#LEOTENA LIVE Kijana Anakutana na MAMA yake Mzazi | KITAMBO kirefu Rasmi Apatikana | LEO TENA
Пікірлер: 139
@fatmabukuku53843 жыл бұрын
Cloud mimi ndio maana nawapenda sana mnafanya kazi kubwa sana ya kusaidia jamii.
@moricemorice753 жыл бұрын
Mimi nimelelewa na wazazi wote ila hili nimetoa macho Dr pole Sana kijana mwenzangu cloud #Mungu awe nanyi katika kazi yenu
@suleimanabdillah74903 жыл бұрын
CLOUDS Jumba la wabunifu,mnanikosha sana, NA HONGERENI SANA
@sumayasumaya6455 Жыл бұрын
Mjomba is very smart man, na kina temba wako Barabara mungu waongoze na mtoto wenu anatia huruma sana..kukosa mapenzi ya mama yake.pole kwa sote hata mie
@mariamthomas3902 Жыл бұрын
Yaan alipoanza kujitambulisha mjomba me uso wote umejawa machozi hata sijielewi barikiwa mjomba 😭😭😭😭
@godfreyjames85823 жыл бұрын
NYIE CLOUDS Fm Mungu anawaona atawalipa tu,, atawaongezea mlipotoa kwa ajili ya watu Eeeh Mwenyezi Mungu nisaidie nami nimpate baba yangu mzazi natamani ajue kuwa nampenda hata kama hatujaonana miaka 29 mpaka leo
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Hee pole sana
@lucyjeremia1381 Жыл бұрын
Pole Sana
@victoriamazula559213 күн бұрын
Mntangazo yalikuwa too much
@jaycee90673 жыл бұрын
Leo Tena best radio program in Tanzania. 🙌🏿
@alhabsi64302 жыл бұрын
Mungu akuwekee wajomba zako wakupende uwapende
@asteriashios1852 Жыл бұрын
pole sana kija mungu akutetee mjomba ni mama hivyo hongera sana mjomba kwa kumtafuta mtoto
@mozasaid38692 жыл бұрын
Hongereni Clouds Media kwa kazi mnayoifanya ya kukutanisha familia zilizopteana,
@jamilasalimvilog67523 жыл бұрын
Yani imeniuma kweli pole sana mdogo wangu
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Pole Saana Mwanangu M/MUNGU Awajalie Mshikamano Upendo Na Amani Wewe Na Wajomba Zako Na Ndugu Na Jamaa Zako Wote
@wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын
Yani ihii radio mungu awabariki sana tena sana maana mnasaidia sana sio kama radio nyingine kazi umbea tu utasikia za ndani apo anatetwa mtu
@muddysasma30373 жыл бұрын
Dah clouds hongereni SANA. Mjomba ni mama
@gracewambura85393 жыл бұрын
Clouds mwenyezi Mungu hazidi kuwabariki sanaaa ktk kipindi icho Cha kuwatafuta waliopoteana 🙏
@munirahassan501318 күн бұрын
Mjomba ukiona anakutafuta na mama hayupo. Jua ana upendo sana, wachaga oyeeeeee
@mwanamwantumazizi18692 жыл бұрын
Jamani munafanya kazi nzuri sana naombeni nMimi minisaidie nimepoteana na familia yangu tunazaliwa tumbo moja tumepoteana kwa muda mrefusana
@moricemorice753 жыл бұрын
Dahuu love you Yan unaongea na masikitiko mpka nimetoa machoz dr
@OmanOman-bx5du8 ай бұрын
Wa mma wengine awanaga uchingu wa m tto mm pia mma yangu alinicha nikiwa na umli mdogoo waka tengan na bba yangu nikalelewa na bbi. Tokaspo mma alikua anaishi mkoani. Lindi mm nikiwa dar tokaaapo mma akunitafuta. Ilammi ndonilimtafuta. Ata mmi sinadana upendo na mma. Bba ndo. Namuerewa saana. 😢
@eggysulle798829 күн бұрын
😢
@salumbakari25 күн бұрын
😊😊😊😊
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Hongera mjomba kwani duniya ilipo fikiya ni wachache wenye roho kama yakwako hongera da. Geya na timu mzima
@diyaosman62683 жыл бұрын
Hongera clouds fm mungu awabariki sanaaa
@agyjackkalwela63772 жыл бұрын
Pole kwa kupokea taarifa ya kifo cha mama yako najua imekuumiza
@user-mc6um1it1r Жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa kazi nzur san❤
@stellahmsigwa64932 жыл бұрын
Hongera sana mjomba angu
@sebonikegobi62442 жыл бұрын
Wakina mama tusiwaache watoto wetu tukubali hata kufa nao
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Kwa Kweli Dear
@user-ky6tv6lk5x24 күн бұрын
Yes my
@yasminoluoch16923 күн бұрын
Kuna mda inabidi 😢😢 mm nimejifunza kuto jurge sana
@MADAMMACKTV2 жыл бұрын
Duu inauma naimenigusa hatamm mwanangu yipo arusha baba yake atakinimuone nakudaii mm simpendii mwanangu inauma sana nanaumia sana polekijana baba zenu shida
@ednaJF1028 Жыл бұрын
it's very sad jamani . Yani hamu yote yakuonana na mama ndo imeishia hapo my heart is so broken haki💔💔
@rosehaule676523 күн бұрын
😢😢
@beatricetenywa43673 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu jaman,kijana anaonekana amekomaa kwaakil hata hajalia ila huyo baba yake jaman mmh. Hongeren clouds.
