RUBANI APOTEA NA NDEGE SIKU YA 11 LEO "NDEGE 5 ZIMEMTAFUTA MAJINI, ANGANI"

  Рет қаралды 133,877

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Ni Rubani Samwel Balina Gibuyi wa ndege ya Shirika la PAMS Foundation ambaye amepotea toka aruke na ndege hiyo October 18, 2021 saa 9 alasiri ambapo hadi leo hajapatikani wala ndege hiyo haijaonekana, hii ni taarifa kamili.

Пікірлер: 260
@samwelimramba238
@samwelimramba238 3 жыл бұрын
Oooh my classmate since primary jamn am so sad for this news for sure we need to pray with this guy My God let do something for this 🙏
@marykafyome39
@marykafyome39 3 жыл бұрын
Pole sana Tumwombee Mungu ataonyesha alipo
@chrisambrose2522
@chrisambrose2522 3 жыл бұрын
Inasikitishasana kuhusu habr za kupotea kwa ndege na rubani wake,Mungu amlinde awe salama sana,apatikane akiwa mzima wa afya njema.
@musaisandeko8352
@musaisandeko8352 3 жыл бұрын
Iyo ndege yenyewe Ata ipotee Sio mbaya Ila uyo mtanzania mwenzetu mwenyez mungu atie wepes aptikane maana nyuma yake najua Kuna watu wanamtegemea
@florachogo243
@florachogo243 3 жыл бұрын
Mungu. Mungu tunakulilia wahurumie wazazi wake mrejeshe kijana wetu
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 3 жыл бұрын
Inshaallah mwenyezi Mungu atafanya wepesi atapatikana
@عائشةعيوش-ظ9ل
@عائشةعيوش-ظ9ل 2 жыл бұрын
Subhanaallah ,Allah amfanyie wepesi apatikane
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu amlinde huko aliko na arejee salama
@leokamil6284
@leokamil6284 3 жыл бұрын
Amen
@oqtiraula1814
@oqtiraula1814 3 жыл бұрын
Amina
@tedysilas4340
@tedysilas4340 2 жыл бұрын
Come back my brother in Jesus name,🙏
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 3 жыл бұрын
Dah! Kijana mdogo jamani. Mungu ajaalie na arudi salama.
@calvinluo591
@calvinluo591 3 жыл бұрын
Hata angekuwa mzee
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 3 жыл бұрын
Mwenyez mungu amsaidie uko alipo ampe mzimaa inshaallah🙏😥
@azizaabeid2055
@azizaabeid2055 3 жыл бұрын
Dah inasikitisha mungu ajaliye apatikane akiwa hai
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi
@nashonandreas
@nashonandreas 3 жыл бұрын
Dah polen sanaaa
@pilipili9016
@pilipili9016 3 жыл бұрын
Watazania tumombee mtoto wetu apatikane
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 3 жыл бұрын
Daaah allah amlinde alipo arudi salama
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 жыл бұрын
Mungu asaidie atokee salama huyo kijana. Inatisha hii habari.
@leylam2121
@leylam2121 2 жыл бұрын
Mtiania inshallah atapatikana kwa uwezo wa Allah
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Inshaallh atapatikn Salam kwa uwez wa Mungu
@hamidaala2832
@hamidaala2832 3 жыл бұрын
INSHAALHA
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 2 жыл бұрын
Amina
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
Mungu afanye wepesi
@egonmatwiga9102
@egonmatwiga9102 3 жыл бұрын
Mungu saidia ili apatikane
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 3 жыл бұрын
Bwana Yesu tuambie.
@yusufualamin8029
@yusufualamin8029 3 жыл бұрын
ISHALLAH mola atamsmamia
@erickzephania1030
@erickzephania1030 3 жыл бұрын
Wale waganga wa kienyeji mnaotusumbua mitaani tunahitaji msaada wenu sasa kijana apatikane.!!? Poleni sana familia
@teddylameck21
@teddylameck21 3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 2 жыл бұрын
😂😂😂
@beatussagalani1397
@beatussagalani1397 3 жыл бұрын
Sam, Mdogo wangu nakuombea sana uwe hai aisee, naumia hata namba yako hupatikan tena
@ssaa7495
@ssaa7495 3 жыл бұрын
Ni upumbavu na ujinga wa viongozi wa Tanzania , siku 11 mpaka leo ndio taarifa inatoka? Ingekuwa mtoto wa rais au waziri sidhani kama ungefanyika huu uzembe shame on you Government
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 3 жыл бұрын
Surely, U're right!! Shame to government!!
