Wacha ushamba wewe mbona unaishi kishamba like uzipeleke wapi
@muhammedkhamis25668 ай бұрын
Nataka nimpelekee clam vevo mm shabiki yake namba moja❤
@PiliNgolanga8 ай бұрын
Clam sijapenda🏃we pambana wifi yetu tutampata....mzuuuri tu umeandaliwa na Mungu
@aishaomar22878 ай бұрын
Clam relax mkeo mwema yupo mahali Mola kakuekea in shaa Allah 🙏 🙏 🙏
@RajabNgare8 ай бұрын
Mwanangu clam achana na Zuchu unapigania nini pale ako na macho Kama kinembe chake si wakijuwa poa wechekelea acha zombi apige deki Mko wako 😂😂😂
@SharonChepngeno-d7e8 ай бұрын
Clam vevo you still have time relax God know more about your life,,,, MUNGU amekuwekea mke anayekukufaaa mahali pambana na Kasi yako❤❤❤ love from Kenya ❤❤
@maryamhaji-mx8dm8 ай бұрын
moyo ukipenda umependa mungu akipenda utampataa.🖒
@Mtazyinstrumental8 ай бұрын
Clam kubali maisha yanapita tafuta watoto acha kulilia mademu
@sarahnjeri-tz8eu6 ай бұрын
Kama mtu anakupenda kiukweli hawezi kuwacha kwa jambo lolote,pesa sio kila kitu huwezi nunua mpenzi,may God send u a woman who truly deserves u Clamvevo much love from Kenya ❤❤❤
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM8 ай бұрын
Clam Kiana mpambanaji ,nakupenda sana from Burundi ,tunakufatilia sana
@OmanAl-s9l8 ай бұрын
Kaka uyo kwa sasa sio wako waachie wenye ela jitaidin kupambana na maisha kazi zako nzuri utapata umpendae
@MohammedAli-yc2ek8 ай бұрын
Achana na zuchu kaka pesa yako ndogo mtoto ashajua kutumia na ww bado mtafutaji utapauka bureee endelea na maisha yako
@mohammadoman89638 ай бұрын
Yy zuchu anamhusu nini ataka kiki tu
@mudysaid66028 ай бұрын
😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣%100 100
@ZaiduMtame4 ай бұрын
Unamchukuliaje clam bro oya money kama alive anakulisha ww na familia yako ahaha usiongee ktu kuhusu uyo dog
@MariamMbaruk-rk3vj8 ай бұрын
Clam sikiliza brother, zuhura alikiwa ameletwa kwako kukufungulia maisha yako 2 pengine mungu hakupanga uishi nae
@OmaryMashimango-jd5jd8 ай бұрын
Hahahahahaha..!
@lyidiajuakaly33358 ай бұрын
Mavi ya zamani hayanuki songa mbele
@ManyiboyKambale8 ай бұрын
iyo kweli
@SalmaMakilika7 ай бұрын
Swadaktaa
@kiondo_comedy8 ай бұрын
Tunataka picha kukiwa nayeye
@jovialjuma70188 ай бұрын
😂😂balaa
@fideliswambua33468 ай бұрын
I like the way u answer the questions Clam
@ebengapierre88268 ай бұрын
ivi WEwe unawaza zuchu kuna pesa apo ya kumleta zuchu kwenye mikono Yako uho ni ujinga kwanguvu unayo wewe unaweza kosa dike apo Tanzania mbona wewe unajina kubwa Fanya kitu ambacho kila mtu atakuelewa akupendi uyo 😭😭😭😭 nakupa pôle sn kwajina kako unafanya vitu vyakijinga tafuta mwamuke ambaye zuchu atashituka lakini wewe bado unashindana ju yamwanamuke
@RehemaOmari-yi1io2 ай бұрын
Njoo kenya Clam ❤
@KibanMbanga7 ай бұрын
Upo kabisa kaka, usibanduke kwa uamuzi wako , hata asipomuacha we mnaendana sana kaka, tena unajibu maswali kwa uadilifu sana
@mwanamisimwapula83928 ай бұрын
Mapenzi yanaumiza pole broo
@aleyidukury83338 ай бұрын
Achana nae pumbavu atakuja kukufilisi tu endelea na maisha yako usipoteze muda kwa mpumbavu
@elizabethchabluma-zw5qz8 ай бұрын
Mpumbavu wewe mwacheni b zuu
@aleyidukury83338 ай бұрын
Hahahaha duuuh hataree
@aminaomary55678 ай бұрын
Claim ameumia.kama Makabila.Poleni sana.Nassibu Mke wake ni Tanasha na Zari wanawake hao 2 ndio wanawake bora kwake sio zuchu jaman.
