No video

LIVE: Watoto Waliopoteana na Mama yao Kwa Miaka Zaidi ya 40 na Kukutana

  Рет қаралды 212,729

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

3 жыл бұрын

#CloudsDigital Ipo Mubashara kutoka Studio Za Clouds FM

Пікірлер: 1 200
@judithngulwa743
@judithngulwa743 3 жыл бұрын
ba mdogo anahitaji tuzo kwa kweli ni wachache sana wababa kama hawa kwa kweli Mungu akubariki sana wewe baba
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 жыл бұрын
Jamani naomba number ya mzee taji jamani jomoni hadi rahaaaaa
@consalvakileo8205
@consalvakileo8205 3 жыл бұрын
Ni baba mdogo wachache mungu ambariki
@atuganilekalinjila8385
@atuganilekalinjila8385 3 жыл бұрын
Mzee taji anastaili tuzo kwakweli
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Ай бұрын
Wababa bora wapo wengi
@nadiaally9022
@nadiaally9022 3 жыл бұрын
Mzee taji Mungu akuzidishie daah wewe ni baba bora.
@lawrencetesha5936
@lawrencetesha5936 3 жыл бұрын
Kuna vitu ni vingumu duniani wakuviwezesha ni Mungu pekee. Yani unahakaika miaka yote Mungu anavifanya ndani ya dakika tu🌍🙏Mungu ni Mwema Kila WAKATI.
@anithajosephat7323
@anithajosephat7323 3 жыл бұрын
Kabisaa
@nyamongotvonline72
@nyamongotvonline72 3 жыл бұрын
@@anithajosephat7323 j888jjjhjjhjjjkolmmmm
@nyamongotvonline72
@nyamongotvonline72 3 жыл бұрын
Yeydt
@nyamongotvonline72
@nyamongotvonline72 3 жыл бұрын
@@anithajosephat7323 dudyw
@familylove5417
@familylove5417 3 жыл бұрын
Yaraby niweke mama angu ameen nimelia jmani
@HappynessJose
@HappynessJose 3 жыл бұрын
Taj mungu Akubariki sana nimelia kwa uchungu sana
@dinahshirima6356
@dinahshirima6356 3 жыл бұрын
Inaumiza sana
@nancykabululu1542
@nancykabululu1542 3 жыл бұрын
Nmelia sana kwa kweli wanawake tunapitia mengi,, msione tupo kimya watu tumepitia mengi,,nakushukuru Gea mungu atakulipa kwa yote!!
@hamisaabdul931
@hamisaabdul931 3 жыл бұрын
Kwel kabisa wanawake tunapitia mapito magumu sana
@bahatisunga1642
@bahatisunga1642 3 жыл бұрын
Hakika
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Majambo haya yawe endelevu jamani watu wanapotezana na vipenzi vyao sana !! Mashaallah sana
@aishaomari944
@aishaomari944 3 жыл бұрын
Subhanallah
@habibahabiba7128
@habibahabiba7128 3 жыл бұрын
@Jojo Majare Amen
@nananjige2913
@nananjige2913 3 жыл бұрын
Daaah nmelia sanaa,kweli Mungu ni mwema🙏🏾🙏🏾
@mtumweusy4652
@mtumweusy4652 3 жыл бұрын
Nana hi
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 3 жыл бұрын
Dah!!! Balaaa kweli kweli
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 жыл бұрын
Hakika michozi itakutoka ila Mungu yu mwema🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@sondashukuru3078
@sondashukuru3078 3 жыл бұрын
Sema kweli clouds ni redio ya watu, then Mzee taji ni mfano mzuri wa kuigwa na jamiii
@ashamganga6636
@ashamganga6636 3 жыл бұрын
Wanaume kama mzee jengo sasa wamekufa
@mashalaizer3152
@mashalaizer3152 3 жыл бұрын
Kabisa na Mungu ampe umri mrefu
@euphrasiamsakwa3695
@euphrasiamsakwa3695 3 жыл бұрын
Nimejikuta nalia mungu ni mwema kwakweli
@mariamufungo9619
@mariamufungo9619 3 жыл бұрын
Hongera sana mzee taji,inatakiwa kitungwe kitabu cha historia ya mzee taji kutokana na roho yake nzuri
@mwanakhamiskhamis3115
@mwanakhamiskhamis3115 3 жыл бұрын
Jamaniii inaumaaa sanaa chanzo cha yote wanaume hawaa nimejikuta nalia tu
@saumsiraji9870
@saumsiraji9870 3 жыл бұрын
Alhamdulillah Nimejikuta nalia bamdogo Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema Aamiin Yaa Rabbiy
@queenpiscator6117
@queenpiscator6117 3 жыл бұрын
Na mimi nimelia sana
@eddymsese8747
@eddymsese8747 3 жыл бұрын
Mzee Taji in mzee mwenye busara sana na ccm imempoteza mtu muhimu kiwalani kumbe una story kubwa ya kuzunisha da nimelia jmn
@oyay2821
@oyay2821 2 жыл бұрын
Uislamu wake umechangia
@sarahsarahgilla8491
@sarahsarahgilla8491 3 жыл бұрын
Yaani nalia tu jamanii,mama ana thamani yake,mliojaaliwa wazazi wote wapendeni sana na kuwatunza,Mungu amjaalie maisha marefu sana mzee taji.Mpumzike kwa amani wazazi wangu😭😭😭😭
@adamndilanna1562
@adamndilanna1562 2 жыл бұрын
