Tuko Mbashara kutokea kambi la CHANG'OMBE - DODOMA
Пікірлер: 23
@SamhhIlo-ib4ij9 ай бұрын
Mchungaji Mungu akutunze kupitia sauti yako nimeelewa utatu mtakatifu na mengine mengi Roho akanisaidie KUSHUHUDIA bila uoga ushuhuda wa KRISTO YESU!
@theresiagideon21782 ай бұрын
Ameen Ameen 🙏🙏🙏🙌🔥, watu wanaangamia kwa kukosa maarifa, hatuaomi ndio maana tunapotea. Ubarikiwe Mchungaji
@bamag-0218 ай бұрын
Hakika Mungu atukuzwe kwa kutupatia mtumishi wake pr Semba. Najifunza mengi kupitia yeye, na nimezidi kukuwa kiimani , na kuepuka madanganyifu ya ulimwengu
@stephanomuganga987210 ай бұрын
Asante sana Mtumishi wa Baba, Mungu azidi kukupa njozi umetuweka wazi Leo,kuhusu Laudikia, Kanisa la waliosalia wana utume safi, na Sifa Yao wana ujumbe wa mwisho wa malaika watatu unaoita watu tukome kutenda dhambi.......
@user-nz5zg4lz7l10 ай бұрын
Pasteur. Kweli. Mungu Akubariki nime elewa sana
@bamag-0218 ай бұрын
Fatilia fundisho la" Uungu katika mashambulizi" Utapata suluhisho la utatu
@cizatelesphore10 ай бұрын
Mungu aendelee kumubariki hatasote Pia ,wandugu Tuishi neno kama vile wacristo
@theson198710 ай бұрын
Hongera sanaa mchungaji Paul semba hubiri sanaa watu waijue kweli
@JacksonLayton10 ай бұрын
Tunawasikia ila tunawapiga Kwa neno
@DeclaCruise10 ай бұрын
Amen 🙏🙌
@patrickkamau77549 ай бұрын
Amina ,,hapa Kenya tuna mchungaji Moja ambae amututatiza sana madai yake ni Kanisa limetoka KATIKA mfumo wake wa zamani Utatu ni uwogo Makao makuu ya general conference ni babeli
@paulsemba_TV8 ай бұрын
MUNGU AMREHEMU
@bamag-0218 ай бұрын
Namjua huyo atakuwa Anaitwa F.Ndcha binafsi kidogo anishawishi kwenye fundisho la UTATU, ILA MUNGU AMENIEPUSHA KUPITIA PR SEMBA, KTK FUNDISHO LAKE LA UUNGU KTK MASHAMBULIZI, LILE FUNDISHO LILINIFANYA NISAME IMARA. NA NIKALIFORWARD KWENYE LINK/KZbin YA UYO anayepotosha huko kenya ajifunze na yeye, Na aliyapata maana niliona anaanza kumtafuta pr semba kwa yutbe. Mungu asimame nasi
@gideonmasingi697210 ай бұрын
Nimejifunza nimegundua kweli ushupavu utatupoteza. Endelea kurusha mahubiri haya mtumishi ili tulio mbali pia tupate kuijifunza
@daud878510 ай бұрын
Amina
@josephmbotwa10 ай бұрын
Amen
@MusaEmanuel-lj2pr8 ай бұрын
Mchungaji naomba ukutane na shehe sure maana anaamini kuwa hakuna mtu wa kumshinda kimaandiko unaweza tusaidia
@josephmbotwa10 ай бұрын
Pastor nitajie kitabu nimepata ukulasa 360 tuu au yeyote anae just hicho kitabu
@abelimalifedha17629 ай бұрын
Amina Pr. Hata kwenye Selected messages Book 2, Kipengele cha "Devine credentials" kimesheheni ujumbe sahihi unaofanana na huu wa Manuscripts Releases, kuna mifano mingi ya watu wababaishaji ambao hata Ellen G. White mwenyewe alipingana nao.
@bamag-0218 ай бұрын
Barikiwa mtumishi kwa kufatilia neno, by ur friend Rite.
@abelimalifedha17628 ай бұрын
@@bamag-021 Amina, ni nia ya kupanda katika katika jukwaa.