@annechichi85748 ай бұрын
Diamond ako Uhuru kuoa mtu yeyote yule
@germainfola2758 ай бұрын
Ndugu yangu clam vevo pambana na maisha achana namambo ya stress uata shuka kiwango cha uigizaji kk
@BryanKilavo8 ай бұрын
Chukua mtt yule mondi ana wengi.... ......appreciate brother 🤐🤨🎧🎧🎧🔥🔥🔥🤑
@gogoloveofficial56668 ай бұрын
Clam pambana na maisha ma binti ni mengi utapata wa kwako.love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
@KwizerJackson-is7fh8 ай бұрын
Nikweri mwezangu Mimi napenda watuwanasema kweri mimi piya ni wa Burundi rakini niko Zambia
@gogoloveofficial56668 ай бұрын
Hapo Sawa my brother.ama tujipendanie ega na mimi Niko star in Burundi🤦.tena nacheza filamu kama yeye
@KwizerJackson-is7fh8 ай бұрын
Hapo sawa nakaribia kurudi kuona wajajiwangu vip ukowapi
@KwizerJackson-is7fh8 ай бұрын
Kumbe urinimano ukinaneja naje sami me love you somuch musohohe imba ndayibonye kubera atamugore fise movie mukina nizo mugorewaje
@komlaakomlaa74658 ай бұрын
@@gogoloveofficial5666 gogo reka kuntwenza🤣🤣🤣
@alimwadima2548 ай бұрын
Kavuu sana...Huyo hakuwa anakupenda Ulipokuwa kapuku sasa utawezaje Kumshobokea sai Mambo yako kwenye mstari...Uboya huo Tafuta Changa changa Isiyokuwa Maarufu utulize Boli wewe namna gani vp!!!
@zazalareine2578 ай бұрын
Kisicho kuwa ridhi hakiliki😢 unaye mpenda hakupendi wanawo kupenda huwapendi😢 na imana kuna wenye wanakupenda clam wang🎉❤
@BizeddOfficial7 ай бұрын
haaa ka nyiimbo yangutu
@channyanjen90478 ай бұрын
Pambana kipenzi cangu iko siku utapata inshaalah
@Alibabason8 ай бұрын
CLAM VEVO really you inspire me to hustle and not going back again. May God bless you ❤❤❤
@Oman77c7 ай бұрын
Nakupnda Sana clam mungu akueke nafatilia Sana kazi yko
@sayhaanqudqud57998 ай бұрын
Ukimpata mwanamke wa hali ya chini mnyenyekevu mwenye bidii na upendo atakufaa. Zuchu angekupenda angekua naye hata kwa success yake. Kisha mwanamke mzuri ni mwenye dini na msimamo. Unajipa maisha ya kukukimbiza moyo mbio bure
@soundmale8 ай бұрын
Shenzi sijapenda unajieleza kama umefiwa😂😂
@djafro18 ай бұрын
Niko huku leo nampenda Clam vevo pia mimi nifikisheni 1000 subscribers
@VeronicaMayemba-q7y8 ай бұрын
Napenda sana kazi zako ,unajua sana nakuona mbali sana baada ya miaka 2, unakipaj sana❤❤❤
@nyunyaboy95238 ай бұрын
Uyu jmaa jau anaongea Kam kafiwa alaf mtngazj akiongea anacheka alaf et yye pia anaela nyng san😂😂😂😂.. bro kwa anaekujua upo apo tbata segrea😂😂😂😂
@BosangoferuziPierre-x6h8 ай бұрын
Nakubali sana kazi zako utafika mbali kisha mwika
@HamisiNyalinga7 ай бұрын
Clam Nimimi Hamisi Nyalinga usiwe nawas was zuchu niwako kwasasa ngoja uchukuejina kimataifa awe Zaid ya Tiwa saverji
@HamisiNyalinga7 ай бұрын
Njon mcoment jaman
@marytemba-c7y8 ай бұрын
Kaka clam nikushauli kitu kama mdogo wako watu huwa tunatafuta wanawake WA shida na raha SASA huyo zuchu ye hata akikubali kwasasa kwanini zamani asinge kuvumilia nakuomba achana nae jalibu kuuzuia moyo Wewe ni mwanaume tafuta make WA maisha
@ZachariaNgesse-el1ge8 ай бұрын
Hii nayo ni aina ya ushamba mjini yaani simba kishapita hapo unazani wewe kwa kibamia chako na vikaratasi vyako, na trend yako ya muvi za nyoka na vichekesho vyako dogo acha ushamba mdogo wangu, uyo saivi cio lever zako
@NasibMrisho8 ай бұрын
Daaaaah 😢😅😅😂😊
