Umesema vizuri ndaro mwanamke mpaka afike hatua ya kukuzalia kakupenda sana ,, kuachana ni sababu nyingine ambayo ipo nje ya uwezo wao
@paulbugwigwi88336 ай бұрын
Ndaro Ndaro Ndaro nimekuita mara 3..... Usioe mwanamke mwenye mtoto tena maarufu.. mapenzi yakidumu niite mbwa...
@GwakisaMwaisanga-th7uz5 ай бұрын
Mm nakuita mbwa tu coz kuzaa hakuondoi thaman ya mtu,,, au ulitaka atoe mimba mbwa ww
@salmakiti15176 ай бұрын
Huyu mkaka yuwaogea vizuri hata km kuna mabaya ameziba sabb ya upendo❤❤❤❤
@PillyMasau6 ай бұрын
You people ❤❤❤ mungu azidi kukupa unacho kiomba
@JonasKambale-t5x6 ай бұрын
Una penzi jipya brether ndaro uhhhhh vina mudaaaa !!!!!!!💞🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@elijohofficial10496 ай бұрын
mtangazaji 💯 big up unajua, hauropoki
@joycekasimbazi98176 ай бұрын
Anajitahidi sana mwingine ukitoka hapo unaweza kulia kwa maswali yalivyokuwa yana maudhi
@DidierBantu6 ай бұрын
Crown ina watangazaji. Hawoko kibongo bongo.
@AhmedMWALIM-e9f6 ай бұрын
Km umeonaNdaro alijitahid kumwbia tunda eka maiki kwenye mdomo ila hkuweka gong like apa
@nancyg86646 ай бұрын
😅 aliweka bwana
@Dovimii6 ай бұрын
You people na huku upo 🔥😁
@mwanvuarashid92854 ай бұрын
Jaman nimempenda tu bure tunda nikapol si muingeaji lovu u 😘
@mohammadoman89636 ай бұрын
Hiyo sio kweli 😢😢upendo wa kweli ni ndoa kwanza kisha mtoto acheni uzinifu
@PascalChales-r7o6 ай бұрын
Kweli kabisa waaje kubadilisha juu iwe chini na chini iwe juu
@MARIOTHERAPPER5 ай бұрын
Wewe naona bado hata haujeowa nikama asilimia 70 wanawake walisha wachwa na walio wapa watoto baada ya ndoa so most divorce always happens to people who got Married and did wedding so kama hujui kitu usichangie ya kwako tu mke bora ni aliye hachwa na akapata amani sehemu nyingine kwakeli kama sio wenye pepo za kimalaya anatulia na kupolea na wewe kabisa
@CharlesMs25Daghaly6 ай бұрын
Saf sana ❤❤❤❤
@RosetteMaarachi6 ай бұрын
Nawa penda sana ❤❤❤❤ kutoka Congo 🇨🇩
@Peterchila-un2lx6 ай бұрын
Tunda ni mzurriiiiiii sanaaaa
@ashamdemeka6 ай бұрын
Momo jaman ❤❤❤
@manasemungure6 ай бұрын
Vina muda bas ndaroo vina mudaaah....Niko paleee! Narudia Tena vina mudaaah!
@VincentKauzen6 ай бұрын
Nampenda sana❤ momo
@RKBro-jr1ts6 ай бұрын
Kenya tunaita mademu sampuli hii MAPOKO
@mvuneboy62876 ай бұрын
I am ndaro fan ❤
@Director___Mwadadu5 ай бұрын
Nice bro ❤ match za ugenini huanza kwa goli la ugenini kikubwa upendo ❤❤
@Francismfungo6 ай бұрын
Inachekesha duuh!! Wanaendana kweli 😂😂
@ElizabethFrank-r4n6 ай бұрын
Jaman kwan mlimpima mnavoxema anamakov anaujimwi shenzi nyieee😮😊😢😢😢😢😢😢
@ArafaAmirAmir-ci7ld6 ай бұрын
Mbona ujimwi😂😂😂😂😂😂
@ElizabethFrank-r4n6 ай бұрын
@@ArafaAmirAmir-ci7ld lakin xiumeelewa my🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@RichWise6716 ай бұрын
Kikosi 🔥➡️💝
@ZephaniahSekwa-fl2go6 ай бұрын
You people 😊😊 Tiktok 😊
@JeannetteManirambona-o6m6 ай бұрын
Nice couple yangine tuachie mungu
@MuniraAhmed-c5c6 ай бұрын
Ata amuendani,ww ndaro utakufa uyo kapita na wengi ww jichanganye😢
@zerajoyce50166 ай бұрын
Kwanini wenzangu hawamuoni 😂😂😂😂😂😂😂😂
@stanslausrwiza52516 ай бұрын
Ila tunda wewe unashikaje maiki hivyo😅😅😅😅
@mwagudutv5 ай бұрын
mwamba ana muhost host 😂😂ndaro kichaa😂😂
@GeofreyJaruo6 ай бұрын
Mnaosema et wanatofautiana mnakosea saa mademu wakali huwa wanachukuliwa na watu wa kawaida Sana kikubwa kujiamini tu ukijiamini unakula mboga nzuri
@Drapoafrica2 ай бұрын
Hiii imeenda kabisa🤣🤣🤣🤣 hicho nikitu kizito
@allymwashambwa59206 ай бұрын
Kuna haja gani kumtangaza mbele yetu bwana ndaro , she is ofcourse beautiful ila kwa huo uzuri sidhani kama mtafika mbali otherwise fuata anachotaka
@eliasludani42016 ай бұрын
Huwa nampa piriorite....😂😂😂😂😂😂😂😂
@KIMTV2556 ай бұрын
Mmmh vina mda basiii
@RajabuKinanda6 ай бұрын
Hawaendani kabisa huyo Ndaro na Tunda wapo tofauti kabisa
@agnesjohn93826 ай бұрын
Nenda wewe kati yao ukamwondoe mmoja wao uwe wewe
@missindependent18936 ай бұрын
@@agnesjohn9382😂😂😂😂😅😊😅😊
@AnuaryNasoro5 ай бұрын
mmmh vina mudaa😀😀😀
@SalumuSefu-j1e5 ай бұрын
Mjeshi kikofiya naku amini sana mwanangu
@Daudysaidy-xv1sb6 ай бұрын
aaaa ndaro
@Mackbreezy-l7k6 ай бұрын
You people like
@lisamandela99876 ай бұрын
Agiza soda nakuja kulipa
@evesilayo7406 ай бұрын
Ndaro kaopoa jaman kupata demu km tunda ni hatarii
@speciallvoice80916 ай бұрын
Shida ya wadada wenye sifa ya ps Kali awatulii
@StevenMakanja6 ай бұрын
Umalaya to kuoga ahaaa 🤣🤣🤣
@MudiMnyamwezi6 ай бұрын
Tukishakataza kujielezea sana
@joycekasimbazi98176 ай бұрын
Kweli
@LamwahMalila6 ай бұрын
Vina muda bas 😂😂 mtaachanaaa tuuuu
@RoberthBilikule-mt4yn5 ай бұрын
ndaro hujui kujitetea kabsa kwamba ukikuta hayupokwenye mahusiano ndo unaogopa???