Zamani Marquis ndio ilikua bendi ya mabosi watoto wazuri wa jiji wote unawakuta huku. Hawa walikuwa wanaporomosha muziki tulikuwa hatujui tutafikia miaka ya 2024. Dah tumetoka mbali
@ednaednamillanzinia28262 жыл бұрын
Yaani hizi nyimbo hazichuji tumeanza kusikiliza tukiwa wadogo mpaka sasa watu wazima na tuko kwenywe nchi za watu,,lakini bado unapenda kusikiliza.
@carlsonndossi92719 жыл бұрын
Marehemu Siddy Morris alikuwa na kipaji cha pekee kwenye upigaji wa tumba.. Nafurahi kwamba nilipata bahati ya kuhudhuria na kumuona live akizipiga tumba wakati yupo Mk Group..
@wilsonlukuwi89416 жыл бұрын
super congas
@josephsamu54782 жыл бұрын
Haitakaa imalize utamu hii ngoma
@MalikMohammed-g4m Жыл бұрын
😊😊😊the 😊 0:46 Y U 7 could vav 1:15 6
@allynayomo48511 ай бұрын
Wimbo huu unyoanza unafanana wimbo wa TP OK JAZZ unaitwa dia au ayant driot
@flowila829 жыл бұрын
yani hapa ujumbe uliotulia na niukweli mtupu, mziki umetulia umepangwa na kupangika
@flowila829 жыл бұрын
Dekula mimi naomba uniambie nani amepiga Tumba? maana zimetulia sana hongera kazi nzuri
@carlsonndossi927111 ай бұрын
Marehemu Siddy Morris a.k.a Super Conga.. jamaa alikuwa anapiga tumba sana.. hana mfano..
@juliusotucho4436 Жыл бұрын
Cool music, nostalgic
@omaryrwegasira10324 жыл бұрын
Yap safi sana
@eliasichuma92878 жыл бұрын
siddy Morris r. I. p my friend.
@kingfrenk52304 жыл бұрын
Muzik wa ukweli na mziki wa uongo bora nini
@RahimSaidi-l4g10 ай бұрын
solo kapiga nani?naomba jibu
@Dekula29 ай бұрын
Nguza Viking
@josiahmuthemba1156 жыл бұрын
Sasa, Marquis ilikua sawa na hi sawa mpaka waleo. Je, wakati huo wote wa misic yao bora, Chinyama Chianza alikua wapii ? Nile jibu bwana Dekula Kahanga na yoyote abae anaweza kujibu. Mimi ni mfuazi mkubwa wa Marquis : Muthemba
@allynayomo4852 жыл бұрын
Chinyama chiyanza alikuwa na maquiz tangu imekuja Tanzania mwanzoni mwa 1972 hadi amefariki 1984 huu wimbo umerekodiwa studio za RTD mwaka1982
@Sneperwakitaa5 ай бұрын
Jamani sisi tukumbukane dar nakumbu saksafoni la mafumo