"Dr Mwaka Alinifanyisha Kazi Bila Malipo | Aliniambia Nimuachie Kila Kitu"

  Рет қаралды 140,468

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Жыл бұрын

Queen Mke wa Dr Mwaka akifunguka kuhusu sababu ya kuomba talaka kwenye Jahazi ya Clouds FM

Пікірлер: 326
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Жыл бұрын
Mke mwema kakosa mume mwema. dada anza upya na Mungu atakulipa kwa mema yote uliyo mtendea.Pia una busara sana.
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Kwenye miti hakuna wajenzi
@getrudejohnson
@getrudejohnson Жыл бұрын
Pole sana dada ila tambua kabisa hakuna aliemsaliti Yesu akabaki salama Tubu dhambi hio kisha jikabidhi mbele za Mungu mazito atayarahisisha. Mwanaume amekuacha ila Yesu hatakuacha atakufanyia wepesi kwa unayoyapitia Yesu atakufuta machozi.
@zeddybass6672
@zeddybass6672 Жыл бұрын
USILIE MAMA KWANZA NI MZURI HARAFU UNAJITAMBUA .HARAFU NI MWANAMKE NA NUSU .KWA DUNIA HII YA LEO SIO RAHISI MWANAMKE KULEA WATOTO WA WAKE WENZA .NAKUPENDA BUREE♥️♥️
@zaynamushi7565
@zaynamushi7565 Жыл бұрын
Huyu dada ndoa anaiweza SaaAAAN Allah ambariki apate mume kwenye kheri kwke😔🙏
@amosibilingi4299
@amosibilingi4299 Жыл бұрын
Hata atakaempata bado atadai talaka tuu
@karaoglan9444
@karaoglan9444 Жыл бұрын
Unamtetea mwanamke mwenzako? Unadhani huyu na zile faking love moments wanafanana??
@dativadaud4300
@dativadaud4300 Жыл бұрын
Uyu ni mke sahihi
@daudifungo5521
@daudifungo5521 Жыл бұрын
Pole Sana Hizi Ndoa za Kupostiana Mitandaoni Zina Changamoto Mno Tataizo Husda Watu Sio Wazuri Kabisa Hapo Wanafurahi. LEA WATOTO WAKO KM UNAHITAJI STARA MI NIPO.
@faisalyasin5721
@faisalyasin5721 Жыл бұрын
You got alot of wisdom with you ! And very articulated in your case your Haq will prevailed,be strong and keep on trust in Allah swt. There is always a challenge in life . Kudos Iron lady !!!
@ashooraashoora1180
@ashooraashoora1180 Жыл бұрын
Chozi la mnyonge hulipwa na mwenyez Mungu mkabidhi nyumba yake mungu atakufunguria rizki nyingine kuliko kupitia manyanyaso makubwaa utajapata maradhi ya moyo bure
@jasiminjasimin7694
@jasiminjasimin7694 Жыл бұрын
Pole Sanaa mungu akusimamie hata sisi tupo tunapambana na watoto wetu tushaterekezewa natujawai kupatwa hata huduma tunakomaa wenyewee mpaka watoto wanafikia umri wa miaka 17natunasonga mungu anasaidia
@salmaabdallah7200
@salmaabdallah7200 Жыл бұрын
Kabisa dada tunakomaa kwa kweli, 🙏
@julianaswai7846
@julianaswai7846 Жыл бұрын
Jaman huyu Dada n mzuri sana. Ndio maan doct Mwak hataki kumpa talaka.. pole Dada kwa misukosuk unayopitia.
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Жыл бұрын
Kabisa roho Ina muuma
@swalehemrombo9301
@swalehemrombo9301 Жыл бұрын
Kuna kizuri zaidi ya pesa ktk Dunia ya sasaa.!? Mgongano hapo uko kwenye maslahi tuu ya Mali lkn si uzuri wa huyo dada no.!!
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 Жыл бұрын
Very sad this woman she’s too cute
@misschagga8042
@misschagga8042 Жыл бұрын
Dada umeniliza wewe mimi Mungu akujaalie riziki na ulee watoto wako.
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
Wanawake wapumbavu ndio wataona Queen kakosea lkn Ana haki ht mie machoz yamenitoka 😥
@Rogathe-Rogathe
@Rogathe-Rogathe Жыл бұрын
Jamani mie pia nimelia mpk bac....km vile dadangu anapitia hayo magumu
@karaoglan9444
@karaoglan9444 Жыл бұрын
Wanawake ni mtihani sana...