Pole dada angu swali na uwaombee wazaz wako
@juliusnyangindu3744
@juliusnyangindu3744 2 жыл бұрын
Hongereni familia kukutana lakini historian ya mama pamoja na kuwa haijasemwa haijakaa vizuri Kuna shida mahali
@neemangena5458
@neemangena5458 Жыл бұрын
Namiminalija😢😢😢
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 3 жыл бұрын
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuwakutanisha mama na wanawe❤pili mzee Taji Mungu akulipe unacho stahili una roho nzuri sanaaaaa❤clouds mubarikiwe kwa kazi nzuri mulio ifanya❤❤❤❤❤❤❤
@mariamseifselemani6316
@mariamseifselemani6316 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema saana tunawapongeza clauds media lakini pia Mzee Taji unaroho yako Allah akujaalie Afya njema Na furaha maisha marefu Amin allahummah thummah Amin
@shadmayarakshimil1106
@shadmayarakshimil1106 3 жыл бұрын
Wallah nimejikuta nalia tu😭 namm namuomba Mungu anifanyie wepesi nionane na baba angu. cjui ata yuko wapi Mara ya mwisho kumuona Nina miaka 5.
@diddyalhad3202
@diddyalhad3202 3 жыл бұрын
Yaani kiukwel nimelia yaani nimekosa aman kabisa kwa kwel
@shadmayarakshimil1106
@shadmayarakshimil1106 3 жыл бұрын
@@diddyalhad3202 pole my
@shadmayarakshimil1106
@shadmayarakshimil1106 3 жыл бұрын
@the three bro's that are muslim sijui nianzie wap kumtafuta. Mama kisha tangulia mbele ya haki labda angekuwepo yeye angenipa muongozo vizur.
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 жыл бұрын
@@shadmayarakshimil1106 jaribu hatakwamama wadogo waomba pia nendakwenye Media utasaidiwa
@shadmayarakshimil1106
@shadmayarakshimil1106 3 жыл бұрын
@@fatemaligalawa1918 in shaa Allah mamy tafanya ivyo
@najma3268
@najma3268 3 жыл бұрын
Nimelia sana, baba mdogo Taji mungu akubariki sana , wewe ni baba bora Na ni mfano wa kuigwa kwakweli, Allah akujaalie umri mrefu inshaallah
@ayshaayshaabdulrahman6143
@ayshaayshaabdulrahman6143 3 жыл бұрын
Mzee taji Allah akubariki akuifadhi Leo Duniani na kesho akhera ww unamoyo WA ajabu❤️❤️❤️
@lidyakahwa3613
@lidyakahwa3613 3 жыл бұрын
da Geah na team nzima nzima ya clouds MUNGU awape maisha marefu
@peninabernardo2504
@peninabernardo2504 3 жыл бұрын
Nimejikuta nalia kama mm ndo uyu mwanahamis😭😭😭mung ampe maisha maref sana uyu bamdogo taj
@mariamrashid3252
@mariamrashid3252 3 жыл бұрын
Daah mwanahamisi ameniumiza mnooo😭😭
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Allah anaweza kila kitu . Tusikate tamaa kwenye kudra zake
@rahimaramsey8713
@rahimaramsey8713 3 жыл бұрын
Nimeria jamani kaah mama mtamu natamani ningekuwa mie rkn mama yangu ayupo mungu amempenda zaid
@happyjohn7630
@happyjohn7630 3 жыл бұрын
Huyu mzee hiyo sigda ulionayo kweli nimwanga wa kuiyona mbingu l wish your my daddy maan hat mm sijawah muona mungu akupe baraka ktk uzeee wako
@dinahshirima6356
@dinahshirima6356 3 жыл бұрын
Ameen
@catherinandamgoba9329
@catherinandamgoba9329 3 жыл бұрын
Tusilaumu sana kumbuka Wazazi wa kiume wana Roho Mbaya sana kwakua Mm yamenikuta Yani Mwanaume akiwa na Mwanamke wa nje niatari sana kwa family asa mama na Watoto wake unakimbiwa Bila kujijua Au kujipanga niteni Nije nitoe shuuda nilio Nao Mm Kwakua Siwezi kuandika Apa Machozi Yananitoka sana Mm Mwanamke niliyo yapitia Katika chupuchupu ya kifo mara mbali nikitu nisicho kuja kusahau Maishani Mwangu Tena nimume Wangu wa Ndoa kanisani
@mimahmimah1595
@mimahmimah1595 3 жыл бұрын
Hii story ni yangu kabisaaa lakin mm ni baba ndio namtafta😭😭
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk 2 ай бұрын
nenda clouds km Una details utampata babaako ​@@mimahmimah1595
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 жыл бұрын
Watunzeni mama Zenu wenzetu mulio jaaliwa kua nae nalia 😭😭kwa uchungu ila ni Mipango ya Allah siwezi kulaum sana nilitamani niiyone sura ya mama au japo Kidole tu lakini mungu akupenda 😭😭pumzika kwa Amani mama angu
@listerlujiso774
@listerlujiso774 3 жыл бұрын
Hii story imeniliza sana ila wazazi tusimame imara ktk mahusiano yetu ili tusitese watoto jaman ila bamdogo Mungu akubariki sana.
