Je vidonda vya tumbo husababisha choo kigumu adi kutokwa dam sehemu ya aja kubwa
@rukiamziwanda74584 ай бұрын
Uyu mama mwenye miwani hajui utangazaji ana makelele sana
@hatmanjema10 ай бұрын
Mm nawaka moto tumboni mwenzenu
@mkambaselemani-ej7np4 ай бұрын
Dr plz unatumia kiac gn Cha unga wa uwatu?
@user-ky9be8mp5i7 ай бұрын
NAMBA Yake Kuwasiliana
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Umetuelekeza dawa ya vidonda vya tumbo tunaomba na maelekezo kamili asali unatumiaje na kwa mda gani au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani tusaidie tupone tuishi hapa duniani Kama watu wengine 😭🙏
@user-gy1lb9fo2b10 ай бұрын
😂nimecheka
@elibarikimollel71495 ай бұрын
Hakika Dr.Shaka wewe ni daktari genius. Umetupatia bure dawa za aina 3, uwatu, asali mbichi,na mafuta ya nazi. Barikiwa...
@BintShaban6 күн бұрын
mimi nimeelewa kasema mafuta ya nazi kijiko cha chakula asubuh na jioni kila sikuvila kwa muda gani ndo najiuliza
@dominickjonas54237 күн бұрын
Je dawa za hospital atumii
@user-nz3rd2zn6g8 ай бұрын
Dr naweza kuagiza doz nkatumuwa mi npi dodoma
@BethaKululindaАй бұрын
Dawa ya vidonda vya tumbo sh. Ngapi?, je unatibu na kuzidi kwa asid tumboni?.
@mdathirhassan21876 ай бұрын
Huyo mwanamke mdarai sana hupati faida kwa daktari
@JoyceSama-bo7jv3 күн бұрын
Watangazaji wapunguze midomo tusikilize
@aminachiziamina Жыл бұрын
Mm nko nazo alisasslkini nkiwa skukulaa kutoka jion ndo naskiaa halii siyopow uyuu don't niukweleee so juuu mm kila alivyoo ongea mm nkovivyohivyooo soo niukweliii❤❤❤❤❤❤
@user-qr8fb7kc1u11 ай бұрын
Tutftane jmn😢
@matildamati92226 ай бұрын
Hapa ni kusikiliza tu na ufuatize kama unaamini lakini namba ya Dr mwaka huwezi ipata wala madeali hayajibiwi hapa vinginevyo uende kwenye clinic yake
@Jacklin-bt3ic2 ай бұрын
Doctor naomba kuuliz chembea moyo nayo husababishwa n nin mim nina vidonda ila huwa nanapata maumiv makali saan chin kidogo y kifua yanayoenda mpk tumbon
@user-ty1tp8ly8q2 ай бұрын
Km mm yaan
@user-wk8wu3hd9d7 ай бұрын
Docter mie nasumbuliwa na kizunguzungu na kila nikila haragwe ndo inatokea hivyo nasumbuka sana
@innocentmmary64419 ай бұрын
Dokta naomba kutambua Jambo moja swali langu nikwamba vidonda vyatumbo vinaweza kuasirii mwanaume kushindwa shuhuli yake kwa mwenza wake
@aminachiziamina Жыл бұрын
Mm nko kenyaq je ukuhizii dawa ziko kwelii qma ni Tanzania pekee nachoka nahii halii mm waa hakii vimenikaaa sanaa
@danielamosi68712 ай бұрын
Ulizia huko kwenu kenya
@abdallahfurah238Ай бұрын
NAOMBA KUULZA JE PALACHICHI UNAWEZA KULA?
@praxedarutaselw40768 ай бұрын
Mimi nakuwa nasikia kama mafua yanabana sana puani kwa ndani lakini ayatoki je ni madonda maana nilikuwa nayo nkatumia dawa nkapona sasa ndo hali inajitokeza iyo
@mahijaspear464811 ай бұрын
Tunashukuru dkt kwa ushauri ila watangazaji mnaongea Sana kuliko dkt kah! Too much muwe mnampa nafasi ya kuongea mnapo alika mgeni
@MudyNkofia19 күн бұрын
Mundy nkofia 1:25
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Asali unatumiaje
@salhapeter5520 Жыл бұрын
Doktar mwaka tunaomba jibu au mafuta ya Nazi unatumia kwa mda gani
@archkeels37539 ай бұрын
Sawa mkuu
@user-up1fi9ce9n5 ай бұрын
Dawa zake zinagarimu kiasi gani chapesa
@user-up1fi9ce9n5 ай бұрын
Mm ninavyo lakini natumiaga dawa hazinisaidii
@GiftMaiko4 ай бұрын
Nimeelewa dockita
@phidonphillibert15049 ай бұрын
Dr mm nasumbuliwa tatizo la asidi kwenye koo
@user-zq4yl6zw5j8 ай бұрын
Umepata dawa ndugu
@mohamedsalum60452 ай бұрын
Namba ya simu
@neemamwijage3 ай бұрын
Docter naomba namba yako nina madonda sugu
@mwanakomboomary76096 ай бұрын
😢😢
@bmbabaima150622 күн бұрын
Kuna shida gani tukila maharage maana ndiochakula chetu
@mkambaselemani-ej7np4 ай бұрын
Unatumia Kia's gan Cha uwatu?
