DC MAGOTI APANDISHA MZUKA,."Askofu Ukileta Uhuni Nitakushughulikia Kihuni, Sitaki Mchezo Mimi"

  Рет қаралды 25,708

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 36
@stevenchawala5316
@stevenchawala5316 Ай бұрын
Mheshimiwa ana MKWARA et anaruka MEZA 😂😂😂 MAGOT 👍👍👍
@maalimjaffar5563
@maalimjaffar5563 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi kama hawa, waendelee kupiga kazi wawasaidie wananchi wanaodhulumika.
@grationkato7658
@grationkato7658 Ай бұрын
Makonda,Magoti,Mtaka nawapendaaaaaaa sana
@MwangaPhilbert
@MwangaPhilbert Ай бұрын
Dc magoti mie nipo bukoba lakin nakukubali sana kazi nzuri
@stanleymanya438
@stanleymanya438 Ай бұрын
😂😂😂😂 huyo jamaaa mwenye mabakamabaka duuuuu!!! Ukikohoa tu umeliwa😂😂
@YusuphuMakange
@YusuphuMakange Ай бұрын
Hahaha uyo afande namjua vizuri niafande wangu
@straitnews3441
@straitnews3441 Ай бұрын
😂😂😂😂
@frankthadeo1679
@frankthadeo1679 Ай бұрын
Hahaha 😅😅😅😅😅
@amosjmmtimba2949
@amosjmmtimba2949 Ай бұрын
U're doing good....walakini wawezaondolewa kama Jerry Slaa..daaah!
@HusseinAmiri-pp8dy
@HusseinAmiri-pp8dy Ай бұрын
Well done sasa Mh: Magoti kdgo kwambali naanza kukuelewa elewa
@shabanidaruweshi-jw5jy
@shabanidaruweshi-jw5jy Ай бұрын
Magotiiiiiiiii napiga dua hapa uje uhamishiwe kwetu maana unapga kazi sana
@jacobnghwani1891
@jacobnghwani1891 Ай бұрын
Kazi nzuri sana hii, kongole, ila watu wanaosema sana bongo hii
@EliyaMloy-lf7vp
@EliyaMloy-lf7vp Ай бұрын
Yan katika vitu ambavyo mtu hutakiwi kujidanganya ni kujiona una mamlaka kuliko Mungu kuleta mapana ya hovyo mbele ya watumishi waliochaguliwa na Mungu hao ni watumishi wa Mwenye Mamlaka isiyowezwa muulize Farao na jeshi lake, muulize sesera na jeshi lake, muulize Goliath na jeshi lake, Muulize Ibilisi shetani na jeshi lake, do politics lkn kuwa na nidhamu kwa Mungu, Mungu hatishiwi Nyau Mzee huyo ni mwisho wa vituo yan hata uwe nani akiamua kukufuta kwenye ramani ya dunia ni jambo la sekunde tu
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Ай бұрын
Kazi yako ni njema sana nimekufatilia sana unafanya kazi n Njema mnoo ila tu namna umemfokea askofu daa na namna uliongea na mashehe nitofauti ....DC KAZI YAKO NI NZURI SANA ILA NI HILO TU KAMA UNAWAONGELESHA MASHEHE KWA UPOLE NA ASKOFU WAONGELESHE HIVYOHIVYO KWAKWELI
@SofiaMvungi-zu5tg
@SofiaMvungi-zu5tg Ай бұрын
Well done DC chapa kazi wasikuchukulie poa
@MartinKavishe-o6d
@MartinKavishe-o6d Ай бұрын
Toka umekuja kisarawe tumepata heshima iliyopotea mheshimiwa Kweli umekuja kutusaidia nakukubali Sana mungu akulinde nipo nawe
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 Ай бұрын
😂😂😂😂😂ee Mungu wangu wewe, eti mzuka umenipanda naweza kuruka meza 😅😅😅😅nimecheka kizembe duh
@salmaramadhan2725
@salmaramadhan2725 Ай бұрын
Yaani watu wanazurumiwa...dunia hii.. viongozi hwafanyi kazi..kabisa yaani magoti anavumbua madudu
@philipongenzatv
@philipongenzatv Ай бұрын
Umetisha magoti
@shabanidaruweshi-jw5jy
@shabanidaruweshi-jw5jy Ай бұрын
Uyu jamaa safi sana duu aisee kama ingekua kua wakuu wa wilaya wote wapo ivi mbona nchi ingekua poa sana
@frankhajimatozi3949
@frankhajimatozi3949 Ай бұрын
Dc ninae mpenda Sana kwa kuchapa kazi😅😅😅😅
@user-xv7mo8tw7c
@user-xv7mo8tw7c Ай бұрын
Mungu akulnde
@rashidjuma1969
@rashidjuma1969 Ай бұрын
Yani hivi ndio wanatakiwa wakuu wa mikoa wakuu wa wilaya wanavo takiwa kumsaidia Raisi wetu
@EliaHiluka
@EliaHiluka 20 күн бұрын
Kwahiyo wewe ni mhuni siyo?
@KletusChuwa
@KletusChuwa Ай бұрын
Mbona kama kavaa kihu ...
@user13375
@user13375 Ай бұрын
Kisalawe Kumenoga
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Ай бұрын
Fatilia biwanja bya makazi vijepimwa Visegese mwaka wa 10 wamevigawana wanaviuza ghali sana ndio maana visegese haijengeki wala muwekezaji hawaji
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 Ай бұрын
Nitaomba endelee nione io mitikasi
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula Ай бұрын
CCM hawataki kisarawe iendelee. Miaka 80 wikaya ipo km kitongoji
@user-bl3go5yr8u
@user-bl3go5yr8u Ай бұрын
Hatakama kumbe mnashughulikia watu kihuni na si kwamujibu wa sheria?
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir Ай бұрын
Huyu dada hapo pembeni ni nani? maana siku zooote namuona hapo pembeni kwa Mkuu
@josephngigi4779
@josephngigi4779 Ай бұрын
Ndo Mkurugenzi
@kainimlowe9646
@kainimlowe9646 Ай бұрын
Demu wake huyo
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Ай бұрын
Bibi yako mzaa babu yako hahahahaaa
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Ай бұрын
​@@kainimlowe9646shindwa
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 98 МЛН
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 44 МЛН
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 33 МЛН
Touching Act of Kindness Brings Hope to the Homeless #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
KIPINDI MAALUM CHA SIMULIZI ZA IKULU
32:35
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 47 М.
Ruto’s Tricky Gamble on Raila
13:42
Herman Manyora
Рет қаралды 1,7 М.
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 98 МЛН