@winnemassawe8123
@winnemassawe8123 3 жыл бұрын
Geah umetuliza wengiii hii dunia bwana asohili ana lile, mungu tupe uvumilivu wa haya maisha hapa duniani maana, ba mdogo mungu ampe umri azidi kumfaidi mtoto wake huyoo
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 3 жыл бұрын
Huyu baba mdogo nimempenda sana sana allah akujaaliye pepo
@tuojackson351
@tuojackson351 3 жыл бұрын
Mzee Taji Mungu Akutimize mahitaji yako yoote na akutunze Daima kwa moyo wako wa upendo
@victorrevocatus8506
@victorrevocatus8506 3 жыл бұрын
E . .ni mungu tu jamän
@kobajumakuziwa9976
@kobajumakuziwa9976 3 жыл бұрын
gea habib you deserve an annual or century award you have made a great contribution to this community congratulations
@meddytibilikilwa9280
@meddytibilikilwa9280 3 жыл бұрын
Ambae anaishi na wazazi awezi kuelewa nijinsi gani Hawa watu wanavyojisikia
@samwelpaul7334
@samwelpaul7334 3 жыл бұрын
Umeongea ukweli kbs
@dianamutahaba9342
@dianamutahaba9342 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nishaabias5694
@nishaabias5694 3 жыл бұрын
Sana tulio kaa na ndugu tunajua
@zenamohamedi900
@zenamohamedi900 3 жыл бұрын
Ujakosea tusokua na wazazi ndo tunajua uchungu wa ili jambo
@azizamohamedi3161
@azizamohamedi3161 3 жыл бұрын
Yarabi mpe maisha marefu huyu Baba nimelia Sana kwakwel nimejaribu kuvaa viatu vya hawa watoto hawa uyo wakeke kwakwel amenipeleka mbali Sana Kwa miaka yooot iyo amepitia mangapi we mwenyez mungu mwingi warehma leo amewakutanisha na mama Yao 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mabugapiter636
@mabugapiter636 3 жыл бұрын
Mzee Taji utavikwa Taji ya uzima wa milele kwa wema ulioufanya kwa watoto wa kakayako. Mungu wa mbinguni atawainua pia watoto wa kwako pia
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 3 жыл бұрын
🙏🙏😭
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 3 жыл бұрын
anafanana na jina lake ukimaliza kazi utavalishwa taji mungu ni mwema jamani na huu ni mwaka wa baraka kwetu sote mungu ameamua kutenda kweli 🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
@sanorescompay2979
@sanorescompay2979 3 жыл бұрын
Ameeen
@emmanueltesha6092
@emmanueltesha6092 3 жыл бұрын
Hakika Mungu akubariki baba mdogo jamani
@tajimwambole3115
@tajimwambole3115 3 жыл бұрын
Wa jina wangu jamani .Mungu akubariki sana.nimekupenda sana .
@monicamwanjisi693
@monicamwanjisi693 3 жыл бұрын
We we baba mdogo unaroho ya ajabu sana mungu akupe kila lililo la heri .uoendo wa ajabu sana
@salmajumanne8914
@salmajumanne8914 3 жыл бұрын
Mashaalla kiukwel niwachache sana wt kama hao allah mruzuku pepo amin amin amin
@ashamohamed857
@ashamohamed857 3 жыл бұрын
Nimelia sana sana. Gea kwa nini hamna Tishu hapo Ofisin jamani kampuni kubwa sana jama watu wanajifuta machozi na na mikono sio vizuri jamani 😭😭😭
@michaelchiwalo8444
@michaelchiwalo8444 3 жыл бұрын
Walisahau km kutakua na kukata vitunguu
@justerkarimi7662
@justerkarimi7662 3 жыл бұрын
Da Asha Mohamed!!!
