Mwabukusi: Kuna Spika Amefukuzwa Kama Muuza Bamia, 'Spika Sio Mali ya Chama'

  Рет қаралды 72,378

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 167
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 8 ай бұрын
MUNGU WANGU KWANINI USITULETEE WATU WAWILI WATATU KAMA HAWA? WASIOJALI VYAMA?❤❤❤❤❤ I LOVE THIS MAN OF GOD.❤❤❤❤
@illomowerner7690
@illomowerner7690 5 ай бұрын
Great speech hon.Mwabukusi, Viva kaka Thomas
@pueblo148
@pueblo148 8 ай бұрын
Brain,smart,highness intelligent💕
@pidiusDominick-qi7nl
@pidiusDominick-qi7nl 8 ай бұрын
Tunahitaji watu kama hawa katika taifa letu
@productionwinderbuly
@productionwinderbuly 8 ай бұрын
Haya ni Maneno adiimu sana kuyasikia. Mwabukusi piga kazi, una watu wengi sana nyuma yako.
@ngamugamahonzelosanga3316
@ngamugamahonzelosanga3316 8 ай бұрын
Hongera ndugu Mwabukusi kwa ufafanuzi mzuri hakika bunge la sasa hakuna lolote kila kitu ni ndiyooo
@adenmayala9298
@adenmayala9298 8 ай бұрын
That's true
@hilujuma4869
@hilujuma4869 8 ай бұрын
Mwabukusi akiungana na LISSU unaweza kuilata Tanzania ya amani ya kweli na siyo hii ya mchongo.
@omarali797
@omarali797 8 ай бұрын
Hata hujui unacho andika. Yeye hapo anapingana na akina Lissu na wanasiasa wote kisa wanashiriki chaguzi
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 2 ай бұрын
Lisu ni maneno mengine kaka hata mwambukusi anamkubali lisu na mbowe,huu ujasiri kajifunza kwa hiyo miamba,lisu na mbowe ni magreda yaliyotengeza barabara ya lami sasa magari ya akina mwambukusi yanatereza tu😂😂😂
@bicorugina1452
@bicorugina1452 8 ай бұрын
Big up
@mesharothuman2443
@mesharothuman2443 8 ай бұрын
Brother unachoongea ndio uhalisia,mungu akubariki sana you are truly and honestly.Watanzania tunaumizana wenyewe kwa ubinafsi wetu hatuna umoja.
@eliassumila8173
@eliassumila8173 Ай бұрын
Uko vizuri sana wewe.Nimekuelewa haswaaaaa.
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 8 ай бұрын
Ooh my God. I love this speech. It's exactly what we experience with these elections. Imefika wakati mgombea akihujumiwa apige kelele sana. Syo ku kaa kimya kama mazezeta. Enzi za uzombi na uzezeta zimeisha.
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 8 ай бұрын
Mimi nakuelewa Sana mzalendo namba moja Tanzania nakuelewa mnooooo.
@JohnPallangyo-k9n
@JohnPallangyo-k9n Ай бұрын
Kaka mwabukusi Mungu wngu akusaidie usibadili kwenye misimamo yko na usimame kwenye kweli na kweli hiyo itakuinua zaidi, mm niko pamoja nawewe
@George-jz3jg
@George-jz3jg 8 ай бұрын
Yaani Ndugai alifukuzwa kama kibaka kisa kakosoa matendo ya serikali na rais wake
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 ай бұрын
George sasa limebumbuluka alichosema kuwa nchi imeuzwa jubu ni kweli Bandari zote Mbuga za wanyama zote loliondo nk sasa ni aibu tupu
@illomowerner7690
@illomowerner7690 5 ай бұрын
Pia naye alilipwa mshahara wa dhambi yake kushirikiana kwa hila kuumiza upinzani contrally kabisa na taratibu za kibunge. Mara ku-approve wabunge fake
@salumntulo1589
@salumntulo1589 28 күн бұрын
Hakika what's goes around comes around
@MkJj-m7g
@MkJj-m7g 8 ай бұрын
Unaongea vema, kundi kubwa la wasomi wa Tanzania ndio wanaouymiza nchi hii.
@aphonceedward6784
@aphonceedward6784 8 ай бұрын
Nakuelewa sana kaka uko sawa kabisa
@renomori4255
@renomori4255 8 ай бұрын
Asante sana kamanda
@jesaminzo
@jesaminzo 8 ай бұрын
Ni kweli hata majambazi yamekimbilia bungeni kwa sababu yamegundua bungeni kunalipa!
