DAWA NZURI YA MAFUA MATONSES TONSILITIS NA KOO KUWASHA SORE THROAT

  Рет қаралды 12,072

PDK Generation

PDK Generation

Күн бұрын

Dawa nzuri ya mafua, tonsilitis ama matonses pamoja na koo kuwasha ama sore throat unaweza kabisa kujitengenezea mwenyewe kwa kutumia vitu vinavyopatikana kirahisi kabisa hapo nyumbani.
Dawa hii nzuri haina maudhi kama zilivo dawa nyingi na hutumia chumvi na maji tuu. Imekua ikitumika kwa miaka mingi sana.
Dawa hii ni nzuri lakini pia inasaidi sana watu kutokimbilia kwenye kutumia antibiotics moja kwa moja kujitibia mafua jambo ambalo sio sawa.
fuatilia makala hii upate kufahamu namna ya kutengeneza na kuitumia dawa hii.
‪@millardayoTZA‬ ‪@SimuliziNaSauti‬ ‪@bananafmtz‬

Пікірлер: 52
@michaelfrenkline3429
@michaelfrenkline3429 28 күн бұрын
THANKS. Nilitumia dawa hazikunisaidia. Nimefanya hivyo ulivoeleza nanimepona kabisa. Ubarikiwe Sana 🎉🎉🎉
@pdkgeneration
@pdkgeneration 28 күн бұрын
Amina🙏 Asante sana Kwa mrejesho 🤝
@rehemamandi3151
@rehemamandi3151 Жыл бұрын
Asante sana pharmacist..🙏 Naomba utufanyie video pia ya namna ya kutibu vidonda vya kwenye ulimi"tongue" wengi husema ni fungal infections...Je hii pia inaweza kutibika easily at home, over the counter au hadi medical therapy ...plz coz hii ni changamoto kubwa pia
@pdkgeneration
@pdkgeneration Жыл бұрын
Sawasawa. Tutaitafutia segment 🤝🤝🤝
@Neema-fh1wp
@Neema-fh1wp Ай бұрын
Ubarikiwe ndugu yetu
@pdkgeneration
@pdkgeneration Ай бұрын
Amina Ndugu 🙏
@rehemamandi3151
@rehemamandi3151 Жыл бұрын
Lakini pia pharmacist...wengi husema maji yenye chumvi huaribu meno ....when gargling hii haiwezi affect na kubadili physical appearance ya meno yetu?
@pdkgeneration
@pdkgeneration Жыл бұрын
Hapana, labda kama ukitumia very Concentrated na Kwa muda mrefu ndio inaezaleta effect kwenye fizi/mdomoni. Ila hii ya kawaida kwa siku 2-3 hakuna shida
@WinfridaMushi-b2n
@WinfridaMushi-b2n 29 күн бұрын
Ubarikiwe doctor nimetumia nimepona
@pdkgeneration
@pdkgeneration 28 күн бұрын
Amina🙏
@YohanaAbayo
@YohanaAbayo 2 күн бұрын
Vip doctor ugonjwa wa matonsee inaletwa na kula vitu vya baridi kama ice cream barafu 🎉😢😮😅😊
@pdkgeneration
@pdkgeneration 2 сағат бұрын
Sio moja kwa moja, ila vinaweza kuongeza ukubwa wa tatizo kwa ku'irritate' hizo tonsils.
@MarietaKavishe
@MarietaKavishe 28 күн бұрын
Thanks doctor
@pdkgeneration
@pdkgeneration 28 күн бұрын
Karibu🤝
@SalomeGunda
@SalomeGunda 3 ай бұрын
Ahsante kwa ushauri mzuri mara ngapi kwa siku
@pdkgeneration
@pdkgeneration 2 ай бұрын
Kusukutua mara mbili au tatu kwa siku inatosha kabisa.
@mohamedmomo1866
@mohamedmomo1866 4 ай бұрын
Asantesana
@pdkgeneration
@pdkgeneration 4 ай бұрын
Karibu sana🤝
@MonaJuma-cp3jg
@MonaJuma-cp3jg 2 ай бұрын
Asant doctor
@pdkgeneration
@pdkgeneration 2 ай бұрын
Karibu Ndugu🤝
@elizabethgideon-ln3fx
@elizabethgideon-ln3fx 6 ай бұрын
asante kwa somo zuri, unafanya mara ngapi kwa siku?
@pdkgeneration
@pdkgeneration 6 ай бұрын
Mara Moja au mara mbili (kulingana na ukali wa tatizo) na pia isizidi siku 5
@elizabethgideon-ln3fx
@elizabethgideon-ln3fx 6 ай бұрын
@@pdkgeneration 🙏🙏
@EvarineYenzela
@EvarineYenzela 6 күн бұрын
Nasumbuliwa na makoz mazito kooni nifanye nn, ili niwe natema hayo makoozi nisaidi
@pdkgeneration
@pdkgeneration 5 күн бұрын
Pole, tembelea vituo vya Afya, utapatiwa expectorant itakayokusaidia na pia watachunguza sababu hasa ya hali hiyo na kuitibu
@KhadijaRashidi-q1q
@KhadijaRashidi-q1q Ай бұрын
Doctor kwa watt unatusaidiaje na tutajuaj4 kama wana tonsis
@bahatishitindi
@bahatishitindi 5 ай бұрын
Asante san daktari ila tatizo la kubanja na kukolima ina saidia
@pdkgeneration
@pdkgeneration 5 ай бұрын
Karibu. Kwa tatizo Hilo haisaidii ndugu!
@MkoaRobby
@MkoaRobby Ай бұрын
Doct sasa kwawatoto itakuwaje kama hajui kutema hayo maji
@amanithomas-xz2do
@amanithomas-xz2do 4 ай бұрын
Je kusukutua tunasukutua maji yote robo lita au kdgo kdgo?
@pdkgeneration
@pdkgeneration 2 ай бұрын