@piasonsolomon9886Ай бұрын
Kijiko cha chai
@user-xg8nc5nb2s6 ай бұрын
Naomba namba ya dokta mwaka
@user-dk3ss9ts7n2 ай бұрын
Bia ya kilimanjaro glas moja kabla yakula siku 14
@suniahjerry5985 Жыл бұрын
Ivi vidonda vinapelekea kupata dege dege.
@user-du7be4fb6s7 ай бұрын
Mimi Nina uia nimeshakuywa dawA ila nikipima nakuta Bado nisaidie kwa anaejua dawa nyingine hata mitisha mnambie
@SaibShaib4 ай бұрын
Naomba kuuliza mimi naumwa na vidonda naumia mpk nyuma ya mgongo inakuwaje
@rukiamziwanda74584 ай бұрын
Ndio vidonda hivo
@user-hm1ml8kh8f9 ай бұрын
Unaweza kuchanganya asali na uwatu au kuchanganya na mafuta ya nazi
@NasibuJuma-zv5ox6 ай бұрын
Sisi watu tunaoishi inchi zingine kama Burundi matibabu tutayabata vip
@ShigongoMahuma-jv6hm9 ай бұрын
Mimi nikinywa pombe naumwa tumbo je nidalili au
@christinajohn3718 Жыл бұрын
Asali mbichi unaitumiaje
@user-fo4gf6my1n7 ай бұрын
Je? Katika hizodawa doctor ulizotutajia nizote lazma utume Yan mchanganyo au mojawapo
@msangodiesel313211 ай бұрын
Huyu jamaa kiboko kama alipishana na mashehe
@NasibuJuma-zv5ox6 ай бұрын
Sisi watu wa inchi za kigeni dawa hizo tutazibata vipi dawa zenu
@user-ry3fi8vl3c10 ай бұрын
dokta nina asidi nitapata tiba
@Atb3007 ай бұрын
Mafuta ya nazi hata ya dukani?
@gracekavishe98237 ай бұрын
Nimekuja kwenye Hospitali wanakupa Dawa mchanganyiko kitunguu saumu malimao tangawizi inazidisha asidi
@mariamfaicalhassan28903 ай бұрын
Mimi nimetumia limao ndiyo kama tumbo limezidi
@VeronicaSisimbi-dv3bn5 ай бұрын
Mimi tumbo linavuta
@AngelineSaidi2 ай бұрын
Docta tumeshuhudia mana waganga wengine hawezemi ukweli wanaomba pesa tu sasa sisi kigoma mbona hizo dawa hatuzifahamu tunafanyaje tumeteseka tumetumia dawa nyingi hatuponi
@piasonsolomon9886Ай бұрын
Dawa zinapatikana arusha
@muadhmirza Жыл бұрын
Jamani Mimi hady ss nasumbuliwa na Hy alisa au hypoory
@margaretbarasa1627 Жыл бұрын
Mm nasumbuliwa na vidonda vya tumbo na nko Kenya naweza pata aje hizo dawa
@rebeccapallangyo Жыл бұрын
Na je kwann kazi ya kabichi tumbon ni nn??na je maumivu ya chembe ya moyo na kichwa n nn?? Na je kuharisha kunasbabishwa na nn??
@user-vx8vv8ft2i Жыл бұрын
Mim vimeisha niasiri sana
@mohammedathumani7639 Жыл бұрын
Nisaidie dawa
@user-ie1rh2lb5g Жыл бұрын
Nisaidie dawa
@user-qr8fb7kc1u11 ай бұрын
Tuambie daw
@user-by5dh2wx1e6 ай бұрын
Niambie dawa
@user-by5dh2wx1e6 ай бұрын
Nisaidie dawa
@PerisiperisiKingi6 ай бұрын
Huyu mwanamke hata anakera mtu unataka kuskiliza dawa wao n kelele tu
@user-jn9cx7zh1j5 ай бұрын
Yaani wanaudhi!!! asali hajatwambia inatumikaje wanamkatisha kelele tu
@user-dm2gn7rb1s10 ай бұрын
Mimi napata maumivu kitkat yakifua je hivipia nividonda vya tumbo