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Pole sana Queen Sina neno ila neno Langu ni Moja mpe mahari zake bac akiitaji Mali pia mpe ni vya Dunia na vinatafutwa na mungu atakubariki
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 Жыл бұрын
Hivi wanawake si muwe na nyie mnajenga nyumba za kwenu zenye majina yenu? Why utake vya mwenzio tu?
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@vintagemusicgroup9236 Hmh Mke pia anahaki mmali ya mume si mbaya
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 Na mume nae ana haki kwa mali ya nani?
@hokororoflora5639
@hokororoflora5639 Жыл бұрын
Nakutakia ushindi my dear! Maneno yako ya busara mungu atakuondosha kwenye ndoa hiyo ya mateso
@GadssonLutaha
@GadssonLutaha 6 күн бұрын
Na uwanaume wangu chozi limenitoka mungu yupo anakuona na anasikia, Amini atakusaidia
@bintally4891
@bintally4891 Жыл бұрын
Pole Sana dada Queen. Naamini M/mungu atakulinda. Ndoa hakuna hapo.viongozi wa dini wakishindwa kuamua wanawake tutakutetea. Acha kulia kwasababu ya mtu asiyejua thamani yako.
@khadijajuma7873
@khadijajuma7873 Жыл бұрын
Mama uso wako una Nuru. Mashallah Mungu muombe tu yatafunguka yote hayo hatakuacha mkono.
@faridasuleiman2437
@faridasuleiman2437 Жыл бұрын
Pole Sana aisee apo shida Mali tu anais Kam anaibiw achana nae Allah atakupa aliyesahihi na Bora kwako pambana n wanao mama bado u mzuri uso una Nuru mashallah Allah akujaalie wew na wanao na wakulinde zaid
@farouqnnanguje277
@farouqnnanguje277 Жыл бұрын
Pole saga dada , Be strong 💪🏿 it happen in life , usihuzunike …. U have to thanks for allah …. Tupo pamoja na wewe sister, everything it will be fine dada …. Don’t worry…. Tutaku saport inshalah 🙏🙏🙏🙏
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 Жыл бұрын
Wanawake bana, mwanamke akifanya manyago yake atajilizaliza ili aaminiwe ila ukweli n kwmb wanawake n waongo na n matapeli tu hamna ukweli wowote hapa..
@asharamadhan1090
@asharamadhan1090 Жыл бұрын
Duuuuh!pole sanaaa tuko wanawake wengi tunaolea watoto peke yetu kwa mateso magumu,fikiria ulee watoto peke yako na yeye akusumbue mtihani sana ila usife moyo usilie futa machozi yupo Mungu atakusaidia sababu Mungu ndio kila kitu
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 Жыл бұрын
yr the best mama n GOD is going to take you through.
@amoslucas1247
@amoslucas1247 Жыл бұрын
Ndoa ya mke Zaid ya mmoja n changamoto sana🙆🏾‍♂️
@karaoglan9444
@karaoglan9444 Жыл бұрын
Ila uzinzi hauna changamoto??
@TahilaRamadhan-hz3pd
@TahilaRamadhan-hz3pd 9 ай бұрын
It depends on kind of husband that u have
@amoslucas1247
@amoslucas1247 9 ай бұрын
@@TahilaRamadhan-hz3pd maybe
@innocentchikoya5060
@innocentchikoya5060 Жыл бұрын
Sisi wanaume tuwe na upendo na mwanamke anaekujali huyo Dr Mwaka Mungu anamuona kabisa asimnyanyase Huyo Queen Mwanamke anataka kupambwa ili isianguke waziri wa haki za wanawake naomba hii iichukuliwe hatua
@stevenbushiri2291
@stevenbushiri2291 Жыл бұрын
Kaka nyamaza huwezi jua Nini chanzo
@hopesesilius6104
@hopesesilius6104 Жыл бұрын
Mungu atakusimamia.zidi kumuomba Mungu
@salumally663
@salumally663 Жыл бұрын
Pole sana dada kwa mateso..haya sio mafundisho ya Uislamu vitisho havina nafasi...Ila Allah anayaona magomvi yenu na ndio atakaewahukumu.
