MUNGU wangu kumbe katoto Ila napenda komedi zako nacheka sana,,, nikuombe tu kwenye maisha halisi usiwe muhuni vile kutembea na kila mwanamke usije ukapata ukimwi
@samirahmawby3331 Жыл бұрын
am proud of you Clam,,,hujawahi kutongozwa Mimi Leo nakutongoza hadharani🥰🥰nakupenda mkakaaaa njoo ule Raha mtaa huu
@user-kv7cs9qm8r8 ай бұрын
Penda pepo yko haya ni ya dunia
@habbibtymonah6912 Жыл бұрын
Hapo kwa wema yani ninavyompenda huyo dada wema acha tuu ❤❤❤
@wambuievelynwaithira Жыл бұрын
Clam nakubali sana kazi nzuri hongera sana kana 🙏. 🇰🇪 🇰🇪
@user-id1me9ve1o Жыл бұрын
Kijana muelevu sana Mungu akupiganie kazi nzuri ❤️❤️
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
sana❤❤❤❤🤝🤝🤝🙏🏿🙏🏿
@aishalovesidibeaisha9156 Жыл бұрын
Islam nakupenda sana ukiwa kwa comedy zako zinanifuraishaka sana🥰🇦🇪🇧🇮🇧🇮
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
👍✌️
@safari5774 Жыл бұрын
Naongea na uyu naongea wewe 😂😂😂😂😂
@DamarisMchali Жыл бұрын
Eee mdogo wangu bola jenifa
@elizabethikai1565 Жыл бұрын
🥰🥰 nakupenda buree clam am watching from Kenya 🇰🇪 much love ❤
@jacobsayialel3259 Жыл бұрын
Naenda nyumbani kula chapati na maharagwe
@rehematawalani733 Жыл бұрын
Hongera sana nakutakia kazi njema na mafanikio mema kwenye kazi zako mimi ni shabiki Kati ya mashabiki wengine tunakuombea dua songa mbele usirudi nyuma
@amourworldbeats Жыл бұрын
Namkubal sana Clam Vevo,Anapenda Chapati Na Maharage
@bahatisaid7931 Жыл бұрын
One love clam from Kenya🇰🇪🇰🇪
@user-cx1ne6gf5d5 ай бұрын
❤❤❤❤❤ daaah nimekupenda bureee uko vizuriii 2:09 2:24
@salhamrishoi4943 Жыл бұрын
Miye nakutongoza nakupenda saana ridhiwani💕💕💕💞💅
@castroydaimon3107 Жыл бұрын
Daaah! Wewe dogo unanifurahishaga sana!...Excellent! Keep it up
@puritykalasinga371 Жыл бұрын
Excellent Clam keep it🥰🥰🥰🥰 l love watching your video much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@samsonmutuku1803 Жыл бұрын
I do love your comedy shows keep it up from Kenya
@sharoncherotich352 Жыл бұрын
Clam anapenda chapati na maharage unamwuliza ka Ako na mpenzi 💔😂😂😂😂😂
@user-ww8dn5mt5d9 ай бұрын
Nataka kwenda nyumbani 😂😂
@rehematawalani733 Жыл бұрын
HAHA nimecheka sana atii nawatongoza akntukana. Haha kwanini jamani munamtukana nae ni binaadam km wengine
@tumajunior6080 Жыл бұрын
Masha Allah nakupenda kijana wangu ridhwan nakuekea mschana wangu inshaallah
@janniffermary736 Жыл бұрын
Kumbe ni katoto, ndio maana anapenda chapati na maragwe😂😂😂
@suschiambuche10 ай бұрын
Clam I love you 😂😂😂😂
@JBK24010 ай бұрын
Hii comment inachekesha ukiisoma kwa kiingereza😂
@lizspiffy9055 Жыл бұрын
Nakupenda sana clam 😍😍from Kenya
@mwaminashosi5781 Жыл бұрын
Clam hapendi waschana yeye anapenda chapati na maharage 😁😂😁😂
@nasraabdallah850 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zuberhamza7852 Жыл бұрын
Haahahahah
@shaabanmasoud4827 Жыл бұрын
Hahahah Naenda Nyumbani
@kelvinchacha5557 Жыл бұрын
😂😂😂
@rizikieboha6950 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣ndiyo anapendaga
@kingshiv75 Жыл бұрын
Bro let's keep moving, napenda kazi yako pia pia Mimi fun wako
@DarveedyFedrick-ub5je Жыл бұрын
Big up man. Uo ndo uanaume we nimuwazi sana broh. Wala so kama unatafuta Kik we funguka mwamb!!!
