Kama wewe ni mkenya na unapenda huu wimbo weka like
@Joan-mz6jb3 ай бұрын
WAPI LIKES HAPA ZA CHRISTOPHER Na FAMILIA YAKE...THIS SONG HAS ANNOINTING.
@asheratieno6138 Жыл бұрын
Kumbe mungu akifanya jambo watu watakutambua🙏🙏
@benterakinyi71353 ай бұрын
I love this part,Mungu akiregesha heshima iliyo potea watu watakutambua , still waiting for God,🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ev.johnkay93834 жыл бұрын
Kibao safi kabisa,kimenituma kwa biblia tena, Hakika Mungu akikubadilishia jina, watakutambua tu. Hallelujah.
@jeycyjob20404 жыл бұрын
Amen
@davidmbatha80584 жыл бұрын
For sure that is a nice song.. Hakuna kama wewe Jehovah.🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@bettymutua27513 жыл бұрын
Bro Kai wi kuu?❤️akirejesha heshima watakutambua 💯that hit me hard
@ruthopuka14593 жыл бұрын
@@bettymutua2751 x c t
@feithgidioni68912 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@oliversoi88344 жыл бұрын
From Kenya wapi likes, wimbo mzuri sana
@jojonostress4864 жыл бұрын
Waoooooo napenda sana nyimbo zako kbs kama uko pamoja na mimi nipe like
@shazyrahim24292 жыл бұрын
Ubalikiwe Kaka jmn mungu akutie nguvu milele
@veronicaholisah71882 жыл бұрын
I leave this comment here so that after the lord blessings I'll still come to declare his goodness and mercies..it's really a blessing
@vajulelectricalcontractors9218 Жыл бұрын
Amen
@dianamutai8265 Жыл бұрын
Ç
@chelaatabii8650 Жыл бұрын
My God nakutegemea unisaidie ujibu maombi yangu nipo chini pa miguuni pako mungu wangu nisaidie be blessed Chris mungu akuinue 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@CheerfulRecordPlayer-oz1cyАй бұрын
😂
@bintundurosy70104 жыл бұрын
Upewe sifa baba yangu yesu na jinalako lipewe sifa akuna kama wewe yesu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@user-co9kw3hi2i Жыл бұрын
I love this song 🎵 ❤ #Kenya 🇰🇪
@user-co9kw3hi2i Жыл бұрын
Akinifanyia jambo watu watanitambua 🙏🙏 God's great
@marywanyoike97903 жыл бұрын
Huu wimbo Mtamu sana na barikiwa kutoka 🇰🇪 Watanzania Twawapenda tu sana mbarikiwe mna vipawa za uimbaji🇰🇪🇰🇪one love!
@brendaawino3502 Жыл бұрын
Hii wimbo inanipea nguvu katika biashara yangu watanitambua baraka za mungu. Love from Kenya...
@Marsemo4 жыл бұрын
Wa kwanza kutoka Kenya nawakilisha,like if you love bishop na his music
@annointamani32853 жыл бұрын
MUNGU AKIKUINUA WATAKUTAMBUA ,NAUTABIRIA WIMBO HUU KUFIKA KWA WATU MAMILION NA MAMILION , MUNGU AKUINUE SANA CHIRS JEMBE LA YESU HAKUNA KURUD NYUMA NI MBELE KWA MBELE MPKA WATU WAJUE KUNA MUNGU MUAMUZI WA HATIMA YA MTU .
@LawrenceYobuNdosi4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana. Weka LIKE yako hapa kuonesha jinsi wimbi huu unavyokugusa....Ubarikiwe #lawrencendosi
@WordofGod4all.4 жыл бұрын
Kama Umeupenda gonga like Hapa ❤️🙏💪🇺🇸
@jamessabai65302 жыл бұрын
Be blessed with this kzbin.info/www/bejne/pqGzepx9fc2GhZI
@joskyshams47584 жыл бұрын
Mimi ndio wa kwanza kutazama wapi likes. Wimbo wa maandiko natazama toka 🇰🇪
@sharonchepkoech4330 Жыл бұрын
I swear this is really a song full of blessings..i have played more than 20 times today 😢😢❤
Tumebakiza waimbaji wachache Tanzania wanaoimba neno. Huyu jamaa ni miongoni mwa wale wachache
@estamathew51673 жыл бұрын
Kwerr kabisa,,maana wengne wanaimba mamb yao tuu
@jepkemboishua61187 ай бұрын
Hakuna kama wewe Mungu, i live a life full of testimonies what God did to me no man can do.Watu walinitambua baada ya Mungu kunitendea. I am now a perfect example.
