TAHARUKI YAIBUKA / MTOTO AUAWA, SEHEMU ZA SIRI ZAKATWA.

  Рет қаралды 175,732

ITV Tanzania

ITV Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 140
@Rehemamakuka
@Rehemamakuka 3 ай бұрын
Baba kaongea kweli mseme kiongozi uone lakini mauwaji mnaambiwa watu wasiojulikana
@Yassinseleman
@Yassinseleman 3 ай бұрын
😭😭😭🙏mtoto wa mwenzako niwako punzika kwa amani mtoto wetu😭😭
@JacquelineKinyonge
@JacquelineKinyonge 3 ай бұрын
Ee Mungu tunaomba utulindie watoto wetu peke yetu hatuwezi kuwalinda BABA🙏😭😭😭😭, pumzika kwa amani mtoto wetu
@amashafredy
@amashafredy Ай бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amen
@farajaphilipo8844
@farajaphilipo8844 3 ай бұрын
Eee mwenyezi mungu tusaidie tutawaficha wap watoto wetu
@KulwaMsafiri-v5u
@KulwaMsafiri-v5u 25 күн бұрын
Mungu walinde watoto wetu, pole sana familia
@MaryKafuku
@MaryKafuku 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu tunakuomba utulindie Watoto wetu 🙏 peke yetu hatuwezi
@LEONARDGWALUGWA
@LEONARDGWALUGWA Ай бұрын
Poleni wazazi ndugu na marafk roho ya mtoto huy Mungu aiweke mahali pema huko mbinguni
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 3 ай бұрын
MUNGU wanusuru wanangu na watoto wote wa nchi hii ya Tanzania Maana bila ww kuwalinda ss binadamu/wazazi pekee yetu hakika hatutaweza Moyo wangu unaumia sana kwa mambo haya ya ukatili 😭😭😭
@RahimaMct-ik8mr
@RahimaMct-ik8mr 3 ай бұрын
Amen😢
@mfungonishauri4234
@mfungonishauri4234 3 ай бұрын
Allah Ndio Hakimu wa haki... HasbiAllahu waneemal wakil
@IreneShadrack-p6c
@IreneShadrack-p6c 3 ай бұрын
Mm mwenye mtoto tumbo limeanza kukata mungu asaudie watoto wetu Jaman
@DenisKahwa-e8n
@DenisKahwa-e8n 3 ай бұрын
Mungu ilaze loho ya hyo mtoto mahal pema pepon amen
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 2 ай бұрын
Kweli kabisa baba umeongea ukweli Sana. Hii serikali hii mmmmh mungu tunaomba utusaidie
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Ай бұрын
Poleni inasikitisha sana hatuko salama du
@AngelaAlfani
@AngelaAlfani Ай бұрын
Mungu awalinde watoto wetu
@syliviasimon8415
@syliviasimon8415 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu walinde na uwatunze wanetu.
@sophiarema2338
@sophiarema2338 3 ай бұрын
Mwenyez Mungu ailaze roho yake mahal pema
@wasafisong8471
@wasafisong8471 3 ай бұрын
Mungu awalinde watoto wote
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma 2 ай бұрын
Kweli baba kasema ukweli ukimtukana kiongozi hata ujifukie ndani ya aridhi utafukuliwa Ila Tanzania. Mungu mpumzishe mtoto huyu mahala pema
@Jurbeg
@Jurbeg 3 ай бұрын
Uchaguzi umekalibia tukubali tukatae mikatili hii mijitu 😢😢😢
@Halima-l1c
@Halima-l1c 2 ай бұрын
polen sanaa wazazi nanwalezi mung awepe subr
@TedyDaudy-c8t
@TedyDaudy-c8t 2 ай бұрын
Mungu simama nawatoto wetu uwalinde emungu tusaidie😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@kiehbhzh7044
@kiehbhzh7044 3 ай бұрын
Daah watu makatiri😢pole sn baby girl wetu Allah akupumzishe kwa amani mtt wetu auna makosa wallah
@OmaliImba
@OmaliImba 3 ай бұрын
Mungu waangamize white wanaofanya hiv