@user-le5rs3jj6r6 ай бұрын
🎉umesema una mpenzii mi nadai Uwe mpenzii wangu😂😂😂 anyway napenda komedi zako Sana zanipa furaa wakati Niko na wowote
Mlandiz unanikumbusha mbali sana nilikuwepo maeneo ya ruvu jkt hapo 😂😂
@fatuachembea8019 Жыл бұрын
Clam the comedian nakupenda sana show zako am from kenya wewe wapenda chapati na maalage mm nipishi mama chapati na maalage kutoka kenya
@sharlharl5890 Жыл бұрын
Waaah kweli Zuchu kiboko ya mjini😂kashapendwa na nashnash wake inatosha
@mwanajumanduni3375 Жыл бұрын
Nampenda uyu kjana nikimuona nahisi nimeona mtoto wangu Yan ana fanana sana na mtoto wangu
@mugemainyas5241 Жыл бұрын
Ukute baba mtoto wako alichepuka akamzaa huyu kijana.
@ummuramadhan1842 Жыл бұрын
Nduni mbona kambae hili jina niliwai liskia,,,,sio upande wa ng'ombeni
@mariamnjama3963 Жыл бұрын
Clam at ur age unataman kuwa na mumama sepetu😂😂😂
@macahjullynyte9213 Жыл бұрын
Clam anajiamini kabisaa😂😂
@shabani_Osee_Ngena Жыл бұрын
Nakukubali san mdogo wangu 💪😂😂😂
@zaynabsaleh667911 ай бұрын
Jaman hapana me nimeshindwa kuvumilia nampenda sana clamvevo ❤
@jackyjacob2105 Жыл бұрын
kumbe ww ni katoto hvo ila me nakupenda Jaman 🥰🥰😋🙌
@aminambwana5294 Жыл бұрын
Kumbe clam katoto hata maongezi yake yanadhihirisha maskini, Mungu akufungulie kheri na mafanikio zaidi bro na wakwako hajazaliwa mungu atakupa kiulaini
@dontaffalbellah3680 Жыл бұрын
Wallhi tena
@jamilajamila9682 Жыл бұрын
😂😅🤣🤣😂😂wadogo wanapenda wanawake wakubwa kuliko umri wao
@jaymwinyi6957 Жыл бұрын
Swadakta 😛🥰wenyewe wasema Hawana presha
@yakoboesenga5754 Жыл бұрын
Uyuu zuchu mara Mr pimbi tena clam naye 🤣🤣🤣🤣🤣
@mariamnjama3963 Жыл бұрын
Pimbi n mtu naye kujpaisfa tu 😂😂 ndo maana akanyimwa kimo😂😂
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
Wee mtangazaji wacha kumharibu huyu kijana... msitake kuharibu vijana wa Bongo kwa ujumla kishakwambia hajawahi usitake kumharibiya Zuhura jina lake ha haaa lakini huyu kijana kakupate. We MDADA Kachukuwe certificate ya kuwafanyia watu INTERVIEW. Umefeli....tena
@HalimaChirspin-qo7ch Жыл бұрын
Kaz nzur kaka napend michezo yako unafany vzr san
@Caffe-gx1hr Жыл бұрын
Clam ametulia Sana👍🙏🙌
@josephinewambua862 Жыл бұрын
Napenda movie zao sana mungu akubariki Sana waenda mbali zaidi y hapo walipo
@user-ej2rm4bj7w Жыл бұрын
uko vizuri chaliii angu nmependa kazi yako ety me mwenyewe waga nataman Sana niwe kama ww ila sapoti Sina ety
@MrJMtvcomedian Жыл бұрын
Mimi apa nawapenda sana mungu awape uwezo tunafurahia sana
@johanesygozbert-pk3bh25 күн бұрын
Poa dogo njamja
@zazalareine257 Жыл бұрын
Kumbe upo singlo clam mi nakupend bure unanivutiyag 🤣
@djpassovertz..tunaishimaramoja Жыл бұрын
Mi napenda chapati na maarage😂😂😂😂😂😂Zuchu kumbe alikua demu wetu manina tutabaki kua maarufu tuu hata wakitutangulia..sema nawakuli nyie majamaaa from +254
@user-zb4su1kt4w10 ай бұрын
Hahahahaha clam unachekexha kweli
@mslaysauti Жыл бұрын
I have never had a crush but I really love your partner, tell him the truth, he doesn't know, yes, I don't know, but just let it go, I like him first, his soft voice makes me happy
@juliennenzeyimana3274 Жыл бұрын
Mtoto mudogo wa 21 bado anatamani wa mama zake?eti wema? We Clam pita uku
Huyu dada abadilishe KOFIA sasa hatujui kama za ndaaaan anabadilisha
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
Ahhhh kafeli....hata sijuwi nimuanze wapi 😂😂😂😂
@mrsinia3064 Жыл бұрын
Anatak mumzoee hivo hivo ili msimusahau
@samirahmawby3331 Жыл бұрын
Clam mpenzi Jini uwiiii😀😀😀😀I really like you and your job
@georgebingi1536 Жыл бұрын
Hahahaa
@habbibtymonah6912 Жыл бұрын
Zuchu huyu mwenye kifua na sio tako 🤣🤣🤣🤣🤣
@zuweinaalhabsya8773 Жыл бұрын
Hhhhh ndii huyo huyo 😂😂
@yakoboesenga5754 Жыл бұрын
Uyo uyo 🤣🤣🤣
@jaymwinyi6957 Жыл бұрын
😛😄😄Lahaulaaa
@nasraabdallah850 Жыл бұрын
Hata kifua chenyewe hana.