@irenekilawe94762 жыл бұрын
Mimi nimepotelewa na mjomba angu toka mwaka 1998 paka Sasa atujui aliko
@monadinadi5295 Жыл бұрын
😭😭Dah tushikane na familya zetu hkn km Mam. Mama ndio kiungo cha familya
@roseamos99302 жыл бұрын
Mjomba yupo vizuri sana 😍
@roseamos99302 жыл бұрын
😍😍
@stellahmsigwa64932 жыл бұрын
Mungu amlehem mjomba wangu
@juneydeatakujadaimondomar55492 жыл бұрын
Masha Alla mjomba
@user-kb7co8xk4oАй бұрын
Pole sana aise inauma
@sharmelasaif472 жыл бұрын
Mungu mwema kwakweli dah
@tricemollel67392 жыл бұрын
Jamani leo tena mpo juu saanaa! Ila watu ni wengi wanatafutana ila mngefanya kwa muda mrefu naona muda ni mfupi sana please 🙏
@singleparent74832 жыл бұрын
Dah jamani tusiwatenge wtt na mzee mmoja shida ndo kama hii
@yasminoluoch1692 жыл бұрын
Hii story imeniliza💔
@lucylucy36782 жыл бұрын
Mjomba amekamilika kisawasawa,ndo maan nawapenda wajomba zang hatr .
@happykisarika13372 жыл бұрын
Wako vizur
@lucylucy36782 жыл бұрын
@@happykisarika1337 san my
@khadijatonge36363 жыл бұрын
😢
@realramjen32703 жыл бұрын
Mjomba ni mama
@nurubrown31543 жыл бұрын
so pain😢
@tanzaniatouristsattraction16223 жыл бұрын
Pole sana
@omaryshabani3389 Жыл бұрын
nini sasa nanyie mnatukatisha sitore
@farhatomar782 жыл бұрын
Mjomba hongera kwa kumfatilia mwanao na wote mlolifatilia hili jambo
@trifoniambilo24002 жыл бұрын
Najikuta nalia
@mercynadia31402 жыл бұрын
Hii story umeniuma sana mpaka nimelia,yaani unamtafuta mama unakuta ameshafariki jamaniii
@estherbakari95342 жыл бұрын
Pole Sana
@MaryJohn-hh2ku Жыл бұрын
Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini
@MaryJohn-hh2ku Жыл бұрын
Mababa awatafutwi naona ni.Wamam.tu 🤣 au waon.awajapotezana na watoto Nini
@adidjakhalfani26613 жыл бұрын
😥😥
@souvenirweber71693 жыл бұрын
😭😭😭 inauma mno
@rukiashunda93643 жыл бұрын
😥😥😥
@teklalumalanja17522 жыл бұрын
Tunaomba namba zenu studio
@maryamtanzania97432 жыл бұрын
Dahaa miezi 3 hata kama nina shida kiasi gani siwezi muacha mwanangu
@siwonikewilliam9146 Жыл бұрын
Pole sn
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Kuzaa zaa ovyo ni shida jamanii hatari maskini na bara mikoa mikubwa tofauti na Zanzibar
@alfredinafelix836 Жыл бұрын
Basi tu ni utukutu wetu wanadamu kukiyuka tamaduni na mipango ya kuishi iliyowekwa na wazee wetu walio tutangulia kuishi…kila mipango yao waliipanga kwa maana flani na ilikuwa na maana…unapopata mpenzi au mchumba msiishi kinyemela hadi kuzaa pasipo kufaamiana ktk familia ndicho kilichomkuta huyu mtoto…wazazi wake walijifanya wanajua
wanaume na nyie mutumie uzazi wa mpango hivyo hivyo.