@diddyalhad3202
@diddyalhad3202 3 жыл бұрын
Da Asha ni kwel mhm bt nahic wamejisahau tu ila nimelia sna yaani machozi daha mungu mkubwa
@hawahassan835
@hawahassan835 3 жыл бұрын
Ndio raha ya kulia ujifute na mkono chozi linanoga
@agneskighenda3795
@agneskighenda3795 3 жыл бұрын
Naminimejiuliza hilo! Mbona si ghali?
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭hii story imenisisimua sana, hongera sana baba kwa kuwalea vzr watoto kwa Mungu kuna fungu lako
@zenasaidy6526
@zenasaidy6526 3 жыл бұрын
😭😭😭Du inauma Sana ila mzee Taj mungu akulipe kabxa
@janslinjanslin9889
@janslinjanslin9889 3 жыл бұрын
Uwiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hakuna siku nimepata uchungu kama leo jaman ukuu wa Mungu ni Mkubwa sana na umedhihirika kwa hao watoto na Mama Yao, jamani Wanaume acheni kuwapokonya wanawake watoto au kama mmeachana na umeamua kubaki na watoto wapeni uhuru pande zote (Mama na Watoto kutembeleana) ni uchungu mkubwa sana jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@teddyhenry2579
@teddyhenry2579 3 жыл бұрын
Jamani mdada kwanini umeniliza hivyo jamani mungu aendelee kukutunza wewe ni shujaaa hakika tumeuona ukuu wa mungu🥰🥰mama pole sanaa kwa uchungu ulioupata kwa watoto wako
@rahmasalum8642
@rahmasalum8642 3 жыл бұрын
Geah muandalieni zawadi baba mdogo kwa kutunza wtt iwe mfano kwa mababa
@deborahlyelu9114
@deborahlyelu9114 3 жыл бұрын
Kwa kweli ni wachache mno ukizingatia baba mzazi yupo
@rahmayaledi1722
@rahmayaledi1722 3 жыл бұрын
Kabisa wajina
@somoelikwena5996
@somoelikwena5996 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema Sana maana mama amekua na maisha marefu mpaka kuonana na wanae mungu mkubwa Sana hongera Sana mama na baba mdogo kwa malezi ya watoto na adi kufikia apo
@lulukomanya
@lulukomanya 3 жыл бұрын
Nimelia kama mtoto pole mwanahamisi school mate wangu weruweru Mungu ampe mama yetu umri mrefu ili nawe ufaidi utamu wa mama kama sisi tulio kua na wazazi wetu. Pole sana umeniweza leo
@edinazegu7173
@edinazegu7173 3 жыл бұрын
Clouds ila mmejua kuniliza kwa furaha hongera mzee Tagi kwa upendo aliinesha kws hao watoto nimelia baba alipowapiga kisa mwanamke Uwiiiiii msiombee kutelekezwa
@annamachaki3644
@annamachaki3644 3 жыл бұрын
Bamdogo wa Mwanahamis Mungu akupe maisha marefruuu🙏🙏
@meryhassan5272
@meryhassan5272 3 жыл бұрын
Hongera sana baba mdogo
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 3 жыл бұрын
ninacho amini kweli tangu haya maneno sitawai sahau kuwa mungu ni mwaminifu na anatenda no matter what mungu azidi kuwabariki jamani wana cloud Gear na wengineo baba mdogo I will continue praying for you you're a such a darling parent thanks tanzanian for loving and caring ❤️🙏🙏🇰🇪🇪🇺
@12322879
@12322879 3 жыл бұрын
Kama umetizama hii ishu halafu machozi hayajakulenga basi ujue Wewe sio binadamu
@glorycharz3765
@glorycharz3765 3 жыл бұрын
Hakika G
@gracemsenya2198
@gracemsenya2198 3 жыл бұрын
mimi nalia hapa ofisni mpka naulizwa nini shida nashindwa hata kujibu aisee kweli ktk dunia kila mtu anachangamoto ila zinatofautiana
@prosperkonokono5716
@prosperkonokono5716 3 жыл бұрын
Koo mm sio binadamu
@diddyalhad3202
@diddyalhad3202 3 жыл бұрын
Kwel bro
@theopistachialo10
@theopistachialo10 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kwakwel ni mbwa
@bibianabenedict2459
@bibianabenedict2459 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema kwa kila binadamu,Imenigusa sana!Hongera Mwanahamis na mdogo wako kwa Kuungana na Mama.Mzee Taji Mungu azidi kukubariki.Mama ni mama