@zainawakahiu6967
@zainawakahiu6967 Жыл бұрын
Asalam alleikum warah matulahi wabarakatu...dadangu kwanza Masha Allah Kwa kumjua Allah.... Allah azidi kukuongoza Ameen...pili karibu Kwa club ya single mother's...watoto watakua Kwa nguvu za Allah ...
@mimifineliving2022
@mimifineliving2022 Жыл бұрын
Utadhani dada yake zari, mzuri huyu dada. Yani hapo bila makeup
@rosemasune8404
@rosemasune8404 Жыл бұрын
huyu ni mzuri sio mrembo, warembo akiamka asubuhi ukikutana nae utakimbia
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Ishi nae ndio utajua uzuri na ubaya wake.
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Mbona mnajidhalilisha saana mitandaoni dada zetu wa kiislam aibu wallahi
@alijuma7882
@alijuma7882 Жыл бұрын
Dada ukimaliza na na Dr Mwaka karibu kwangu utapata utulivu sina bugudha wala kero
@anyesmanga462
@anyesmanga462 Жыл бұрын
Dad umejua kutuliza daaaa wanaume🙌🙌
@swalehemrombo9301
@swalehemrombo9301 Жыл бұрын
Kwahiyo wewe ukisikia ya upande mmoja tu basi unaliaa.!! 😂😂😅
@stevenbushiri2291
@stevenbushiri2291 Жыл бұрын
Wanawake Huwa hawawakosei wanaume
@swalehemrombo9301
@swalehemrombo9301 Жыл бұрын
@@stevenbushiri2291 ...mmmmh hujakutana na Mikasa wewee broo.!! inafikiaga mpk wale wenye roho ndogo wanauwa mtu anaona potelea mbali liwalo na liwe kutokana na adha ya Hawa viumbe wanawake achaa kabisa broo.!!
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Жыл бұрын
NENO MNATAFUTA MNACHUMA ILA WANATUMIA WENZIO LIMENITOA MACHOZI 😭😭😭😭
@carolinafesto4858
@carolinafesto4858 Жыл бұрын
😢😢😢 very sad kabisa how can i help her please please dada rudi kanisani utapata more amani more
@rashidbuzubona6577
@rashidbuzubona6577 Жыл бұрын
Acha ushauri wa kijinga ww
@malkiachristopher8732
@malkiachristopher8732 Жыл бұрын
Sasa ndugu yangu kwan kuna mahali kasema anaikosa aman kwenye uislaam, dini na mahusiano ya ndoa havihusiani so imani yake ndo imempa nguvu ya kufika hapa alipo leo
@mao9622
@mao9622 Жыл бұрын
Ndoa za kikristo ndio zina stress hatari.Hebu acha kuchanganya mambo
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
​@@mao9622 pole sana
@marysdiosa8764
@marysdiosa8764 Жыл бұрын
@@malkiachristopher8732 waislam ni wabinafsi na roho mbaya sana ,aisee nlisemaga hata rafik wa kiislam stak kumsikia, na washirikina hatar
@consolatabenedict6580
@consolatabenedict6580 Жыл бұрын
Nyie hyu dada ni mzuriiiiii
@mwaibolaiman2763
@mwaibolaiman2763 Жыл бұрын
clouds mbona hii story haijulikani imeanzia wap imeishia wap vipande vingi vingi havieleweki kama hii muendelezo wake mpaka ukabaatishe huko, viwekeni kwa mtiririko ili watu wanao weza kumsaidia waelewe stori yake,
@fadhiangumbi8039
@fadhiangumbi8039 Жыл бұрын
Dada jasiri Sana but mungu akupe nguvu ya kuyashinda haya
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 Жыл бұрын
Dada nakuelewa sana MUNGU akutie nguvu Kwa hili na akupe nguvu ulee watoto wako
@remiomar7154
@remiomar7154 Жыл бұрын
nyumba kama amekupa n haki yako n akikupokonya itakuwa amekudhulumu na nimakosa hata kidini yeye kikubwa kadhi akuachishe aibu hii kaitaka mwenyewe mungekuwa mumemalizana chumbani ulimwengu usingejuwa sasa Dr.mwaka anaona haya
@husna34562
@husna34562 Жыл бұрын
Anamkomoa huyu dada sio vzr mungu hapendi amuache tu kwa talaqa ndoa sio manyanyaso
@abdourazakndeze4157
@abdourazakndeze4157 Жыл бұрын
Hio ndio tabia ya waganga ni watu wenye roho mbaya yule sio Dr bali ni mganga wa kienyeji kazi yake ni kuganga na kupiga ramuri na kuwadanganya wanawake sijuwi kwa nini watu huwa wanamuita dr Mwaka.. sio dokter bali ni mpiga ramuri. Dada nakuomba usitoke kwenye nyumba yako...
