Baba kaongea kweli mseme kiongozi uone lakini mauwaji mnaambiwa watu wasiojulikana
@Yassinseleman3 ай бұрын
😭😭😭🙏mtoto wa mwenzako niwako punzika kwa amani mtoto wetu😭😭
@JacquelineKinyonge3 ай бұрын
Ee Mungu tunaomba utulindie watoto wetu peke yetu hatuwezi kuwalinda BABA🙏😭😭😭😭, pumzika kwa amani mtoto wetu
@amashafredyАй бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amen
@farajaphilipo88443 ай бұрын
Eee mwenyezi mungu tusaidie tutawaficha wap watoto wetu
@KulwaMsafiri-v5u25 күн бұрын
Mungu walinde watoto wetu, pole sana familia
@MaryKafuku3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu tunakuomba utulindie Watoto wetu 🙏 peke yetu hatuwezi
@LEONARDGWALUGWAАй бұрын
Poleni wazazi ndugu na marafk roho ya mtoto huy Mungu aiweke mahali pema huko mbinguni
@godlovemrosso59733 ай бұрын
MUNGU wanusuru wanangu na watoto wote wa nchi hii ya Tanzania Maana bila ww kuwalinda ss binadamu/wazazi pekee yetu hakika hatutaweza Moyo wangu unaumia sana kwa mambo haya ya ukatili 😭😭😭
@RahimaMct-ik8mr3 ай бұрын
Amen😢
@mfungonishauri42343 ай бұрын
Allah Ndio Hakimu wa haki... HasbiAllahu waneemal wakil
@IreneShadrack-p6c3 ай бұрын
Mm mwenye mtoto tumbo limeanza kukata mungu asaudie watoto wetu Jaman
@DenisKahwa-e8n3 ай бұрын
Mungu ilaze loho ya hyo mtoto mahal pema pepon amen
@AlAl-sd9pl2 ай бұрын
Kweli kabisa baba umeongea ukweli Sana. Hii serikali hii mmmmh mungu tunaomba utusaidie
@JoyceKabula-in1shАй бұрын
Poleni inasikitisha sana hatuko salama du
@AngelaAlfaniАй бұрын
Mungu awalinde watoto wetu
@syliviasimon84153 ай бұрын
Mwenyezi Mungu walinde na uwatunze wanetu.
@sophiarema23383 ай бұрын
Mwenyez Mungu ailaze roho yake mahal pema
@wasafisong84713 ай бұрын
Mungu awalinde watoto wote
@JolotaErastoJuma2 ай бұрын
Kweli baba kasema ukweli ukimtukana kiongozi hata ujifukie ndani ya aridhi utafukuliwa Ila Tanzania. Mungu mpumzishe mtoto huyu mahala pema
@Jurbeg3 ай бұрын
Uchaguzi umekalibia tukubali tukatae mikatili hii mijitu 😢😢😢
@Halima-l1c2 ай бұрын
polen sanaa wazazi nanwalezi mung awepe subr
@TedyDaudy-c8t2 ай бұрын
Mungu simama nawatoto wetu uwalinde emungu tusaidie😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@kiehbhzh70443 ай бұрын
Daah watu makatiri😢pole sn baby girl wetu Allah akupumzishe kwa amani mtt wetu auna makosa wallah
@OmaliImba3 ай бұрын
Mungu waangamize white wanaofanya hiv
@LaizerChionda-de6ul3 ай бұрын
😢Yani uku kwetu tunaogopa daah Mungu tulindie watoto wetu
@DoricasJeremia2 ай бұрын
Polen sana na msiba wariofanya hayo ealaniwe
@AmenaJeogh3 ай бұрын
😭😭😭 Poleni Sana jamani ilijanga imeingia mm mwanangu kanusulika kidogo lilikua lijitu shetani lilimkamata mwanangu nakumtia migumi lakininamshukuru mungu adi apa ninaposema aka tokea msabaria mwema akamuona akakimbia msabaria mwema akamuokota mwanangu na kumpeleka nyumbani kwangu🙏🙏🙏 jamani tupaze saut tuandamane ilijambo lipo haswa 🤦🤦🥺🥺mungu tu nakuomba utuondolee ili janga🤲🤲🤲
@mwanarusiamri98753 ай бұрын
Mungu amlaze maali pema
@kale_maga2 ай бұрын
mungu tusaidie raia wote Tanzania
@aishasalum44603 ай бұрын
Poleni sana mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigum nenda salama da yusra 😭😭
@chidrashid37973 ай бұрын
Ushilikina huuu mungu anawaona wanayoyafanya haya
@SalomeJoseph-b9r2 ай бұрын
Mmmh polee sana mama wamtoto watu watu tunaroho mbya jmn
@BintiMtambike-gy3uh3 ай бұрын
Mungu atawaliaani hao watu wabaya sana
@ruqaiamohammed3453 ай бұрын
Amiin 🤲🤲😥😥
@ElizaMwandu3 ай бұрын
😭😭😭😭poleni sana wazazi waYusra kwa kumpoteza mtoto wenu mpendwa Mungu wa mbinguni awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu mlichonacho.R.I.P Yusra
@modiseradi22 ай бұрын
Mngu amuweke mhli pma amtngnye na wma Ameen
@DanfordBetwel3 ай бұрын
Jamani tunaelekea wapi? Mungu tusaidie !