@brytondibogo2553
@brytondibogo2553 3 жыл бұрын
kumbe hawa wanaume hawajaanza kunyanyasa wanawake carne hii?? ni tangu enzi na enzi!! jamni mimi ndo mana hata siwataki kabisa
@wj1421
@wj1421 3 жыл бұрын
Yaaan wanaweza kubadilisha maisha yako yakawa mabaya kwa dakika zeroo
@yasiniyunusu2650
@yasiniyunusu2650 3 жыл бұрын
@@wj1421 Mungu mkubwa
@blasidajulius2240
@blasidajulius2240 3 жыл бұрын
Mzee Taji Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu umewalea watoto wa kaka yako vzr sana wwe n mfano wakuigwa kwa roho yko nimekupenda sana baba🥰🙏
@themagadir
@themagadir 3 жыл бұрын
Hassan sura mamake mtupu mashaAllah tofauti ya rangi ya mwili tu
@arbstationary7544
@arbstationary7544 3 жыл бұрын
hongereni sana clouds kweli ni redio ya watu. nimelia hata mimi, by Anna from Dodoma
@namsamson3443
@namsamson3443 3 жыл бұрын
Huyu baba Mdogo TAJI NI MZEE ANAROHO NZURI SANA JAMANI. MSIMUACHE YAANI BABA YAO HAKUONEKANA KAMA ANAJALI SANA KAMA MZEE Taji jamanj
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 3 жыл бұрын
Yeaaah nkwel kabsa maneno yako sahihi
@jacklinemshana9595
@jacklinemshana9595 3 жыл бұрын
Mzee Taji Mungu akuweke
@herenaabdallah9294
@herenaabdallah9294 3 жыл бұрын
Amin
@rosehillary8742
@rosehillary8742 3 жыл бұрын
hii story umeniweza. I can't hold my tears....Kichwa chauma kweli😭😭💔💔 Mungu ahimidiwe
@nuruhabdul6900
@nuruhabdul6900 3 жыл бұрын
Tuliobahatika kulelewa na wazazi wote wawili tushukuru MUNGU kwakweli
@shanimohamed9267
@shanimohamed9267 3 жыл бұрын
Aminaaa
@veronicascottmollel7897
@veronicascottmollel7897 3 жыл бұрын
Kabisa
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 3 жыл бұрын
Hongera zenu
@neemakaaya3252
@neemakaaya3252 3 жыл бұрын
Hongereni sana
@sizelinamarolen1167
@sizelinamarolen1167 3 жыл бұрын
Amin🙏
@mosesbusanya3528
@mosesbusanya3528 3 жыл бұрын
BABA MDOGO MUNGU ATAKULIPA, SURA YAKO INAONESHA WEMA ULIONAO NDANI YAKO, MUNGU AKULIPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏
@fatumamaiga8496
@fatumamaiga8496 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@alinanuswempeta3895
@alinanuswempeta3895 3 жыл бұрын
😭😭😭😭Mungu anazidi kutufundisha mengi sana inauzunisha sana na kutupa moyo kuwa wakati miguu kwako sio mwisho wako
@saudahassam3031
@saudahassam3031 3 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI MZEE TAJI ,MWANAHAMISI NA HASSAN HONGERENI KUMPATA MAMA KTK UMRI HUU.MACHOZI YAMENITOKA WALLAH
@jaycee9067
@jaycee9067 3 жыл бұрын
Story ya kusisimua. Mwanahamisi you are a ⭐️
@mtumweusy4652
@mtumweusy4652 3 жыл бұрын
Daah mnyamwezi mpaka nimelia
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 3 жыл бұрын
Hii ndio raha ya kulea vzr watoto nahaya ndo matunda.hongera bamdogo
@gregorychristopher1224
@gregorychristopher1224 3 жыл бұрын
Story imeniliza sana.
@lilykimisa3841
@lilykimisa3841 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@vailethwilliam888
@vailethwilliam888 3 жыл бұрын
Nimelia sana jamani😭😭😭 kweri Nani Kama mama pole mwanahamis na hongera kwa kumuona mama
@hadijalukas5959
@hadijalukas5959 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Gea nimekuonea Leo nasikiaga tuu sauti yako
@aminagervas9140
@aminagervas9140 3 жыл бұрын
Mzee Taji ni mwanaume na nusu yaani kamshinda hata yule aliyewaleta duniani, hongera mzee mwenyeezi Mungu akupe hitaji la moyo wako.
