Christopher Mwahangila #255716620000 +255756068844 #Subscribe Produced By Ayubu & Ada X Magic Star Directed By Elijah D ED Media
Пікірлер: 435
@AhazyStanley6 ай бұрын
Kama una Amin Mungu ni mungu tu Anaenda kufanya makubwa Zaidi ndani ya huu mwaka 2024❤ like hapa❤
@josephatmaritajosephat5 ай бұрын
Kweli Mungu ni Mungu Tu...huu ni mwaka wangu
@user-fi1ko1tb8c5 ай бұрын
Mungu ni mungu tuu
@hellenvincent18094 ай бұрын
Amen 🙏🏽
@IsaacMwangi-xg9nf4 ай бұрын
@DickensMayembaofficiel-qd9hf4 ай бұрын
/**@@josephatmaritajosephat
@nusramunini96508 ай бұрын
Wakenya tupite hapa kusema Mungu ni Mungu kama December last month ya 2023 hupo japo jangamoto zimekuwa mingi 🇰🇪🇰🇪
@user-gw8fu3hh5s7 ай бұрын
Amen amen mungu ni mungu Tu🙏🙏🙏
@MartinSimotwo4 ай бұрын
Yes ✋ MUNGU NI MUNGU TU KABISA 🎉
@anitarafaКүн бұрын
❤Atabaki kua Mungu tuu
@godfreymatikoo8 ай бұрын
Wanaosema Mungu ni Mungu tu kwa sababu walipo Leo kama asingekuwa yeye yamkini wangekuwa wakulia tu, wakuchekwa tu, wakupatwa na misiba tu, wakushushwa tu wakudharauliwa tu lakini MUNGU AMEJIDHIHIRISHA NA UUNGU WAKE KWELIKWELI, like za kutosha hapaa
@LucyWilliam-qd1ui8 ай бұрын
Mungu ni mungu nimeona ukuu wakeee🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@noraodeny56848 ай бұрын
My favorite ❤️😍❤️
@godfreymatikoo8 ай бұрын
@@LucyWilliam-qd1uiHakika ukuu wake unajitoshelezaa
@godfreymatikoo8 ай бұрын
@@noraodeny5684The holy Spirit test is in this song
@harrietajiambo2298 ай бұрын
GOD ni my favorite
@erycoyulemhunk4543Ай бұрын
🎉wale bado 2024 Mungu atabaki kuwa Mungu kwao mko wapi
@Kisiibe2 ай бұрын
My favorite song ever kama unaamini mungu anaenda kukufanyia jambo kubwa kabla huu mwaka huishe like my comment and comment AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 and see how the miracle will follow u
@NAOMIKIIRU12 күн бұрын
This was my favorite song in 2017 when I was going through hell but God came through for me..I give God all the Glory now in 2024❤❤❤
@jessemach44597 ай бұрын
Huu wimbo tutaimba mpaka mbinguni....tutasifu Mungu live live tukimwambia wewe Mungu weee Mungu .....
@vky45772 ай бұрын
Amen, we must!!
@StephenKyusya-jx4nw15 күн бұрын
Amen
@yudajohn88613 күн бұрын
Wimbo mzuri sana
@IreneMurumba2 күн бұрын
Ukweli mungu ni mungu tuu nikumbuke katika ndoa yangu
@agriculture233 ай бұрын
I remember listening to this song while applying my American visa back in 2019 and it went through 😢😢😢😢right now iam a Kenyan living and working in America...yenyewe mungu ni mungu ti
@monicatarkey9293 ай бұрын
Amen am also on the process and I believe that the same God who Did it to you us the same God who will do it to me. Mungu ni Mungu too❤🙏🤩
@dativadominic70932 ай бұрын
It sounds better if you write MUNGU not mungu because is a bigger God not small
@ambindwilehosea68378 ай бұрын
Nione mmoja anae sema Mungu niyeye yule jana leo na hata milele yaani Mungu ni Mungu tu
@edisonnsengimana982410 күн бұрын
MUNGU Ni MUNGU tu. Whatever they say to HIM ,HE will always remain The only WISE and True GOD , TO HIM BE THE GLORY FOREVER AND EVER AMEN.