@LaizerChionda-de6ul
@LaizerChionda-de6ul 3 ай бұрын
😢Yani uku kwetu tunaogopa daah Mungu tulindie watoto wetu
@DoricasJeremia
@DoricasJeremia 2 ай бұрын
Polen sana na msiba wariofanya hayo ealaniwe
@AmenaJeogh
@AmenaJeogh 3 ай бұрын
😭😭😭 Poleni Sana jamani ilijanga imeingia mm mwanangu kanusulika kidogo lilikua lijitu shetani lilimkamata mwanangu nakumtia migumi lakininamshukuru mungu adi apa ninaposema aka tokea msabaria mwema akamuona akakimbia msabaria mwema akamuokota mwanangu na kumpeleka nyumbani kwangu🙏🙏🙏 jamani tupaze saut tuandamane ilijambo lipo haswa 🤦🤦🥺🥺mungu tu nakuomba utuondolee ili janga🤲🤲🤲
@mwanarusiamri9875
@mwanarusiamri9875 3 ай бұрын
Mungu amlaze maali pema
@kale_maga
@kale_maga 2 ай бұрын
mungu tusaidie raia wote Tanzania
@aishasalum4460
@aishasalum4460 3 ай бұрын
Poleni sana mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigum nenda salama da yusra 😭😭
@chidrashid3797
@chidrashid3797 3 ай бұрын
Ushilikina huuu mungu anawaona wanayoyafanya haya
@SalomeJoseph-b9r
@SalomeJoseph-b9r 2 ай бұрын
Mmmh polee sana mama wamtoto watu watu tunaroho mbya jmn
@BintiMtambike-gy3uh
@BintiMtambike-gy3uh 3 ай бұрын
Mungu atawaliaani hao watu wabaya sana
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 3 ай бұрын
Amiin 🤲🤲😥😥
@ElizaMwandu
@ElizaMwandu 3 ай бұрын
😭😭😭😭poleni sana wazazi waYusra kwa kumpoteza mtoto wenu mpendwa Mungu wa mbinguni awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P Yusra
@modiseradi2
@modiseradi2 2 ай бұрын
Mngu amuweke mhli pma amtngnye na wma Ameen
@DanfordBetwel
@DanfordBetwel 3 ай бұрын
Jamani tunaelekea wapi? Mungu tusaidie !
@MariamKileo-mu8rv
@MariamKileo-mu8rv 3 ай бұрын
Kila cku mnasema ndio mnatafuta wananch ila hamuwapat lakini ukimtukana kiongoz hapo cku ni moja ya pili umepatikana
@AmidaAmidamasinga
@AmidaAmidamasinga 2 ай бұрын
Kiukweli wanatuumiza sana saana
@RehemaMohamed-m8r
@RehemaMohamed-m8r 3 ай бұрын
Watanzania wote jamani tupigeni kelele Kwa Ili Ili selikali ichukue mahamuzi mana Leo mtoto wa mwenzio kesho wako 😭😭😭😭😭
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 3 ай бұрын
Itabidiyafanyike maandamano
@NadyaMohammed-i2n
@NadyaMohammed-i2n 2 ай бұрын
Mungu amlazee mali pema mung atamwazibu alie tenda ivyooo😂😂😂😂😂
@TatuNsalamba
@TatuNsalamba 3 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 3 ай бұрын
Inalilah wainailah rajiun 😢😢polen wafiwa machungu ya asimwe bado hayajatuisha leo tena hili yn waliofanya/ aliefanya hich kitendo tunajua wanaona na kuckia hii dhambi haita waacha salama machoz ya wazazi wake hayawez kudondoka bure mungu atajibu polen wafiwa damu ya mtu haipotei bure 😢
@catherinetadei8870
@catherinetadei8870 3 ай бұрын
utasikia matukio hayo hamna jamni hatari sana
@GiftBrayton
@GiftBrayton 3 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢 inaumiza jamni ndo maana Kenya wanaandama
@AnnoyedBooks-kn5pm
@AnnoyedBooks-kn5pm 3 ай бұрын
Ivi hii nchi imeshindwa kuthibiti mambo kama haya mpeni nchi rc makonda . yote haya hayatasikika
@JokhaJokhaabla
@JokhaJokhaabla 3 ай бұрын
