Рет қаралды 14,374
DAR ES SALAAM: MUHAKIKI wa Ndege kutoka kampuni ya Airplanes Africa Lilian Petro amesema upo umuhimu wa Jamii ya Tanzania kukubaliana na mabadiliko ya Teknolojia ili kukuza uchumi wa nchi kupitia mataifa yaliyoendelea.
Akizungumza na Daily News Digital katika maonesho ya Viwanda ya Kimataifa TIMEXPO 2024, Lilian amesema serikali imekuwa na mchango mkubwa katika kuhakikisha wawekezaji wanawekeza nchini na hivyo kuongeza ajira kwa watanzania pamoja na kujifunza mambo mbalimbali ambayo yanatokana na teknolojia mpya.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: ....
SpotiLeo: ....
TWITTER;
Twitter HabariLeo: Ha...