@euritarnyaboke80048 ай бұрын
There was a time my mom was at the point of death, I traveling to visit her at the hospital and definitely this song came to my mind. Niliimba kutoka Nairobi adi hospitalini nyumbani kwetu within two days God rescued my mother. Alijulikana Mungu wangu ❤❤❤
@reberoflorahyacinthe74455 ай бұрын
Amen
@josephatkazaura54425 ай бұрын
Amen
@Mathaichickenfarm4 ай бұрын
❤❤
@winesmavia43884 ай бұрын
111 p.o
@melvinokwero65022 ай бұрын
AMEN AMEN THIS ONE ITS SOOOO ENCOURAGING
@jacobthuo46235 ай бұрын
2024 Ee Mungu jibu maombi yangu kama vile ulivyo jibu Elijah kwa moto katika jina la yesu
@ladybarb8 ай бұрын
I listen to this song everyday. Juzi imeniliza sababu ya upendo wa Mungu kwangu nami upendo wangu kwake. Kweli Mungu ni Mungu atabaki kua Mungu. Those who are seeking God may He visit you soon in Jesus Name Amen Amen Amen
@prophetwesleyonline283 күн бұрын
Mungu wako peke yako
@bobbyasiani4466 ай бұрын
Today is 27th January 2024 and we here listening and watching this deep anointed song that cools the heart in this changing, unstable world. Tunasema Mungu ni Mungu Tu. Amen 🙏
@venantmhagama775917 күн бұрын
Mungu nimungu tu milele daima❤
@josephinekatunzi984514 күн бұрын
Amen and Amen.. Mungu anatenda maajabu
@luciamwanjawala215314 күн бұрын
This song just came in my mind and I run straight to KZbin to watch 🙏🙏🙏🇲🇼🇲🇼🇲🇼
@ngunjiridedanheistruellyab919317 күн бұрын
Hakuna kama Mungu
@emmilykemunto73518 ай бұрын
My favorite singer much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we love you 😘
@DoreenMbololo3 ай бұрын
The way to be blessed is to accept Christ in your life as he will lead you to greater heights
@wilsonkinyua93326 күн бұрын
God is great anaenda kufanya makuu
@BroNicholasMusembi8 ай бұрын
Na bado neema ni ile ile baada ya miaka mingi iliyopita tangu kuachilia wimbo huu...... Mungu ni Mungu tu.... Mungu atabaki kuwa Mungu tu❤
@jackmutomboАй бұрын
Seigneur exauce ma prière comme tu as exaucé celle de eli
@cynthiacheserem2593Ай бұрын
My favourite song ,thank you so much for this uplifting message much from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@kevinlyas58268 ай бұрын
My favorite song and musician. The song demonstrates witches and witchcraft are nothing before true prophets and Gods power.
@jescamkamila76637 ай бұрын
I keep believing in God that we are going to finish the year victorious,
@JeanBemba-xs1fr20 күн бұрын
Ata kuwa mungu tu
@msichana_fantastic2 ай бұрын
God for sure is a miracle worker ..and want to give my thanks to him .He has done it for me again ..Never give up on anything ..with God everything is possible
@clinswiftАй бұрын
Mungu ni Mungu tu 🙌
@emillygetuno841120 күн бұрын
Mungu ni mungu tu
@anniendirangu32723 ай бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu milele
@user-jy3fq5kk8k17 күн бұрын
Mungu ni Mungu🙏🙏🙏
@jacobthuo46235 ай бұрын
Kama vile ulivyo jibu maombi ya Elijah kwa moto hata mimi jibu maombi yangu kwa moto in Jesus mighty Name Amen
@MaryOngeta-mc4fi3 ай бұрын
Atajibu Mungu wetu Ni Mwaminifu
@joykendi56666 ай бұрын
The love that I have for this song it's God only who knows.much love from Kenya ❤
@anneliahkerubo6649Ай бұрын
Mungu ni Mungu tuu!🙏🙏🙏Iam a living testimony..such an inspiration song Chris be blessed 🙏
@MargueriteKanzi3 ай бұрын
Miye n'a penda iyi myimbo ya mungu 2023
@JacquelineNYIRABARAME19 күн бұрын
Amen mungu nimungutu
@korirpeter36110 күн бұрын
It is till a hit
@epmzmusifiwar66948 ай бұрын
BARIKIWA MTU WAMUNGU ALIYE HAI JUU ZAIDI MBINGUNI Ubarikiwe Baba Nasi Tupo Nyuma Tunakuja Pole Pole Baba🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@JacklineWasyamwanzia-ip9md8 ай бұрын
This song made me shed tears when I remember my redio representer called muzungu was dead just few days , the guy used to love the song
@EliwazaSadani2 ай бұрын
Aleluyamungunimungu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏munguatusaidie
@GezaniValoyi13 күн бұрын
Let God be glorified through you Man of God.We pray that your ministry be sustained.Bros.Valoyi from South Africa
@HappyRebecca-yx2tr2 ай бұрын
Praying that God restores my strength and health to me,I pray that he helps me fight and protect me against my enemies.I hope that God is gonna bless me and help me move abroad in Jesus Christ's holy name,I know when he starts something he finishes it and I know for sure that God is going to intervene and show his power because he's a capable and loving God.
