Iko njia ionekanayo njema machon pa watu but ni njia za mauti!!! Mungu tusaidie
@lydiawasai9439
@lydiawasai9439 Ай бұрын
Her very own words
@carrennyangwara5541
@carrennyangwara5541 Ай бұрын
Christina Shusho..you're a blessing..keep praising God...the eagle doesn't do it's fights on the ground,but high above,where the enemy won't be able to continue fighting,but will definitely give up and the eagle soars higher..the Lord bless your ministry.
@SylvesterAmbokile-ur2vd
@SylvesterAmbokile-ur2vd 2 ай бұрын
Pengine angeolewa baada ya miaka 19 aliyoitaka asingefikia hali ya sasa kwa kuwa aliiniliwa na kupata mafanikio akiwa na John Shusho
@vunabandijosney8017
@vunabandijosney8017 2 ай бұрын
shusho umeshiba...mutu akishashiba anajiona leo jana yake anaisahau ... so unaona hustahili watu waliyokutengeneza kuwa wewe jinsi ulivyo leo...ebu kumbuka ulipotoka wapi !! tujifunze kushukuru
@rhodakerubo2850
@rhodakerubo2850 Ай бұрын
Shida hapa Christina amezungumza kizungu. Angesimulia kwa kiswahili, watanzania wangemuelewa, wasingemhukumu. Mume alishamkataa na kumrudisha kijijini kwa wazazi wake mwaka 2010. Christina akarudi Dar akaanza maisha mapya ya kumtumikia Mungu asilimia mia moja, BILA NDOA SABABU MUME AMEMKATAA! Miaka yote hiyo tangu 2010 amekaa kimya hamjui maisha yake kiundani. Leo kaamua kutoa ushuhuda jinsi Mungu amemtendea mnamuhukumu! Mungu anajua maisha yake tangu waachane, na anemuinua hiyo miaka yote. Muache mama wa watu aishi maisha yake. Christina songa mbele achana na kilele za chura!!! MUNGU MBELE!!!
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x Ай бұрын
Ndo uwa mnasaidiana kula sadaka za hapo church yenu n yye we ndo unamjua kiundan kaaa kwa tulia kula nyama nyamza ..omba macho ya rohon ujue kaz znazoendleaa ktka ulimwengu huu.utajuwa vizur kwa nn amebadilika ashaurik aambiw .kitu ujui tulia unafkir watu wte wanaongea mbovu kma zako
@MercyKangethe-fz7zo
@MercyKangethe-fz7zo Ай бұрын
This was a most informative message. Christina has brought in a clearer angle of where she is coming from and where she is headed to. She is a woman of God with a clear vision and nothing will stop her. I admire her eloquence and great sense of duty. May God bless you Christina, and may he give you all the comfort and favour you may require to carry on with the Lord's mission. Lots of ❤️ from 🇰🇪.
@mikasamwel613
@mikasamwel613 Ай бұрын
Jaman msipende kuhukumu mtu bila kujua maisha yake kwa undani zaidi kiatu alichokivaa anakijua mwenyewe amjuaye vyema ni Mungu tu na si wanadamu.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Ай бұрын
Wewe ni mtu mwema
@user-fe6gj1hg9r
@user-fe6gj1hg9r Ай бұрын
Si kaongea vyote( mateso yote) sasa hatujui ninyi na kaongea yote!!
@Tg.7_7
@Tg.7_7 2 ай бұрын
Ila ni ngumu sana kwake yeye Christina na kwa mumewe pia, kama from the very first place hapakuwahi kua na love it’s very hard….!! Let’s leave this matter to God!!🙏
@zaujatilongo6927
@zaujatilongo6927 2 ай бұрын
Well said
@jesuinababili2280
@jesuinababili2280 2 ай бұрын
Frankly said
@ezekielisack6310
@ezekielisack6310 2 ай бұрын
Exactly...
@AngelFoodProductsTz
@AngelFoodProductsTz 2 ай бұрын
Ua ver wise
@richardchimba3800
@richardchimba3800 2 ай бұрын
Unaongopea😂wengine
@neemamasudi7988
@neemamasudi7988 2 ай бұрын
Ni kweli wewe ni mtu wa kijijini pale Congo sehemu inayo hitwa Yungu ndo nyumbani kwenu. Sasa wewe Christina mbona ume hahibisha wana wake wote na wana ume wote. Pole sana Christina shetani yuko na wewe.