@rehemamkalawa3801
@rehemamkalawa3801 Жыл бұрын
😂😂🤸 ila watu nyie
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 Жыл бұрын
Ramuri ndiyo nini?
@abdulazizkilume8641
@abdulazizkilume8641 Жыл бұрын
We mwanaume wa aina gan unaanza kutoa shombo ambazo hazina Tija kw hyo anachokiongea huyo dada waona Yuko sahh sna acha izo zarau
@abdulazizkilume8641
@abdulazizkilume8641 Жыл бұрын
Kila siku mwanamke anajianika mtandaon anaongea vitu ambavyo havielewek huko ni kujidhalilisha mwanamke anashindwa kuita pande zote mbil wakae wamalizane wao kujianika mtandaon au kuwa na waandishi wa habar hiyo sio njia ya kusolve tatzo bali n kutafta umaaruf usio kua na maadili ya ndoa
@mwanamnyika4085
@mwanamnyika4085 Жыл бұрын
Hakuna mwaka ana tembelea nyota ya uyo dada ndio Mana ataki kumuacha tumien hakiri viumbe vya mungu ,akuna jambo likakosa nyisho wake na Hilo litapita tu
@maryvelasquez3601
@maryvelasquez3601 Жыл бұрын
Well said,Queen ananyota kali sana
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Жыл бұрын
Uyu dada anangara
@glorymsopa4221
@glorymsopa4221 Жыл бұрын
Nikweli kbs jmn daa kuna watu mnaona mbali sana
@hani2095
@hani2095 Жыл бұрын
Mrembo sana lazima atapitia matatizo hawezi kumwacha na atamtia kichaa
@jennifermmanyema6693
@jennifermmanyema6693 Жыл бұрын
Duuuh pole Sana dada huyu Dr ni kabila gan???? Jaman kwann asimuachie hiyo nyumba akalea watoto wake??? Jmn
@waminzashunu831
@waminzashunu831 Жыл бұрын
Pole dada, kwani yuhu Dr mwaka ni kabila Gani natamani nijue ustarabu Hana zero kabisaaa
@hasinahasina8190
@hasinahasina8190 Жыл бұрын
Nakuoneya huruma pole. Yataisha mwenyezi Muungu Yuko pamoja na wewe au pamoja nasisi wanawake wenziko
@elinapouljensen9244
@elinapouljensen9244 Жыл бұрын
Usimpe Usiogope wala usilie, ushaamua kuachana nae aachane pia nawewe sio lazima Kwani angetaka yeye kukuacha ungemlazimisha ivi angekubali ..aende zake uko unavyomuogopa ndio anapata kichwa kuwa mgumu Akitaka mpigane pigana usimuogope yeye sio mungu, haliwi jambo bila idhini ya mungu unaogopa bure na kujistress bure.. Hali iyo umemzalia Vipi ungekua hujamzalia, au alivyokua anawapanga watatu watatu alikua anaona nanyie mnaenjoy ayo maisha kama yeye, kumbe mmekaza tu mioyo zamu yake imefika inamuuma nini sasa, liwalo na liwe Usiogope akiachwa aachike
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 Жыл бұрын
Pole dada kwa mitihani uliyopitia, Allah atakulipa
@zainabually2968
@zainabually2968 Жыл бұрын
Mwaka bado anampenda Queen ndo maana anafanya yote hayo
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 Жыл бұрын
Hakuna kurudisha nyumba kuna jasho lako humo na alikupa kisheria mbele kwa mbele ushindi ni wako imekula kwake yaani nimekuelewa vizuri sana na nimegundua una akili sana na unamaono makali keep it up very good na ikawe fundisho kwa vidume wengine
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 Жыл бұрын
Usitoe nyumba
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Жыл бұрын
Njoo mwaya uwe wifi yangu Yan we Ni mzur jmn asiye kupenca achana naye njoo huku Kaka yangu yupo😍
@elizabethcharles6527
@elizabethcharles6527 Жыл бұрын
😭😭😭😭 mama we mzur sana usilie unaniliza mimi
@stevenbushiri2291
@stevenbushiri2291 Жыл бұрын
Ataje na yeye makosa yake
@binurusm8886
@binurusm8886 Жыл бұрын
Mimi naona hata kama Watakufuata Waandishi wa Habari Ni Kunyamaza tu, Kwani Mwenyezi Mungu Mwenyewe anajua yaliyokupata Na atakusaidia Kwa njia zake, Kuliko kila Lililokutokea kuliweka mitandaoni. Lia na Mwenyezi Mungu, Usilie katika mitandao.