ni kidogo kidogo. sio yote kwa wakati mmoja.
@RamadhanHusein-n1m
@RamadhanHusein-n1m 28 күн бұрын
Vp kuhusu na kutoka na vichembe vichembe vyenye haruf
@RamadhanHusein-n1m
@RamadhanHusein-n1m 28 күн бұрын
Vp koo kutoka vichembe chembe vyenye harufu mbay
@DAILEJIMICHAEL
@DAILEJIMICHAEL Ай бұрын
Sorry doctor, habari ya kwako,mm nilianza kutumia dawa za hospitali wala hazija nitibu maana haya matoses yamevimba na hayapungui,je nikitumia hiyo njia yanaweza yakapungua yakawa sawa maana yanani disturble sana doctor!
@pdkgeneration
@pdkgeneration Ай бұрын
Pole sana. Yes hii inaweza kukusaidia, ila ukiona inaendelea Rudi hospitalini wakuangalie kiundani zaidi
@StellaGerald-o6v
@StellaGerald-o6v 28 күн бұрын
😊pp
@miriamfelix5596
@miriamfelix5596 20 күн бұрын
​@@pdkgenerationdoctor mm nko na shida ya tonsils side moja mpka shingo yauma side moja ndani mpka uchungu unaingia adi kichwa lkn Sina uchungu wa Koo Wala kuashwa na Koo na cjui shida nn na sai ni wiki mbili na nko Saudi Arabia naeza tumia dawa gani doctor coz kupelekwa hospital imekua shda
@ExcitedDancers-ms8qq
@ExcitedDancers-ms8qq 16 күн бұрын
Mm nina changamoto ya vidonda vya koo nishatumia dawa nyingi 2
@AdelineMassamu
@AdelineMassamu 3 күн бұрын
Ook​@@miriamfelix5596
@happinessmediac3183
@happinessmediac3183 4 ай бұрын
Vip kwa mtoto 2yrs
@pdkgeneration
@pdkgeneration 2 ай бұрын
Kwa huyo haishauriwi. kuna namna tofauti ya kumtibu ila sio gargling na maji chumvi
@MarianaJoseph-k4z
@MarianaJoseph-k4z 2 ай бұрын
Asante kwa ushauri na tiba pia, samahan naomba kupata ushauri wa dawa pia kwa mtoto wa 2
@Oman-z4q
@Oman-z4q 3 ай бұрын
Kama mafua ya areji inasaidia maana daw nikitumia zikiisha tu hali inarud upya koo linawasha chafya
@pdkgeneration
@pdkgeneration 3 ай бұрын
Yes, inasaidia. Ila kama mafua yanajirudiarudia, inabidi kuangalia kinachosababisha hasa! Inawezakuwa nguo fulani unayovaa au mashuka au hata Hali Fulani ya hewa, au mafuta unayotumia. Ni vizuri kuchunguza kisababishi Cha hiyo aleji na kukiacha kama inawezekana.
@Oman-z4q
@Oman-z4q 3 ай бұрын
@@pdkgeneration tatizo kubwa ni hali ya hew seem nilipo joto kali alafu fen na ic ndo shida na bila ivo pia shida joto
@marylinegoodluck-fj1zc
@marylinegoodluck-fj1zc 2 ай бұрын
Uwiii upo kama Mimi niko kwenye Hali ya hela ya joto nawasha Hadi sikio pua na koo ​@@Oman-z4q
@MaishaBesilwengo
@MaishaBesilwengo 5 ай бұрын
What about 16 year old
@pdkgeneration
@pdkgeneration 2 ай бұрын
A 16 year old can gargle salty water as well, provided that there is no any other condition hindering the process.
@Halimajumbe
@Halimajumbe 4 ай бұрын
Mimi tonses yangu zimevimba je zitanisaidia ayo maji
@pdkgeneration
@pdkgeneration 4 ай бұрын
Yes, ila ukiona inaendelea baada ya siku mbili hivi, tembelea vituo vya kutolea huduma za Afya. Hiyo inaweza pia kuwa dalili ya kitu kingine
@RamadhanHusein-n1m
@RamadhanHusein-n1m 28 күн бұрын
Vp koo kutoka vichembe chembe vyenye harufu mbay
@pdkgeneration
@pdkgeneration 28 күн бұрын
Hizo zinawezakuwa tonsils stones au tonsilloliths, (hizi ni moja ya vyanzo vya kutokwa harufu mbaya kinywani) hizo pia unaweza kuzitibu kwa njia iliyoelezwa katika makala hii, zikiendelea tembelea kituo cha Afya kilicho karibu na wewe.
AHA CPR, BLS, ACLS & PALS Review | All-in-One Comprehensive Review
3:02:08
Florida Training Academy
Рет қаралды 160 М.
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 7 МЛН
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 9 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
Kikohozi kwa watoto (Cough in Children)
11:29
Dr. Alamin Suleiman
Рет қаралды 37 М.
UKOSEFU WA HAYA NA MACHAFU YA LGBTQ+ / SHEIKH HASSAN AHMED
33:56
FADHAKKIR CHANNEL
Рет қаралды 18 М.
Mafua::Dalili,Sababu,Matibabu
5:47
WikiElimu
Рет қаралды 2 М.
Hakikisha umepanda miti hii nyumbani kwako
8:04
Topten Tv
Рет қаралды 164 М.
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 7 МЛН