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 3 жыл бұрын
Hapana hii taarifa imetoka muda tu.labda umepishana nayo
@hamidakibwana2883
@hamidakibwana2883 2 жыл бұрын
Majungu Ni kama husda yakizidi maendeleo hayapatikan
@dinahnyagosaima1259
@dinahnyagosaima1259 2 жыл бұрын
Siku 11 ndo wanaanza kutafuta? 😳😳😳😳😳
@nuuringoogle4104
@nuuringoogle4104 2 жыл бұрын
Ohoo my Good 😳😳😢😢
@hallin9561
@hallin9561 3 жыл бұрын
Sasa siku zote izo walifanya siri au hawakujua kuwa amepotea
@manilabonalumanula1014
@manilabonalumanula1014 3 жыл бұрын
Uchunguzi ulikuwa ukifanyika kwanza
@yasinali4377
@yasinali4377 3 жыл бұрын
Hata iwe uchunguzi lazima taarifa itolewe sikuiyohaitakiw kuka sizote si raisi anataliws atolewe mapema
@sharifanyumayo6314
@sharifanyumayo6314 3 жыл бұрын
Tokea tar 18/10 walikuwa wanamtafuta kila sehem na taarifa zilikuwa zimetolewa mbona ila kwa Redio za hku kwetu ikiwemo Safar Redio ya mtwara na mess FM ya Tunduru.
@yuslaarsen8960
@yuslaarsen8960 3 жыл бұрын
samweli mungu akulinde huko uliko
@yasintamhongole9291
@yasintamhongole9291 2 жыл бұрын
Mungu saidia kaka yetu apatikanike akiwa mzima
@nyasawide-tv2838
@nyasawide-tv2838 3 жыл бұрын
Chukueni picha za satellite ya Planet scope, mtaiona kama imeanguka
@issabinmaryam7450
@issabinmaryam7450 3 жыл бұрын
Wana wazo hilo bc..watatafta kwa macho
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 3 жыл бұрын
Haijaanguka.. imeuzwa
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 3 жыл бұрын
Bongo tuna uwezo kweli
@deusjohnleonard245
@deusjohnleonard245 3 жыл бұрын
Au watumie drone kufanya msako kuliko kufanya kwa macho
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 3 жыл бұрын
@@lilianawah1946 Haikuwepo hali ya hewa mbaya wala Hakuna mapigano kwenye eneo, Kama hitilafu angezima injini iangukie juu ya mti, mawasiliano yangekuepo na hata ingepata ajali Ni rahisi kui-trace, lkn izimwe gps, mawasiliano yasipatikane hapo ndio unastukia
@purumukamango5013
@purumukamango5013 3 жыл бұрын
Atali Sana
@zubeirsalum128
@zubeirsalum128 3 жыл бұрын
Kitu Kama ndege haiwezekani kuruka na mtu mmoja mwendeshaji ni binadamu muda wowote chochote kinaweza kumtokea hata Kama ana uzowefu kiasi gani.lakini mungu amfanyie wepesi ishallah
@romansixbert4529
@romansixbert4529 3 жыл бұрын
kweli kabisa. inashangaza kuona ndege inaruka na rubani mmoja. Kawaida anahitaji msaidizi
@sultansallah4509
@sultansallah4509 3 жыл бұрын
Angekua faru joni bunge lingesimama
@aminalimu5150
@aminalimu5150 3 жыл бұрын
Mungu saidia
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 3 жыл бұрын
KWANINI SIKU ZOTE HIZO 11 MPAKA LEO???????
@galvanizedsquaresteel86
@galvanizedsquaresteel86 3 жыл бұрын
mimi rubani pia , air crash investigators na rescue services ziko chini sana Tanzania lakini uwezekano mkubwa kwamba imeanguka tayari otherwise kuna emergency procedure inaitwa precautionary landing angefanikiwa kufanya . Mungu amueke vizuri
@mercypeter162
@mercypeter162 3 жыл бұрын
Unaongea vitu gani hata hueleweki. Unathani kwa mtu asie rubani anakuelewa???
@makutaoficialtz9512
@makutaoficialtz9512 3 жыл бұрын
Kwaiyo atakua alituaa kwa emergency au ilidondoka???
