Usiombe upate tatizo la FIGO! Epuka kufanya haya, Video inaweza kuokoa MAISHA yako, Usipuuze

  Рет қаралды 104,624

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

4 ай бұрын

WASILIANA NA URBAN CARE CLINIC:
LOCATION:Nyamanzi Fumba Town Zanzibar
Jambiani Zanzibar
Contact: Call/text/whatsapp +255 622 820 011
bit.ly/3xzFGyU
Email: info@urbancare.clinic
Instagram: @urbancareclinic
Pia wanafanya ushauri kwa njia ya video. Hata kama haupo Zanzibar, popote ulipo dunia unaweza ukaongea na daktari na kusikilizwa shida yako

Пікірлер: 222
@antusajoseph9360
@antusajoseph9360 3 ай бұрын
Kuanzia leo naanza kunywa maji nakuwanywesha watoto na mimi mwenyewe Mungu nisaidiye
@neemamgendi1389
@neemamgendi1389 4 ай бұрын
Jamani anafundisha vizuri dada Catherine, nilikuwa sijui Figo ziko mgongoni,pia matumizi ya chumvi ni hatari Sana kwa afya zetu, asante Sana kwa somo zuri!
@KazimilyEpimack
@KazimilyEpimack 4 ай бұрын
Dr.Catherine, Mwandaaji wa kipindi na timu nzima, Bravo kwenu sana✊
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 ай бұрын
😔 mungu wewe tu ndie muokozi wetu,Asante Sns kwa kipindi muhim na kizuri 🙏🏽
@phillipkundy2510
@phillipkundy2510 4 ай бұрын
Mungu ni muokozi wetu, ni kweli, ila sisi tuna sehemu yetu yakuwajibika km mtoa mada anavyoshauri
@StephanoMoses
@StephanoMoses 2 ай бұрын
Jisaidie Nami nitakusaidia. Asema bwana
@user-xi9pv3wu1c
@user-xi9pv3wu1c 4 ай бұрын
Asante sana Dr Catherine Kwa kutuelimisha kipindi kizuri, Bora Kinga kuliko riba Mungu akubariki sana
@christainc.5217
@christainc.5217 4 ай бұрын
Jamani natowa funzo akuna kupiga mutoto kwenye mugongo
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 4 ай бұрын
Hongera Kwa kutujuza Ila jua kuwa shetani yuko kazini,n'a huo wote ni mpango wA shetani,
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 4 ай бұрын
Asante kutuelimisha ugonjwa hatari,sana
@benedictlemason7952
@benedictlemason7952 3 ай бұрын
Goodwoman yourself doc... I got you accordingly. Am one free victim of diabetic melitus and now kidney reading. 370..
@user-ku8lh7wl8v
@user-ku8lh7wl8v 4 ай бұрын
Mungu ndie mtetezi wetu ila tu nashukuru San kwa hiii Ushauri 🙏🙏🙏
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
Amina Amina
@MosesWilliam-kl3yd
@MosesWilliam-kl3yd 3 ай бұрын
Nashukuru Sana Doctor kwaushauri mzuri, Mimi mtanzania anayeishi inchini Zambia .
@marcemarco3747
@marcemarco3747 4 ай бұрын
Ahsant skay kwa kutusaidia kujua mambo ya msingi kuhusu AFYA zetu....👍
@bonifacenanda9729
@bonifacenanda9729 3 ай бұрын
Dr Asante sana kutuelimisha juu ya Figo. Siku nyigine utuelimishe juu ya Ini MAANA Homa ya Ini imemaliza we give.
@user-en7pg4ym5r
@user-en7pg4ym5r 2 ай бұрын
Asante kwa ushaury muhimu wengi tunateseka hatuna pesa
@user-tx6pk5bg1b
@user-tx6pk5bg1b 4 ай бұрын
Asante kwa elimu kubwa ambayo kwahivi SASA nitatizo kubwa nanijanga lakitaifa kwasasa mbarikiwe saana
@HasnaNassoro
@HasnaNassoro Ай бұрын
Ya ALLAH tunakuomba waja wako utuepushie haya maradhi,tunakuomba yaa raby,wewe ndo mganga wa wet wakwanza yaraby tupe umri wa manufaa na utuepushe na maradhi ya rabby.Amiina
@petromsimbe5361
@petromsimbe5361 3 ай бұрын
Asante kwa elimu nzuri Mungu abariki kazi yako.Napata shida kuelewa kwani kuna group moja mtaalam wa lishe anafundisha juu ya diet inayofaa kwa mgonjwa wa kisukari anasisitiza sana mgonjwa asile kabisa ugali iwe dona au ngano isiyokobolewa,wewe unasema ale.Naomba tuondoleeni huo mkanganyiko wataalam wetu.