@RizhoWakingumba8 ай бұрын
Clam achana na ayo bwana yasije yakakuaribia maisha
@Kipngetich-KE2 ай бұрын
God's time is the best Mr Clam so watch and pray
@IddyNgessa-oz3xy8 ай бұрын
Wewe zuhura atakusumbua mzee,,,, piah clam vevo ww sio wakulialia,, focus kazi zako broo 🙏 mapenzi yapo kk na pia yanamudaa, acha dogo simba ale makombo .... Finish
@khamismgunya45198 ай бұрын
Umekuwa mjinga mbona kama mtu hakutaki nn shida
@hafsahmassemoh35988 ай бұрын
ZUCHU ANAPENDA WATU WA MALIPS MAKUBWA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂BC AYA
@raymondkimbe54168 ай бұрын
Hahahaha clamo naye ana lips denda
@marokeyLFM8 ай бұрын
Clam hii ni kweli kuusu mausiano wewe na Zuchu?😂
@markmushi89408 ай бұрын
Yes anasema yee ndiyo alimtoa bikira
@Zuu6738 ай бұрын
Jamani kwani lazima?ndio unajiingiza km mtu umeachana nae yann umzungumzie?ushamba kweli😂
@everlyneiminza57228 ай бұрын
Ata nyie ndio mwaendana na zuchu, diamond walikua hawaendani kabisa, mmi naomba tu akubali ombi lako mrudiane😂😂
@yusternyirenda72318 ай бұрын
Zuchu na diamond hawaendani wapi? zuchu ni mwanamke wa kawaida sana sio beautiful kiivyo na diamond ni mwanaume wa kawaida sana sio handsome kiivyo, zuchu mswahili diamond mswahili, kipaji,nyota,akili,uchapakazi,body,umri,urefu kila kitu wanafanana acha unafiki
@prettymasha24308 ай бұрын
@@yusternyirenda7231mwambie uyo
@Officialabshry8 ай бұрын
Kuna ukweli nimeuona na ndicho kilichoniachanisha na mtu niliempenda "kuombwa pesa ambayo hauna" 😢😢😢
@kimah98558 ай бұрын
Maskini ndo alimpenda bi Zuhura😅😅😅Naona bado ni his first love😢Lakini bro Zuuh na Nasibu wanapendana na sisi tunapenda 😂😂😂😂Hii couple 😅Pole kaka anguuuu
@SuleymanMagili8 ай бұрын
Kk love is better than money bas kma mwnamke ulitofautiana nae ksa pesa bas huyo niana true love bas huyo n atkusumbua Sana maisahan ila akae akjua tu ktkt maisha nkunakpnda nakuxhuka .kikubw bloo mim hpo naomba nkushaul kma mwanaume mwzangu kuw tafuta bnti mwingne ambaye ni atkuw nmzul zaid ya zuchu mbna walembo nwpo weng tu hpa dunian.kk najua niunaumia Sana mapenz hakka nyanaumiza Sana ilajtahd kuulazmisha Moyo wko kutokumwihtaj tena huyo zuchu hatimaye utazoea tu maana itafka htua n atakuhalbu ksaikolojia KABISa
GOOD AFTERNOON MY BROTHER! Dependently I advise you As a brother from the same belly, but it would be good if you stayed away with this zuchu, I know you have money brother and I like the stories you tell! So I ask you to stay in your corner and look for your physical money!!!! Brother woman kills, please stay away from this lady... only from Mozambique.... But when I heard this news I realized I love you once and for all my brother cleam Vevo
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Pole claim zuhura atarudi tu daimond sio muowaji naamini mwaka huu kama daimond hakufanya maamuzi kuhusu zuchu naamini zuchu atarudi kwako ila akirudi hatarudi kimapenziatafata ndowa
@tynahchitamu86758 ай бұрын
Nimekuelewa sana na najua unamaanisha aisee una upendo sana na ndio maana unatafuta sana pesa😢
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Claim vevo nakuelewa sana na naamini ipo siku zzuhura atakuja kwako
@jumajumaa25448 ай бұрын
Dogo CLAM Kakojoe Ulale huyo Demu Sio Saizi Yako Tena SHUKURU MUNGU Kama Uliwahi kumvua ........