@galvanizedsquaresteel86
@galvanizedsquaresteel86 3 жыл бұрын
@@makutaoficialtz9512 uwezekano mkubwa ameanguka
@galvanizedsquaresteel86
@galvanizedsquaresteel86 3 жыл бұрын
Samahani sana kuna baadhi ya maneno napata tabu kutafsiri kutokana na mafunzo yetu
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 3 жыл бұрын
@@galvanizedsquaresteel86 je anaweza kuwa hai? Inaniuma huyu ndugu yangu jamani
@evasadala7768
@evasadala7768 3 жыл бұрын
Kwa mwamposa waende atapatikana na ndege yke
@oscardeuss
@oscardeuss Жыл бұрын
mpaka leo siamin kaka samu
@mariamnamwa188
@mariamnamwa188 2 жыл бұрын
Mbona pilot mmoja jamani😢😢
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 3 жыл бұрын
Siku kumi na moja zote hizo, atakuwa ashapoteza maisha huyo, na ndege haionekani. Tumuombee Mungu amlaze mahala pema peponi.
@hamidaala2832
@hamidaala2832 3 жыл бұрын
WeeYsisemeHivyoMwenyezimunguAnamiujizaINSHAALHA.ATAONEKANA
@pendolazaro4686
@pendolazaro4686 2 жыл бұрын
Akili za Mungu hazichunguziki
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 3 жыл бұрын
Mungu tusaidie kijana wetu apatikane
@yohanamarco5630
@yohanamarco5630 3 жыл бұрын
Na akipatikana mtujuze
@verdianabanabi5943
@verdianabanabi5943 3 жыл бұрын
Mbona siku zimepita sana kama ni kupona kweli atakuwepo kweli.
@masundelwa
@masundelwa 3 жыл бұрын
Eee mungu amsaidie kijana wetu
@ramadhanimbulu6716
@ramadhanimbulu6716 3 жыл бұрын
Ndege imepotea siku 11 zilizopita,mnatuomba tuwasaidie kuitafuta Leo.K
@pascalkingu9570
@pascalkingu9570 3 жыл бұрын
Kwanini taarifa mpaka leo siku 11bado hamjasema ukweli, lakiniii Mungu atusaidie kwakweli ,huo ni uzembe, kwanini yuko mwenyewe??huo ni mtego
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 3 жыл бұрын
mtego wa nini? bwana Pascal...fahamu hiki kitu kuna kazi zingine ufanyi na group unapewa order ya peke yako ndio maana vipimo vya afya yako vinazingatiwa mara kwa mara kama unamatatizo ya kuzimia n.k uwezi kupewa nafasi ya kazi...kuna hivi vitu ni muhimu sana ktk kuajiliwa mfano...macho unaona vzr, masikio unasikia vzr na kushika unahisia nzuri na moyo uwezi kupata ajira kama utakutwa na kimojawapo kati ya hivyo nilivyo vitaja faulu mtihani wao max za juu lkn ukiwa unfitness tu basi uwezi kazi..kuna kitu kama stress unywaji wa pombe kupindukia awa jamaa ni ngumu kukupa kazi pia.
@samiahmlimanzila6406
@samiahmlimanzila6406 2 жыл бұрын
Hakuna ndege inayoruka na mtu mmoja tu ambae ni rubani hatakama ikiwa haina abiria lazima muwe wawili ndani
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 2 жыл бұрын
@@samiahmlimanzila6406 inategemea na aina gani ya ndege unazo zisema wewe pia zipo.
@bettycharles6148
@bettycharles6148 2 жыл бұрын
@@samiahmlimanzila6406 kbsaa, umeongea sana!
@kiumanursingtv1647
@kiumanursingtv1647 3 жыл бұрын
Duuuh samweli, Mungu akulinde wana kiuma tushakumiss mungu akulinde
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
Subhannallah, mtihani kwakweli 😭😭😭😥
@renatuskailole9568
@renatuskailole9568 3 жыл бұрын
Siyo story za kina faru John zimeanza mkuu?
@ashayakuti6221
@ashayakuti6221 3 жыл бұрын
Yarabi tunakuomba kwa uwezo wako kijana wetu umfanyie wepesi apatikane
@silvanusngelageza7240
@silvanusngelageza7240 2 жыл бұрын
Inawezekana
@BINTIwaKITANGA
@BINTIwaKITANGA 3 жыл бұрын
Ichii hii bhana....khaa!haya lakini muonbe Allah arudi salama,Ila Mimi Nina wasiwasi atakuwa kaenda Ile sayaria mbayo ndege ikipotolea huko hata miaka mingapi ikija kuonekana MTU anakuwa vile vile Yani hazeeki.
@jamesvmusic2677
@jamesvmusic2677 3 жыл бұрын
Dah!🙆🙆Mungu saidia
@jogechi2105
@jogechi2105 3 жыл бұрын
Why report after 11 days?