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
Hi, namba uwasiliane nasi kupitia namba zetu kwenye description box
@user-kv9zd6pg8r
@user-kv9zd6pg8r 4 ай бұрын
Dr Catherine Asante sana kwa maelezo mazuri kuhusu afya zetu.
@jumarajabu5795
@jumarajabu5795 4 ай бұрын
Asante kwa elimu yako kutufikishia elimu mhm mungu akuongeze umri...utufunz zaid
@ToradEmire
@ToradEmire 3 ай бұрын
Thanks for Nice presentation Dr cathe Nutritionist Actually you know what your Doing
@user-lg7yi9el3p
@user-lg7yi9el3p 3 ай бұрын
Thanks for your help doctor catherine
@graceluiana8807
@graceluiana8807 4 ай бұрын
Asante sana Catherine ila wajawazito wapate elimu hii nzuri.
@salehemganga1081
@salehemganga1081 4 ай бұрын
Very informative interview.
@user-gc8vb3gv8c
@user-gc8vb3gv8c 3 ай бұрын
Asante kwa somo, Ubarikiwe sana Dr
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 4 ай бұрын
ASANTE SANA KWA ELIMU NZURI. HAPO KWENYE MWENYE TATIZO LA FIGO ALE VYA KUKOBOLEWA NA WA SUKARI ALE VISIVYOKOBOLEWA JE KAMA ANA SHIDA ZOTE MBILI?
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k 4 ай бұрын
Asante sns nimejifunza
@faustinimathayo6566
@faustinimathayo6566 3 ай бұрын
kwaili somo nimejifunza kt asante sana doctor
@sm.i3419
@sm.i3419 Ай бұрын
Asante sana kwa elimu tutazingatia. Mungu atusaidie na awabariki kwa elimu
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 4 ай бұрын
Asante Asante sna
@user-ut8qb2mi7w
@user-ut8qb2mi7w 3 ай бұрын
Mungu atufanyie wepesi inshallah
@harrietmuriuki5605
@harrietmuriuki5605 4 ай бұрын
thanks daktari
@davidkabungo1192
@davidkabungo1192 4 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu hiyo ya Bure! Ila kwa usikivu mzuri zaidi naomba siku ingine kasiwepo hako kamuziki !.
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
haha Karibu sana😃 Fredrick ameskia
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 ай бұрын
Mziki mbona uko mbali sanaaaa...tatizo siyo mziki ila wewe una masikio mabovuuu
@marthamahule2120
@marthamahule2120 4 ай бұрын
Dah!! Sasa tutakula Nini jamani viazi,mhogo,magimbi Mungu mwenyewe aturehemu
@djjosie7283
@djjosie7283 4 ай бұрын
Hajasema usile hadi ukiibainika uko na ugonjwa wa figo na ukashauliwa na doctor
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
@@djjosie7283 kweli kabisa😁
@JuliusSalimu
@JuliusSalimu 4 ай бұрын
Mungu atusaidie tu bila yy hatuwezi
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
Amina
@salehemganga1081
@salehemganga1081 4 ай бұрын
Aamin yaa rabbi.
@salehemganga1081
@salehemganga1081 4 ай бұрын
Kweli bila Mungu hatutoboi aisee.
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 ай бұрын
Mungu atunusuru na huu ugonjwa ni hatari sana 😢😢
@djjosie7283
@djjosie7283 4 ай бұрын
Unaweza ukamtegemea mungu kwelii lkn ww ndo ukawa unajibana kunywa maji unakula vyakula vya ovyo ovyo asa mungu atakuepushaje apo??
@lulusenzia4807
@lulusenzia4807 3 ай бұрын
Ahsante kwa elimu ya afya
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 4 ай бұрын
Ni muhimu sana kulinda figo maana ikifeli besti hutakojoa ww!! Nakwambia utakiona cha moto!!