@ceciliamtei1108
@ceciliamtei1108 Жыл бұрын
Kina Mama tunaunaumizwa sana, nakuombea Mwanamke mwenzangu Mungu akutie nguvu hasa unapopitia machungu ya ndoa ya mtu asiyeona thamani yako.Pole sana
@stevenbushiri2291
@stevenbushiri2291 Жыл бұрын
Ila nyie hamuumizi
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb Жыл бұрын
Unafikir kila kitu ni nyinyi tu ndio mnaonewa.... aachie nyumba tu apewe talaka.
@fayeezabdallah2217
@fayeezabdallah2217 Жыл бұрын
Jap haipend lkn kawek kaniamba MashaAllah Allah akulnd sistr
@jamilaalli
@jamilaalli 11 ай бұрын
Pole mama kwayote unayo yapitiya Allah akulipa kwamem abaya tumeumbiwa wanadam piy hats mazur vilevil kikubwa wewe no mwamke jasir
@twahashearer8302
@twahashearer8302 Жыл бұрын
Nimekuelewa Doctor Mwaka
@tzasafaritv9937
@tzasafaritv9937 Жыл бұрын
Allah akupe subra na atahukumu mchana kweupe ili iwe mazingatio kwa jamii.
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Жыл бұрын
Baba anarohoo ngumu hyo jmn .Eee Mungu wasikie wakina mama
@salmaabdallah7200
@salmaabdallah7200 Жыл бұрын
Amiin
@ashaali7154
@ashaali7154 Жыл бұрын
Waombe radhi wazazi wako kwanza watanzania wanakuangalia wala hawaumii ila wazazi ndio wenye mtihani. Huko South ulikuwa umekwendaje alikupeleka yeye mumeo au uliondoka mwenyewe? Umeanza malumbano sasa unayandeleza mwenyewe fikiria athari zake.
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Жыл бұрын
Jamani mwenyenyumba haina mtu ampe huyu dada akae , arudishe kibanda cha watu cha masumbulizi ,kikubwa awe na talaka yake
@claudia1500
@claudia1500 Жыл бұрын
Mume kutoka Kigoma...no hapana...ungesoma alama za nyakati my dear,kwanza nakupa hata hongera kumchomoka! Inua moyo utafika mbali
@herikaniugu
@herikaniugu Жыл бұрын
Nyie ndio mnaempoteza, atateseka sana
@serengetishipping2196
@serengetishipping2196 Жыл бұрын
Huyu dada muongo sana , huwezi kukaa ukaongea mambo yako na mumeo katika mitandao …. Kumbuka ulipotoka …. Kuwa na shukran
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 Жыл бұрын
Uongo ni upi hapo, haya tuambie wewe ukweli maana unaishi nao
@salimsaleh4773
@salimsaleh4773 Жыл бұрын
Pole Dada, lakini wajua kwamba wewe pia ulimwacha bwana yako na ukamfuata dr Mwaka..kwa hivo malipo ni hapa hapa duniani tu maana yule bwana uliomuacha pia alihisi vipaya na wewe ukaona pesa ndio muimu. Kwa hivyo dada usilie saana.
@fortunatamarandu2915
@fortunatamarandu2915 Жыл бұрын
Unamjua huyo aloachwa?
@issazalala4907
@issazalala4907 Жыл бұрын
Yani Yule mwaka ni mshamba sanaa
@gracealbin1555
@gracealbin1555 Жыл бұрын
Jipe moyo litapita Dada.
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Mungu akutiengu Dada inasikitisha kwakweli doctor Mwaka anajifanya mtu mzuri mbona anamuhangaisha hivi mwenziwe kwani ndoa vita mapenzi yashaisha kwanini analazimisha.
@karaoglan9444
@karaoglan9444 Жыл бұрын
Ukiskia mwanamke anasema "ninapambana kulisha wanangu...." Ogopa sana..anaweza kufanya yasiyoandikika!...Hawa wanawake wa Kiswahili tatizo sana Hawa!
