No video

VITU VINAVYOSABABISHA VIDONDA VYA TUMBO | DALILI ZAKE | DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO

  Рет қаралды 45,641

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

Күн бұрын

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
#OngezaBando

Пікірлер: 79
@enezaelinnko-gr5cp
@enezaelinnko-gr5cp 4 ай бұрын
Je vidonda vya tumbo husababisha choo kigumu adi kutokwa dam sehemu ya aja kubwa
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 4 ай бұрын
Uyu mama mwenye miwani hajui utangazaji ana makelele sana
@hatmanjema
@hatmanjema 10 ай бұрын
Mm nawaka moto tumboni mwenzenu
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 4 ай бұрын
Dr plz unatumia kiac gn Cha unga wa uwatu?
@user-ky9be8mp5i
@user-ky9be8mp5i 7 ай бұрын
NAMBA Yake Kuwasiliana
@salhapeter5520
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
@user-gy1lb9fo2b
@user-gy1lb9fo2b 10 ай бұрын
😂nimecheka
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 5 ай бұрын
Hakika Dr.Shaka wewe ni daktari genius. Umetupatia bure dawa za aina 3, uwatu, asali mbichi,na mafuta ya nazi. Barikiwa...
@BintShaban
@BintShaban 6 күн бұрын
mimi nimeelewa kasema mafuta ya nazi kijiko cha chakula asubuh na jioni kila sikuvila kwa muda gani ndo najiuliza
@dominickjonas5423
@dominickjonas5423 7 күн бұрын
Je dawa za hospital atumii
@user-nz3rd2zn6g
@user-nz3rd2zn6g 8 ай бұрын
Dr naweza kuagiza doz nkatumuwa mi npi dodoma
@BethaKululinda
@BethaKululinda Ай бұрын
Dawa ya vidonda vya tumbo sh. Ngapi?, je unatibu na kuzidi kwa asid tumboni?.
@mdathirhassan2187
@mdathirhassan2187 6 ай бұрын
Huyo mwanamke mdarai sana hupati faida kwa daktari
@JoyceSama-bo7jv
@JoyceSama-bo7jv 3 күн бұрын
Watangazaji wapunguze midomo tusikilize
@aminachiziamina
@aminachiziamina Жыл бұрын
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
@user-qr8fb7kc1u
@user-qr8fb7kc1u 11 ай бұрын
Tutftane jmn😢
@matildamati9222
@matildamati9222 6 ай бұрын
Hapa ni kusikiliza tu na ufuatize kama unaamini lakini namba ya Dr mwaka huwezi ipata wala madeali hayajibiwi hapa vinginevyo uende kwenye clinic yake
@Jacklin-bt3ic
@Jacklin-bt3ic 2 ай бұрын
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
@user-ty1tp8ly8q
@user-ty1tp8ly8q 2 ай бұрын
Km mm yaan
@user-wk8wu3hd9d
@user-wk8wu3hd9d 7 ай бұрын
Docter mie nasumbuliwa na kizunguzungu na kila nikila haragwe ndo inatokea hivyo nasumbuka sana
@innocentmmary6441
@innocentmmary6441 9 ай бұрын
Dokta naomba kutambua Jambo moja swali langu nikwamba vidonda vyatumbo vinaweza kuasirii mwanaume kushindwa shuhuli yake kwa mwenza wake
@aminachiziamina
@aminachiziamina Жыл бұрын
Mm nko kenyaq je ukuhizii dawa ziko kwelii qma ni Tanzania pekee nachoka nahii halii mm waa hakii vimenikaaa sanaa
@danielamosi6871
@danielamosi6871 2 ай бұрын
Ulizia huko kwenu kenya
@abdallahfurah238
@abdallahfurah238 Ай бұрын
NAOMBA KUULZA JE PALACHICHI UNAWEZA KULA?