@imankasagara9492
@imankasagara9492 2 ай бұрын
Unapotoka katika wingu la Mungu usikubali kuendelea katika Hali hiyo geuka Rudi hata kama kwa gharama ya aibu,aibu kwa watu si kitu Bali kurudi katika wingu la utukufu
@imankasagara9492
@imankasagara9492 2 ай бұрын
Usitumie madhabahu kujitakasa je Leo ndio umegungua hilo au ndo unatangaza kuwa kujaolewa
@imankasagara9492
@imankasagara9492 2 ай бұрын
Wito wa Mungu tunautazama mwisho wa safari si mwanzo
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Ай бұрын
Kwani wangapi wanaachana na waume zao au wake zao na bado wameokoka
@davidnyika4296
@davidnyika4296 Ай бұрын
Mungu auponye moyo wako
@neemachalamila590
@neemachalamila590 2 ай бұрын
Ila ulikuwa wa kishua!!!! Hadi ice 🧊 cream ulitengeneza maana yake mlikuwa na fridge, halafu hii kjiongeza ndio usaidizi wenyewe kama mke according to bible, sio mateso , na swala la kupenda sio jukumu la mwanamke ni jukumu la mume,
@sovajulius3870
@sovajulius3870 Жыл бұрын
Christina Unajua na Kinge kipo on point Bravooooo
@fredyaled
@fredyaled 2 ай бұрын
Huyu mda cmrefu..utamskia anamgombania Diamond na naye utadkia ana Mtoto wa diamond. Naongea leo ..lakin 2simsingizie Mungu hapa
@charlesmgonja8689
@charlesmgonja8689 2 ай бұрын
Acha kumshirikisha Roho mtakatifu na ukahaba.Eti roho amekushukia utoke ktk ndoa yako.Muogope Mungu.
@lrutainurwa
@lrutainurwa Ай бұрын
Siri ya mtungi aijua kata
@kengaswedi3989
@kengaswedi3989 Ай бұрын
Usihukumu usije nawewe ukahumiwa.Yeye atabeba msalaba wake mwenyewe.
@lucykayombo9987
@lucykayombo9987 Ай бұрын
Hongera dada Christna, ushuhuda mkubwa sana unatia moyo, nakufurahia nakupenda...wewe ni mtumishi Roho mtakatifu aongoze hatua zako
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 ай бұрын
Ila ni kwanini unaongea yote hayo jamani mambo ya familia.. kama uliamua kuacha ungeacha personal
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 2 ай бұрын
Ushuhuda ni pale unaposhinda jaribu na siyo kushindwa, hapo kwenye ndoa hajashinda, Mungu amsaidie kwa kweli, najua bado ana nafasi ya kuanza upya, tena Mungu anampenda sana maana ni waimbaji wengi wamevunja ndoa lkn yy ameshambuliwa sana lengo la Mungu ni kumkumbusha chanzo
@anajohn8132
@anajohn8132 Ай бұрын
Ndoa yake sidhani kama alianza na Mungu ndio maana imekuwa hivyo. Kuna ndoa nyingi tu si za Mungu japo zimefungwa kanisani. Hizo ndoa huvunjika na wala wanandoa hawahukumiki sababu Mungu hakuwepo.
@kabulamalima5179
@kabulamalima5179 2 ай бұрын
Huyo shusho ndo mumeo na baraka zako zilikuwa mikononi mwako. Mungu akusamehe
@pastorbakarigeraldwilondja6702
@pastorbakarigeraldwilondja6702 Ай бұрын
MUNGU AKUHURUMIE SANA MAANA WEWE NI MWANAMKE USIOSHUKURU KBS
@consolataconsolata1250
@consolataconsolata1250 Ай бұрын
Huyu dada kukaa kimya kumemfanya aonekane yeye ndio mbaya. Sasa kama mume alimfukuza toka 2010 Leo yeye ndio anaonekana ana kosa? Kama hujui upande wa pili wa story bora kukaa kimya. Wanaume wana tabia ya kufanya vitu halafu wanajifanya wao ndio wameomewa. Mungu ndio anajua ukweli nyie mnaomtukana hamjui ukweli wote. Wanaume wengine hawawezagi kuvumilia mafanikio ya wake zao. Wengine wanaonea wivu wake zao wakifanya vizuri. Mungu anaejua ukweli atamlipa kila mtu sawa sawa na haki yake. Kwanza huyu dada ana hekima sana kama alikaa kimya toka 2010 hakuna mtu alijua kafukuzwa nyumbani kwake..SO SAD
@brorichardmusingithe7th11
@brorichardmusingithe7th11 Ай бұрын
wewe unaujua ukweli wote? wananchi wanaongea yale anayoyafanya hususani ndoa,Hata wewe hururhusiwi kukimbia ndoa na kujisifiakuwa uliacha ndoa ili umtumikie Mungu, Maswali mengi yako hiviii? Je yeye alilyetamka kuwa haukna wa kutenganisha na mvumilie hadi kufa ataruhusu uachane na mme ana uhubiri injili?
