Yaani mkikutana na yanga mtawakataa hao kina mtale mukwala na kina da Debora siku hiyo 😅😅😅😅😅
@EvanceThomas-g3oАй бұрын
𝓗𝔂𝓸 𝓱𝓪𝓪𝓲𝓯𝓲𝓷𝓰𝔀𝓲𝓲𝓲𝓲
@sangaelly8548Ай бұрын
Mwaka huu mtu atakufa kwa wivu 😂
@SultanSuleiman-qf7cxАй бұрын
Huyu mweu hajulkani n shida gani iko akilini mwake ni nini anatafuta?! Sio mzanzibar ni mmakonde aso fmly na sio kaka wa Fei
@user-zc1qh6ti2pАй бұрын
Hata rafudhi hausikii we mshamba
@user-yz6ds9hn9lАй бұрын
Ndiyo maana nasema mikundu iliyolegea iko mingi hiyo ndiyo kazi imelegea itawauma sana kumbe na hanisi tutawashusha mishipa mshindwe kutembea mambwa mpaka.makabuli ya kwaoo
@nashirkamugisha9425Ай бұрын
Namjua vizuri ni mwanafunzi wangu. Ni mzanzibar Ila sina uhakika kama ni kaka yake fei toto. Ni mwanafunzi mwenye degree ya uandishi wa habari. Ila anazengua 😂 muongo sana. Japo mie simba
@mbwanamungia9921Ай бұрын
Siku zote tunamjua ni kaka wa feo sasa leo tunamkataa vp punguzeni jazba
@user-cq1tf5sd3lАй бұрын
Simba oyeeeeeee Kuma manazenu nyie mnaye dgarau Simba safi sa aly katoro waonyesheni hao mambolo hao ayoooo yanga.