@preciousprince9159 Жыл бұрын
Naomba namba za cloud maana nina uncle wangu hamjui baba yake
@nishaabdula50152 жыл бұрын
Ila. Wanawake jmn muda mwingine tuache ushetani ivi unamuacha mtt miaezi mitatu ili iweje hs alafu ktt km akujui na kusaidi utasema mbayq
@user-br3sc8bm4t2 жыл бұрын
Muombe mungu sana kama uko kwenye ndoa au mahusiano na ukapitia wakati mgumu ukiwa na mtoto mdogo ,wale wenzangu na mie huwezi kushangaa hili kikubwa dua yasijirudie
@nishaabdula50152 жыл бұрын
@@user-br3sc8bm4t aise akuna kipindi chochote ambacho uweze pt ujasir unaacha mtt wako kwann uko unapo kimbilia usiki mbie na mwanao
@estermahenge5972 Жыл бұрын
Inaumiza kweli jamani bora ukimbie nae tu maana kumuacha Mtoto na usingizi unakua upati kbs😭😭
@Goldenbutterfly-hk1hp27 күн бұрын
Acha ujinga ww atakama umepata shida vp usiache mtoto wako@@user-br3sc8bm4t
@OmanOman-dd5qk Жыл бұрын
Pôle sana ndugu yangu hiki kipindi kidumumilele
@marthageorge50432 жыл бұрын
😢😢🥰🥰🥰
@merinajuma69483 жыл бұрын
😭😭😭😭😭sjui kwann nalia jmn
@user-br3sc8bm4t2 жыл бұрын
Kiubinadam unaguswa na ttzo la mwenzio unajatibu kuvaa kiatu chake kinabana lzm chozi likutoke
@priscaalphonce16622 жыл бұрын
Dah Kama mimi nimelia Kama nimefiwa. sijui kwa kuwa mama yangu alifariki af nnavyotamani ningekua nae , continue rest in peace mama yangu. Upewe pumziko jema.
@devothakawogo3460 Жыл бұрын
Jamani nisaidieni namba yenu tafadhari
@user-kb7co8xk4oАй бұрын
I see
@lydiahbhoke2284 Жыл бұрын
Nitaishi na watoto wangu jamani sitaki ushauri Waje kunitafuta
@mspwjjjso6261 Жыл бұрын
Daah
@ayshasaid154724 күн бұрын
Matangazo mengiiii du😢
@barakamelkzedecknkini45143 жыл бұрын
Mimi Kama mdau, nashauri Kama itawezekana jaribuni kufuatilia upatikanaji wa huduma ya DNA. kipengele Cha DNA test kwa case Kama hizi Ni muhimu. Inawezekana ni ghari Sana sijui inagharimu kiasi gani, au utaratibu wa kisheria unasemaje, Ila litazameni. Kama Maury Show.
@alicedavido13303 жыл бұрын
Kwamba huamini au
@enockm61013 жыл бұрын
@@alicedavido1330 Mimi nimemwelewa sana @Baraka Nkini, ni sahihi kabisa maana inawezekana habari zinafanana ila watu ni tofauti. Kijana akajikuta kaingia kwenye familia ambayo siyo yake. Maana hapo ni vithibitsho vya midomo vimetumika na hamna hata sheria iliyotumika. Hebu fikiria hivi:- ikaja familia nyingine yenye story kama hii; Au mama mmoja kaibuka na kusema mimi sijafa na ndiye mama yako mzazi? mtamwamini yupi? ILa kazi waliyofanya siyo ndogo, kijana kama alikuwa anapoteza mwelekeo na kukata tamaa kashapata baadhi ya majibu aliyokuwa akijiuliza. Heko clouds
@jaycee90673 жыл бұрын
Umewaza mbali. Nafikiri ni vizuri ingefanyika hivyo.
@ashurakiswamba70852 жыл бұрын
Hiyo DNA anapimwa na mjomba km kitu CHAKO na mtu kajieleza vya kutosha. Mbona inatosha mtu anapata history na a Namjuwa ndugu yake
@ashurakiswamba70852 жыл бұрын
Huyo kijana wakat amefika moshi alihangaika na akapelekwa baadhi ya nyumba. Na ikadhindikana lakini alivyokuja clouds. Amejieleza vya kutosha na mpk mjomba aliposkia na mjomba ameambiambiwa tuu na amejiaminisha na kufunga safar usiku huo huo ndio ujue damu nzito kuliko maji. Sasa tulidi hy kupima DNA anapimwa na nanii kwa mfano baba anae mama kafa au mjomba? Tufahamisheni wajinga tupate elimu
@marygregory75662 жыл бұрын
Daa😭😭😭😭
@portinagodson38363 жыл бұрын
MASIKINI KIJANA HAAMINI MPKA AONE KABURI LA MAMA YAKE JAMANI WAMAMA TUSIACHE WATOTO HATA IWEJE NIMEUMIA SANA😭😭😭
@ednaJF1028 Жыл бұрын
Yani nimeumia sana haki dah!