@guy_next_door3298
@guy_next_door3298 3 жыл бұрын
ni Bongo bana..hamna haraka mwanangu😂😂
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 3 жыл бұрын
Mungu amjaalie apatikane yaeza kuwa alitumbukia baharini au msituni
@camillahamis1069
@camillahamis1069 3 жыл бұрын
Yupo Gest huyo
@brother_majesty
@brother_majesty 3 жыл бұрын
Dah..huyu jamaa nimesoma nae milambo sec tabora...ee Mungu mnusuru
@kiumanursingtv1647
@kiumanursingtv1647 3 жыл бұрын
Mie nipo nae eneo la kaz uku matemannga
@liberatusnsekela3997
@liberatusnsekela3997 3 жыл бұрын
Jamani clip hii ya leo tarehe 29/10/2021 au?
@jacklinelaswai4686
@jacklinelaswai4686 3 жыл бұрын
Yes
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 3 жыл бұрын
Maskini daa mungu amujalie awe hai
@evanccast6228
@evanccast6228 3 жыл бұрын
Ivi ndege inapotea siku kumi na moja zotee Ndiyo mnatangaza hilii ni tatizoo
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 3 жыл бұрын
Inna lillah wa inna illah rajiun..!!!
@rutagasto
@rutagasto 2 жыл бұрын
Atakuwa amepaki sehemu labda anafanya service garage
@emanuelandedela2771
@emanuelandedela2771 3 жыл бұрын
Ilikuwaje peke yake kwenye ndege au ndoo utaratibu!!
@muhasatv9245
@muhasatv9245 3 жыл бұрын
Jamaa kauza ndege huyo
@jescajulius8023
@jescajulius8023 3 жыл бұрын
Jamn kaka angu
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 3 жыл бұрын
Poleni Sana
@yusuphuhapotey352
@yusuphuhapotey352 2 жыл бұрын
Siku 11ndio mnatoa taarifa Leo ??????
@jumajuxx4925
@jumajuxx4925 3 жыл бұрын
Kuludi hata Rudi tu mungu mkubwa
@sarahmathias4856
@sarahmathias4856 2 жыл бұрын
R.I.P.
@jastinefaustin9982
@jastinefaustin9982 3 жыл бұрын
Mungu amrejeshe Salama
@innocensiapius2060
@innocensiapius2060 3 жыл бұрын
Inawezekana kweli ndege isifike inapotakiwa kwenda then ninyi mnyamze How comes wajemeni??
@basilijoseph4421
@basilijoseph4421 3 жыл бұрын
Nmtanzania.rubani.huyo
@cafrensartho
@cafrensartho 2 жыл бұрын
Roho mtakatifu waonyeshe huyu kaka alipo Ni ww tu uwezaye .Mungu wape utulivu wazazi wake
@rodasanga1312
@rodasanga1312 3 жыл бұрын
Ndiyo maana sitaki hiyo kazi
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 3 жыл бұрын
Ndege ipo marekan
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 жыл бұрын
Allah mjalie mjawako arejee salama
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Siasa nyingi maneno mengi utaalamu mdogo
@paulnyale1107
@paulnyale1107 3 жыл бұрын
Najiuliza hamna mawasiliano yeyote na rubani? Mungu afanye miujiza ili.awe salama.
@joshuasamson9618
@joshuasamson9618 3 жыл бұрын
Ccm kazi Yao kupoteza watu
@grolyqueen5833
@grolyqueen5833 3 жыл бұрын
Jaman habr inasitikisha hiii, sasa masikin huyu kaka atakuwaa mzima kwelii siku 11
@buingota4772
@buingota4772 3 жыл бұрын
Duh mbona siku nying zimepita jaman?
@frankminja2343
@frankminja2343 3 жыл бұрын
Inawezekanaje rada ipo na huwa wanacontrol ipotee kwenye rader?It means kuna watu wanatecnologia ya kuingilia mawasiliano?
@songamberetv2219
@songamberetv2219 3 жыл бұрын
Kwani satellite planet scope zinakazi gani tumia izo picha kama imeangukia nchi kavu itaonekaw
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Sasa mbona mlisubiri mpaka siku 11?
