LIVE: MTOTO Amtafuta mama mzazi | Mjomba amueleza ukweli juu ya kifo cha mama yake..!

  Рет қаралды 66,737

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

3 жыл бұрын

#LEOTENA
LIVE Kijana Anakutana na MAMA yake Mzazi | KITAMBO kirefu Rasmi Apatikana | LEO TENA

Пікірлер: 139
@fatmabukuku5384
@fatmabukuku5384 3 жыл бұрын
Cloud mimi ndio maana nawapenda sana mnafanya kazi kubwa sana ya kusaidia jamii.
@moricemorice75
@moricemorice75 3 жыл бұрын
Mimi nimelelewa na wazazi wote ila hili nimetoa macho Dr pole Sana kijana mwenzangu cloud #Mungu awe nanyi katika kazi yenu
@suleimanabdillah7490
@suleimanabdillah7490 3 жыл бұрын
CLOUDS Jumba la wabunifu,mnanikosha sana, NA HONGERENI SANA
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 Жыл бұрын
Mjomba is very smart man, na kina temba wako Barabara mungu waongoze na mtoto wenu anatia huruma sana..kukosa mapenzi ya mama yake.pole kwa sote hata mie
@mariamthomas3902
@mariamthomas3902 Жыл бұрын
Yaan alipoanza kujitambulisha mjomba me uso wote umejawa machozi hata sijielewi barikiwa mjomba 😭😭😭😭
@godfreyjames8582
@godfreyjames8582 3 жыл бұрын
NYIE CLOUDS Fm Mungu anawaona atawalipa tu,, atawaongezea mlipotoa kwa ajili ya watu Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie nami nimpate baba yangu mzazi natamani ajue kuwa nampenda hata kama hatujaonana miaka 29 mpaka leo
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Hee pole sana
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Жыл бұрын
Pole Sana
@victoriamazula5592
@victoriamazula5592 13 күн бұрын
Mntangazo yalikuwa too much
@jaycee9067
@jaycee9067 3 жыл бұрын
Leo Tena best radio program in Tanzania. 🙌🏿
@alhabsi6430
@alhabsi6430 2 жыл бұрын
Mungu akuwekee wajomba zako wakupende uwapende
@asteriashios1852
@asteriashios1852 Жыл бұрын
pole sana kija mungu akutetee mjomba ni mama hivyo hongera sana mjomba kwa kumtafuta mtoto
@mozasaid3869
@mozasaid3869 2 жыл бұрын
Hongereni Clouds Media kwa kazi mnayoifanya ya kukutanisha familia zilizopteana,
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 3 жыл бұрын
Yani imeniuma kweli pole sana mdogo wangu
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Pole Saana Mwanangu M/MUNGU Awajalie Mshikamano Upendo Na Amani Wewe Na Wajomba Zako Na Ndugu Na Jamaa Zako Wote
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын
Yani ihii radio mungu awabariki sana tena sana maana mnasaidia sana sio kama radio nyingine kazi umbea tu utasikia za ndani apo anatetwa mtu
@muddysasma3037
@muddysasma3037 3 жыл бұрын
Dah clouds hongereni SANA. Mjomba ni mama
@gracewambura8539
@gracewambura8539 3 жыл бұрын
Clouds mwenyezi Mungu hazidi kuwabariki sanaaa ktk kipindi icho Cha kuwatafuta waliopoteana 🙏
@munirahassan5013
@munirahassan5013 18 күн бұрын
Mjomba ukiona anakutafuta na mama hayupo. Jua ana upendo sana, wachaga oyeeeeee
@mwanamwantumazizi1869
@mwanamwantumazizi1869 2 жыл бұрын
Jamani munafanya kazi nzuri sana naombeni nMimi minisaidie nimepoteana na familia yangu tunazaliwa tumbo moja tumepoteana kwa muda mrefusana
@moricemorice75
@moricemorice75 3 жыл бұрын
Dahuu love you Yan unaongea na masikitiko mpka nimetoa machoz dr