@MarionOkechi2 ай бұрын
God 🙏 is great always,,,, we thank Him because of His love and mercies
@FloraRobert-tv1inАй бұрын
Wanyakyusa oyeeee
@EliwazaSadani2 ай бұрын
Mungu yukonami❤❤🙏🙏🙏
@WinnieKananu-ex3ppАй бұрын
God do something to my life
@thee_mahinda7 ай бұрын
This song blesses me so much,every time I listen to it I cry 😭 Our God is so faithful, He doesn't forsake his people.He proved Himself to the Israelites ❤God let all living things give you praise.thank you for this song ❤
@lydienechi1110Ай бұрын
Gloire au Seigneur !
@wangagirl35088 ай бұрын
Hallelujah 🧎🏼♀️🧎🏼♀️huu wimbo naupenda sana ❤❤❤❤
@MukansangaAngelique-sc3nw5 күн бұрын
In Rwanda we love you
@priscanjeri76672 ай бұрын
2024 on it sana❤
@14keys_collins25 күн бұрын
Mungu ni Mungu tu🙏🙏
@evangelistwillyprince8747Ай бұрын
Mungu ni Mungu tu❤
@KonmanConnyClassics13 күн бұрын
God Did it Again🎉❤
@GezaniValoyi13 күн бұрын
God bless u man of God.May you prosper milele from Sa
@farajangandu91117 ай бұрын
Nyimbo zako ziende Duniani kote watu wamjue Yesu wetu❤
@millicentaswata39077 ай бұрын
I can't get enough of this song. Mungu Mkuu Mwenyezi, moto ulao, apewe sifa, heshima na utukufu wote!
@geraldmbugua51154 ай бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu milele na milele daima.
@MartharMoranga-wp1lx8 ай бұрын
Mungu ni Mungu tu Na atabaki kuwa Mungu tu
@gkgeneraldealers12008 ай бұрын
Wow ,I love this song with all my heart , sending love from Zambia ,we appreciate the song
@henrykiprotich48084 ай бұрын
Mungu ni mungu ❤❤🙏🙏
@estherwanyonyi29936 ай бұрын
Mungu ni mungu tu atabaki kua mungu tu🙏
@winnelemaАй бұрын
Mungu ni mungu na nina hakika atanishimdia katika mapito yote ninayoyapitia
@davidmoris77878 ай бұрын
Clean works of cross.JESUS He reigns forever.