subhanallah yaarab mpe haki yake mtoto huyu kwa kupatikana wauwaji na wao wakipatika wauawe wakatwe sehem zte washenz makatili ila ata wakipatikana wataekwa ndani watatolewa
@tatupita8745
@tatupita8745 3 ай бұрын
Poleni jamani hililimekuwa janga la taifa
@saidomar3291
@saidomar3291 3 ай бұрын
Pumzika mahali pema mwanangu
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 3 ай бұрын
Mambo y Kenya yanakuja had huku jmn kutekwa watt jmn tumekosa nn jmn 😭 Mungu baba tusaidie Wanao na utulindie watt wetu wanapotoka nyumbn na kurud mashulen
@RichardZachalia-ph3ot
@RichardZachalia-ph3ot 3 ай бұрын
Ina Uma Sana poleni sana mwenyezi mungu ailaze loho hake mahali pema peponi inalilah wainalilahi laijiun
@Latifa123Latifa12
@Latifa123Latifa12 3 ай бұрын
Allah atajibu
@salimramadhani1379
@salimramadhani1379 18 күн бұрын
Naungana na latifa hapa
@madelynillu3818
@madelynillu3818 3 ай бұрын
Eeeh Mungu wangu tenda jambo jamani
@JamaaObwere
@JamaaObwere 19 күн бұрын
Poleni,wezang
@SheddySteven-z1c
@SheddySteven-z1c 2 ай бұрын
Pumzika Kwa aman Mdogo angu
@PatrickDavid-l3p
@PatrickDavid-l3p 3 ай бұрын
Jaman watoto wetu wamekosa nn
@WitnesMugabe
@WitnesMugabe 3 ай бұрын
Poleni kwa msiba huo , Dunia hasaiv imeisha
@majumamusa8972
@majumamusa8972 3 ай бұрын
Poleni sana😢😢😢
@ENETHALUTE-n6p
@ENETHALUTE-n6p 2 ай бұрын
Daah Atar
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 3 ай бұрын
Sahiv iman za kishilikiana wanatoa viungo jaman mungu tusaidie
@SaraphinaMbepwa
@SaraphinaMbepwa 3 ай бұрын
Polen San jmn wazazii mungu atuepushee jmn. Tuwalindee watoto
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 3 ай бұрын
Jamani mambo gani hayatunatendeana EE M/Mungu tukinge bahaha matukio
@NasriSuleiman-pj4tw
@NasriSuleiman-pj4tw 3 ай бұрын
😮poleni sana
@AmidaAmidamasinga
@AmidaAmidamasinga 2 ай бұрын
Poleni sana jamani
@LatifaJuma-ew2yw
@LatifaJuma-ew2yw 3 ай бұрын
Pumzik kwa aman mung akuwek mahal salam
@dassustephen731
@dassustephen731 3 ай бұрын
Nchi ya aibu Sana hii.Mambo ya kipumbavu Sana yanafanyika.Ni kama nchi inayohusudu Usirikina.Mungu aingilie Kati mambo ya kishenzi kama hao maana polisi wameshindwa.
@mariagrayson5414
@mariagrayson5414 2 ай бұрын
Dah
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 3 ай бұрын
Hii ishu ipo Kenya 🇰🇪sana watoto wanauwawa wanatolewa figo main sehem za siri.. jamn mama samia tusaidie hii tabia itokomezwe 😢
@HusnaSharifu
@HusnaSharifu 3 ай бұрын
😢😢😢kweli naona you tube
@SheddySteven-z1c
@SheddySteven-z1c 2 ай бұрын
Mmmmh kweli wanadamu
@abiyafocus6992
@abiyafocus6992 3 ай бұрын
NI KWELI BABA ALICHO KISEMA HII NCHI NIYAABU SANA HAO WAUUWAJI WAKAMATWE WACHINJWE KAMA KUKU NI WAKATILI SANA JAMAN MUNGU TULINDIE WATOTO WETU HII HATARI SANA INASIKITISHA KABISA
@BeatriceJackson-ev2ke
@BeatriceJackson-ev2ke Ай бұрын
Mungu mlaze mahali pema pepon mtot huyu jamani
@OmariNgurangwa
@OmariNgurangwa 3 ай бұрын
Waziri wa mambo ya ndani vp mbona matukio mengi ivi nawewe upo kimya
@mariagrayson5414
@mariagrayson5414 2 ай бұрын
Muaji utakuta wapo hapo hapo .
