Nyimbo kama hii ukikumbuka maisha ya zamani unaweza toa machozi aaaa kasheba mungu amrehemu
@swalehmdoe34739 жыл бұрын
OSS mwaka 1982..Vocals walikuwepo Kalala Mbwebwe, Kabeya Badu na ndugu yetu Kababa nkomba ambaye anasema yuko Sweden sasa.Molay, Jumbe Mobali Jumbe na Skasy kasambula.solo kulikuwa na Mutombo Kembe, samba wa Mikalay. Second Solo kulikuwa na Matuka Mwenda na Tshibangu Otrish. Rythm kulikuwa na Mbabu Kazady na Monga kiombo, Bass kulikuwa na Kibambe Ramadhani, Na Rugambwa Kales. drum kulikuwa na Juma Prupa na Ramadhani Mutono. tumba kulikuwa na Kulukutu Abandoki Moto na Zagalo Emmanuel. Sax walikuwa Twahir Mohamed ally na alex Kanyimbo.trumpet zilipulizwa na kan Kukele,ngoy Mubenga, Mbarak Rajab, ng'enda Kalonga na Lushiko chini ya uongozi wa Supreme Ndala Kasheba
@mgenikisukari13719 жыл бұрын
Kaka umetisha!!hongera sana
@johnmapunda994 жыл бұрын
Historia kama hii ni muhimu sana. Hongera.
@iddiiddi55853 жыл бұрын
KWA HIYO WATz KIDOGO NAO WALIKUWEMO HUMU ?
@mariamabdullah4892 жыл бұрын
@@iddiiddi5585 Huyu mtu wakuitwa Twahiri Ali ni mtanzania alikuwa akipuliza Sax alikuwa anatisha kama njaaa huyu jamaaa marehemu mola amlaze pema Twahiri
@bensonmerooficial10 ай бұрын
Nyimbo kali sana🔥🔥🔥
@johnmapunda994 жыл бұрын
Kabeya Badu alikuwa na sauti ya kusisimua sana. Akiwa analalamika sauti yake... Huwa najikuta machozi yananitoka.
@husseinsimbano1466 Жыл бұрын
Wimbo naupenda Sana, unanipa kumbukumbu nzuri miaka ya themanini, daah.....
@heriissagombera516810 жыл бұрын
Hapo Kina Chibando Sony, Kabea badu huku kwenye solo ndala Kasheba, hao ni wanadukuduku
@swalehmdoe34739 жыл бұрын
Big up Eddie,,,,nakumbuka mzee wangu akisikiliza nyimbo hizi kila Jumapili kupitia RTD na Club Raha Leo Show
@agnessmartin87732 жыл бұрын
Haya Mambo si mchezo napenda Sana kuusikia wimbo wa MAMA MARIA NYERERE Kuna vionjo vya wataalam wawili wa solo SUPREME NDALA KASHEBA NA NGUZA VIKING na balaa utafute uwepo pia
Eddie kaka asante sana na wana Dukuduku, yani hapa asante kwanza mdoe kunijuza sababu mm mpenzi sana waTumba huyu kulukutu Abandoki Moto si mchezo nakubali sana
@nkombakababa59598 жыл бұрын
Na una sema ukweli ndugu Fower Twila
@erickwambia265310 жыл бұрын
shukran kwa kutupandishia wana ndeku ndeku ndekule.ngoma hizi zinazua hisia nzito kwa kweli.inanikumbusha mbali mno.ukiwa na Kipipa Ayubu ya IOSS tuwekee nayo.thanks in advance.
@jobbwai293910 жыл бұрын
Eddie unatuliza na hawa OSS.......wakati huu kumbi za starehe zinahesabika huku kigongo bar buguruni kule mkirikiti bar msasani huku white house kimara kule flamingo bar huku Amana club.......dar tutafutie za wakati wa masantula, dukuduku ni adimu sana kupatikana hawa oss.
@eddienassor4809 жыл бұрын
Job Bwai Burudika kaka
@iddiiddi55853 жыл бұрын
NADHANI NA TIP TOP MANZESE, WAPI WAPI BAR CHAN'GOMBE ,
@jobbwai29399 жыл бұрын
Big up Eddie........tupia sasa za Uda jazz wana bayankata ....ndio yenyewe.......hizi ndio starehe zetu bwana
@eddienassor4809 жыл бұрын
Zipo nyimbo za Uda Job hewani,wewe unatafuta upi??
@emanuelkilinga91967 жыл бұрын
Anko Juliasi Nyaisanga na kipindi misakato siku za jumamosi saa nne za asubuhi hivi
@nkombakababa59599 жыл бұрын
BILA KUSAHAU SINGA WA SINGA KU BASS!!!:
@albertmariki11455 жыл бұрын
Unaweza kulia aisee
@emmanuelbushiri96285 жыл бұрын
Hii miziki, we acha tu..
@nkombakababa59595 жыл бұрын
@@emmanuelbushiri9628 Hihi ilikuwa wakati yetu na tulistarehe sana!
@denisjoseph87544 жыл бұрын
Mungu awarehemu wote, awasamehe makosa yao
@georgebongi11815 жыл бұрын
Nakumbuka safari resort fifty fifty ukipigwa mziki huu unaambatana na nyimbo nyingine ikiitwa Nampenda Molay anakula nyama ya nyani.. nadhani wimbo huu wa Molay haukurekodiwa na kama kuna mtu anayo audio yake aiweke hewani
@ismailfundikira63579 жыл бұрын
Umenipeleka Stereo Bar Kinondoni! Ahsante Eddie
@georgebongi5035 жыл бұрын
Namupenda Molay anakula nyama ya nyani..hii nyimbo haikuwa ikipatikana radioni lakini pale kimara safari resort ilikua nyimbo maarufu
@josiahmuthemba1153 жыл бұрын
Hapana hata hapa nasikia solo ya ndala kasheba nikama kikohozi hakiwezi fichika basi nikama hio solo yake
@eddienassor4807 жыл бұрын
Enzi hizo kaka! RIP Nyaisanga
@omaryrwegasira10326 жыл бұрын
Eddie Nassor hongela sana kaka Eddie aisee raha sana
@lekamoi9 жыл бұрын
RIP Kabeya Badu
@eddienassor4809 жыл бұрын
Lenjo Lekamoi PIP Kabeya
@nowelaraymond59862 жыл бұрын
😭😭😭😭
@ابنعثمن2 жыл бұрын
4:30 ( gusa hizo namba za bluu usikie kazi)
@Andres-qt6kp6 ай бұрын
Mohamed Twahili mtoto wa Zanzibar
@iddiiddi55853 жыл бұрын
JAMANI ENZI HIZI NDO ZILE ZA MABASI YA LEYLAND ALBION AU !!!!!!!!!!!!!!!!