@harrietajiambo2298 ай бұрын
Mungu ni Mungu na hawezi badilishwa na chochote jamani tumpende
@issajuma69943 ай бұрын
God will never change
@rexmajoong5145Ай бұрын
💙 🇰🇪 2024
@FrancisKNgigi7 ай бұрын
💕🇰🇪🇰🇪 MUNGU NI MUNGU TU LYRICS (Nabii Elijah, aliwaita manabii wote,wa Mungu baali) x2 Lengo la elija,ilikuwa ni kumthibitisha Mungu wa kweli ni yupi, kati ya Mungu wa baali, na Mungu wa mbinguni. (Elijah, Elijah) Akawambia watu nikaribieni mimi, akachukua mawe kumi na mbili akaanza kujenga madhabau, Akaweka kuni juu yake, akaweka sadaka juu yake, Akachimba mfereji ,akawambia watu mwageni maji mapipa manne, wakamwaga maji mara ya kwanza ,wakamwaga maji mara ya pili,wakamwaga maji mara ya tatu. Elijah, akaanza kumuita Mungu,Mungu wa mbinguni. (Weeh Mungu, weeh Mungu, Mungu wa mbinguni naijulikane kuwa upo) X2 Moto ukashuka ,ukaramba ile sadaka, ukaramba zile kuni ,ukaramba na yale mawe, ukaramba na yale mavuno ,ukaramba na yale maji , Watu wakasujudu,wakasema huyu ndiye Mungu,anayepaswa kuabudiwa , Ndiye Mungu ninaye mwimbia Mungu wa Elijah. (Ooh, ooh, ooh) (Ooh Mungu) Mungu ni Mungu tu, (Ooh Mungu baba) atabaki kuwa Mungu tu (Huyu Mungu wa mbinguni jamani) Mungu ni Mungu tu (Huyu Mungu wa elijah), atabaki kuwa Mungu tu (Maishani mwako mama yangu wewe) Mungu ni Mungu tu (Mahali pote unapotembea baba yangu) atabaki kuwa mungu tu (Ata wainuke wamseme vibaya) Mungu ni Mungu tu (Ata wamkatae mbele yako) atabaki kuwa Mungu tu. Na wewe ndugu yangu,unayenisikia, unaye nitazama, (Unaona nini mbele yako?)x2 pengine unaona majaribu na ujui utafanya nini, we mkaribie Mungu tu, Pengine unaona magonjwa, haujui utapona lini we mkaribie Mungu tu. Pengine unaona vita kubwa,haujui utashinda vipi, we mkaribie Mungu tu. Pengine unaona watesi ,haujui utapita vipi, we mkaribie Mungu tu. Pengine ni jaribu katika ndoa yako,haujui utashinda vipi,we mkaribie Mungu tu. (Hakuna linaloshidikana kwake Mungu, Hakuna linaloshidikana kwake)x2 Aliyemshindia elijah ,Katikati manabii wa baali atakushindia na wewe. (Ooh Mungu) Mungu ni Mungu tu, (Ooh Mungu baba) atabaki kuwa Mungu tu (Huyu Mungu wa mbinguni jamani) Mungu ni Mungu tu (Huyu Mungu wa elijah), atabaki kuwa Mungu tu (Maishani mwako mama yangu wewe) Mungu ni Mungu tu (Mahali pote unapotembea baba yangu) atabaki kuwa mungu tu (Ata wainuke wamseme vibaya) Mungu ni Mungu tu (Ata wamkatae mbele yako) atabaki kuwa Mungu tu. Wanadamu wamekusemea maneno, kwamba hautaweza, katika jaribu lako, wanadamu wamekusemea maneno,kwamba hautashinda katika vita yako, kumbe njia za Mungu, sio sawa na za mwanadamu, njia za mungu sio sawa na za mwanadamu, mipango ya Mungu ,sio sawa na ya mwanadamu, akili ya Mungu, sio sawa na ya mwanadamu, Maneno ya Mungu, sio sawa na ya mwanadamu, Mawazo ya Mungu, sio sawa na ya mwanadamu, Kazi ya Mungu, sio sawa na ya mwanadamu, Sauti ya Mungu ,sio sawa na ya mwanadamu Aliye mshindia elijah , katikati ya manabii wa baali atakushindia na wewe. (Ooh Mungu) Mungu ni Mungu tu, (Ooh Mungu baba) atabaki kuwa Mungu tu (Huyu Mungu wa mbinguni jamani) Mungu ni Mungu tu (Huyu Mungu wa elijah), atabaki kuwa Mungu tu (Maishani mwako mama yangu wewe) Mungu ni Mungu tu (Mahali pote unapotembea baba yangu) atabaki kuwa mungu tu (Ata wainuke wamseme vibaya) Mungu ni Mungu tu (Ata wamkatae mbele yako) atabaki kuwa Mungu tu.