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du 8 ай бұрын
Wa mma wengine awanaga uchingu wa m tto mm pia mma yangu alinicha nikiwa na umli mdogoo waka tengan na bba yangu nikalelewa na bbi. Tokaspo mma alikua anaishi mkoani. Lindi mm nikiwa dar tokaaapo mma akunitafuta. Ilammi ndonilimtafuta. Ata mmi sinadana upendo na mma. Bba ndo. Namuerewa saana. 😢
@eggysulle7988
@eggysulle7988 29 күн бұрын
😢
@salumbakari
@salumbakari 25 күн бұрын
😊😊😊😊
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 жыл бұрын
Hongera mjomba kwani duniya ilipo fikiya ni wachache wenye roho kama yakwako hongera da. Geya na timu mzima
@diyaosman6268
@diyaosman6268 3 жыл бұрын
Hongera clouds fm mungu awabariki sanaaa
@agyjackkalwela6377
@agyjackkalwela6377 2 жыл бұрын
Pole kwa kupokea taarifa ya kifo cha mama yako najua imekuumiza
@user-mc6um1it1r
@user-mc6um1it1r Жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa kazi nzur san❤
@stellahmsigwa6493
@stellahmsigwa6493 2 жыл бұрын
Hongera sana mjomba angu
@sebonikegobi6244
@sebonikegobi6244 2 жыл бұрын
Wakina mama tusiwaache watoto wetu tukubali hata kufa nao
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Kwa Kweli Dear
@user-ky6tv6lk5x
@user-ky6tv6lk5x 24 күн бұрын
Yes my
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 23 күн бұрын
Kuna mda inabidi 😢😢 mm nimejifunza kuto jurge sana
@MADAMMACKTV
@MADAMMACKTV 2 жыл бұрын
Duu inauma naimenigusa hatamm mwanangu yipo arusha baba yake atakinimuone nakudaii mm simpendii mwanangu inauma sana nanaumia sana polekijana baba zenu shida
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
it's very sad jamani . Yani hamu yote yakuonana na mama ndo imeishia hapo my heart is so broken haki💔💔
@rosehaule6765
@rosehaule6765 23 күн бұрын
😢😢
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 3 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu jaman,kijana anaonekana amekomaa kwaakil hata hajalia ila huyo baba yake jaman mmh. Hongeren clouds.
@irenekilawe9476
@irenekilawe9476 2 жыл бұрын
Mimi nimepotelewa na mjomba angu toka mwaka 1998 paka Sasa atujui aliko
@monadinadi5295
@monadinadi5295 Жыл бұрын
😭😭Dah tushikane na familya zetu hkn km Mam. Mama ndio kiungo cha familya
@roseamos9930
@roseamos9930 2 жыл бұрын
Mjomba yupo vizuri sana 😍
@roseamos9930
@roseamos9930 2 жыл бұрын
😍😍
@stellahmsigwa6493
@stellahmsigwa6493 2 жыл бұрын
Mungu amlehem mjomba wangu
@juneydeatakujadaimondomar5549
@juneydeatakujadaimondomar5549 2 жыл бұрын
Masha Alla mjomba
@user-kb7co8xk4o
@user-kb7co8xk4o Ай бұрын
Pole sana aise inauma
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 2 жыл бұрын
Mungu mwema kwakweli dah
@tricemollel6739
@tricemollel6739 2 жыл бұрын
Jamani leo tena mpo juu saanaa! Ila watu ni wengi wanatafutana ila mngefanya kwa muda mrefu naona muda ni mfupi sana please 🙏
@singleparent7483
@singleparent7483 2 жыл бұрын
Dah jamani tusiwatenge wtt na mzee mmoja shida ndo kama hii
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 2 жыл бұрын
Hii story imeniliza💔
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 жыл бұрын
Mjomba amekamilika kisawasawa,ndo maan nawapenda wajomba zang hatr .
