Kwa watu wa Yesu wote mnaopenda tuwe tunarusha ibada live zikiwa nzuri na quality nzuri picha nzuri,kuna vitu nahitaji ili kufanya hili 1.Nahitaji taa mbili za kusimama jumla ni 1,100000.maana taa moja inauzwa laki 550,000. 2.Nahitaji mic mbili zitakazotumika katika live recording ambazo bei yake ni 750,000 zote mbili 3.Nahitaji laptop mpya yenye ukubwa angalau ya 700000. 4.Na Camera kubwa angalau ya milioni 5 Kwa unampenda Yesu na Injili naomba utoe sadaka kwa ajili ya hili namba yangu ya WhatsApp +255743053804 majina ya mpesa ni DOTTO MATALUMA Kwa watu wote ambao mpo mbali mtakuwa mnashiriki ibada live mkiwa kwenye nchi mlipo na mikoa mlipo
@elpidiusezekiel27295 күн бұрын
Amina
@sallymumia84255 күн бұрын
Asante Kwa kumleta mchungaji,tena,.
@valentinanduku87184 күн бұрын
Safi mr dm
@annettemalechela75435 күн бұрын
Ni kweli kabisa Ayubu anatutia moyo maana hata kwenye umaskini tumkiri Yesu Kristo ni Bwana
@lydianyangau81426 күн бұрын
Barikiwa sana
@kahindiwanje905 күн бұрын
🙏🙏🙌🙌
@gosbertmuta54214 күн бұрын
Naomba muendelezo kaka hii muendelezo wake upo wap jmn
@davidkitumbi64572 күн бұрын
Kama mnataka kujua kweli kuusu kiroho msearch Imani mcimbwa in KZbin. Huyu ni mwongo