@elibarikielikana18244 жыл бұрын
Hadi mwili unasisimka anointing ya wimbo na uponyaji nan is like Jesus hakuna kama Wewe Yesu
@jamessabai65302 жыл бұрын
Be blessed with this kzbin.info/www/bejne/pqGzepx9fc2GhZI
@jugerulikira16984 жыл бұрын
*Akuna kama wewe yesu*🇨🇩🇹🇿🇧🇮🇰🇪 *tujuwane*
@kilionakombusingoma29414 жыл бұрын
Aksante mpendwa kwa kukumbuka 🇨🇩
@sarahakiruserah20593 жыл бұрын
🇰🇪🙏
@emmanueltz53733 жыл бұрын
Kwakweli mmebaki wachache sana waimbaji mnaoimba nyimbo za upako kama hizi be blessed man of God 🙌🙌🙌
@emmanuelsulle58263 жыл бұрын
Abarikiwe Sanaa
@fauziah74132 жыл бұрын
Kweli kabisa
@samogutu4709 Жыл бұрын
Hakika hakuna kama Mungu. Akifanya jambo juu yako watu watakutambua, akisha kubariki sana watu watakutambua. Jumbe nzuri uliojaa mafunzo ndani yake. Barikiwa sana mtumishi.
@cavinlughano98354 жыл бұрын
Nyimbo zako ni za baraka Nchini Kenya Na Tanzania....Mungu Akubariki sana
@princeeddyofficial8684 Жыл бұрын
I love this song so much...kwa hapo kwa "watakutambua"
@ikamarpeninah Жыл бұрын
Kwa kweli ukiskia wimbo huu utabarikiwa
@mmagdelenekareithi9091 Жыл бұрын
Hakika Bwana Mkuu akikubadilishia jina watakutambua. Halleluyah.
@user-co4wi3sn9r10 ай бұрын
Hakika mtumishi ninaposikiliza nyimbo zako nafarijika sana ubarikiwe sana
@cianahezron85604 жыл бұрын
@mwahangila Wimbo huu nimeuskiza mchana na usuku kwa Machozi😭😭😭😭😭na sitosheki,Limenibariki na Kunibadilisha Kuwa kiumbe kipya katika Yesu,Mungu azidi kukutumia🙏🙏🙏🙏🙏
@thedybenedictmisanga32814 жыл бұрын
Kweli nyimbo ina upako kutoka Mungu.. Asante Mungu kumtumia mtumishi wako....kuna faraja ndani yake,furaha, na kuishi ndani yake......Haleluya!!!
@aruaamon14092 жыл бұрын
Tunashuru sana Mungu kwa baraka hii ya huyu mtumishi wako. Asante sana Christopher, be blessed 🙌🙏
@felixlihutsuanduku41514 жыл бұрын
Kutoka utukufu hadi utukufu, kwa kweli hakuna mungu mwingine kama yeye, asante ndugu kwa wimbo huu
@jamessabai65302 жыл бұрын
Be blessed with this kzbin.info/www/bejne/pqGzepx9fc2GhZI
@allenmohamed24 жыл бұрын
Mwahangila Mungu akubariki, akusimamishe katika njia impasayo Nasikiliza na kuangalia nyimbo zako zanifanya nimrudie Mungu wangu, zimekuwa upatanisho na Mungu wangu
@jamessabai65302 жыл бұрын
Be blessed with this kzbin.info/www/bejne/pqGzepx9fc2GhZI
@annmmbone75253 ай бұрын
Am here 2024 MUNGU ukinibariki Watanitambua
@delhidarling42854 жыл бұрын
Watanitambua tu baada ya upako wake Mungu 🙏🙏🙏. Hakuna Kama wewe Yesu. Ooh hallelujah 🙏🙏🙌
@jyn34392 жыл бұрын
Oh.....amina....Mungu nikumbuke pia mimi....
@richmondkarani56713 жыл бұрын
.....ila niki tukupacho ndicho tulicho nacho....JINA LA YESU 🙌🙌🙌🙌HAKUNA KAMA YEYE 2021..