@happykisarika1337
@happykisarika1337 2 жыл бұрын
Wako vizur
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 жыл бұрын
@@happykisarika1337 san my
@khadijatonge3636
@khadijatonge3636 3 жыл бұрын
😢
@realramjen3270
@realramjen3270 3 жыл бұрын
Mjomba ni mama
@nurubrown3154
@nurubrown3154 3 жыл бұрын
so pain😢
@tanzaniatouristsattraction1622
@tanzaniatouristsattraction1622 3 жыл бұрын
Pole sana
@omaryshabani3389
@omaryshabani3389 Жыл бұрын
nini sasa nanyie mnatukatisha sitore
@farhatomar78
@farhatomar78 2 жыл бұрын
Mjomba hongera kwa kumfatilia mwanao na wote mlolifatilia hili jambo
@trifoniambilo2400
@trifoniambilo2400 2 жыл бұрын
Najikuta nalia
@mercynadia3140
@mercynadia3140 2 жыл бұрын
Hii story umeniuma sana mpaka nimelia,yaani unamtafuta mama unakuta ameshafariki jamaniii
@estherbakari9534
@estherbakari9534 2 жыл бұрын
Pole Sana
@MaryJohn-hh2ku
@MaryJohn-hh2ku Жыл бұрын
Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini
@MaryJohn-hh2ku
@MaryJohn-hh2ku Жыл бұрын
Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini
@adidjakhalfani2661
@adidjakhalfani2661 3 жыл бұрын
😥😥
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 3 жыл бұрын
😭😭😭 inauma mno
@rukiashunda9364
@rukiashunda9364 3 жыл бұрын
😥😥😥
@teklalumalanja1752
@teklalumalanja1752 2 жыл бұрын
Tunaomba namba zenu studio
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 2 жыл бұрын
Dahaa miezi 3 hata kama nina shida kiasi gani siwezi muacha mwanangu
@siwonikewilliam9146
@siwonikewilliam9146 Жыл бұрын
Pole sn
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Kuzaa zaa ovyo ni shida jamanii hatari maskini na bara mikoa mikubwa tofauti na Zanzibar
@alfredinafelix836
@alfredinafelix836 Жыл бұрын
Basi tu ni utukutu wetu wanadamu kukiyuka tamaduni na mipango ya kuishi iliyowekwa na wazee wetu walio tutangulia kuishi…kila mipango yao waliipanga kwa maana flani na ilikuwa na maana…unapopata mpenzi au mchumba msiishi kinyemela hadi kuzaa pasipo kufaamiana ktk familia ndicho kilichomkuta huyu mtoto…wazazi wake walijifanya wanajua
@preciousprince9159
@preciousprince9159 Жыл бұрын
Naombeni na mimi namba ya clouds
@juneydeatakujadaimondomar5549
@juneydeatakujadaimondomar5549 2 жыл бұрын
Mjomba mtu mzuri sana
@rehemaabdy2830
@rehemaabdy2830 23 күн бұрын
Wachaga nawapenda sanaaaaa wanapendana mnoooo yaan atalelewa vizuri sanaaa
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
wanaume na nyie mutumie uzazi wa mpango hivyo hivyo.
@preciousprince9159
@preciousprince9159 Жыл бұрын
Naomba namba za cloud maana nina uncle wangu hamjui baba yake
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Ila. Wanawake jmn muda mwingine tuache ushetani ivi unamuacha mtt miaezi mitatu ili iweje hs alafu ktt km akujui na kusaidi utasema mbayq
@user-br3sc8bm4t
@user-br3sc8bm4t 2 жыл бұрын
Muombe mungu sana kama uko kwenye ndoa au mahusiano na ukapitia wakati mgumu ukiwa na mtoto mdogo ,wale wenzangu na mie huwezi kushangaa hili kikubwa dua yasijirudie
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
@@user-br3sc8bm4t aise akuna kipindi chochote ambacho uweze pt ujasir unaacha mtt wako kwann uko unapo kimbilia usiki mbie na mwanao
@estermahenge5972
@estermahenge5972 Жыл бұрын
Inaumiza kweli jamani bora ukimbie nae tu maana kumuacha Mtoto na usingizi unakua upati kbs😭😭
@Goldenbutterfly-hk1hp
@Goldenbutterfly-hk1hp 27 күн бұрын
Acha ujinga ww atakama umepata shida vp usiache mtoto wako​@@user-br3sc8bm4t
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk Жыл бұрын
Pôle sana ndugu yangu hiki kipindi kidumumilele
@marthageorge5043
@marthageorge5043 2 жыл бұрын
😢😢🥰🥰🥰
@merinajuma6948
@merinajuma6948 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭sjui kwann nalia jmn
@user-br3sc8bm4t
@user-br3sc8bm4t 2 жыл бұрын
Kiubinadam unaguswa na ttzo la mwenzio unajatibu kuvaa kiatu chake kinabana lzm chozi likutoke
@priscaalphonce1662
@priscaalphonce1662 2 жыл бұрын
Dah Kama mimi nimelia Kama nimefiwa. sijui kwa kuwa mama yangu alifariki af nnavyotamani ningekua nae , continue rest in peace mama yangu. Upewe pumziko jema.
@devothakawogo3460
@devothakawogo3460 Жыл бұрын
Jamani nisaidieni namba yenu tafadhari
@user-kb7co8xk4o
@user-kb7co8xk4o Ай бұрын
I see
@lydiahbhoke2284
@lydiahbhoke2284 Жыл бұрын
Nitaishi na watoto wangu jamani sitaki ushauri Waje kunitafuta
@mspwjjjso6261
@mspwjjjso6261 Жыл бұрын
Daah
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 24 күн бұрын
Matangazo mengiiii du😢
@barakamelkzedecknkini4514
@barakamelkzedecknkini4514 3 жыл бұрын
Mimi Kama mdau, nashauri Kama itawezekana jaribuni kufuatilia upatikanaji wa huduma ya DNA. kipengele Cha DNA test kwa case Kama hizi Ni muhimu. Inawezekana ni ghari Sana sijui inagharimu kiasi gani, au utaratibu wa kisheria unasemaje, Ila litazameni. Kama Maury Show.