@NassorOmar-qi4st
@NassorOmar-qi4st Ай бұрын
Asante dokta kwa ushauli wako
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d Ай бұрын
Ahsante kwa somo
@Babyzay178
@Babyzay178 4 ай бұрын
Asante SnS
@happykayamba438
@happykayamba438 4 ай бұрын
Asant sn kwa elimi hii weng hatukuwa tunajua hy mung awabarik muendelee kutuelimisha zaid
@eidkhan6024
@eidkhan6024 4 ай бұрын
Duu niatari mi mtoto wangu uji2 chumvi.Mungu atusaidie
@eliahntazi5611
@eliahntazi5611 4 ай бұрын
Kiukweli MUNGU tu ndio atakayetusaidia kwa hali hii,du Ni kwa neema tu ndio tunaweza save
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 4 ай бұрын
Nimeelewa sana
@silvanusndisi9636
@silvanusndisi9636 4 ай бұрын
Dr nimekuelewa mfano mm nilipata ajari na nikaa hospital miaka 5 nilishatumia dawa nyingi za Kila aina hasa za maumivu hasa dawa ya tramadol lakini nilishapona nafanyaje kuhusu huo mda nilio tumia hizi dawa Kwa mda mlefu au Kuna uwezekano wa kuzisafisha .nahofu sana Kwa matumizi niliyo tumia hizi dawa
@angelomfilinge8662
@angelomfilinge8662 3 ай бұрын
Nashukuru kwa elimu hii muhimu.
@JoeliMathayo
@JoeliMathayo 21 күн бұрын
Ni hatari sana,kikubwa Mungu mwenyewe aingilie kati
@piensiachuwa1512
@piensiachuwa1512 4 ай бұрын
Asante sana kutuelimisha kuhusu afya ya Figo Mungu awatunze.jamani hii elimu tuizingatie sana
@isayajoseph14
@isayajoseph14 4 ай бұрын
Dah afya moja magonjwa kibao
@thierrygahungu9510
@thierrygahungu9510 4 ай бұрын
Asante sana na kipindi hiki..
@user-wp2dc3dr3w
@user-wp2dc3dr3w 3 ай бұрын
Asate san kwa ushari grace kutoka Kenya
@SalehBakar-tx4mf
@SalehBakar-tx4mf 2 ай бұрын
asanteni kwa mafunzo
@barakasamwelly9883
@barakasamwelly9883 Ай бұрын
Ongera sana kwa mafundish bora
@NgusaMtimbi
@NgusaMtimbi 2 ай бұрын
Nawapata vizuri Sana kwa kipindi hiki kizuri
@irineadisa7289
@irineadisa7289 4 ай бұрын
Thank you Dr.
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
Karibu sana
@user-ur7gr9nh9b
@user-ur7gr9nh9b 4 ай бұрын
asant San mung akulipe kwakaz yako muhim kwajam
@Siasia209
@Siasia209 4 ай бұрын
Kipindi kizuri sky shukrn sana
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 4 ай бұрын
Kipindi hiki nimefurahi ni madini muhimu kwa maisha asante mwandishi na zaidi Doctor kwa maelezo yanayofahamika
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
Asante sana. Karibu Urban Care Clinic🎉
@user-ch2qb3mm2x
@user-ch2qb3mm2x 4 ай бұрын
Hivi asubuhi kabla hujanywa chai unaweza kunywa maji?
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 4 ай бұрын
@@user-ch2qb3mm2x maji yasiwe baridi tena mazuri zaidi ni moto kiasi hata robo ya glass
@angelakimani4239
@angelakimani4239 3 ай бұрын
Asante sana unanisaidia sana iniko Nairobi
@EmmanuelNyinyigwa
@EmmanuelNyinyigwa 4 ай бұрын
Mwandishi huyo NI mtaalam WA magonjwa ya watoto Tu. Maswali unayo mpa anayajibia kitalam akilenga wa toto. Asante sasa tafuta mtaalam WA magonjwa ya watu wazima
@baderahchantal7672
@baderahchantal7672 4 ай бұрын
Aksanti sana maman🙏
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
Karibu sana Asante kwa kusikiliza🎉
@asnathmugassa136
@asnathmugassa136 3 ай бұрын
Somo zuri na muhimu sana
@jacobsimkoko3096
@jacobsimkoko3096 4 ай бұрын
Thanks a lot
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
Karibu sana
@user-xi9pv3wu1c
@user-xi9pv3wu1c 4 ай бұрын
Mungu tusaidie
@jumaothman9449
@jumaothman9449 3 ай бұрын
Dr. Kiswahili kinapotea kwa lugha ya kigeni
@frankvianey2438
@frankvianey2438 4 ай бұрын
Nashukuru kaka kwa elimu nzur sana
@masungadutta3823
@masungadutta3823 4 ай бұрын
Hii elimu ya chumvi kwa watoto wangepewa wanawake wajawazito hasa
@SafiElungu
@SafiElungu 3 ай бұрын
Ansate Mimi ninaswali kuusu ungojwa wa sukari napenda kupata mafunzo
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
Habari, naomba utupigie simu namba za simu zipo kwenye description box hapo juu. Karibu.