@JustineYohanes
@JustineYohanes 8 ай бұрын
Huyu jamaa yupo vnzr lakini na shindwa kuelewa ni chama gani kwaa wakati huu Ccm chadema
@STEVENKAJUMBA
@STEVENKAJUMBA 8 ай бұрын
Sauti ya watanzania..
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 8 ай бұрын
@@STEVENKAJUMBASAUTI YA TEC 😢😢😢😢😢
@daudisalum9574
@daudisalum9574 8 ай бұрын
Uyu jamaa kwanini asiunganishe nguvu na lisau
@sampaconnector2845
@sampaconnector2845 8 ай бұрын
Nchi ipo gizani sana na sababu ni hawa CCM.
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv 8 ай бұрын
mwambukusi big brain
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 8 ай бұрын
Siku zote ninaamini amani ya taifa hili imeshikiliwa na wapinzani, maana wanafanyiwa vitendo vya kikatili ambavyo laiti kama wasingekuwa wazalendo watu wangekuwa wanauana hovyo kwa kulipiza kisasi..na mambo hayo wangekuwa wanafanyiwa sisiemu kusingekuwa na amani.
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 8 ай бұрын
Uko sahihi ndugu CCM NI HATARI SANA!!!! Kiss TU MADARAKA NA MALI!!! WAMESAHAU KABISA KUWA YAKO MAISHA BAADA YA HAYA TENA NI YA MIKELE.
@samwelmohonge4573
@samwelmohonge4573 Ай бұрын
this is the turning point, viva MWABUKUSI THE HEROE
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 8 ай бұрын
Watu wenye akili timamu kama awa uwa awacheki wala kuimbiwa nyimbo wala kusifiwa wakute wajinga mapambio sifa za kijinga mpaka wanakuwa na frash cd mfukoni za mchiliku anawajua wasanii wate wa singeri watashinda mungu yuko nanyi nasisi wachache tutaamasisha wezetu tulikomboe taifa
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 8 ай бұрын
COMRADE MWABUKUSI.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.....WATANZANIA KWA MAMILIONI TUNAKUELEWA SANA.
@wallacemngoma794
@wallacemngoma794 8 ай бұрын
Mhe. Mwabukuzi aungane na Mhe. Lissu waongeze nguvu kupapambania haki ipatikane Tanzania na kuiondoa CCM madarakani.
@TitoJeremia-g1t
@TitoJeremia-g1t Ай бұрын
Mwambugusi Rais TLS kwanini mnatumia garama ZOTE hizo ml 40 mpa 50 yanini Hicho NI chanzo cha rushwa.
@V24hrs
@V24hrs 8 ай бұрын
Huyu jamaa akiungana na ZITTO KABWE watakuwa wamefanya Bonge la Kolabo.
@mesharothuman2443
@mesharothuman2443 8 ай бұрын
Zito Kabwe yupi huyo mwenye price tag no please.
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 8 ай бұрын
@@mesharothuman2443SABABU SIO MGALATIA 🥳🥳🥳🥳🥳💯💯💯💯💯
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 8 ай бұрын
Zitto kabwe hamna kitu acha kumkosea heshima Mwabukusi
@simbahmsini
@simbahmsini 8 ай бұрын
Zitto ni tunu ya Siasa za Tz,hakurupuki,anafanya tafiti na hata anayefikiria kupinga hoja zake anajiuliza mara mbili mbili ni mtu smart sana Kinachoponza na kumponza Zitto ni kuwa na akili nyingi kuliko wanaomchukia
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 8 ай бұрын
@@simbahmsini Zitto kabwe siyo mtu wa msimamo ndo haaminiki siyo kwamba anachukiwa
@mesharothuman2443
@mesharothuman2443 8 ай бұрын
A truly and honestly.Wow whaya speach
@raphaelmchilo-kx4tt
@raphaelmchilo-kx4tt 23 күн бұрын
Naomba ugombee urais mwabukusi 2025tunaimani nawewe
@yassinrajabu6511
@yassinrajabu6511 8 ай бұрын
kaka mwabukusi kwani comenti zangu uwa auzisomi kilasiku nakushauli kama elimu unayo kaanao ccm muyajenge wakupe kitengo ule keki ya taifa kwa sababu dalasa unalo fundisha wanafunzi wako hawakuelewi wote wapo kwenye kombe la mapinduzi zanziba pigania masilai yako watanzania vigeugeu wanao kusifu leo ndio watao kutukana kesho
@GodsonMwasha
@GodsonMwasha Ай бұрын
Nakukubali kwa kupenda Haki wakili wetu.