@consolatawamaitha48922 жыл бұрын
This song is full of annoited words and brings healing and deliverance
@Wakereu3 жыл бұрын
Mungu akifanya jambo kweli watakutambua na kusema hakuna kama wewe Mungu
@leahwamwangi66333 жыл бұрын
Huu wimbo umenibariki Na pia umefanya Na tabua mungu anaishi my son is 2yrs 8month lakini anapenda nyimbo zako sana akiuskia ule wimbo Wa mungu ni mungu tu hu dance kama unavyo dance kwenye huo wimbo be blessed bro your music is a blessing to my family love from kenya
@Wakereu4 жыл бұрын
Ni kama kwamba wakenya ndio pekee hukomenti
@beckymish9453 Жыл бұрын
This song keeps me pushing this life of Gulf I know one day I make it in Jesus name 🙏
@Mercy-jl1pn11 ай бұрын
Amen
@rotichhcitor4463 Жыл бұрын
From TikTok and landed here safely, blessings to anyone go through a tough time. It shall be well 🙏
@liliankemunto1349 Жыл бұрын
Me too from tiktok mos mos
@peternjagi994811 ай бұрын
Tanzania Kuna talanta...Thank you mtumishi wa Mungu mwenye enzi
@humbemusa348010 ай бұрын
Ukikosa fedha au dhahabu au ukiwa navyo HAKIKISHA HUKOSI JINA LA YESU KRISTO MOYONI MWAKO NA MAISHANI MWAKO.
@kenogembo7255 Жыл бұрын
You are a blessing to me my Big brother in Christ, a very spiritual and biblical song. When God blesses you people will always recognize you. Long live and bless me more and more(from Kenya)
@benjaminndeme667 Жыл бұрын
Qqqqq
@menshitunze Жыл бұрын
your welcome.
@Mercy-jl1pn11 ай бұрын
Amen. GOD HAS RESTORED US,WANASEMA NI UCHAWI NA UGANGA
@nayerajovalyne9376Ай бұрын
Niko hapa nasubiri siku ambayo Mungu atabadilisha hali yangu 🥺
@mutanumunyoki82914 жыл бұрын
I am Kenyan,I always love your songs,we love you so much
@NyotaBalolane.4 жыл бұрын
Amen mtumishi wa bwana mungu aku bariki sana zaidi namimi na penda kuimbiya mungu KZbin nyota balolane
@josephmwakio3787 Жыл бұрын
This song Hunipandisha mpaka Mawinguni, Man of God Barikiwa sana
@MargueriteKanzi4 ай бұрын
Mi na penda iyi myimbo ya mungu ❤❤
@neemadastan19064 жыл бұрын
Mtumishi MUNGU akubariki tunatiwa moyo kwa nyimbo zako. Naomba umshauri ima mgogo aachane na wachezaji wasiookoka amejichafulia jina sanaaa
@GloryMushy-jt8ug3 ай бұрын
Hii nyimbo inanibariki xn 😭😭😭hakuna kama MUNGU akiamua kukuinua hakuna wakupinga...barikiwa sana kaka
@eliyajelemia62444 жыл бұрын
Tunasha ngaa upako wa Emanuel mugogo umehamia kwako yeye kaamua kuimba kama bongofreva hongera
@brendakenga18403 жыл бұрын
Kwa kina la yesu....Simama uende
@eddahmwampagama1154 жыл бұрын
Kazi nzuri,,,Audio imetulia
@groryfaustino1033 жыл бұрын
Inagusa sana mwenyez mungu aendelee kukutia nguvu mtush
@bryanosese8 Жыл бұрын
I leave my comment here, one day I will give a testimony
@nellykorir30059 ай бұрын
Kwa Jina la Yesu simama uende!!!! Sifa na utukufu kwa Mungu.
@carolinekadzokenga19823 жыл бұрын
Wow alipoingia hekaluni...alitambulika...tutambulishe bwana ..regesha heshima baba...regesha heshima baba yangu....ooh yesu..hakuna kama wewe
@victoriajustus46134 жыл бұрын
HAKUNA KAMA JEHOVAH🙏🙏🙏powerful song👏
@tusiimerwihura6344 жыл бұрын
Hakika hakika Mungu ataniinua watanitambua nitaimba daima hakuna Kama Mungu
@jamessabai65302 жыл бұрын
Be blessed with this kzbin.info/www/bejne/pqGzepx9fc2GhZI
@rahabngigi41192 жыл бұрын
It's 4:00a.m. and my spirit has yawned for this song! It's ministering to me In a very mighty way
@joshuakimwogo3045 Жыл бұрын
Hakika wimbo safi hadi natamani Mungu anitendee watambue yuko
Hakikisha hau skip matangazo tuwasapoti waimbaji wa injili ni sadaka yako kwa Bwana.
@eunicemuthonikariz53563 жыл бұрын
Mwahangila nyimbo zake zanipea mutisha
@rachelmalimbwi17483 жыл бұрын
Kazi nzuri hakika utukufu na sifa kwake aliyekuwezesha kuifanya
@SheilaChemutai-oh7cu3 ай бұрын
From Kenya napenda song zako Chris
@VioletAmbukaАй бұрын
Amen Amen 🙏🙏🙏 Nina barikiwa sana nyimbo za mjungaji .