@auntysamweli9572
@auntysamweli9572 3 жыл бұрын
Nimelia hadi watoto wangu nao wananiangalia wanalia.. Mungu ni mwema
@judithngulwa743
@judithngulwa743 3 жыл бұрын
jamani dada ana uchungu sana but hongera sana Mungu awape umri mrefu angalau upate upendo wa mama kwa sasa
@sanorescompay2979
@sanorescompay2979 3 жыл бұрын
Eee Mungu wetu mwema ninakuomba sana umkumbuke huyu baba mdogo wa taifa mzee Taji katika ufalme wa mbinguni nikumbuke nami pia ili nikakutane naye nakumpongeza kwa moyo wake wa upendo 🙏🙏
@janemsamati6700
@janemsamati6700 3 жыл бұрын
Hakika ashukuriwe Mungu atujaliaye kushinda, Mungu ni mkuu kuliko yeyote ktk hii dunia,
@bibianamkude5841
@bibianamkude5841 3 жыл бұрын
Mungu atakulipa mzee Taji
@rukiakhamsin9220
@rukiakhamsin9220 3 жыл бұрын
Allah ambariki mzee taji,na akujaaliye pepo kesho kwa Ajili ya kuweza kuwajali maisha yote hayo,jazakha llahu kheiri
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 3 жыл бұрын
Amiiiiin
@mnyakitz2007
@mnyakitz2007 3 жыл бұрын
Aminiii🙏🙏hakika anastahili pongezi kwa huyu mshua
@buguzajemedar2566
@buguzajemedar2566 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema.baba mdogo ni shujaa kwa kweli.Allah ampe umri mrefu ba mdogo na amuongezee umri zaidi.yaani inaumiza sana
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 3 жыл бұрын
Amiiiiin
@neemachriss2605
@neemachriss2605 3 жыл бұрын
Huyu baba ambariki sana
@jsbddhnxjdhhdhd1493
@jsbddhnxjdhhdhd1493 3 жыл бұрын
😭😭😭😭Inshaallah kumbe ipo cku na 🙏🙏 mie nitakuja kumuona baba mtoto wangu
@chikamajenisia2244
@chikamajenisia2244 3 жыл бұрын
Ipo siku.
@happysanga3909
@happysanga3909 3 жыл бұрын
Yuko wapi
@afredyohana356
@afredyohana356 3 жыл бұрын
Kwakweli crauss Big up hapo mmemuezi vzr Sana Ruge kwa tukio hili Mungu azidi kuwapa Uhai mrefu
@masofambagala5346
@masofambagala5346 3 жыл бұрын
Nakupenda mama yangu nakupenda baba yangu leo najiona mwenye bahat kwa hii stoli
@mariamsuma3003
@mariamsuma3003 3 жыл бұрын
Kabisa tuwashukuru wazaz wetu waliyetulea kwa pamoja mpaka sasa ila nmelia sana huyu dada kuongea hivo
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 3 жыл бұрын
Kumbe tunajifunza umuhimu wa nguo tukiwaona wasionazo...
@rebeccasenkondo7047
@rebeccasenkondo7047 3 жыл бұрын
Mzee taji kama jina lako ukaitwe barikiwa
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 жыл бұрын
Akavikwe Taj uko mbingun mwenyez mungu ambarik mno baba huyu..
@jeniphanyamase8414
@jeniphanyamase8414 3 жыл бұрын
Mzee Taji mungu akujalie na akupe maisha maref yenye baraka tele moyo wa pekee kama huo ni wachache walionao.
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Жыл бұрын
Mashallah nimechelewa ila hii ni movie zaid nimelia sana hongereni sana clous😢
@lafiaabashi7820
@lafiaabashi7820 3 жыл бұрын
Hakuna Kama mama hakika!!nakukumbukuka sana mama yangu!! Pumzika Kwa amani ulipo mama yangu kipesi 🙏🙏
@mikemunishi1364
@mikemunishi1364 3 жыл бұрын
Daah Huyo mzee... Clouds... Mfanyieni hata kitu.... Kama mnavyomfanyiaga Mama malkia wa nguvu.. Amefanya kitu Hakuna mtu anaweza Fanya kbs.. Hasa kwa Africa
@themagadir
@themagadir 3 жыл бұрын
Absolutely
@jackmacha2328
@jackmacha2328 3 жыл бұрын
Nikweli kabisa huyu baba apewe tuzo
@ramearfe9509
@ramearfe9509 3 жыл бұрын
Baba wshoka
@listerlujiso774
@listerlujiso774 3 жыл бұрын
Bamdogo M.Mungu Akubariki Sana Na Mapenzi Yake Yakatimie Juu Yako Amen
@azizahassan6803
@azizahassan6803 3 жыл бұрын
Daa nimelia sana jaman
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 3 жыл бұрын
Duh wameniliza sana kha kwakweli Mungu ni mwema ,kumbe move the kinegeria wanahongelea stori za kweli nilijua move tu
@rukiakhamsin9220
@rukiakhamsin9220 3 жыл бұрын
ALLAH Akupe umri mrefu ,mzee tajik,daa geah mzee taji akitaka nusra ya ndoa mimi nipo hapa dada awe shem wako,Huyu ni mcha mungu bwana masha Allah
@zubedasakuru4670
@zubedasakuru4670 3 жыл бұрын
Huwezi kuelewa mpaka upitie mazingira haya! Na siku zote Mungu huwainua wanaopitia mazingira ya kukua kwa tabu! I have been there! Mungu ni mwema. Nimelia sana imenikumbusha mambo mengi sana! Mungu akubariki mzee Taji. Ntakutumia zawadi 🙏
@ndenejoseph2114
@ndenejoseph2114 3 жыл бұрын
Hongereni sana watoto na mama kuonana . Ni jambo la kumshukuru Mungu
@adamndilanna1562
@adamndilanna1562 2 жыл бұрын
Zubeda ahad na den
@jacqulinekasondera5326
@jacqulinekasondera5326 3 жыл бұрын
Baba mdogo udumu umekuwa mfano mzuri ktk jamii y'a Tanzania, Mungu akubariki !!!!!