@StephanoMbwambo
@StephanoMbwambo Ай бұрын
uko sahihi mhe mwanukusi.wabunge wengi wakitanzania wamekua wakijisahau kutekeleza majukumu yao kulingana na sisi wananchi tulivyowatuma. wabunge eenge wamekua wakitusaliti sana sisi wananchi.
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 8 ай бұрын
Jimbo la kawe kwa gwajima police walikamatwa na kura kibara za ubunge na urais zimepiwa tiki za ccm walikamatwa lakini hawakufanywa chochote
@AlbertMlangalila
@AlbertMlangalila 12 күн бұрын
Nimekuvulia kofia raisi mwabukusi .kwa kuwa mkweli na kuipenda nchi yetu. Unataka inyooke . Kinachosikitisha ninajiuliza kwa yote haya yanayojitokeza yanayoashiria labda kuna waovu wameingia kwenye utawala wa nchi hii kuwa hakuna hata kiongozi ambaye amejitokeza kujitoa kwenye shughuli za serikali aidha kwa kutokuwa mshiriki na haya mabaya yanayojitokeza au kutowajibika kwake kama kiongozi. Yaani yote haya ni sawa tu. Hii hali inatisha sana
@devidmaembe
@devidmaembe 23 күн бұрын
tanzani wabunge wengi awajitambuwi wengi waoawa tetei wapiga kulawao wanatete masiai yao
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 27 күн бұрын
Huyu ni chadema WA kupakuwa ila anatia aibu kwa Spika Tulia wewe ni takataka kwake kwani speaker Kuna mahala anaingia wewe mpaka kama huuingii ,,,,Mbeya hatuna watu WA kila siku kulalamika kama kule wewe siyo Nnymbala bali ni ,,,,,,,
@RevocatusSebastian-c8o
@RevocatusSebastian-c8o Ай бұрын
Daa nimecheka😅 eti viungo washambuliaji hongera mwabugusi ila hiki chama chakijani kikiona unawazidi wanakununua ukikataa wanakuwekea sumu kwenye maik au wanakusababishia lolote baya
@JohnMahombwe
@JohnMahombwe 25 күн бұрын
Kumbe ni nini kinachowafanya kutumia fedha yote hiyo? Jamani dah.
@wiza2309
@wiza2309 20 күн бұрын
Ndiyo maana wamekuchagua kaka yangu, Mungu amekuweka kwa kusudi maalum na amekupa Ulinzi
@lindajohansen9220
@lindajohansen9220 Ай бұрын
Ndio maana hesabu za kura za ushindi wa rais zina tarakimu zisizo eleweka
@LoitushulYamat
@LoitushulYamat 28 күн бұрын
Ukinyanganya ushindi utanyanganywa mapigo ya moyo yako
@HamidMnyau
@HamidMnyau 28 күн бұрын
Hivi TLS ni chama cha upinzani? Au chama cha wana sheria
@eliasnicolaurobath6864
@eliasnicolaurobath6864 25 күн бұрын
Duu kaka yangu wewe ni una maono sana ninacho shangaa taifa retu wasomi hawapewi nafasi ya kuliongoza hiri taifa spika wetu alilalamika tu madini taratibu akatukanwa kama nyani sasa kinacho endelea ni aibu kubwa kwa taifa ndani ya selikari hakuna hekima ni unyanyasaji tuu
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 8 ай бұрын
Mwabukus lisu mudude wakili musomi mbatia muugeni mukono lisu mulete ukombozi
@frankremishoy5778
@frankremishoy5778 8 ай бұрын
Well don bro a very slow lanner can also know the concerpt
@alphoncejmrema7912
@alphoncejmrema7912 Ай бұрын
Mwabukus umesoma had umepita Elimu yenyewe respect Rais wa TLS
@ChachaZablon-p4j
@ChachaZablon-p4j Ай бұрын
Mkomboz wa taifa letu mung akubaliki baba
@mosesmacha1080
@mosesmacha1080 8 ай бұрын
Brain Smart, our Speaker🎉🎉🎉
@willisonTheonest
@willisonTheonest 8 ай бұрын
Mwanadamu atakuchelewesha lakini mungu kwake akuna kuwai wala kuchelewa, wewe ni mbunge jimbo atakalokupa mungu mtetezi
@jeremiahblazio4781
@jeremiahblazio4781 28 күн бұрын
TLS stand up, dear tulia,....😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@cyprianpetetmbonde6374
@cyprianpetetmbonde6374 8 ай бұрын
Kwa kweli wizi wa kura ni ushenzi sana. Watu tunaachashuguli zetu , tunapanga foleni halafu ni juani na njaa,, halafu MIPUMBAVU inatudhihaki.