@RichMotherr
@RichMotherr 3 жыл бұрын
dah 😭😭Sam
@abernegolkigeleso9909
@abernegolkigeleso9909 3 жыл бұрын
Nyinyi mnajambo lenu siku 11 ndomtangaze alafu mnasema mnatafuta kuokoa maisha ya hiyo kijana binadam gani atakuwa salama siku 11 hamfikilii kuwa kuna njaa kiu na mahitaji mengine ya kiafya ninani anaweza kaa bila kula chakula siku 8 hapa sasa mnatafuta kuokoa maisha yake kwani aliwambia anakiwanja kwao cha kutulia ndege nyie sisi tunaakili kuliko mnavo dhani semeni ukweli
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 3 жыл бұрын
Isjekua kaelekea marekani uyo kaona chance ndo iyo yakuitumia au Sausafrica
@mankamush5057
@mankamush5057 3 жыл бұрын
Mung Wang mung afanyewepes apatikane
@greatiq7835
@greatiq7835 3 жыл бұрын
Kama yuko hai Mungu ambakishe salama na amrudishe kwenye jamii aliyo izowea.
@masayektakule7146
@masayektakule7146 2 жыл бұрын
Mungu yupo
@asiakheir8684
@asiakheir8684 3 жыл бұрын
Mbona siku nyingi, wewe unaetoa ripoti uhojiwe, kwanini mda wote huo upo kimya?ndege acha ipotee, sisi tunataka mtanzania wetu
@munirashughuli7224
@munirashughuli7224 3 жыл бұрын
Ya Rabby
@chapaboyclassic3907
@chapaboyclassic3907 3 жыл бұрын
Kaiiba
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 3 жыл бұрын
Aiibe aipeleke wapi acha uboya wewe
@chapaboyclassic3907
@chapaboyclassic3907 3 жыл бұрын
@@eaglecrown1101 kuma wew
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 3 жыл бұрын
Alafu unaonekana wewe huwa Ni kibaka wewe( professionally wewe Ni mwizi wewe)
@chapaboyclassic3907
@chapaboyclassic3907 3 жыл бұрын
@@eaglecrown1101 boya kabisa wew
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 3 жыл бұрын
@@chapaboyclassic3907 wewe Ni mwizi wewe unaonekana hata kwenu huwa unaiba vipande vya nyama ukiingia jikon
@profs.a5412
@profs.a5412 3 жыл бұрын
Sasa wanafichaje taarifa, hakuna chombo chochote cha habari kilicho rpot hii ishu, mpaka mnatafutwa kuulizwa!!!!! Duuu hii kali
@khaldn7409
@khaldn7409 3 жыл бұрын
Fanya hima apatikane ni kisa cha kutisha
@mauricempinga935
@mauricempinga935 3 жыл бұрын
Baada ya 11 ndio mnatangaza iyo itakua kuna jambo limejificha
@gwantadibusta
@gwantadibusta 3 жыл бұрын
Daah Ngasa
@godfreymbuya2659
@godfreymbuya2659 2 жыл бұрын
Kuna MTU anatakiwa kukaa pembeni uchunguzi ufanyike.Bila ivyo hatuwaelewi
@mercypeter162
@mercypeter162 3 жыл бұрын
Tunamuombea MUNGU amlinde popote alipo awe salama
@vailethjames1934
@vailethjames1934 3 жыл бұрын
Na bado apa nawasi wasi wamepunguza siku uwenda hata ni siku ya 21 na wameshajuwa kafariki ila wanaanza kama story kutuanda kiakili ili tukiambiwa amekufa tusishangae ila ukweli halisi atupo na huyu mtu kumbukeni kifo cha magufuli tulivyofanyiwa
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 3 жыл бұрын
Ubahili tu wa hiyo kampuni kwa nn isiajili malubani wawe wawili wawili akiumwa ghafla huko hewan anajisaidije??? Mbona wameweza kumiliki ndege wameshindwa kuajili malubani wawili kweli alafu eti wamekaa kimya siku kumi na moja kweli???
@antonibairo5415
@antonibairo5415 3 жыл бұрын
>>Hahahhah kuna wahuni wameharck ndege?😀😀, ila bila shaka itakuwa raia yupo salama, mhamie kwenye drone sasah. Japo sambamba na hilo siyo sahihi rubani mmoja peke yake kuongoza ndege lolote linaweza kutokea. Afya/Uhai wa mtu hautabiriki ingefaa zaidi angekuwa na mwenzake.
@braitonmhagama9102
@braitonmhagama9102 3 жыл бұрын
Dooooooh
@sabihaibrahim3393
@sabihaibrahim3393 3 жыл бұрын
Mhmmm kenda kuzimu
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 3 жыл бұрын
Kwani ndege si ina GPRS jaman sasa inakuwaje isionekane
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 3 жыл бұрын
Dah inasikitisha
@bhfh6182
@bhfh6182 2 жыл бұрын
Aky mungu asaidie Apatikane nzima aky
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 31 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Ozoda - Lada ( Official Music Video 2024 )
06:07
Ozoda
Рет қаралды 31 МЛН