@thomaschagula3508
@thomaschagula3508 Ай бұрын
Amina mtumishi. Wewe ndio umeongea la msingi sana. Mungu akubariki sana
@Usizoeedhambi
@Usizoeedhambi Ай бұрын
Huyu mwanamke mwongo sana. Tena adanganya akiwa madhabahuni. Alizaliwa 14 Novemba 1974 na kuolewa tar 14 Decemba 1996 akiwa na umri wa miaka 22. Na mwaka huu wa 2024 ana miaka 50. Mzee sasa. Ameolewa kwenye familia ya Kikuhani wamo wachungaji 3 na Baba yao alikuwa Askofu Mkubwa huko Kigoma.Mimi nilikuwa mshirika wake Kanisani kwake Dreamers Centre. Nasema kweli tupu na Mungu anihukumu kama nasema wongo. Niliondoka kwa sababu ya tabia zake za ovyo. Alitupa nje ya ofisi meza na vitabu na Biblia za mme wake Askofu nje ya ofisi bila sababu ya msingi Nikaondoka Kanisani hapo. Familia ya mme wake wala.hawako.9. wanaume walikuwa 4 na wa 3 walikuwa boarding. College na shule. Na alipoolewa alikuja na mdogo wake wa Kike.Vitu vingi anasema hapo uongo tu anachafua madhabahu. Huyu ni devil worshiper ni ajenti wa kuvuruga na kuvunja ndoa makanisani . Yesu alituachia injili ya mapatano. Wewe Mama mwenye Kanisa hilo umechafua madhabahu ya Bwana.Umeharibu ndoa za washirika wako !!! Subiri divorce nyingi baada ya miaka 5 nakuambia . Umebomoa badala ya kujenga. Hapo amefuatana na Manager wake ni mwislamu uchafu mtupu .Nuru na giza wapi.na wapi !!!!!
@luganomunuwavanu9369
@luganomunuwavanu9369 29 күн бұрын
​@@Usizoeedhambi ndungu umeandika kwa uchungu sana... Unaonekana unajua mengi kuhusu huyu mwanamke
@BahatiSunga-yk9qf
@BahatiSunga-yk9qf 2 ай бұрын
Aminaa Barikiwa
@user-xy9pk2rz8z
@user-xy9pk2rz8z Ай бұрын
Hiki kizazi cha nyoka kwakweli kwani lazima utafute kujiosha ..mlikutana ..mmeachana endelea na maisha yako ..wanaume wasichafuliwe jamani kwa taarifa tuu hao ni wawakilishi wa Mungu ndani ya familia
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Ай бұрын
Chukizo la uharibifu limesimama mahali pasipopasa. Huna huduma yoyote, umeitwa kwenye umalaya sio huduma kwenda huko.
@paulmushi2428
@paulmushi2428 Жыл бұрын
Kwa kweli dada Christina umekuwa na ushuhuda wa ubinafsi wa kupitiliza!
@sautikuu212
@sautikuu212 2 ай бұрын
Yaani utadhani mume wake hana mchango wowote, ubinafsi wa kiwango cha juu mno.
@Kakwasi
@Kakwasi 2 ай бұрын
It's her life
@BanjoMrisho
@BanjoMrisho 2 ай бұрын
Huyu Christina anaongea pumba kwaiyo kiingereza ndio kinapanda zaii ya kiswahili? Wewe Huna ukristo hata kidogo Acha kuwalisha pumba warundi uanwapotezea muda Huna ushuhuda
@ATHANASLUKEHA-ui7pq
@ATHANASLUKEHA-ui7pq 2 ай бұрын
Roho ya kuhatibu ndoa za watu unayotumika nayo,iangamie Kwa Kina la Yesu!Christina wewe ni mwongo mkubwa!