@BenardSadani
@BenardSadani 2 ай бұрын
ivi nyinyi nin kaziyen au kwakua so watoto wenu
@kregMika-d5g
@kregMika-d5g Ай бұрын
Taiga mnyama
@NasmaFatuma
@NasmaFatuma 2 ай бұрын
eeeeh mungu tunusuru die waja wako tanapoerekea bura kama kishuke2
@irenematata
@irenematata 3 ай бұрын
Dah 😢
@teedullah5708
@teedullah5708 3 ай бұрын
Tuchukuwe sheriya mikono ni sahi uliza alibadili takatifu wote walo husika wamumutika sahiyo hiyp
@Mtengwa-vi8rv
@Mtengwa-vi8rv 3 ай бұрын
Inalilah wainalilah
@JoyceMkeka
@JoyceMkeka 2 ай бұрын
Yani kuna wakati mbka chakuandika nakosa 😭😭😭
@nasrachikusi
@nasrachikusi 2 ай бұрын
Innalilah wainna ilaih lajiun allah awaazibu hao wanaofanya hivyo
@FelistaGozibert
@FelistaGozibert 3 ай бұрын
Ila agetukanwa rais so watu wangejulikana😭😭😭😭 pumzika Kwa amani
@AminiKanda-vc1pn
@AminiKanda-vc1pn 3 ай бұрын
Jamani mbona binaadamu tumekua washenzi heriya wanyama
@PiliDenyamauti
@PiliDenyamauti Ай бұрын
Kwa hal hii tutafika kweli huu ni ukatili wa kutsha
@abiyafocus6992
@abiyafocus6992 3 ай бұрын
Utaskia hawaja patikana yani angetukanwa raisi ungeskia tayari alie mtusi amesha kamatwa jamani ikiwa kunaanae hisiwa au mmoja kati yao akikamatwa tunaomba tupewe ruhusa ya kumshambulia mpaka afe
@SomoeKhasani-q6x
@SomoeKhasani-q6x 3 ай бұрын
Mumgu amrehum ,,, uwapunguzie uchungu na awape moyo wa subra ndgu na jamaa
@Elizakilisipinilikolika1996
@Elizakilisipinilikolika1996 3 ай бұрын
🙏🙏
@SuhailaAbdallah-t5d
@SuhailaAbdallah-t5d 3 ай бұрын
Hebu hukumu ya kunyongwa hadharani irejeshwe kwa wahalifu kama hawa pengine yatapungua haya
@HaniferMwiru-wn9wq
@HaniferMwiru-wn9wq 3 ай бұрын
Innah lillahi wainnah ilayhi rrajuun 😢😢😢 lah ilaha illah llah ☝️
@wasafisong8471
@wasafisong8471 3 ай бұрын
Baba kaongea kweli jmni ivi kwann lakini
@HappyDaudi-hl7rt
@HappyDaudi-hl7rt 2 ай бұрын
Jamniii
@kagombaEnok
@kagombaEnok 3 ай бұрын
Jamani hii nchi ina Waziri wa mambo ya ndani na IGP kweli??
@ZalkhaRawahi
@ZalkhaRawahi 3 ай бұрын
Yani ni kweli nchi yetu tukana kiongozi iseme serekali dk 0 umeshikwa lkn mauwaji kila kukucha wtt vijana wauwaji hawajuilikani utasema nchi haina vyombo vya usalama haina viongozi kimyaaaa hakuna ht kukemea
@KastuliBaqary-jm1jj
@KastuliBaqary-jm1jj 3 ай бұрын
SIMBA
@nassersadiki5442
@nassersadiki5442 3 ай бұрын
Alafu Kuna Kamanda wa Ilala anasema ni Uzushi kuna watu wanataka kuchafua Nchi yani hii serikali sijui vipi
@CharlesMwakaligita
@CharlesMwakaligita 3 ай бұрын
Sasa kamanda unatumbia hamna kitu km Nicholas. Hivi nyie polisi mna agenda nao? Kamanda wa polisi tuna mashaka
@dazuujuma778
@dazuujuma778 3 ай бұрын
Huyo mtu ni wa karibu kabisa Kama marehem hamjui, mhalifu asingemuuwa
@AdiaChidy
@AdiaChidy 3 ай бұрын
Pole wafiwa jamani inauma sana
@ZuwenaSalim-c2f
@ZuwenaSalim-c2f 3 ай бұрын
Subhanalaalh
@StellaPendaeli
@StellaPendaeli 3 ай бұрын
Jamani inauma sana😭😭😭😭😭
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 3 ай бұрын
Baba kaongea ukweli ukimwongelea kiongozi unashikwa saa hiyo hiyo
Как не носить с собой вещи
00:31
Miracle
Рет қаралды 1,8 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 12 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 269 #shorts
00:26
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI, OKTOBA 26, 2024
30:10
ITV Tanzania
Рет қаралды 665
IMPOSSIBLE! Giant SNAKE Lay Eggs Hunters Saving Girl | MIKE FISHING
11:32