@MariamKileo-mu8rv3 ай бұрын
Kila cku mnasema ndio mnatafuta wananch ila hamuwapat lakini ukimtukana kiongoz hapo cku ni moja ya pili umepatikana
@AmidaAmidamasinga2 ай бұрын
Kiukweli wanatuumiza sana saana
@RehemaMohamed-m8r3 ай бұрын
Watanzania wote jamani tupigeni kelele Kwa Ili Ili selikali ichukue mahamuzi mana Leo mtoto wa mwenzio kesho wako 😭😭😭😭😭
@EddahBure-te7ft3 ай бұрын
Itabidiyafanyike maandamano
@NadyaMohammed-i2n2 ай бұрын
Mungu amlazee mali pema mung atamwazibu alie tenda ivyooo😂😂😂😂😂
@TatuNsalamba3 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@ruqaiamohammed3453 ай бұрын
Inalilah wainailah rajiun 😢😢polen wafiwa machungu ya asimwe bado hayajatuisha leo tena hili yn waliofanya/ aliefanya hich kitendo tunajua wanaona na kuckia hii dhambi haita waacha salama machoz ya wazazi wake hayawez kudondoka bure mungu atajibu polen wafiwa damu ya mtu haipotei bure 😢
@catherinetadei88703 ай бұрын
utasikia matukio hayo hamna jamni hatari sana
@GiftBrayton3 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢 inaumiza jamni ndo maana Kenya wanaandama
@AnnoyedBooks-kn5pm3 ай бұрын
Ivi hii nchi imeshindwa kuthibiti mambo kama haya mpeni nchi rc makonda . yote haya hayatasikika
@JokhaJokhaabla3 ай бұрын
subhanallah yaarab mpe haki yake mtoto huyu kwa kupatikana wauwaji na wao wakipatika wauawe wakatwe sehem zte washenz makatili ila ata wakipatikana wataekwa ndani watatolewa
@tatupita87453 ай бұрын
Poleni jamani hililimekuwa janga la taifa
@saidomar32913 ай бұрын
Pumzika mahali pema mwanangu
@PaulinaSemindu-ob3de3 ай бұрын
Mambo y Kenya yanakuja had huku jmn kutekwa watt jmn tumekosa nn jmn 😭 Mungu baba tusaidie Wanao na utulindie watt wetu wanapotoka nyumbn na kurud mashulen
@RichardZachalia-ph3ot3 ай бұрын
Ina Uma Sana poleni sana mwenyezi mungu ailaze loho hake mahali pema peponi inalilah wainalilahi laijiun
@Latifa123Latifa123 ай бұрын
Allah atajibu
@salimramadhani137918 күн бұрын
Naungana na latifa hapa
@madelynillu38183 ай бұрын
Eeeh Mungu wangu tenda jambo jamani
@JamaaObwere19 күн бұрын
Poleni,wezang
@SheddySteven-z1c2 ай бұрын
Pumzika Kwa aman Mdogo angu
@PatrickDavid-l3p3 ай бұрын
Jaman watoto wetu wamekosa nn
@WitnesMugabe3 ай бұрын
Poleni kwa msiba huo , Dunia hasaiv imeisha
@majumamusa89723 ай бұрын
Poleni sana😢😢😢
@ENETHALUTE-n6p2 ай бұрын
Daah Atar
@Chakol123-k7s3 ай бұрын
Sahiv iman za kishilikiana wanatoa viungo jaman mungu tusaidie
@SaraphinaMbepwa3 ай бұрын
Polen San jmn wazazii mungu atuepushee jmn. Tuwalindee watoto
@SophiaKamgunda3 ай бұрын
Jamani mambo gani hayatunatendeana EE M/Mungu tukinge bahaha matukio
@NasriSuleiman-pj4tw3 ай бұрын
😮poleni sana
@AmidaAmidamasinga2 ай бұрын
Poleni sana jamani
@LatifaJuma-ew2yw3 ай бұрын
Pumzik kwa aman mung akuwek mahal salam
@dassustephen7313 ай бұрын
Nchi ya aibu Sana hii.Mambo ya kipumbavu Sana yanafanyika.Ni kama nchi inayohusudu Usirikina.Mungu aingilie Kati mambo ya kishenzi kama hao maana polisi wameshindwa.