@dannysix4475
@dannysix4475 Жыл бұрын
Dr huyu ni mkeo tu. Nikufumba macho na kujishusha hakuna aliye mkamilifu kwa hili. Na hii kuangalia bona kuna masingo mother wengi tu sio kauli zakuendekeza.
@ibrahimabdul6586
@ibrahimabdul6586 Жыл бұрын
Am trying to understand her but kisheria ya kislamu ukidai talaka lazima urudishe Mali ya mumeo alizokupa.
@hasinahasina8190
@hasinahasina8190 Жыл бұрын
Umeniliza Sana pole yatakaa Sawa pole
@johanjoha5262
@johanjoha5262 Жыл бұрын
Mwanamuke mzuri Masha Allah
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 Жыл бұрын
Unamtamani mke wa mtu?
@danielsighis9953
@danielsighis9953 Жыл бұрын
Kweli dada alijitahidi na amefanya kila kitu....
@stevenbushiri2291
@stevenbushiri2291 Жыл бұрын
Una ushahidi?
@johngerald4677
@johngerald4677 Жыл бұрын
Nahic uyo dada ana yake nyuma ya pazia
@mbarakaubuguyu7448
@mbarakaubuguyu7448 Жыл бұрын
Wadada mjifunze mapenzi Sio Hela Hela chimbuko lake ni shetani ndani Kuna mauza uza
@elizabethcharles6527
@elizabethcharles6527 Жыл бұрын
Jaman Mamy usilie we nimzur San Wala asikubabaishe
@judyngowi391
@judyngowi391 Жыл бұрын
Hata huyo dada Mwaka alimloga ndio akamwoa!
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Dokta mwaka huyu mwanamke muache akiwa salama .usipende huyu mwanamke awe anadondosha machozi kiukweli sio vizuri kabisa naitakugalimu
@serengetishipping2196
@serengetishipping2196 Жыл бұрын
Mama acha kucheza na hisia za watazamaji acheni uongo na unafiki
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 Жыл бұрын
Jamani jamani hakikisheni mnalitumia Jiti vizuri, jiti ni sehemu ya amani ndani ya ndoa kama jiti hukulipiga vizuri na hukujua hisia za mwenzako zinataka nini matokeo yake ndio hayo.
@simaraphaellucas8469
@simaraphaellucas8469 Жыл бұрын
Naomba namba ya kwini nimuoe nimpumzishe nahizo kadhia nimpe penzi Amusahau mwaka nipo mz
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Жыл бұрын
Kaka hata Mimi namtaka awe wifi yangu
@HanifaBruno-lv1qf
@HanifaBruno-lv1qf Ай бұрын
Dada Mauri jamani afu anabusara sana
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын
Huyu Mwaka ni freemason
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 Жыл бұрын
Sakata la huyu mama tunaomba lishiishie njiani..Gadna na mwenzio..libebeni to the END POINT...Yaani Lina mafundisho mengi sana katika Dini, na ndoa kwa ujumla
@makanjetemsizwa121
@makanjetemsizwa121 Жыл бұрын
Kiukweli huyu mama ni mrembo sana na mjomba nani ataki kutoa kalaka wivu unamtesa😂
@sophiamvungi1425
@sophiamvungi1425 Жыл бұрын
Jaman pole3 dada hao wake wenzio uliowalelea watoto wao wako wapi
@omaryomaryally7420
@omaryomaryally7420 Жыл бұрын
Usilie siosababu ya kudai tala nikuwekana sawa2 una hoja ya kudai talaka wew mama muogope mungu
@patriciacosmas3542
@patriciacosmas3542 Жыл бұрын
Pole my dear
@janethjonas1700
@janethjonas1700 Жыл бұрын
Naumia mimi jamani kwanini lakini mtu ateseke hivi????? Uwiiiii?????
@marceljohnkimaty4986
@marceljohnkimaty4986 Жыл бұрын
Jamani SERIKALI YETU iko wapi? Mtu anadhulumiwa haki zake mchana kweupe kila mtu akiona na serikali inatazama tu? Jamani hata mtu wa kukemea tu hayupo? Tumwogopeni Mungu.
@yeunhiasrwetze8377
@yeunhiasrwetze8377 Жыл бұрын
Imeandikwa mwanamke n kiumbe dhaifu Kwan ulikuwa unamfanyia kaz yeye au ulikuwa unafanya kaz kwa ajili ya family yako au haujazaa nae? Au ulikuwa house girl?