@preneruth51103 жыл бұрын
Nmeskliza zaidi ya ten times today.... Kwel Mungu akifanya kitu anafanya kwa ukubwa na lazima watakutambua..... Barikiwa Sana mtumishi
@dorcasmwangibonga73254 жыл бұрын
Hakuna kama wewe Mungu !👏👏
@sarahmtindo2373Ай бұрын
Mungu akifanya jambo watu watakutambua 🙌
@bokemmalwa25854 жыл бұрын
kazi yako nzuri sana mtumishi wa mungu
@vincentmoranga86414 жыл бұрын
Really blessing song Mr mwangila, move on with preaching to the world and revive our souls 💋💋🙏🙏🙏
@pamelamboma67254 жыл бұрын
Hakuna kama wewe Mungu. Mungu akifanya jambo watu watakutambua. Akirejesha heshima iliyopotea watakutambua oooh yes asante kwa wimbo huu
@Mercy-jl1pn11 ай бұрын
Thank you Lord Jesus,I have a testimony for this song.Most High God,youbare worthy to be worshipped my God.receive all the glory in Jesus Precious Mighty name.Amen
@denniceweki5725 ай бұрын
nyimbo zako zina mafunzo ya hekima na uwaasia, ubarikiwe mno Chris
@asheratieno6138 Жыл бұрын
Kweli Mungu akikubariki watakutambua🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@asheratieno6138 Жыл бұрын
Kumbe Mungu akifanya jambo watu watakutambua 🙏🙏
@geraldpallangyo77264 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana ujumbe kwa nyimbo
@marrymalackikongo69684 жыл бұрын
nyimbo nzr zipo ki Biblie ,wimbo umetulia unabariki sana yaan nyimbo zako huwa ziko really kbs Mungu akutie nguvu ,kuna nyimbo zinatolewa karne hiii😭😭😭
@bintundurosy70104 жыл бұрын
Ubarikiwe sana na jina la bwanayesu lipewe sifa toka congo Kinshasa 🖐🖐🖐🖐🖐👏👏👏👏👏
@lightnessjohn20992 жыл бұрын
Nyimbo nzuri Sana!! 🙏🙏 Asante sana
@jamessabai65302 жыл бұрын
Be blessed with this kzbin.info/www/bejne/pqGzepx9fc2GhZI
@christineagnes568210 ай бұрын
Today my heart is so empty, may God heal me. Thanks for the song, I'll be back to testify 🙏🙏
@victorkiprotich78512 жыл бұрын
always a blessing,,,every song of you I click,,,boom ,,a blessing,it touches,,,and impacts!....Hakuna Kama Mungu,Mungu Tenda jambo katika maisha yangu, Utambuliwe
@merveilleajabu4 жыл бұрын
Aisee nabarikiwa hakuna kama MUNGU Wetu. Atendaye muijiza maishani mwetu mpaka watu asitutambue !!!
@user-cy9nz7vp1y7 ай бұрын
Hongera mtumishi wamungu nabarikiwa sana nanyimbo zako mungu azdi kukuta Uzma uzidi kutupa nyimbo nzur ubarikiwe sana
@stevenjoroge5062 жыл бұрын
Just watched the song in a matatu today morning and I have playing this song the whole day. Such a blessing.
@Eric-rg2pb Жыл бұрын
Am always blessed by your songs they give glory to God 😭😭
@scolakayanda71714 жыл бұрын
Hakika hukuna Kama wewe
@reyaabel6623 Жыл бұрын
Hallelujah kwa jina la yesu simama uende nyimbo ina uwepo wa mungu
@RobbytheTrainer3 жыл бұрын
Baba unanibariki sana Mungu azidi kukuinua
@mwangithayumusic4152 ай бұрын
I love this song❤from kenyan
@elibarikielikana18244 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@victorkiprotich78514 ай бұрын
2024- Who is here!?
@NadineNiyonzima-e7k6 күн бұрын
Mungakubarik san.papa unanifurahisha san nanyimbo zak
@revelationchuch014 ай бұрын
Ni ukweli wanadamu watakutambua wakati mungu amekuinua juu
@rosepeter37224 жыл бұрын
Wimbo maombi kwangu napokea kwa jina LA Yesu
@dennismasaki96673 жыл бұрын
Spiritual message indeed..... Nobody like Jesus... Jesus'name is so powerful brethrens... Jesus will do great if you believe