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x Ай бұрын
Kabsaaa saah uy mathee anatumika na nguvu za giza ndp mana unaona wote.walioachana na mabwana zao wamefungua church ili waendlee kuaribu akil za wanawake wengne wasitii waume zao wakimbie kwa ndoa zao
@sautiisiyosema
@sautiisiyosema 2 ай бұрын
Nimeumia sana kumuita mmeo jamaa Mungu na akulipe kulingana na matendo yako. Kumbuka bila huyo jamaa usingekua hivyo ulivyo leo
@treasurerussel3422
@treasurerussel3422 Ай бұрын
Mungu Ndio kataka tina awe hivyo
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x Ай бұрын
Aiseee wanawake wa Africa wakitajirika n umaarufu n kosaa kubwa sana wallah
@user-ee6sz5gy4r
@user-ee6sz5gy4r 2 ай бұрын
Mmewe alimtoa KIGOMA kibirizi hata kiswahili alikuwa hajui vzr Leo anamuita Jamaa duhh hii ndoo dunia tenda wema uende zako, Mungu anakuona
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 ай бұрын
Ila wanawake nomaaa sana
@angelinamwakilufi8881
@angelinamwakilufi8881 Ай бұрын
Hata wewe kunasehemu ulitolewa na Mtu, haimaanishi umwabudu huyo mtu hata kama anakukosea!
@jacksontarickkitambala2204
@jacksontarickkitambala2204 Ай бұрын
Fundisheni watu ukweli siyo unafiki Kwani pale ulipo olewa na miaka 19 , MUNGU hakuwa nawe?
@jacksontarickkitambala2204
@jacksontarickkitambala2204 Ай бұрын
​@@angelinamwakilufi8881NDOA ni NDOA
@treasurerussel3422
@treasurerussel3422 Ай бұрын
Alafuuu ni mkimbiziii 😂😂😂😂😂😂
@user-cr1sj8xw9x
@user-cr1sj8xw9x Ай бұрын
Dunia imeisha yaani watu munapiga makofi kwamba ujumbe huu umetoka kwa Mungu atupe andiko linalo muruhusu kuachana na mume wake sio mawazo yake anapotoa maelezo asimutaje Mungu hayo Ni mawazo yake ,Mungu akikuita kumutumia sijawahi kusikia kwamba iache ndoa yako Mungu akusaidie nimefuatilia Sana maneno yako unataka kuleta elimu mpya kwenye ndoa Za watu kwa mawazo yako Mungu anachukia kuachana pia alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe hayo umeyapata wapi? Tuonyeshe andiko Hilo sio maneno mengi acha kuudanganya umma ,shusho tulia kwa Bwana majibu yapo
@happinesstesha7061
@happinesstesha7061 Жыл бұрын
Nasikitika kama uliachana na mume wako dah mimi nyimbo zako za mwanzo ndo nilizipenda but za sasa dah.
@maneno_kairuki
@maneno_kairuki 2 ай бұрын
Hata mimi nyimbo za nyuma. Ni kawaida ya wanawake wakifanikiwa lazima awe na kiburi
@James-od8gf
@James-od8gf 2 ай бұрын
Mke wangu angekiwa anaabudu kwako hapo ningempga stop haraka sana mana Mchungaji gani kamuacha mumewe?
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x Ай бұрын
Ndo anaaribu wanawake wengne
@joycenaftal-cr2er
@joycenaftal-cr2er Жыл бұрын
Ameeen
@sweetberthawilliam6587
@sweetberthawilliam6587 2 ай бұрын
Mshukuru mme wKo alikuoa na kukupa watoto, asingekuwa yeye saa nyingine usingefika hapo kiburi cha pesa
@savedbygrace3230
@savedbygrace3230 Ай бұрын
Beautifully intetpreted and blessings to Christina.
@zaujatilongo6927
@zaujatilongo6927 2 ай бұрын
Mungu akifanyie lililokusudi lake tuuu! Sisi hatujui ila Mungu aonaye sirini anajua yote, Mungu asikuache hadi mwisho wa maisha yako
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u Ай бұрын
Hongera sana Christina Mungu huyu akulinde sana change usiyumbishwe na maneno maovu ya mitandaoni
@janewasilwa8813
@janewasilwa8813 Ай бұрын
Thank you...of God lives I will.live. If God is able I will succeed
@jescamushi7737
@jescamushi7737 2 ай бұрын
Kama mkenya sa hii hahhahahaaaaa ila anamaigizo huyu mama😂😂😂😂
@eliwazamakala3897
@eliwazamakala3897 Ай бұрын
Pole sana dada. Mungu aendelee kukutetea zaid dhidi ya maadui zako. Binadamu huwez waziba midomo. Only God knows.
@merrybahati9882
@merrybahati9882 Жыл бұрын
Amen
@elizabethwambua8797
@elizabethwambua8797 Ай бұрын
Love you mommy.only woman who has such past can understand you.Gods love is with you all through.