@raheemsuleyman6757
@raheemsuleyman6757 3 жыл бұрын
Am from Mozambique 🇲🇿 very emotional 😭
@shuhudiamtasiwa6646
@shuhudiamtasiwa6646 3 жыл бұрын
Huyu baba sio maneno tu anahuruma jamani inayozunguka kwenye damu nimempenda sanaaa
@megmeg2628
@megmeg2628 3 жыл бұрын
God bless this uncle ....
@nduwimanafatma9948
@nduwimanafatma9948 3 жыл бұрын
Allah awape umri mrefu mama zetu waliohai na awape mwisho mwema na waliotangulia allah awasamehe.mzee Tagi allah amfungulie milango ya rizki ampe watoto watakao mpenda na yeye na ampe mwisho mwema
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 3 жыл бұрын
Aamin Amiin Yarabilaalahmiin duaa na iwe Makboul.
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 3 жыл бұрын
Baba mdogo mmepata kwaninavyo muona2 ata tatizo wengine roozao wanazijua wenyew
@alexiamruu7581
@alexiamruu7581 3 жыл бұрын
Mwanamisi look cute like her mum💪💪💪Allah barik 🙏🙏
@lidyakahwa3613
@lidyakahwa3613 3 жыл бұрын
Maisha marefu kwa mzee Taji
@user-gg2xn2jd4y
@user-gg2xn2jd4y Жыл бұрын
Wavamia ndoa za watu Mungu awalaani milelee wanaleta matatizo makubwa sanaa..ila malipo ni Duniani..Big up sanaa kwa Mzee Taji
@teddysisty320
@teddysisty320 3 жыл бұрын
Bamdogo Taji Mungu akuweke jamani moyo huo wanao wachache
@Mazoea
@Mazoea 3 жыл бұрын
Yes baba mdogo anaroho ya pekee
@fatmakusilawe6978
@fatmakusilawe6978 3 жыл бұрын
Hakika
@asmahanyally3225
@asmahanyally3225 3 жыл бұрын
Nimelia sn jmn nakumbuka mama angu alipochukua likizo na kwenda Kenya kumpeleka baba mlezi na kukaa miaka 19 ilikuwa ngumu sn sn sn so naelewa anachopitia huyo dada.......Mungu mkubwa sn ametukutanisha tena......Alhamdulillah
@agnesjimmy6401
@agnesjimmy6401 3 жыл бұрын
Jamani 😭😭 Dada kanikumbusha mbali sana ukifiwa na wazazi ni changamoto sana nilifiwa na wazazi nipo darasa 2 hivyo nilipitishwa nikayajua mengi na nikajifunza mengi hapo nikajifunza lile neno la yatima hadeki😭😭
@mwanahamisiabdi3320
@mwanahamisiabdi3320 3 жыл бұрын
Achaaa agness tupo weng
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 жыл бұрын
Polen Sana sie tuliolelewa na wazaz wote wa 2 tunamshukuru mungu,...bado tupo nao japo wako mbal sie tunatafuta, inahuzunisha maana kuna muda unashindwa hata kumtumia pesa kidogo Hali ngum inahuzunisha mno...
@nancytuni1206
@nancytuni1206 3 жыл бұрын
Mama ana umuhimu sana jamn Mungu wang nimelia
@asilasaid6230
@asilasaid6230 3 жыл бұрын
Baba mdogo hongera sana mamama alwa akufanyie wepes
@blessedi8138
@blessedi8138 3 жыл бұрын
Me and my 2 siblings went through this painful life style😭😭.Mama alivyofukuzwa na baba, Our step mom tried to kill us using poison several times but we survived..we were separated but I thank God our Mom came back after 5 yrs and rescued us..I can feel the pain of staying without a Mom
@wardw3022
@wardw3022 2 жыл бұрын
Hiki kipindi ni kizuri sana na kinagusa jamii hongera shukran kwenu clouds media
@omnsultan383
@omnsultan383 3 жыл бұрын
Pongezi zienda kwa mzee taji
@pamelamakolo7999
@pamelamakolo7999 3 жыл бұрын
Maisha marefu Ba mdogo Ila daah nimelipa kwa uchungu kwa kweli nikikumbuka my mom ameniacha bado namuhitaj nimelipa kwa uchungu Sana kwa kweli
@afraalex2366
@afraalex2366 3 жыл бұрын
Me too
@sanurasanura6422
@sanurasanura6422 3 жыл бұрын
Tume liya wote kukosa mama mtihani sana tena sisi tuliyo achwa wadogo
@jamalhamad2132
@jamalhamad2132 3 жыл бұрын
@@sanurasanura6422 polen jaman polen
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 жыл бұрын
Pole mpenz
@gloriarobert4836
@gloriarobert4836 3 жыл бұрын