@oyay2821
@oyay2821 Жыл бұрын
Machozi ya uongo hayo. Ukitaka talaka wewe nenda kajivue ndoa, kitu anacho taka ni mali sio talaka. Hii sio mara ya kwanza alimfanyia hivyo hivyo mume wa kwanza akamla mali kibao
@rashidalmas3792
@rashidalmas3792 Жыл бұрын
Umemponza Alie kua sheikh wetu wa mkoa Alhad mussa salim
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Aiseee ukikosa Elimu mbaya sana
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Жыл бұрын
Shehe siyo Mungu wako kasome shule
@Frolianagabito3000
@Frolianagabito3000 10 ай бұрын
Kama uwajui wanawake unaweza kidhani uyu dada kaonewa ila kwa sisi tunao wajua hawa viumbe tulishajua tatizo mpm
@kassimualli1755
@kassimualli1755 Жыл бұрын
Jamani pamoja na yote wanawake Wana vitimbi na mitihani,natumaini Kwa aliyepo ktk ndoa anajua vitimbi vya wanawake,tunaweza kusema kaonewa kumbe hatujui Siri ya ndoa yao
@w4058
@w4058 Жыл бұрын
Vikubwa tena
@w4058
@w4058 Жыл бұрын
Jee mshasilikiza na ya Dr Mwaka au mko satisfied na story ya one side of the coin
@salumabdallahkaziiendelee9654
@salumabdallahkaziiendelee9654 Жыл бұрын
Sasa huko mtandaoni unatafuta nini tena au ndo kuendeleleza aibu umesababisha taharuki kubwa katika jamii Ina tosha tulia fuatilia jambo lako ktk vyombo husika mitandao Haina msaada na wewe
@salumabdallahkaziiendelee9654
@salumabdallahkaziiendelee9654 Жыл бұрын
Sasa nmefaham kumbe tatzo ubinafsi na tamaa ya mali
@mfalmekima5318
@mfalmekima5318 Жыл бұрын
Nilichogundua hapo kutokana na maelezo ya huyu dada moja kwa moja ni kuwa Docter mwaka hana nguvu za kiume zakutosha hili liko wazi dah kweli mganga hajigangi
@swalehemrombo9301
@swalehemrombo9301 Жыл бұрын
Hiyo ni dhanaa na dhana ni dhambii.!!
@stephanondali5488
@stephanondali5488 Жыл бұрын
@nabawiyaissa387
@nabawiyaissa387 Жыл бұрын
Kwa vigezo vipi ata una diagnosis Ivo
@danielijackson8700
@danielijackson8700 Жыл бұрын
Unachoreka mama mlitaftana wawili leo kuachana mitandao inahusika dah mshauri wako hafai mashehe nap wameingilia Kati dah🚶🚶🚶🚶
@fatmamrihani6828
@fatmamrihani6828 Жыл бұрын
Angeanza kukuacha yeye ungesikia chukua nyumba gari na vingine sikutaki we mwanamke ila kwakua wewe ndo umeanza kumuacha ndo mana anafanya yote haya kuna wanaume Wana roho mbaya sana
@fortunatamarandu2915
@fortunatamarandu2915 Жыл бұрын
Kweli
@prosperjuma905
@prosperjuma905 Жыл бұрын
Umebadili dini kwa sababu ya mwanaume afu mwanaume mwenyewe ndo huyo!!
@merycianachangarawe8979
@merycianachangarawe8979 Жыл бұрын
Mungu uliyehai ,ukatende haki
@shafiimwehemba4549
@shafiimwehemba4549 Жыл бұрын
Leo nimeiona sura halisi ya Queen, bila makeup!
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
Nzuri au mbaya?
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 Жыл бұрын
Dada usikubali tena mahojiano usitangaze tena
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Жыл бұрын
Dada ww ndiyo uliyeomba talaka Umeomba kuachika na yeye anasema km unaomba kuachwa basi mali zake uziache Sasa Hapo chaguo lako upewe talaka na kuachika Mali au kugeuzwa kuwa mwendawazimu.
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 34 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Unakumbuka haya maneno matatu ya Mzee Mengi kwenye msiba wa Ruge
4:57
"Dr Mwaka Ameniambia Zikipita Siku 21 Kitanikuta Kitu Kibaya"
6:50
FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKI
47:22
ReyTox Pro Network
Рет қаралды 21 М.