@jamalmanishi7282
@jamalmanishi7282 2 ай бұрын
Mungu nifundishe kunyamaza maana sielewi
@elizag.edmond7637
@elizag.edmond7637 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@heriethsamwel7190
@heriethsamwel7190 2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 2 ай бұрын
hahahaha kina christina wengi huwa wako hivyo sijui kwa nini nimeona more than 4 christina wanaacha waume zao,labdaa maana ya christina na mwanamke kumuacha mumewe
@user-nb2jw4km6f
@user-nb2jw4km6f Ай бұрын
Hata mimi sielewi kwakweli sijui ni comfidence yakupitiliza au nini?
@lilianurio9781
@lilianurio9781 Ай бұрын
Me too
@TeresiaMundia-dz8ye
@TeresiaMundia-dz8ye 2 ай бұрын
May God go ahead of you
@lydiawasai9439
@lydiawasai9439 Ай бұрын
The pain was to take u to another level mti mwema hupurwa mawe lakini pesa zikakupa kiburi ukamsahau Mungu wako. Tubu Christina umrudie Mungu.
@fadhilichristine7734
@fadhilichristine7734 Жыл бұрын
Much love to you sister Christine may God bless you ❣️
@ElphasNabule-uj1zi
@ElphasNabule-uj1zi 2 ай бұрын
christine ,kumbuka yakwamba Ndoa ilianzishwa na Mungu na kwa mpango wa Mungu , Talaka Haikuemo. Soma maandiko vizuri .Nithambi ilileta Mutengano Kati ya Mungu na muana damu ,Vilevile katika ndoa usipo elewa kusudi la Mungu ndaani ya maisha yako na Mungu Utatenda Mapenzi ya shetani .kumbuka Mungu anachukia Talaka haswa zaidi kwa Watumishi wake vilevile Kanisa linaanzia Nyumbani Likiekea kwa Mathabau .christin nina suali kwako utajitetea Aje mbele Ya kiti cha enzi Mbinguni? kwa wanadamu ni raisi Jee, Na kwa MUNGU?
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 25 күн бұрын
Wewe ndio usome mandiko vizuri mmekua watu wa kutafsiri bible vibaya na kwa hisia zenu Acha kuhukumu wewe
@mynambwambo2072
@mynambwambo2072 2 ай бұрын
I can relate hii story na ile ya laban na Jacob.. Jacob alienda kwa laban akiwa na baraka zake kila kilchoendelea ikiwemo mifugo mingi kuzaliwa pale ilikua sababu ya Jacob mwenyewe I can relate hii story na shush huyu mwanamke alikua tayari ameshabarikiwa na Mungu huyo mume wake ilikua ni njia tu Mungu allifanya ili kudhihirisha kilichokua ndani ya shush..
@FocusMahagara
@FocusMahagara 2 ай бұрын
Roho wa Mungu,atusaidie
@stellagwimo3115
@stellagwimo3115 2 ай бұрын
Powerful testimony, thanks Christina for sharing you life story with us. God bless.
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 2 ай бұрын
mwanamke keshakuwa na pesa sasa anamuona mumewe aliyemtoa jalalani kuwa si kitu
@ireneansima4930
@ireneansima4930 Ай бұрын
@@user-fr7jj1bo7y umasikini inafanya mutu kuhitika akina Nani
@daudimwakitalima8145
@daudimwakitalima8145 Ай бұрын
Mhhh
@phoebyadema6675
@phoebyadema6675 Жыл бұрын
Waah your testimony imenivunja moyo😢,,,tena umeni encourage in this journey of life
@leonardyona1462
@leonardyona1462 2 ай бұрын
Acha kuwa encouraged kwa upumbavu..
@ireneansima4930
@ireneansima4930 Ай бұрын
Amen abuse man will come to blame her
@user-lm3gd8pw7z
@user-lm3gd8pw7z 2 ай бұрын
Asha kusema Jina La Mungu na Wewe ni muwasi mukubwa Wewe. Gisi Congo tulikuwa na nakupenda ivi zero kabisa akuna u christu ndani yako Wewe dada
@ireneansima4930
@ireneansima4930 Ай бұрын
Weye mutakatifu ukuwe nahita
@janewasilwa8813
@janewasilwa8813 Ай бұрын
God bless you Mama. Someone is encouraged Mama
@leakeyochieng9629
@leakeyochieng9629 Жыл бұрын
Am more than blessed , more grace Christina
@nesielias9493
@nesielias9493 2 ай бұрын
Duniani huwezi kupata vyote, shukuru hata kwa mema uliyopata
@jabezjedidiah1429
@jabezjedidiah1429 Ай бұрын
Yote uliyoyasema hujatoa hoja mwafaka kwa nini ikaikimbia ndoa. Kado na kumdhalilisha mmeo na familia yake. Hukuteswa, sio adultery... kazi ya nyumba kila mwanamke hufanya. Kwangu naona ni fame na pesa zilikukausha shingo. God is nor author of confusion but of love and unity in Christ Jesus hivyo usisingizie wito ndio ukakutoa kwako. Hujaweka mfano mwema kwa wakristo.