@MichaelPaulo-i7m
@MichaelPaulo-i7m 18 күн бұрын
Akili kubwa sana huyu mzee
@jamesmfinanga1717
@jamesmfinanga1717 8 ай бұрын
Jipange tena bra ela utapata kwa wananchi ... katukamatie hawa ... na hapo katiba itapatikana ...
@YakubuChambo
@YakubuChambo 8 ай бұрын
Vibaraka WA ccm utawaona tu kwenye comment zao kama huyu mayallays wewe ni malaya
@LoitushulYamat
@LoitushulYamat 28 күн бұрын
Mungu akulinde mtu muhimu sana.
@DausonShensherwa
@DausonShensherwa 28 күн бұрын
Mkuu nakukubali mungu akutunze
@peterdaimon-ug6fd
@peterdaimon-ug6fd 27 күн бұрын
Watu wamekata tamaa kupiga kura
@jimmyluhende5417
@jimmyluhende5417 27 күн бұрын
Elimu ya Uraia bure kabisa !
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 8 ай бұрын
Unafaa kuwa speaker wa bunge tz
@nixonjohnson4908
@nixonjohnson4908 6 ай бұрын
Yaani safari hii watu wa tume wajiangalie watakufa wakileta ujinga na shangwe la kutosha.. kifo chake..
@smarty1064
@smarty1064 8 ай бұрын
Duh! hakuna haki kbs
@rebeccangomo8153
@rebeccangomo8153 Ай бұрын
Tuko nyuma yako kaka
@jumaally2469
@jumaally2469 8 ай бұрын
Mm nawashangaa sana hawa CCM wao wanajinadi kua ni chama pendwa kwann wanaogopa katiba mpya
@bonabonala5559
@bonabonala5559 8 ай бұрын
mahakama aipo huru hata kwa mvuta bangi au kibaka tume hii ni majizi wote
@mustaphabussinescenter4127
@mustaphabussinescenter4127 8 ай бұрын
😂😂😂 spika kafukuzwa kama muuza bamia nani uyo
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye 2 ай бұрын
Jobu Ndugai
@Werema3760
@Werema3760 8 ай бұрын
2025 Mungu saidia. Maama sipati picha.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 8 ай бұрын
Haki huinua taifa. Tuiombee nchi yetu sana
@WingodEpafra-dl1cd
@WingodEpafra-dl1cd Ай бұрын
Barikiwa mkuu
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 Ай бұрын
Speech ya karne hii..haichuji na kinachoifanya isichuje ni uhalisia na ukweli mtupu uliozungumzwa.
@StephenLetta
@StephenLetta 8 ай бұрын
Wewe ni mtu uliyejaliwa akili na ambaye unaonea fahari kufikiri kwa kutumia ubongo.
@GABRIELGAVU-vf7cn
@GABRIELGAVU-vf7cn Ай бұрын
Mkuu alisema yeye ni chura kiziwi. Lakini mawaziri na waandamizi waliokuwepo pale walipiga makofi. Sasa kama ni hivyo nani arasikiliza maoni yetu? Ajabu.
@estachengula3902
@estachengula3902 Ай бұрын
Tunaomba mwabukus aungane na lisu mbowe na wengine vichwa tuikomboe nchi inapoteza mwelekeo
@simonmwasile4377
@simonmwasile4377 6 ай бұрын
Ningependa kila atakapogombea tulikuwa na wewe ugombeee papoose hapo ili tumnyoshee nyang'au huyu
@StanslausLwambusha
@StanslausLwambusha Ай бұрын
Hao wanaoambiwa wapo dunia hii kweli? Kwa nini haya mambo bado. Jamani mwambukusi wanameikia kweli jamani statement hii ni Kali kweli. Jamani tusome alama huko.mbelr za haki mtashindwa kuongea mkiulizwa na mungu/muumba.
@GABRIELGAVU-vf7cn
@GABRIELGAVU-vf7cn Ай бұрын
Fomu za wagombea chama tawala huelekezwa na kusahihisha na maafisa wakishirikiana na wakala. Halafu wapinzani hutumika hayo makosa kuengua wagombeya.