@alicedavido1330
@alicedavido1330 3 жыл бұрын
Kwamba huamini au
@enockm6101
@enockm6101 3 жыл бұрын
@@alicedavido1330 Mimi nimemwelewa sana @Baraka Nkini, ni sahihi kabisa maana inawezekana habari zinafanana ila watu ni tofauti. Kijana akajikuta kaingia kwenye familia ambayo siyo yake. Maana hapo ni vithibitsho vya midomo vimetumika na hamna hata sheria iliyotumika. Hebu fikiria hivi:- ikaja familia nyingine yenye story kama hii; Au mama mmoja kaibuka na kusema mimi sijafa na ndiye mama yako mzazi? mtamwamini yupi? ILa kazi waliyofanya siyo ndogo, kijana kama alikuwa anapoteza mwelekeo na kukata tamaa kashapata baadhi ya majibu aliyokuwa akijiuliza. Heko clouds
@jaycee9067
@jaycee9067 3 жыл бұрын
Umewaza mbali. Nafikiri ni vizuri ingefanyika hivyo.
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 2 жыл бұрын
Hiyo DNA anapimwa na mjomba km kitu CHAKO na mtu kajieleza vya kutosha. Mbona inatosha mtu anapata history na a Namjuwa ndugu yake
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 2 жыл бұрын
Huyo kijana wakat amefika moshi alihangaika na akapelekwa baadhi ya nyumba. Na ikadhindikana lakini alivyokuja clouds. Amejieleza vya kutosha na mpk mjomba aliposkia na mjomba ameambiambiwa tuu na amejiaminisha na kufunga safar usiku huo huo ndio ujue damu nzito kuliko maji. Sasa tulidi hy kupima DNA anapimwa na nanii kwa mfano baba anae mama kafa au mjomba? Tufahamisheni wajinga tupate elimu
@marygregory7566
@marygregory7566 2 жыл бұрын
Daa😭😭😭😭
@portinagodson3836
@portinagodson3836 3 жыл бұрын
MASIKINI KIJANA HAAMINI MPKA AONE KABURI LA MAMA YAKE JAMANI WAMAMA TUSIACHE WATOTO HATA IWEJE NIMEUMIA SANA😭😭😭
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
Yani nimeumia sana haki dah!
@lucyigwathuigwathu8038
@lucyigwathuigwathu8038 2 жыл бұрын
Mutoto. Ni. Mama.
@JacklinDavid
@JacklinDavid 23 күн бұрын
Dah hii imeniuma 💔💔
@samissa1755
@samissa1755 3 жыл бұрын
Hatari san
@quentinsylvia3877
@quentinsylvia3877 2 жыл бұрын
Huyo baba alienda nae arusini Kwa kaka yake pengine alikua mchepuko ndiyo maana kijana hajamtambua
@omaryshabani3389
@omaryshabani3389 Жыл бұрын
mnaaribu matangazo
@zulfashafeeq8437
@zulfashafeeq8437 2 жыл бұрын
Tunaombeni namba zunu
@stellahmsigwa6493
@stellahmsigwa6493 2 жыл бұрын
Kabisa kwa kwel
@isamony58
@isamony58 Жыл бұрын
mnabowa matangazo marefuuu
@husnasalim9614
@husnasalim9614 2 жыл бұрын
Masiki alafu anafanana namjomba yake
@stellahmsigwa6493
@stellahmsigwa6493 2 жыл бұрын
Wachaga hawaachagi watoto
@badrahassan7513
@badrahassan7513 2 жыл бұрын
Namtafuta baba yangu ni f.f.u alikua anafanya kaz pale kituo kimoja kabla ya kufika gereza la ukonga ukitokea mjini anaitwa Charles 😭😭😭😭
@faidhakaoneka883
@faidhakaoneka883 2 жыл бұрын
Badra Hassan mzima wewe je waishi wapi?