@epifaniakavishe9282
@epifaniakavishe9282 2 ай бұрын
Mmh Tinna ...
@nyapetegath409
@nyapetegath409 Жыл бұрын
you are beautifull and fighter. God bless u
@josephineusui1114
@josephineusui1114 Жыл бұрын
Congratulations Cristina for realizing your dream.i love you so much.
@RebeccaGeorge-qu9kc
@RebeccaGeorge-qu9kc 2 ай бұрын
Powerful testmony my sister christina shusho God bless you
@user-fe6gj1hg9r
@user-fe6gj1hg9r Ай бұрын
Shout out you FEMINIST 😊😊😊
@salomeshadrack8245
@salomeshadrack8245 Жыл бұрын
I love you dear. You're my role model...hope to meet you one day. May God protect you and preserve you for His own Glory
@rahabnjeri510
@rahabnjeri510 Ай бұрын
Shusho mungu anakuona ulianza kwa roho na unamaliza na mwiili😢😢😢😢😢 you need God deliverance
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 Жыл бұрын
Ukiwa karemy au tz.???
@timemwamasage4058
@timemwamasage4058 2 ай бұрын
Mpuuzi sana .. ndoa za zamani wanaume na wanawake walikua na upendo...walikua wanaishi na ndugu zao ukiolewa ukakuta familia ina maisha yao uliyoyakuta usuwabadulishe wawe unavyotaka ww,labda kama unawasaidia kukua kiuchumi kuwapekeka shule na kazi au biashara lkn sio nature ya maisha yao...huyu anatafuta kujitetea lkn hakuna kitu...mpuuzi
@neemamasala7167
@neemamasala7167 Ай бұрын
Ulikuepo hyo zamanii😢
@angelinamwakilufi8881
@angelinamwakilufi8881 Ай бұрын
In first place ndoa haikuwa, na upendo, ila ni convenience ya wazazi eti asijeakaharibikia nyumban😢 wanaume kasiriken mtukaneni ila wanawqke wasiku hizi are not fools ukizingua tunasepaaa!
@peterbarakabugera974
@peterbarakabugera974 Жыл бұрын
i fallow you very well,may God bless you when ever you will stay working for him!
@DosianaLulakuze-bv7fg
@DosianaLulakuze-bv7fg 2 ай бұрын
Nakuelewa acha wakupige vita ambaye hajapitia Hajui
@doulosjohngamba8985
@doulosjohngamba8985 Жыл бұрын
I will be your Prayer Partner always.
@anajohn8132
@anajohn8132 Ай бұрын
Sasa naelewa kumbe mume ndiye alimuacha nakumrudisha Kwao kijijini kwa wazazi wake na watoto wakagawanwa. Sasa lawama ziko kwake kivipi tena
@elimidakashumba2422
@elimidakashumba2422 Жыл бұрын
Congratration shusho, indeed you re our influencer.
@sovajulius3870
@sovajulius3870 Жыл бұрын
Hail to Shusho our very own our talented and beautiful singer of all time She is talented beautiful hard worker and more she is amazing We love you Tina
@balancedviewpoint7418
@balancedviewpoint7418 Жыл бұрын
Waaah! I didn't know this awesome woman of God knows very fluent English and that she can be that bold and assertive in a cloud. Christina, sorry for what befall you I your earlier days of your marriage. When we keep advising you to stick to your marriage, kumbe there is disheartening story behind your life journey. It is well Christina. If you were in Kenya utaolewa na ukae maisha safi sana. Tunakupenda sana Kenya vile dunia yote inakutambua. I love you much you child of God. Keep it up.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Acha kumwinua alishapotea
@marykyley836
@marykyley836 Жыл бұрын
She is a professor in maths. God's grace is sufficient
@balancedviewpoint7418
@balancedviewpoint7418 Жыл бұрын
@@marykyley836 a professor in maths? From which university please?
@jeanbaraka1008
@jeanbaraka1008 2 ай бұрын
BULUNGO kwanini tumuachilie dada hivi, amepotoka huyu, sifa ime mchanganya , Baba Mcheleca mukowapi dada BIBI ametuzalilisha tumuokeo...