@Josephcutz017 ай бұрын
Amen Mungu ni Mungu🙏 baba fungua milango yote iliyo fungwa na Aduwi. Kwa jina la Yesu kristo
@nshimiyimanajeando81013 ай бұрын
Mungu ni mungu
@MartharMoranga-wp1lx5 ай бұрын
Asante Mungu wangu❤❤❤❤
@samuelmomposhi28368 ай бұрын
This song has been blessing of my life 😢 that the Lord is so powerful can move and fix mountains... Be blessed man of God 🙏
@jamesnteleva70738 ай бұрын
Be blessed man of Jahweh!🙏🏾 And, glory be to our Mighty God.👏🏾👏🏾👏🏾Love from Morogoro, TZ.🇹🇿💪🏾
@bppl275712 күн бұрын
Truly he is.
@user-in1wv1nu9n7 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we Kenyans love good music
@bibicheumbu10168 ай бұрын
Aleluaaaaaa. Ameeeeeeneeee.
@SichivulaGevasi2 ай бұрын
Munguakubaliki
@user-hz5lv8ys2j5 ай бұрын
Mungu ni Mungu tu Amen
@abbyimbukwa38358 ай бұрын
2020 nlikua napitia nyakati ngumu sanaa.. wimbo huu uliniinua kiwango hata nashindwa kuelezea.... mungu n mungu
@mwastheminster8 ай бұрын
Hiii nyimbo haitatoka moyoni mwangu milele❤❤❤❤🥺🥺🥺
@janemuthoni80676 ай бұрын
Mungu ni Mungu 2024 na ata milele Amina🙏🙏
@luischoma-ww7db7 ай бұрын
2024 Nakushukuru Mungu kutuvusha salama tulinde Tanzania tuepushe na majanga ❤nchi yangu.
@TresorTure4 ай бұрын
Kwelikweli ndiye mungu tu na jina lake lente tu ndiye yesu christo hana baba akadji Fanya peke yake tu mweyewe kwa uwezo wake kuzaliwa kwa Maria dju yakutukombowa sisi ha tu ku stahili kuwa wa christo kama mataifa amina ndiye mungu !
@abdiabubicha4651Ай бұрын
Mungu Ni Mungu hainuliwee kila ucheo,
@Sauti8073 ай бұрын
Sitachoka kusikia wimbo huu maishaini nilifika kwa kiwango kile nabi Eliya alifikapo nikasema mambo Yale asente mungu kunif
@patriciasagwa68Ай бұрын
Mungu ni Mungu tu.. He never change.. halleluya!
@RichardKagoma-pv1hu3 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@DorcasNerima8 ай бұрын
Huyu Mungu wa mbinguni jamani❤❤❤❤❤❤❤❤much love from Kenya
@francisphilipo57497 ай бұрын
Everyday and ene time God is god
@Elizabethlenareu7 ай бұрын
True God nothing is possible with God, LUKE 1:37 only BELIEVE
@gracesuguta2 ай бұрын
Hakika Mungu ni Mungu tu, Ameen
@victoriaochwal95238 ай бұрын
WWWWWWWWWWWWWWWWWWWOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOHHHHH My favourite Song of all time!
@Sweetmama2547 ай бұрын
I thank God 🙏 for this far utabaki kuwa Mungu tu Amen 🙏🙏🙏
@MichelineUmirambe3 ай бұрын
Naipenda saaaana ile mwimbo
@maureenadhiambo12648 ай бұрын
Hallelujah My favourite song
@user-wm9yb7dm2g5 ай бұрын
Amen,all is well with God🙏🙏Mungu ni Mungu Tu kweli❤
@mwagombagovi-xj4pi4 ай бұрын
Mungu ni mungu tu hadi sasa hivi 2024
@user-fz1hd2ns7s3 ай бұрын
Mungu ni mungu hakika bila huyu mungu hatungekuwa vile tulivyo my brothers and sisters.
@edouardniyigena2782 ай бұрын
MIMI NIKO RWANDA NAPENDA SANA NYIMBO HI LAKINI SIWEZI KUSIKIA KILA KITU