@praxedarutaselw4076
@praxedarutaselw4076 8 ай бұрын
Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
@mahijaspear4648
@mahijaspear4648 11 ай бұрын
Tunashukuru dkt kwa ushauri ila watangazaji mnaongea Sana kuliko dkt kah! Too much muwe mnampa nafasi ya kuongea mnapo alika mgeni
@MudyNkofia
@MudyNkofia 19 күн бұрын
Mundy nkofia 1:25
@salhapeter5520
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Asali unatumiaje
@salhapeter5520
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Doktar mwaka tunaomba jibu au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani
@archkeels3753
@archkeels3753 9 ай бұрын
Sawa mkuu
@user-up1fi9ce9n
@user-up1fi9ce9n 5 ай бұрын
Dawa zake zinagarimu kiasi gani chapesa
@user-up1fi9ce9n
@user-up1fi9ce9n 5 ай бұрын
Mm ninavyo lakini natumiaga dawa hazinisaidii
@GiftMaiko
@GiftMaiko 4 ай бұрын
Nimeelewa dockita
@phidonphillibert1504
@phidonphillibert1504 9 ай бұрын
Dr mm nasumbuliwa tatizo la asidi kwenye koo
@user-zq4yl6zw5j
@user-zq4yl6zw5j 8 ай бұрын
Umepata dawa ndugu
@mohamedsalum6045
@mohamedsalum6045 2 ай бұрын
Namba ya simu
@neemamwijage
@neemamwijage 3 ай бұрын
Docter naomba namba yako nina madonda sugu
@mwanakomboomary7609
@mwanakomboomary7609 6 ай бұрын
😢😢
@bmbabaima1506
@bmbabaima1506 22 күн бұрын
Kuna shida gani tukila maharage maana ndiochakula chetu
@mkambaselemani-ej7np
@mkambaselemani-ej7np 4 ай бұрын
Unatumia Kia's gan Cha uwatu?
@piasonsolomon9886
@piasonsolomon9886 Ай бұрын
Kijiko cha chai
@user-xg8nc5nb2s
@user-xg8nc5nb2s 6 ай бұрын
Naomba namba ya dokta mwaka
@user-dk3ss9ts7n
@user-dk3ss9ts7n 2 ай бұрын
Bia ya kilimanjaro glas moja kabla yakula siku 14
@suniahjerry5985
@suniahjerry5985 Жыл бұрын
Ivi vidonda vinapelekea kupata dege dege.
@user-du7be4fb6s
@user-du7be4fb6s 7 ай бұрын
Mimi Nina uia nimeshakuywa dawA ila nikipima nakuta Bado nisaidie kwa anaejua dawa nyingine hata mitisha mnambie
@SaibShaib
@SaibShaib 4 ай бұрын
Naomba kuuliza mimi naumwa na vidonda naumia mpk nyuma ya mgongo inakuwaje
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 4 ай бұрын
Ndio vidonda hivo
@user-hm1ml8kh8f
@user-hm1ml8kh8f 9 ай бұрын
Unaweza kuchanganya asali na uwatu au kuchanganya na mafuta ya nazi
@NasibuJuma-zv5ox
@NasibuJuma-zv5ox 6 ай бұрын
Sisi watu tunaoishi inchi zingine kama Burundi matibabu tutayabata vip
@ShigongoMahuma-jv6hm
@ShigongoMahuma-jv6hm 9 ай бұрын
Mimi nikinywa pombe naumwa tumbo je nidalili au
@christinajohn3718
@christinajohn3718 Жыл бұрын
Asali mbichi unaitumiaje
@user-fo4gf6my1n
@user-fo4gf6my1n 7 ай бұрын
Je? Katika hizodawa doctor ulizotutajia nizote lazma utume Yan mchanganyo au mojawapo
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 11 ай бұрын
Huyu jamaa kiboko kama alipishana na mashehe
@NasibuJuma-zv5ox
@NasibuJuma-zv5ox 6 ай бұрын
Sisi watu wa inchi za kigeni dawa hizo tutazibata vipi dawa zenu
@user-ry3fi8vl3c