@florencenzyuko2121
@florencenzyuko2121 Ай бұрын
Christina God is faithful & you're a seed of God
@annapeter8526
@annapeter8526 Жыл бұрын
poweful testmony maaam
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 Ай бұрын
It's time to be on Top Tina.....
@felixbitange8115
@felixbitange8115 Жыл бұрын
The English is top
@marlenekhakoni1404
@marlenekhakoni1404 Жыл бұрын
Kwa Mara ya kwanza kabisa,nimeiskia kwa ufupi ushuhuda wa ma Christina, nimekupenda zaidi
@Usizoeedhambi
@Usizoeedhambi 2 ай бұрын
Hana shukurani huyu.Muilizeni MBC Hot Media ( Mr Forgen ) awaambie jinsi mume wake alivyomsaidia . GOSPEL is the good news of reconciliation not damaging like this. Mumewe amemsomesha hata hako ka Kingereza ni kazi ya mume wake !!!!
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 ай бұрын
Ndiyo shukrani za wanawake, amesahau yote
@mgswahili3993
@mgswahili3993 2 ай бұрын
What is your whatsapp number nataka kushare kitu na wewe. Imenigusa hii text yako.
@sautikuu212
@sautikuu212 2 ай бұрын
@@edsonnelson4464 washenzi sana hawa viumbe
@AnneHarold
@AnneHarold 2 ай бұрын
​@@sautikuu212jamani sio wooteeee sema baadhi ya wanawake
@user-cu6tp2bh7b
@user-cu6tp2bh7b 2 ай бұрын
Msomeshe kiingereza akitumie kukutukana😂😂
@user-cw3vu8mu3k
@user-cw3vu8mu3k 2 ай бұрын
Mchungaji shusho alikutoa kijijin akakutengeneza akakupa nafasi ya kuonyesha kipaji lakin eti kwa sasa umemwacha mzee shushu nakumdhalilisha eti kwamba wewe nawe umeitwa tofauti na mme wako kiburi kibaya sana
@mohamediyusuph5527
@mohamediyusuph5527 2 ай бұрын
Nimemtumia post isome
@jamesponda1957
@jamesponda1957 2 ай бұрын
A lost sheep,I will only listen to your music but I will advise people not to follow you because you are more than lost
@Uplifiting
@Uplifiting 2 ай бұрын
What are you trying to tell us Christina!
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 2 ай бұрын
Ila nawaume pia waangalie umri na wanao waoa man ww unazid kezeeka mwenzako bad anahitaj mambo ya ujana shida ndio inapoanzia.
@tatubaraka5752
@tatubaraka5752 2 ай бұрын
Iyongo
@maneno_kairuki
@maneno_kairuki 2 ай бұрын
No where she appreciates the support from his husband. Wanawake Bwana😢
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 2 ай бұрын
Women!
@YasintaMpanduji
@YasintaMpanduji 2 ай бұрын
Wakati anamsapoti ulikuwepo?, binadamu Bhana kazi mnayo
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 2 ай бұрын
@@YasintaMpanduji yeye mwenyewe alishuhudia jinsi kipawa chake kilivoinuka,na kujulikana.
@YasintaMpanduji
@YasintaMpanduji 2 ай бұрын
@@odilomwemeziernest646 ni kweli, yeye ndyo shahidi, Kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawapewi support na wenza wao, wanaume Kwa wanawake
@sautikuu212
@sautikuu212 2 ай бұрын
Mbinafsi sana, huu ushuhuda una mapungufu mengi na makubwa sana.
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u Ай бұрын
Vizuri sana Mungu ni mkubwa sana Christina songa mbele watu wasikutishe
@carolinekajuju4507
@carolinekajuju4507 2 ай бұрын
My gal my story. if you made it I will make it
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 ай бұрын
Shusho una sauti nzuri sana ya kumtumikia Mungu sema dah!
@EsterBenson-vj8vy
@EsterBenson-vj8vy Ай бұрын
😅daaa haya mambo mazito ,pole dada Christina tuko pamoja imba Sana
@lucynjengachef709
@lucynjengachef709 Ай бұрын
Your story is qn eye opener ....
@florenceLema-ou4my
@florenceLema-ou4my 2 ай бұрын
tamaa ikochikua mimba uzaa dhambi dhambi lkikomaa uzaa mauti
@phoebyadema6675
@phoebyadema6675 Жыл бұрын
Congrats my mentor I love you so much❤
@NoelChambo
@NoelChambo Ай бұрын
MSIMUHUKUMU HUYU MAMA, BINADAMU SOMETIMES TUNAPITIA MAMBO AMBAYO WENGINE HAWAWEZI KUELEWA KIURAHISI.