@matiredms917
@matiredms917 8 ай бұрын
CCM inafanya uharamia ktk uchaguzi. Ni kazi bure kukubali Sheria na Katiba mbovu ambazo zinamweka juu ya Vyombo ambavyo vinapaswa kufanya kazi kwa uhuru na haki.
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Ай бұрын
Hahahaaaaa du kuanzia leo nawabatiza nyi ni pacha lisu kulwa mwabukusi doto kibatara shija madeleka kashinje
@PhilibetLadislaus
@PhilibetLadislaus 8 ай бұрын
Jiamini kwanza unaweza kupambana na CCM.Akina fulani hatunao sababu ya red carpet Mang'ula mungu bado anaye.
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 8 ай бұрын
Hadhi ya haipo.Imekwisha kabisa
@PhilibetLadislaus
@PhilibetLadislaus 8 ай бұрын
Spika ulishika muhimili wa kumtetea wanyonge toka uondoke au kuachia ngazi umeshuhudia jinsi nchi inavyoliwa na wajanja ,KwaSasaMaoni yako ni yapi.
@fidelishasia4799
@fidelishasia4799 8 ай бұрын
Nimekuelewa
@EMANUELMUSHI-kk4df
@EMANUELMUSHI-kk4df Ай бұрын
Aisee naomba nirudie kuiangalia, huyu janaa wa moto mbaya🔥🔥🔥🔥🔥
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Ай бұрын
Nikufananishe na nani sijui we ni kiboko mungu akulinde tu mwamba ukosawa kabisa
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Ай бұрын
Njoo ugombee jimbo la shinyanga mjinibos
@EliyaMwangobe
@EliyaMwangobe Ай бұрын
KAkA WEWE NI MKOMBOZI WA NCHI HII ! NAOMBA KAZA KAMBA HADI ZIBANE !
@JumaMkiji
@JumaMkiji Ай бұрын
Maneno mazito Sana niyakuyatafakali si kukimbilia amani
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 7 ай бұрын
Sijui tufanye nini binadamu hawa waingie bungeni target ni ngumu Sana
@isaliisu3408
@isaliisu3408 8 ай бұрын
Kufukuzwa hajaaza spika zanzibar tulichaguwa Rais jumbe bara mkamfuka mkamuweka kigamboni mpk kafa tukaenda kuzika zanziba
@daviddsouza735
@daviddsouza735 Ай бұрын
Kumbe kuna million 50 zinahitajika kwaajili ya kushinda? Anayetafuta hii hela anaitafuitia wapi na baada ya kushinda anailipaje? Rushwa na mambo mengine ya chini chini yataisha?
@mwlpierre
@mwlpierre Ай бұрын
Kugombea ni gharama achana na rushwa
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc Ай бұрын
Justin meabukusi ni C hadema
@bakariiddy5387
@bakariiddy5387 2 ай бұрын
Watu wenye akili timamu ndohawa sasa
@lazaromshamu3521
@lazaromshamu3521 8 ай бұрын
watanzania tumesha anza kuamka ss,ushindi wala hauko mbali
@GOTRIPMLELWA
@GOTRIPMLELWA 8 ай бұрын
Nimekuelewa na nimekubali ndio ukweli na uhalisia
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 Ай бұрын
Hongera sana Mh.Mwabukusi.
@FellaMbogela
@FellaMbogela 5 ай бұрын
Upo sahihi KAMANDA pigs kazi
@SephaniaMsigwa
@SephaniaMsigwa 5 ай бұрын
Hakika mwabukusi ni madin
@bakariiddy5387
@bakariiddy5387 2 ай бұрын
Watu wanamnahiii walindwe
@StevenSanga-n3n
@StevenSanga-n3n 2 ай бұрын
Aya mwamba leo raisi
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm Ай бұрын
Wabunge mnasikia?
@emmanuelmasatu
@emmanuelmasatu Ай бұрын
Nakuunga mkono kaka %100.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 ай бұрын
Mwabukusi wakili msomi kuishinda Ccm ni kazi sanaaaa hyo mpaka Katiba mpya tu
@Samwelianaseti
@Samwelianaseti 3 ай бұрын
Mwabukus ongea machache wasije wakakigeuka😂😂
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 2 ай бұрын
😂😂😂
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 19 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 56 МЛН
SIMANZI NA MAJOZNI KHUTBA YA BABU DUNI
15:30
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 49 М.
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26