Рет қаралды 1,945
Taarifa muhimu kwa wakazi wa Dar es Salaam na Miji ya Mlandizi, Kibaha, Bagamoyo, Kisarawe na Chalinze kuwa malipo ya huduma ya maji yanaweza kufanyika kupitia njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na mitandao ya simu Tigo-pesa, M-pesa, Airtel Money, TTCL-Pesa, Halo-Pesa na Benki washirika za CRDB, NMB, Stanbic na NBC.