@gracepatric4371
@gracepatric4371 Жыл бұрын
Translator nikama monica wa masanja
@lydiawasai9439
@lydiawasai9439 Ай бұрын
I love her sence of humour but the bible says we should submit ourselves to our husbands. Mungu tupe macho tuone sawa sawa. The enemy only cares of winning her soul. Mungu amrudishe kwa ndoa yake she has been a good servant of God.
@EDETRAUDHUNGU
@EDETRAUDHUNGU Ай бұрын
mkarimali hongera Sana nimependa
@pamelaayieta6071
@pamelaayieta6071 2 ай бұрын
She is a good actress,is she the first one to shine in east Africa.You are behaving like a juvenile.
@Kakwasi
@Kakwasi 2 ай бұрын
I love her whatever
@christophermgimba5144
@christophermgimba5144 Жыл бұрын
"UKINIPIGA NGUMI NAMI NAKUPIGA NGUMI" SIKUTEGEMEA MANENO HAYA KWA MWANAMKE AMBAYE NI MCHUNGAJI PIA. DADA ZETU WAIMBAJI WANA CHANGAMOTO SANA KWENYE NDOA/MAHUSIANO YAO. SHUSHO INABIDI AWE ANACHAGUA MANENO YA KUONGEA HADHARANI, ANAVYOONGEA ANAHARIBU KULIKO KUJENGA.
@anastaziasamson593
@anastaziasamson593 Ай бұрын
Umenitia moyo hapa at least " I think I can do it , I'm going to change my life"
@augustinemainde
@augustinemainde 2 ай бұрын
Mshamba akiingia mjini watu wanajipigia tu
@sambutilacurtainbedroomsol7431
@sambutilacurtainbedroomsol7431 Ай бұрын
Kumbe hii ni taarifa ya kuloewa akiwa na 19 yrs ilisemwa 2022 na 2024 imejirudia
@blessedgirl444
@blessedgirl444 2 ай бұрын
I can't imagine getting married at 19 wah ata hujui kitu wewe mwenyewe hujijui
@absalomkibanda
@absalomkibanda 2 ай бұрын
What a lesson?! Its bitter, sour and sweet. A victim, unsung hero. Life is a fight
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Ай бұрын
Wote wanaomsema vibaya Christina mmamwonea wivu,na alivyo mzuri kwa sabb hakuna andiko linalomruhusu mtu kumtukana mwenzie,eti unasahau dhambi zako nyingi kuliko za shusho.
@MariamOfficial-ve1yt
@MariamOfficial-ve1yt Ай бұрын
We unatetea kitugan hap
@VeronicaKamau-np2si
@VeronicaKamau-np2si Ай бұрын
😢😢😢😢😢😢wow!!such a testimony
@susannyamu2024
@susannyamu2024 Ай бұрын
Lots of ❤,🇰🇪
@sampulifred
@sampulifred 2 ай бұрын
Mazungumzo yako ni hatari sana kwa waliyo kwa ndoa wengi wataacha waume zao. Kiburi kishindwe.
@ruthjeruto1716
@ruthjeruto1716 2 ай бұрын
Role model to many❤
@jarusiolajerusha3329
@jarusiolajerusha3329 Ай бұрын
talk on your behave
LIVE SENTRO YA CLOUDS TV NA CHRISTINA SHUSHO
32:22
Christina Shusho
Рет қаралды 22 М.
Rev Dr JOHN SHUSHO -RHIC- [INAUMIZA LAKINI MUNGU AMESEMA]
15:40
Restoration Of Hearts International Church (RHIC)
Рет қаралды 55 М.
Final muy inesperado 🥹
00:48
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 18 МЛН
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 17 МЛН
Sprinting with More and More Money
00:29
MrBeast
Рет қаралды 192 МЛН
ROCK PAPER SCISSOR! (55 MLN SUBS!) feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
Pastor Christina Shusho UTAVUNA MATUNDA KWA MAJIRA WAKO
25:49
Eglise Armé Du Seigneur Bunia
Рет қаралды 10 М.
MAJIBU YA JENNIFER KUHUSU KUOLEWA
28:50
Jennifer Mgendi
Рет қаралды 159 М.
Mpya: Majibu Ya Christina Shusho Kwa Wanaomshambula....
18:08
Final muy inesperado 🥹
00:48
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 18 МЛН