Amen sana sasa nimeelewa maana ilikuwa inanisumbua sana ,Mungu baba wa Bwana wetu Yesu kristo akubariki
@pauljoackim278611 күн бұрын
SASA NIMEAMIN, HAKIKA UKWELI HAUWEZI KUFUNIKWA HATA SK MOJA:
@pauljoackim278611 күн бұрын
NATAMANI KRISTO AWAUNGANISHE WW MTUMISHI, JAFF MASAWE, FRANSIS NDACHA, ONYANGO, PASTOR MBANGA: NASHAUKU KWELI;
@pauljoackim278611 күн бұрын
NATAMANI MTUELEKEZE PA KWENDA KUSALI WAPENDWA KTK KRISTO.
@elishafelesianoАй бұрын
Hakika umenena kweli tu ya mwenyezi Mungu Nimebarikiw a sana lakini mjoli nisaidie Nina swali nifanye nini Mimi ambaye nilibatizwe kwenye viapo tofauti na Imani ya mitume??
@Revelation1412.18 күн бұрын
Soma hapa kisha Fanya uamzi uliosahihi; Matendo 8:37-38. Matendo 9:1-5 Matendo 2:37-38. Mungu akusaidie ufanye uamzi bora 🙏🏾