@oyay28218 ай бұрын
Itakua huyu Mwamba alikua anammendea Zuchu
@NinahFyson7 ай бұрын
Mimi navyo muona zuchu na clam vevo awawez kukaa tena kwenye mpenz.Nakuamba CLAM acha kumufatilia uyo binti na uangalia mkee watayipi yako 👍🥰
Dada Mbengo hujambo, from DRC🇨🇩 tunataka Vevo atuburudishe kwa vichekesho(comedy) maana uku nikama amelala, basi naamini langu hili litafika🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@AishaNaim-r7h8 ай бұрын
Sijapenda naenda nyumbani kula chapat na marage
@KwizerJackson-is7fh8 ай бұрын
Cram me love you rakini zuchu achananaye hakufai
@BarbaraPatience-qt9cc8 ай бұрын
Fala
@KwizerJackson-is7fh8 ай бұрын
Kudadeki ubwa mnfiki mkundu kenge mchawi
@MustaqimMuhsin8 ай бұрын
Acha usenge ww
@KwizerJackson-is7fh8 ай бұрын
Siongei na ubwa naongea na mwenye ubwa
@MustaqimMuhsin8 ай бұрын
@@KwizerJackson-is7fh mbwa ni baba yako na mama yako fala ww
Clam utapata mwema na alie na kheri na wewe tatizo la watoto nyie usanii wenu upo mpaka ktk mapenzi
@ummialey63914 ай бұрын
Hhhhh halafu nilikuwa.nasikia.watu eti dimond kala usichana wa. Zuhura labda dimond kazid kumuengezea uwazi zuu ila. Ww. Mnaendana hasa Kizanzibar halua tende ila. Life is gone Kila mtu anatafuta saiv. Tafuta mtu km ni shida njoo Zanzibar utapata haluwa.
@Lunesavage-vu8yv8 ай бұрын
😂😂😂 cram basi akachanganyikiwa eti pesa zinamsumbuwa saa izi anataka zuchu cram nizani iyo ni system nyingine ya comedy!?lakin naona umekonda inaweza ikawa siyo comedy lak8ni pol cram kwl icokitu cha ku deti na zuchu sahau haitakuwa kwl
@georgesangana81478 ай бұрын
Hichi kitoto me fan wake lakini sikuizi kina'act weired na i can see gradually anawezaanguka hebu wanaomshauri wawe wenye akili wanamuharibu, make that shit private we gonna hate u instead thats not ur life style for money
Clam vevo wanawake wapo wengi wazuri zuchu hana uzuri wowote mwaile kundi lako wanawake wazuri wapo zuchu ulimuona emo Nini zuchu mwenyewe anasura kama matope shepu kama ilipigwa napasi
@Agnesisaid8 ай бұрын
Mm wasanii wananuizi kitu kimoja tu kushea shea wanawake ..kwan wanawake wameisha jmn ..mbona bado wapo ..
@chunaabdullah13338 ай бұрын
Kwa iyo Clam bado unalilia hii Malaya inayovaa uchi, mbona uko na wasichana wazuri tu kwenye kazi zako 😢😢na hata tz wako wazuri na waeshima zao tu..
@JamaliAmour-jp9dd8 ай бұрын
Huyu kijana ni mwehu
@HadijaHussein-rt3gm3 ай бұрын
Oyaaaaaaa bro usilazimexhe mapenz tafuta mwingine akupendaye
@PrinceBonnyTz88 ай бұрын
WASANII wote wa WASAFI Hua hawana mda wa kumjibu mtu mjinga mjinga kama huyu labda akawalipe milioni 600 ndio Zuchu amjibu😅😅
@sirishabani-uh6sg8 ай бұрын
😂😂😂😂
@JacquilineNoah8 ай бұрын
Ila nacheka😂😂
@MwamvitaKizua8 ай бұрын
Anataka kutrend Siku zote mlizoachana wewe kaka Fanya yako achana na hizo mambo zuchu mwanamke wako wakwanza kwani
@Enerygozbet8 ай бұрын
Uwe nimependa kwa upendo wako kwa zuchu kutambua alikutoa wap mfano wa kuigwa
@AdorableHalisi8 ай бұрын
kijana wa hovyoo😂😂
@KevinOmwega-f1y19 күн бұрын
Apo Sasa
@estaphone8 ай бұрын
Clam achana naye alipenda Mzee ambaye ni Diamond tafuta mpenzi anayokufaa
@giveninyagawa27848 ай бұрын
clam🙄🙄
@happyvijora62448 ай бұрын
clam bana tulia subiri mpaka azalishwe na mond atachwa na hapo ndo atakuwa zuhura maana atapotea kabsa
@mwanahijamaliti83358 ай бұрын
😂😂 clam sio mjinga mpaka aongee ivyo kuna kitu anataka
@FranciscaChari6 ай бұрын
Relax kaka mola atakupa wako mzuri sana ww mwenyewe handsome bana
@eunicesemanuel78958 ай бұрын
Kwan zuchu no Nani jaman na pesa mbn za kawaida tuu zuchu zuchu heeee