@lucyigwathuigwathu80382 жыл бұрын
Mutoto. Ni. Mama.
@JacklinDavid23 күн бұрын
Dah hii imeniuma 💔💔
@samissa17553 жыл бұрын
Hatari san
@quentinsylvia38772 жыл бұрын
Huyo baba alienda nae arusini Kwa kaka yake pengine alikua mchepuko ndiyo maana kijana hajamtambua
@omaryshabani3389 Жыл бұрын
mnaaribu matangazo
@zulfashafeeq84372 жыл бұрын
Tunaombeni namba zunu
@stellahmsigwa64932 жыл бұрын
Kabisa kwa kwel
@isamony58 Жыл бұрын
mnabowa matangazo marefuuu
@husnasalim96142 жыл бұрын
Masiki alafu anafanana namjomba yake
@stellahmsigwa64932 жыл бұрын
Wachaga hawaachagi watoto
@badrahassan75132 жыл бұрын
Namtafuta baba yangu ni f.f.u alikua anafanya kaz pale kituo kimoja kabla ya kufika gereza la ukonga ukitokea mjini anaitwa Charles 😭😭😭😭
@@florakihwele9183 naogopa wachaga cjui naanzaje wacha nikae tu
@shamsamuhammad3677 Жыл бұрын
mutafute to usiogope labda yupo mm mwenyew nitamusak my dady wangu sijawaikumuon nikimuliza mama ananifokea siku nitatinga studio we acha
@ashuuuaisha9122 Жыл бұрын
@@shamsamuhammad3677 nikupatie mfano mdogo tu .mimi nilipewa mimba bwana akasema kaitowe sitaki mtoto wa haramu na nina family yng. Wakati mwanzo hakusema haya. Mimi nikarudi kijijini nikazaa mtoto na aliponiambia nitowe mimba no yk nilifuta na tulikutana America. Mimi nikiwa mgeni si mwenyeji wa kule na niliporudi mpaka leo hii mtoto ananiona mimi napambana kwa ajili yake. Mfano sasa uwe wewe uniulize babayo hapo nitqkujibu nini? Maaana huwa nikimtizama mtoto ambaye alisema nimtowe waraah huwa simtamani kumuona na mpaka leo hii sijui kama yuhai au laah .ninachokijua mimi ni kutafuta maisha ili hata nikifa huyu mtoto nimuache kwenye kiota asiwe wa kuzunguka kwa ndugu
@nantaembanusurupia5674Ай бұрын
Mjomba ni mama😢
@majukigagaboy79313 жыл бұрын
Kwaupande Fulani mwamba anajitoa lakin Mama mjinga wa namna hyo siwezi kumtafta Mama wa mjinga alieniacha na miezi mitatu
@kiri58073 жыл бұрын
nazi haishindani na jiwe .
@houseofbeatytv96822 жыл бұрын
Usiseme ivo wew mshukuru tu mungu kama wazazi wako uponao
@ashurakiswamba70852 жыл бұрын
Anataka kumjuwa mama na ndugu zake wengine amefanya vizur
@lucymollel82122 жыл бұрын
Je kama huyo sio mjomba maana hii dunia ni tambala bovu wakapimwe DNA tu
@ashurakiswamba70852 жыл бұрын
@@lucymollel8212 wewe ndio unaona sio. Jomba subiria wewe yakikufika au kizaz CHAKO mtaenda kupima ujiridhishe maana nyie watu wa mtandaoni unapenda kuzungumza sasa watajuwa wenyewe sisi hayatuhusu km sio ama ndio
@khadijahali48373 жыл бұрын
Pole sana
@queenchalamila3222 жыл бұрын
Jamani mungu awabarikisana nyie watu hata mm napenda kumjuwa baba angu aliniacha nikiwa na nyonya naitwa Nora ruwanda na baba yangu anaitwa hebethi ruwanda nampenda japo simunyui mnitafuti jamani
@omaryshabani3389 Жыл бұрын
mnabowa Sana tunamukumbuka mpaka marehemu ruge mtahaba