Hii story imefanana sana na ya kwangu mwenyewe ! Inauma sana, inaumiza mno! Yote namwachia Mungu 🙆🏻🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@user-pr6dz7nd5r
@user-pr6dz7nd5r 2 ай бұрын
Pole sana kipenzi MWENYEZI MUNGU atakupa faraja
@rahmssalum3163
@rahmssalum3163 3 жыл бұрын
Huyu baba mdogo mwnyz ampe umri mlefu na ambashirie pepo
@sultanaswaleh8892
@sultanaswaleh8892 2 жыл бұрын
Loo !..nawa shukuru sana clouds MUNGU !..awa fugulie kila ! La kheir
@richardngowi6285
@richardngowi6285 3 жыл бұрын
Achen Mungu aitwe Mungu
@aminamsangi8008
@aminamsangi8008 3 жыл бұрын
Mzee taji anaroho wa mungu na hofu ya mungu na nimcha mungu
@jacklinemichael4890
@jacklinemichael4890 3 жыл бұрын
Hongera sana baba mdogo Taji kwakuwalea hao watoto Wa kaka yako mungu akujalie maisha marefu naakujalie pepo
@richardngowi6285
@richardngowi6285 3 жыл бұрын
Watu kama mzee taji ni wachache sana katika hii dunia Mungu awape maisha marefu
@mishibabu8946
@mishibabu8946 3 жыл бұрын
Hakuna kama Mama🥰🥰🥰
@mwanakhamiskhamis3115
@mwanakhamiskhamis3115 3 жыл бұрын
@@jacklinemichael4890 amin Amin Amin
@angeljasson4376
@angeljasson4376 3 жыл бұрын
Mwee huyu dada kalia sana adi nimeshindwa kujizuia 😭pole sana
@jamesmboga7325
@jamesmboga7325 3 жыл бұрын
God has purpose for everything.God's plans doesn't fail even although it takes years.Namshukuru Mzee Taji kwa kazi njema, saidi sana mke wa wake, for taking care of these children.
@Meme-sr1gl
@Meme-sr1gl 3 жыл бұрын
Daaaah nimelia km yamenifika mimi, mungu akitaka kukupa hakuandikii barua..
@amanisengele9684
@amanisengele9684 3 жыл бұрын
Mitano Tena kwa baba mdogo
@merinajuma1236
@merinajuma1236 3 жыл бұрын
Kbsaaaaaa yni
@ramearfe9509
@ramearfe9509 3 жыл бұрын
Hyo baba mdogo n50 mitano kidogo...
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 3 жыл бұрын
Mitano Mara tano Tena kwa Mzee Taji
@elizalyimo2241
@elizalyimo2241 3 жыл бұрын
Nimejitaidi kujizuia nimeshindwa kwa kweli machoz yamenitok kwa kwel,mama mtamu jaman ,
@celinamgundoi5601
@celinamgundoi5601 3 жыл бұрын
Mungu nisaidie katika nyakati zote ngumu ninazo pitia niwe na watoto wangu, hii imeniliza sana mungu awaunganishe daima na msitengane tena na mama yenu hadi pale mungu atakavyo watenganisha Ameen
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 жыл бұрын
Sidhani hii clip kama kuna mtu hajadondosha chozi so Emotional Mbarikiwe nyote kwa ujumla🙏🏼🙏🏼💕💕
@Ulaya239
@Ulaya239 3 жыл бұрын
Mzee taji mungu akubariki Sana .
@linamacha7686
@linamacha7686 3 жыл бұрын
Maisha marefu kwa baba mdogo 🙏
@godriverkabelela8755
@godriverkabelela8755 3 жыл бұрын
Hadi nimelia amenikumbusha mbali sana watu tunapitia maisha magumu sana ila mtu akikuona hivi mmmh
@agnesshenry3280
@agnesshenry3280 3 жыл бұрын
Mungu wa ajabu sana jamani nimelia kama mtoto mdogo😭😭😭🙏
@mishengoma2495
@mishengoma2495 3 жыл бұрын
Hongera sana Clouds media kwa kufacilitate HUU MUUJIZA WA MUNGU
@nunuuali5316
@nunuuali5316 3 жыл бұрын
Kuna vitu vinauma hapa dunian jaman,daaah eeeh Mungu rehem wazazi wangu hakika hata mimi wameondoka nikiwa bado nawahitaji ila basi tu nasema Alhamdulillah! Mzee Taji Allah akujaalie kila la kheri baba
@iddymsangani1599
@iddymsangani1599 3 жыл бұрын
Mungu mkubwa kazamoyo ndg yangu
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 8 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 16 МЛН
Leo Tena: Mama Akutana na Mwanae Baada ya Kupotezana kwa Miaka 35
19:26
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 89 М.
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
23:13
Millard Ayo
Рет қаралды 50 М.