@mariagrayson54142 ай бұрын
Dah
@Chakol123-k7s3 ай бұрын
Hii ishu ipo Kenya 🇰🇪sana watoto wanauwawa wanatolewa figo main sehem za siri.. jamn mama samia tusaidie hii tabia itokomezwe 😢
@HusnaSharifu3 ай бұрын
😢😢😢kweli naona you tube
@SheddySteven-z1c2 ай бұрын
Mmmmh kweli wanadamu
@abiyafocus69923 ай бұрын
NI KWELI BABA ALICHO KISEMA HII NCHI NIYAABU SANA HAO WAUUWAJI WAKAMATWE WACHINJWE KAMA KUKU NI WAKATILI SANA JAMAN MUNGU TULINDIE WATOTO WETU HII HATARI SANA INASIKITISHA KABISA
@BeatriceJackson-ev2keАй бұрын
Mungu mlaze mahali pema pepon mtot huyu jamani
@OmariNgurangwa3 ай бұрын
Waziri wa mambo ya ndani vp mbona matukio mengi ivi nawewe upo kimya
@mariagrayson54142 ай бұрын
Muaji utakuta wapo hapo hapo .
@BenardSadani2 ай бұрын
ivi nyinyi nin kaziyen au kwakua so watoto wenu
@kregMika-d5gАй бұрын
Taiga mnyama
@NasmaFatuma2 ай бұрын
eeeeh mungu tunusuru die waja wako tanapoerekea bura kama kishuke2
@irenematata3 ай бұрын
Dah 😢
@teedullah57083 ай бұрын
Tuchukuwe sheriya mikono ni sahi uliza alibadili takatifu wote walo husika wamumutika sahiyo hiyp
@Mtengwa-vi8rv3 ай бұрын
Inalilah wainalilah
@JoyceMkeka2 ай бұрын
Yani kuna wakati mbka chakuandika nakosa 😭😭😭
@nasrachikusi2 ай бұрын
Innalilah wainna ilaih lajiun allah awaazibu hao wanaofanya hivyo
@FelistaGozibert3 ай бұрын
Ila agetukanwa rais so watu wangejulikana😭😭😭😭 pumzika Kwa amani
@AminiKanda-vc1pn3 ай бұрын
Jamani mbona binaadamu tumekua washenzi heriya wanyama
@PiliDenyamautiАй бұрын
Kwa hal hii tutafika kweli huu ni ukatili wa kutsha
@abiyafocus69923 ай бұрын
Utaskia hawaja patikana yani angetukanwa raisi ungeskia tayari alie mtusi amesha kamatwa jamani ikiwa kunaanae hisiwa au mmoja kati yao akikamatwa tunaomba tupewe ruhusa ya kumshambulia mpaka afe
@SomoeKhasani-q6x3 ай бұрын
Mumgu amrehum ,,, uwapunguzie uchungu na awape moyo wa subra ndgu na jamaa
@Elizakilisipinilikolika19963 ай бұрын
🙏🙏
@SuhailaAbdallah-t5d3 ай бұрын
Hebu hukumu ya kunyongwa hadharani irejeshwe kwa wahalifu kama hawa pengine yatapungua haya