Mheshimiwa ana MKWARA et anaruka MEZA 😂😂😂 MAGOT 👍👍👍
@maalimjaffar5563Ай бұрын
Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi kama hawa, waendelee kupiga kazi wawasaidie wananchi wanaodhulumika.
@grationkato7658Ай бұрын
Makonda,Magoti,Mtaka nawapendaaaaaaa sana
@MwangaPhilbertАй бұрын
Dc magoti mie nipo bukoba lakin nakukubali sana kazi nzuri
@stanleymanya438Ай бұрын
😂😂😂😂 huyo jamaaa mwenye mabakamabaka duuuuu!!! Ukikohoa tu umeliwa😂😂
@YusuphuMakangeАй бұрын
Hahaha uyo afande namjua vizuri niafande wangu
@straitnews3441Ай бұрын
😂😂😂😂
@frankthadeo1679Ай бұрын
Hahaha 😅😅😅😅😅
@amosjmmtimba2949Ай бұрын
U're doing good....walakini wawezaondolewa kama Jerry Slaa..daaah!
@HusseinAmiri-pp8dyАй бұрын
Well done sasa Mh: Magoti kdgo kwambali naanza kukuelewa elewa
@shabanidaruweshi-jw5jyАй бұрын
Magotiiiiiiiii napiga dua hapa uje uhamishiwe kwetu maana unapga kazi sana
@jacobnghwani1891Ай бұрын
Kazi nzuri sana hii, kongole, ila watu wanaosema sana bongo hii
@EliyaMloy-lf7vpАй бұрын
Yan katika vitu ambavyo mtu hutakiwi kujidanganya ni kujiona una mamlaka kuliko Mungu kuleta mapana ya hovyo mbele ya watumishi waliochaguliwa na Mungu hao ni watumishi wa Mwenye Mamlaka isiyowezwa muulize Farao na jeshi lake, muulize sesera na jeshi lake, muulize Goliath na jeshi lake, Muulize Ibilisi shetani na jeshi lake, do politics lkn kuwa na nidhamu kwa Mungu, Mungu hatishiwi Nyau Mzee huyo ni mwisho wa vituo yan hata uwe nani akiamua kukufuta kwenye ramani ya dunia ni jambo la sekunde tu
@joycehaule9717Ай бұрын
Kazi yako ni njema sana nimekufatilia sana unafanya kazi n Njema mnoo ila tu namna umemfokea askofu daa na namna uliongea na mashehe nitofauti ....DC KAZI YAKO NI NZURI SANA ILA NI HILO TU KAMA UNAWAONGELESHA MASHEHE KWA UPOLE NA ASKOFU WAONGELESHE HIVYOHIVYO KWAKWELI
@SofiaMvungi-zu5tgАй бұрын
Well done DC chapa kazi wasikuchukulie poa
@MartinKavishe-o6dАй бұрын
Toka umekuja kisarawe tumepata heshima iliyopotea mheshimiwa Kweli umekuja kutusaidia nakukubali Sana mungu akulinde nipo nawe
@abidandastanmaliyatabu1373Ай бұрын
😂😂😂😂😂ee Mungu wangu wewe, eti mzuka umenipanda naweza kuruka meza 😅😅😅😅nimecheka kizembe duh
@salmaramadhan2725Ай бұрын
Yaani watu wanazurumiwa...dunia hii.. viongozi hwafanyi kazi..kabisa yaani magoti anavumbua madudu
@philipongenzatvАй бұрын
Umetisha magoti
@shabanidaruweshi-jw5jyАй бұрын
Uyu jamaa safi sana duu aisee kama ingekua kua wakuu wa wilaya wote wapo ivi mbona nchi ingekua poa sana
@frankhajimatozi3949Ай бұрын
Dc ninae mpenda Sana kwa kuchapa kazi😅😅😅😅
@user-xv7mo8tw7cАй бұрын
Mungu akulnde
@rashidjuma1969Ай бұрын
Yani hivi ndio wanatakiwa wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya wanavo takiwa kumsaidia Raisi wetu
@EliaHiluka20 күн бұрын
Kwahiyo wewe ni mhuni siyo?
@KletusChuwaАй бұрын
Mbona kama kavaa kihu ...
@user13375Ай бұрын
Kisalawe Kumenoga
@RenaldaZeramulaАй бұрын
Fatilia biwanja bya makazi vijepimwa Visegese mwaka wa 10 wamevigawana wanaviuza ghali sana ndio maana visegese haijengeki wala muwekezaji hawaji
@jacksonngusi4122Ай бұрын
Nitaomba endelee nione io mitikasi
@RenaldaZeramulaАй бұрын
CCM hawataki kisarawe iendelee. Miaka 80 wikaya ipo km kitongoji
@user-bl3go5yr8uАй бұрын
Hatakama kumbe mnashughulikia watu kihuni na si kwamujibu wa sheria?
@HamadaZubeirTahirАй бұрын
Huyu dada hapo pembeni ni nani? maana siku zooote namuona hapo pembeni kwa Mkuu