@user-gb5vz6wm2q
@user-gb5vz6wm2q 4 ай бұрын
Huyu Daktari ni Mkenya🇰🇪 Hongera sana
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 4 ай бұрын
Nani kakuuliza!!
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 ай бұрын
Tanzania hatunaga hayo mambo ya sjui huyu wa nchi gani kinachoangaliwa hapo ni utaalamu wake ni kabila gani wa nchi gani haitusaidii.
@engribertinnocent7536
@engribertinnocent7536 4 ай бұрын
Ndomaana Kenya upuuzi ni mwingi, huku kwetu hakunaga ukabila, wala nini, ndomaana sisia niwakarimu, ika wenzetu Kenya na uganda ili upate msaada lazima uulizwe ww ni wawapi, ndomaan mpk leo wana Redio na Tv za lugha za makabila
@engribertinnocent7536
@engribertinnocent7536 4 ай бұрын
​@@ramsojimmykelly3379😂😂😂😂😂
@Shuu.A
@Shuu.A 3 ай бұрын
Sasa kama mkenya ili iweje kazi yenu sifa roho mbaya na ubinafisi tu ushamba tu
@monicamtenga
@monicamtenga 3 ай бұрын
Iko Zanzibar.
@maryklungul9705
@maryklungul9705 3 ай бұрын
ASANTE sana
@rodsconehenry4249
@rodsconehenry4249 4 ай бұрын
BAAAH NG'ONDA ANAVONOGA HIVYO..NDO NISILE MUNYU KWELI CATHERINE KWELI
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq 4 ай бұрын
Mungu atusaidie sana😍🙏
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
AMINA
@user-es1ux5ol2r
@user-es1ux5ol2r 4 ай бұрын
Watangazaji makini kama wewe mmebaki wachache sana kaka Bundala
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
He is the best
@zenjigreen5491
@zenjigreen5491 4 ай бұрын
Umeelimisha Umefahamika
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 4 ай бұрын
"Dialysis" sio kusafisha figo ni kusafisha (kuchuja) damu ambayo ilitakiwa isafishwe na figo ili kuondoa taka mwili na vitu visivyo hitajika(kiwango kisicho hitajika) . Inasafishwa na mashine(dialyzer) aka "artificial kidney" kutokana na figo kushindwa kufanya hivyo(kuchuja damu) kwa sababu ya kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi "kidney failure)
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 3 ай бұрын
Sawa bwana Daktari
@winniemyamba1630
@winniemyamba1630 4 ай бұрын
Mungu wangu tumekwisha
@modekaijames
@modekaijames 4 ай бұрын
Kwanini usiogope kikubwa zingatia na kama kuna fulsa ya mazoezi fanya Mungu mwema anaturida
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
Bado Kuna matumaini
@salimjumaa8180
@salimjumaa8180 4 ай бұрын
Hyu Doctor ana ki2 na atafika mbali sana. Kw kwl nmejifunza jambo
@machakuroger7068
@machakuroger7068 4 ай бұрын
Ni Mtaalamu wa lishe
@1961nungwi
@1961nungwi 4 ай бұрын
Ni mambo ya shule tuu. Madaktari wote Wana kitu
@AdilAdam-mu5nk
@AdilAdam-mu5nk 4 ай бұрын
Asente
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz 11 күн бұрын
Nijaribu kuweka no whatapp mbona siwapati
@GilbertMushi-ue5ud
@GilbertMushi-ue5ud 3 ай бұрын
Bwana ututetee sisi wanao
@rodsconehenry4249
@rodsconehenry4249 4 ай бұрын
We bwana wee nisile dona tenah😂😂😂😂😂😂 Mola save me place pls ntafurah nikimkuta ma nigga pac
@peresianamugeta1770
@peresianamugeta1770 3 ай бұрын
Fafanunua hilo
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 4 ай бұрын
Mungu wangu mimi natumia sana dawa za maumivu pia nina uzito mkubwa na presha nifanye je Dr jamani?
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 3 ай бұрын
Kula kwa afya ...muone dr boaz mkumbo akupe elimu ya sayansi ya chakula....mfuatilie hapa you tube ..face book hata insta ... .
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
Habari, naomba utupigie simu namba za simu zipo kwenye description box hapo juu. Karibu.