@faidhakaoneka883
@faidhakaoneka883 2 жыл бұрын
Njoo in box aixeee
@badrahassan7513
@badrahassan7513 2 жыл бұрын
Naishi mlandizi kwa sasa
@estermahenge5972
@estermahenge5972 Жыл бұрын
Wafate kina Gea chapu unampata
@rahelngulwa9632
@rahelngulwa9632 2 жыл бұрын
L
@jenabmakobeh3694
@jenabmakobeh3694 2 жыл бұрын
natamani kumtafuta babangu lkn naogopa cje akawa amekufa
@florakihwele9183
@florakihwele9183 2 жыл бұрын
Mtafute tu ili ujue
@jenabmakobeh3694
@jenabmakobeh3694 2 жыл бұрын
@@florakihwele9183 naogopa wachaga cjui naanzaje wacha nikae tu
@shamsamuhammad3677
@shamsamuhammad3677 Жыл бұрын
mutafute to usiogope labda yupo mm mwenyew nitamusak my dady wangu sijawaikumuon nikimuliza mama ananifokea siku nitatinga studio we acha
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Жыл бұрын
​@@shamsamuhammad3677 nikupatie mfano mdogo tu .mimi nilipewa mimba bwana akasema kaitowe sitaki mtoto wa haramu na nina family yng. Wakati mwanzo hakusema haya. Mimi nikarudi kijijini nikazaa mtoto na aliponiambia nitowe mimba no yk nilifuta na tulikutana America. Mimi nikiwa mgeni si mwenyeji wa kule na niliporudi mpaka leo hii mtoto ananiona mimi napambana kwa ajili yake. Mfano sasa uwe wewe uniulize babayo hapo nitqkujibu nini? Maaana huwa nikimtizama mtoto ambaye alisema nimtowe waraah huwa simtamani kumuona na mpaka leo hii sijui kama yuhai au laah .ninachokijua mimi ni kutafuta maisha ili hata nikifa huyu mtoto nimuache kwenye kiota asiwe wa kuzunguka kwa ndugu
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Ай бұрын
Mjomba ni mama😢
@majukigagaboy7931
@majukigagaboy7931 3 жыл бұрын
Kwaupande Fulani mwamba anajitoa lakin Mama mjinga wa namna hyo siwezi kumtafta Mama wa mjinga alieniacha na miezi mitatu
@kiri5807
@kiri5807 3 жыл бұрын
nazi haishindani na jiwe .
@houseofbeatytv9682
@houseofbeatytv9682 2 жыл бұрын
Usiseme ivo wew mshukuru tu mungu kama wazazi wako uponao
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 2 жыл бұрын
Anataka kumjuwa mama na ndugu zake wengine amefanya vizur
@lucymollel8212
@lucymollel8212 2 жыл бұрын
Je kama huyo sio mjomba maana hii dunia ni tambala bovu wakapimwe DNA tu
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 2 жыл бұрын
@@lucymollel8212 wewe ndio unaona sio. Jomba subiria wewe yakikufika au kizaz CHAKO mtaenda kupima ujiridhishe maana nyie watu wa mtandaoni unapenda kuzungumza sasa watajuwa wenyewe sisi hayatuhusu km sio ama ndio
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Pole sana
@queenchalamila322
@queenchalamila322 2 жыл бұрын
Jamani mungu awabarikisana nyie watu hata mm napenda kumjuwa baba angu aliniacha nikiwa na nyonya naitwa Nora ruwanda na baba yangu anaitwa hebethi ruwanda nampenda japo simunyui mnitafuti jamani
@omaryshabani3389
@omaryshabani3389 Жыл бұрын
mnabowa Sana tunamukumbuka mpaka marehemu ruge mtahaba
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@omaryshabani3389 wanaboa nn
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 11 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
GEAH HABIBU,NATISHIWA AMANI,AMTAJA ADAM MCHOMVU #NIPE5 TBC
31:35
Gangana Info Channel
Рет қаралды 34 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 66 М.
BWANA HARUSI AGOMA KUINGIA UKUMBINI,KISA HIKI HAPA...!!
14:35
Geah Habibu
Рет қаралды 238 М.
Mama akutana na mwanaye baada ya kupotezana miaka 30/ DADAZ LIVE
36:10
Mrembo Vumilia Massawe Anamtafuta Mama Yake
8:46
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 4,6 М.
КАК ВЫЖИТЬ В АВИАКАТАСТРОФЕ✈️
0:25
MEXANIK_CHANNEL
Рет қаралды 4,6 МЛН
Отомстила слепой сестре 👍
0:55
NKino
Рет қаралды 1,3 МЛН
Хитрая МАТЬ делит НАСЛЕДСТВО между ДЕТЬМИ 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 9 МЛН
Cunning GUYS 🤣
0:15
dednahype
Рет қаралды 12 МЛН