Mtumishi Mungu akubariki.masomo yako ni mazuri Lakini video zako nyingi sauti inakuwa chini sana.
@Revelation1412.4 ай бұрын
Tuvumiliane Wapendwa hatuna Maiki na Vifaa vingine ila Mungu atasidia Video zijazo zitakuwa Vizuri, Barikiwa Sana kwa kufatilia Ujumbe.. USIKOSE SOMO LIJALO 🙏