@user-gc8vb3gv8c
@user-gc8vb3gv8c 4 ай бұрын
Asañte kwa e limu
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 4 ай бұрын
Mwaura ni mkenya ee ?? ,maana naona kiswahili ni cha kusua sua
@bacumijuvenalniyibigira3543
@bacumijuvenalniyibigira3543 4 ай бұрын
Asante sana doctor Catherine mimi nina tatizo la kidney stones sasa ni chakula gani naweza tumia? Je kuna uwezekano wa kupata number za doctor Catherine? Asante
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
Hello, zipo kwenye description hapo juu
@rizikisalim6630
@rizikisalim6630 4 ай бұрын
Naomba kujua dalili za kuumwa na Figo tafadhali
@leontiarwechungura7321
@leontiarwechungura7321 3 ай бұрын
Mzugumzaji kasemema 180 za damu zinapita kwenye figo kla siku kwani mwil wa binadamu una lt ngapi za damu?
@user-em1tb7tb8s
@user-em1tb7tb8s 4 ай бұрын
Kaka huyu doctor anavyo elezea tu ukiwa mgonjwa unapona kabisaaaa!Nimepita hospital nyingi ila doctor ni hatari sana!hii hospital iko wapi,?
@BushuraMohamedi
@BushuraMohamedi 2 ай бұрын
Doctor mi naisii ninatatizo ilo kwa jinsi ninavyo jisikia
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
Pole sana, tupigie simu namba za simu zipo kwenye description box
@MohamedMkota
@MohamedMkota 4 ай бұрын
Mko wp
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
Habari, tupo Nyamanzi Fumba Town Zanzibar wasiliana nasi kupitia namba zetu zilizo kwenye description box hapo juu
@barakakusa7606
@barakakusa7606 4 ай бұрын
Inaogopesha nikikumbuka kuna muda nilikuwa nqbeba chumvi nikienda kuchunga naimumucha😢😢😢😢😢
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Ай бұрын
Inatisha 😢
@rahimasalim26
@rahimasalim26 3 ай бұрын
Jamni mbona zamani watoto wakilishwa kila kitu na walikua na afya njema tu
@aminattai2676
@aminattai2676 3 ай бұрын
Kwa anavoongea huyu itakuwa yeye mwenyewe kaathirika na gonorial
@GraceYapala
@GraceYapala 3 ай бұрын
siioni vizuli. Namba yasm
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
Habari, unaweza kuiona kwenye description box hapo juu
@user-gp9nu5td7s
@user-gp9nu5td7s 4 ай бұрын
Kama ulipo skiya swala lamaji ukanywa Kama Mimi tujuwane
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 4 ай бұрын
Asante kwa kutusikiliza
@elizabethabdon2890
@elizabethabdon2890 4 ай бұрын
Ya
@user-tx6pk5bg1b
@user-tx6pk5bg1b 4 ай бұрын
Naomba kuuliza kuhusu mtu ambae ameshaanza kukojoa nakuona chembechembe zadam kwenye mkojo
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
Habari, naomba utupigie simu namba za simu zipo kwenye description box hapo juu
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 4 ай бұрын
Hilo swali la utajuaje huyu mtu ana tatizo la Figo! Halijajibiwa kitaalamu hiyo ya mtoto kwenye diaper sivyo. Tunataka jibu la kwa mtu mzima. Umeyumba. Kadiri ya unywaji wa maji ni ndivyo hivyo utapata mkojo!!
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 4 ай бұрын
Hili la kuchemsha mamboga ukamwaga maji si ndiyo umeondoa vitamin yote. Tutayumbishwa sana
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 3 ай бұрын
Hiyo ameelezea jinsi ya kumpigia mgonjwa wa figo sio kama una afya yako kula kawaida
@catherinemwaura6118
@catherinemwaura6118 2 ай бұрын
Habari, wasiliana nasi kwa maelekezo zaidi namba za simu zipo kwenye description box hapo juu. Karibu.
@albertmullah2377
@albertmullah2377 3 ай бұрын
Huyu dada me nataka nimuoe
SHAJARA | zijue sababu za ugonjwa wa figo, matibabu
32:16
Azam TV
Рет қаралды 10 М.
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 67 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 4,9 МЛН
10 Signs Your Kidneys Are Crying For Help
11:59
HealthNormal
Рет қаралды 7 МЛН
Simulizi ya Mgonjwa Wa Figo: Testimonial of Kidney Patient
1:51
The Aga Khan Hospital, Dar Es Salaam
Рет қаралды 11 М.
как попасть в закулисье в schoolboy runaway
0:51
Горилла Показала Малыша 😍
0:23
ДоброShorts
Рет қаралды 2,1 МЛН
When an RV meets a zombie outside #rv
0:21
campingWorld
Рет қаралды 27 МЛН
КАЧЕЛИ ИЗ АРБУЗА #юмор #cat #топ
0:33
Лайки Like
Рет қаралды 4,2 МЛН