@yakoboesenga5754 Жыл бұрын
@@nasraabdallah850 fact kabisa tako ana kifua ana sura yenyewe ina sua sua
@maryamanalisi197 Жыл бұрын
Ukweli utabaki palepale tu wema anapendwa sana mimi mwenyewe nampenda mpka basi ❤❤❤
@jaymwinyi6957 Жыл бұрын
Kabisaaa ❤️👌
@maryamanalisi197 Жыл бұрын
@@jaymwinyi6957 mungu alimpa nyota ya kupendwa
@jaymwinyi6957 Жыл бұрын
@@maryamanalisi197 na Bado yuazidi kupendwa
@mslaysauti Жыл бұрын
Clam wewe ndugu wewe penda tu chapati na Maharage 😂😂
@Jonas-qc9bz Жыл бұрын
Una jua uyo klam nichi kweli jamani nilijua Ana igiza kumbe kichaa, Sasa Kama ame mtomba suchu sisi Ina tuhusu nini, Yani uhuu Ni usenge
@mathiasmohamedkidevu2090 Жыл бұрын
Brother napenda sana kaziyako je naweza kujiunga
@FlexboyMulumba Жыл бұрын
Na kukubali Sana bro na mung akulinde
@elizazaina875 Жыл бұрын
Claam mm naku penda Sana njoo kwangu uni owe
@jamessimba749 Жыл бұрын
HUYU DADA MASWALI HAJUI KUHOJI NDO MAANA SOME TIMES KANAJIBIWA VIBAYA
@awatifalghanim1106 Жыл бұрын
Mhhhh watu wanasomeya namna ya kufanyia watu interview..lakini Bongo wanatuletea vichekesho saa nyingine 🤣🤣😂🤣
@zaynabsaleh667911 ай бұрын
Jaman clamvevo nampenda mimi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mahirsin1094 Жыл бұрын
Umezaliw 2000 muongo mbwa wew
@SalumuWembo-fo5rr10 ай бұрын
Chapati ya zuchu na Clam Vevo mbona yote pamoja tuu🤣😂
@dennisvenant7357 Жыл бұрын
Naitaji jimama la mchongo Niko na nyege sana
@MerrySaidi-gu6so Жыл бұрын
Kumbe mdogo ivyo jaman 🥰🥰
@shadyarif653 Жыл бұрын
Aniffer anakufaa bro...na umetongoza wengi😂😂😂
@indiansonglomanticlove8493 Жыл бұрын
Duuu kumbe hili kweli ni gia name🤣🤣
@eunicelorite Жыл бұрын
Kwenda uko 2000 ni 21years ama 23 hujui Mimi ni wa 2000 na nko 23years muwongo
@ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын
CLAM💋 😄😄😁😁🥰💯COMEDY
@asiyaasiya4188 Жыл бұрын
Mimi Niko usijali
@user-wu9zz1bm9h11 ай бұрын
Watanzania baadhi yao sijui nini kwan sivitu vya kawaida tu ktk makuzi? Minapenda kazi zake napenda anavyo jituma.tuzungumzieni habari za kazi mambo ya mahusiano hayatuhusu na hayana mana youote kwetu.
@joycenjuguna2002 Жыл бұрын
Aki ww wachekesha kweli
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Muongo wewe unamsingizia zuchu wa watu pumbavu zako