@user-ry3fi8vl3c 10 ай бұрын
dokta nina asidi nitapata tiba
@Atb300
@Atb300 7 ай бұрын
Mafuta ya nazi hata ya dukani?
@gracekavishe9823
@gracekavishe9823 7 ай бұрын
Nimekuja kwenye Hospitali wanakupa Dawa mchanganyiko kitunguu saumu malimao tangawizi inazidisha asidi
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 3 ай бұрын
Mimi nimetumia limao ndiyo kama tumbo limezidi
@VeronicaSisimbi-dv3bn
@VeronicaSisimbi-dv3bn 5 ай бұрын
Mimi tumbo linavuta
@AngelineSaidi
@AngelineSaidi 2 ай бұрын
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi
@piasonsolomon9886
@piasonsolomon9886 Ай бұрын
Dawa zinapatikana arusha
@muadhmirza
@muadhmirza Жыл бұрын
Jamani Mimi hady ss nasumbuliwa na Hy alisa au hypoory
@margaretbarasa1627
@margaretbarasa1627 Жыл бұрын
Mm nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nko Kenya naweza pata aje hizo dawa
@rebeccapallangyo
@rebeccapallangyo Жыл бұрын
Na je kwann kazi ya kabichi tumbon ni nn??na je maumivu ya chembe ya moyo na kichwa n nn?? Na je kuharisha kunasbabishwa na nn??
@user-vx8vv8ft2i
@user-vx8vv8ft2i Жыл бұрын
Mim vimeisha niasiri sana
@mohammedathumani7639
@mohammedathumani7639 Жыл бұрын
Nisaidie dawa
@user-ie1rh2lb5g
@user-ie1rh2lb5g Жыл бұрын
Nisaidie dawa
@user-qr8fb7kc1u
@user-qr8fb7kc1u 11 ай бұрын
Tuambie daw
@user-by5dh2wx1e
@user-by5dh2wx1e 6 ай бұрын
Niambie dawa
@user-by5dh2wx1e
@user-by5dh2wx1e 6 ай бұрын
Nisaidie dawa
@PerisiperisiKingi
@PerisiperisiKingi 6 ай бұрын
Huyu mwanamke hata anakera mtu unataka kuskiliza dawa wao n kelele tu
@user-jn9cx7zh1j
@user-jn9cx7zh1j 5 ай бұрын
Yaani wanaudhi!!! asali hajatwambia inatumikaje wanamkatisha kelele tu
@user-dm2gn7rb1s
@user-dm2gn7rb1s 10 ай бұрын
Mimi napata maumivu kitkat yakifua je hivipia nividonda vya tumbo
@husnasaeed6353
@husnasaeed6353 8 ай бұрын
Nenda hospital kapime
@yeanyaen3663
@yeanyaen3663 10 ай бұрын
Dr.naomba no yako
@muadhmirza
@muadhmirza Жыл бұрын
Mimi hd ganzi mkononi
@omanoman4313
@omanoman4313 Жыл бұрын
Unatumia. Dawa. Gani. Nijuze. Mwenzio. Nasumbuka
@milkaondimu1684
@milkaondimu1684 Жыл бұрын
​@@omanoman4313aki pia mimi 😢😢
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 91 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 50 МЛН
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 20 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
Top U.S. & World Headlines - August 22, 2024
15:44
Democracy Now!
Рет қаралды 162 М.
LIVE🔴: FAIDA ZA MTI WA MDATU | DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO
29:21
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 217 М.
MEDICOUNTER: HATARI YA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ASIDI TUMBONI
27:34
A Look at Tim Walz's Record: George Floyd, IVF, Guns and Gaza
22:30
Democracy Now!
Рет қаралды 25 М.
FAHAMU MADHARA YA TUMBO KUJAA GESI.
8:17
SUNET TV
Рет қаралды 7 М.
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 91 МЛН